Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,946
- 38,656
HahahahaWooote hao ni cha mtoto mbele ya Kingai na Mahita na Jumanne ...wanalizwa kama watoto
Una ubwegebwege sana




HahahahaWooote hao ni cha mtoto mbele ya Kingai na Mahita na Jumanne ...wanalizwa kama watoto




Amphibians ni kikosi kinachoweza kupigana ndani ya maji na nchi kavu.Umeniacha kidogo nini maana ya Amphibians?
Mbwe mbwembwe ambazo walikuwa wanaonyesha wanawasubiria waingie kwenye kumi na nane za policeccmWanacheka kitu gani tena?
Hawa walitumika KibitiNdio kipo, commando special forces wanafuga ndevu na nywele kama raia. Sio kila commando anaweza kuwa special force isipokuwa huwa wanaselect elite soldiers wachache kutengeneza partnership ya special forces. Mimi nimewaona kwa macho sehemu flan Dar es Salam, hata ngerengere pia ukibahatika kufika utawaona. Issue wanafanya hivyo kuna baadhi ya operation ambazo ni very complex zinataitaji participants wasigundulike kirahisi
Heshima kwenu, maana nyie sio watu wa mchezo mchezoUmenianzaje![]()
umeona uji post.. hongeraHuyu jamaa akivua kombat mtaani u aeza jua ni kijana tuu wa vijiwen au mpiga debeView attachment 2044166
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Hahaa kweli kabisaHeshima kwenu, maana nyie sio watu wa mchezo mchezo


Huyu jamaa akivua kombat mtaani u aeza jua ni kijana tuu wa vijiwen au mpiga debeView attachment 2044166
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Huyu jamaa akivua kombat mtaani u aeza jua ni kijana tuu wa vijiwen au mpiga debeView attachment 2044166
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app

umeona uji post.. hongera
Hawa walitumika Kibiti
Mbwe mbwembwe ambazo walikuwa wanaonyesha wanawasubiria waingie kwenye kumi na nane za policeccm
Yeah hao wanakuwa ni macommando wa special forces. Maana siyo kila commando yuko kwenye special forces.
Mmh sina uhakika. Kwa sababu Tanzania hadi sasa hatuna commando mwanamke na mlinzi wa Rais wa sasa ni mwanamke so sidhani kama ni lazima wawe wanatokea special forces.Na kwenye special forces ndo wanatoka kikosi cha ulinzi wa rais au vipi mkuu?
Wanajeshi wa mpakani tu ndiyo wanafuga ndevuShukrani ndugu alafu kuna swali niliuliza hapo juu kwamba je kuna kitengo chochote jeshini ambacho kinaruhusu askari wake kufuga ndevu ama nywele?
Wanajeshi wa mpakani tu ndiyo wanafuga ndevu
Mmh sina uhakika. Kwa sababu Tanzania hadi sasa hatuna commando mwanamke na mlinzi wa Rais wa sasa ni mwanamke so sidhani kama ni lazima wawe wanatokea special forces.
Kingai,mahita na good luck ndy kiboko yako hakuna cha ukomandooWooote hao ni cha mtoto mbele ya Kingai na Mahita na Jumanne ...wanalizwa kama watoto