Semilong
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 1,712
- 219
ni watoto wa nje wa kiislamu ambao wantanyimwa haki zao na wakati wa kristu wakitendewa haki zao
hii itachangia kushuka kwa elimu kwa jamii ya kiislamu, kwa ajili wakristu watakuwa wanaenda shule law school na kuwa pro, waislmu watakuwa wanakaa madrasa na kuwa mahakimu wa kadhi (one trick pony)
baadae itaanza kusemwa wakristu wanapendelewa wao wako kwenye nafasi nyingi za sheria
mfumo ambao serikali iufuate ni kama huu
wanawake wajiandae kudhalilishwa
hii itachangia kushuka kwa elimu kwa jamii ya kiislamu, kwa ajili wakristu watakuwa wanaenda shule law school na kuwa pro, waislmu watakuwa wanakaa madrasa na kuwa mahakimu wa kadhi (one trick pony)
baadae itaanza kusemwa wakristu wanapendelewa wao wako kwenye nafasi nyingi za sheria
mfumo ambao serikali iufuate ni kama huu
The Islamic Sharia Council is listed as a charity but people seeking a divorce, or talaq, must fill in a form and pay a fee. For a man it is £100; for women, it is £250 because the imams say it takes more work to process a woman's application as her word has to be corroborated.
wanawake wajiandae kudhalilishwa
under Islam, the woman is seen as someone who needs the protection of a man. In matters of divorce, the right of ending a marriage lies with the man because 'women have emotions, whereas a man thinks first before he speaks'.