kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,694
- 20,648
Taifa kwanzaDuh mbona ni kazi yenye majukumu mazito sana aisee sasa vipi inapotokea anataka kuoa na kuanzisha familia au pale inapotokea mtu wake wa karibu kama mama kupata tatizo kama kuugua huwa wanaruhusiwa kwenda kusalimia ama kuuguza?


