Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
Kamandi...kamanda ya anga aseee
Kamandi...kamanda ya anga aseee
Naona wadau wamefunguka japo pumba nyingi mchele mchache ila sio mbaya
Umesahau kamandi ya JKT.Kwa nnavyoelewa,,,,kikosi kinakua ndani ya kamandi,sabab tanzania tuna kamand 3
Airwing
Navy
Land force
Ndani ya navy ndio tunawapata hao jamaa waliovaa nguo nyeusi wanaitwa marine commando
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Huo sasa uchokoziiiiiAhahaha police wanawacheka tu,,
Na Kamandi Ya MMJUmesahau kamandi ya JKT.
Hamna jipya nyie ujanja wenu mukiwa kikundi ila linapokuja suala la mmoja mmoja huwa mnakuwa wapole kama kuku wa mdondo.Yaani kisa hao kina Kingai na Mahita eti ndiyo wabongo wanaona kama mapolisi wako vizuri kuliko makomandoo wa jwtz! Hatuna budi kuwaacha wabaki na ujinga wao mkuu!
Umesahau kamandi ya JKT.
Kwamba polisi ndiyo yuko vizuri kimafunzo kuliko mwanajeshi? Endeleeni kujifariji tu kwa kuwatolea mifano hao hao wahuni wenzenu kina Kingai na Mahita ila msije mkajichanganya!Hamna jipya nyie ujanja wenu mukiwa kikundi ila linapokuja suala la mmoja mmoja huwa mnakuwa wapole kama kuku wa mdondo.
Hao ni Wanajeshi tayariHivi wale wanaochukuliwa kwenda kwenye parade huwa ni wanajeshi tayari au huwa ni wale service wanaovaaga gwanda za kijani wanaokua wanasubiri ajira?
HahahahaHao wenye nyeusi ni mafundi magari wa jeshini
Wanakuwa vijana wa jkt ambao ni guard ya 5 na ya 6 kuwakilisha kamandi ya JKT me nimewaona mwaka huu wanavojiandaa na uhuru day hata ile guard ya jeshi la uhamiaji wale ni vijana wa jkt wanatumika sana na majeshi ila tuu hawawajali wanarudishwa kitaa wakatesekeHivi wale wanaochukuliwa kwenda kwenye parade huwa ni wanajeshi tayari au huwa ni wale service wanaovaaga gwanda za kijani wanaokua wanasubiri ajira?
Ndo muwe na adabu mkiwa baa...mtakuja kuuawaKwaio kumbe kuna uwezekano kuna makomando wengi mtaani ila hatuwajui
Wanakuwa vijana wa jkt ambao ni guard ya 5 na ya 6 kuwakilisha kamandi ya JKT me nimewaona mwaka huu wanavojiandaa na uhuru day hata ile guard ya jeshi la uhamiaji wale ni vijana wa jkt wanatumika sana na majeshi ila tuu hawawajali wanarudishwa kitaa wakateseke
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
wa kisarawe huyu jamaa?? maana naona kama sura inakuja inakata...