JWTZ ina vikosi vingapi?

JWTZ ina vikosi vingapi?

Ndio kipo, commando special forces wanafuga ndevu na nywele kama raia. Sio kila commando anaweza kuwa special force isipokuwa huwa wanaselect elite soldiers wachache kutengeneza partnership ya special forces. Mimi nimewaona kwa macho sehemu flan Dar es Salam, hata ngerengere pia ukibahatika kufika utawaona. Issue wanafanya hivyo kuna baadhi ya operation ambazo ni very complex zinataitaji participants wasigundulike kirahisi
Hawa walitumika Kibiti
 
Huyu jamaa akivua kombat mtaani u aeza jua ni kijana tuu wa vijiwen au mpiga debe
20211214_204021.jpg


Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Mbwe mbwembwe ambazo walikuwa wanaonyesha wanawasubiria waingie kwenye kumi na nane za policeccm

Kwani Jwtz na PT hawapatani?

Kama ni hivyo mbona wanashirikiana kwenye operations mbalimbali
 
Yeah hao wanakuwa ni macommando wa special forces. Maana siyo kila commando yuko kwenye special forces.

Na kwenye special forces ndo wanatoka kikosi cha ulinzi wa rais au vipi mkuu?
 
Na kwenye special forces ndo wanatoka kikosi cha ulinzi wa rais au vipi mkuu?
Mmh sina uhakika. Kwa sababu Tanzania hadi sasa hatuna commando mwanamke na mlinzi wa Rais wa sasa ni mwanamke so sidhani kama ni lazima wawe wanatokea special forces.
 
Mmh sina uhakika. Kwa sababu Tanzania hadi sasa hatuna commando mwanamke na mlinzi wa Rais wa sasa ni mwanamke so sidhani kama ni lazima wawe wanatokea special forces.

Upo sahihi mwanzoni nilikuwa najua ili uwe mlinzi wa rais ni lazima uwe umepitia mafunzo ya ukomando
 
Back
Top Bottom