Mwana/mshkajiMwanao kivipi mkuu?
Mshikaji wangu yupo navy force kitengo cha boxingMwanao kivipi mkuu?
Na wale wanaoshuka kwa Kamba watakuwa para troopers au kikosi maalumu cha angani , mazoezi magumu Sio mchezo na riskHao waliovaa mabaka na kofia nyekundu ni kutoka kamandi ya nchi kavu kikosi maalum(komandoo)
Hao waliovaa kama nyeusi/dark blue ni kutoka kamandi ya maji kikosi maalum ie ni makomandoo lakini wa navy
Njoo inboxNawee ulikuepo wakat wa zile gwaride?![]()
Ila sio kwa kingaiNa wale wanaoshuka kwa Kamba watakuwa para troopers au kikosi maalumu cha angani , mazoezi magumu Sio mchezo na risk
Na wale wanaoshuka kwa Kamba watakuwa para troopers au kikosi maalumu cha angani , mazoezi magumu Sio mchezo na risk
Subiri ninywe maji nakuja kukutajia vyote
Wangeleta na kikosi cha Kingai ingependeza zaidi
Hao wenye nyeusi ni amphibians kama sikosei.
Navy commando ndio waliovaa nyeusiUmeniacha kidogo nini maana ya Amphibians?
Hawa paratroopers mafunzo mengi n nje ya nchiAlafu haya mafunzo huwa wanapewa hapahapa tz au ndio zile course wanazoendaga kupiga nje ya nchi?
Next time wamalizie fire brigade na wale jamaa wa porini.
Ila nadhani ujumbe iliotumwa kwa maraisi waliohudhuria umefika kikamilifu Viva jw Viva vikosi vyote