Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Wanasubiri wakaongee na Maakofu kwanza!!! watatoa tamko baada ya Askofu kutoa go ahead. just thought
 
ma lawayer waliosign mikataba ya kifisadi almost wote ni wakristo

waliofikishwa mahakamani kwa tuhuma za kifisadi almsot wote wakristo


make up our own conclusion

Wanajamvi nijulizeni hivi GT ana mume?
 
Kwa nini msimamo wa Chadema tu na siyo na vyama vingine? Na Chadema ikisema ina support au kupinga ina badilisha nini? Thread imekaa kiuchokozi na kuignite udini fulani. These kinds of threads zimezidi sasa JF.
 
Ningependa kujus msimamo wa CHADEMA juu ya mahakama ya kadhi na na hiyo MoU kati ya Kanisa na serikali iliyotiwa saini na Lowassa

this should be interesting kujua CHADEMA wamesimama wapi kwenye haya
-Bwa ha ha ha ha ha wenzako wanasheherekea ushindi hayo ya kadhi kaeni nayo nyie wanywa kahawa chungu......
 
Ningependa kujus msimamo wa CHADEMA juu ya mahakama ya kadhi na na hiyo MoU kati ya Kanisa na serikali iliyotiwa saini na Lowassa

this should be interesting kujua CHADEMA wamesimama wapi kwenye haya

Nadhani ingekuwa busara kama ungetaka kujua waislam wenzako wamesimama wapi kwenye hiii issue kwani CHADEMA haitapelekwa mahakama ya kadhi hata siku moja...
 
Mimi sina pingamizi na kuwepo kwa Mahakama ya Kadhi provided yanaanzishwa na waumini wa Kiislamu kama a Non-Governmental Organization kwa mujibu wa sheria inayohusu N.G.O.s.

Mufti katika maelezo yake amesisitiza kwamba Mahakama itashughulika na masuala ya MIRATHI na NDOA tu, na kwamba masuala ya jinai baina ya waumini wa Kiislamu yataendelea ktk mahakama ya kawaida ya serikali. Akifafanua, Mufti alitamka kwamba masuala hayo ya mirathi na ndoa yanachukuliwa na waumini kama ni IBADA.

Kutokana na maelezo hayo, ni dhahiri kwamba Serikali haiwezi kutumia fedha za walipa kodi, wakiwemo wananchi ambao si Waislamu, kugharimia Mahakama ya Kadhi. Hatua kama hiyo itakuwa ni kinyume na Katiba ya Tanzania inayotamka kwamba serikali haitakuwa na dini.

Kwa hiyo nashauri kwamba ili kupata fedha za kuiendesha, Mahakama ya Kadhi , kama NGO, ikusanye michango ya hiari toka waumini wa Kiislamu Tanzania na pia iruhusiwe kupokea ruzuku toka kwa wafadhili wengine wa ndani na nje kama NGOs nyingine.

Itakuwa ni jambo la kusikitisha sana kama Serikali ya CCM itang'ang'ania kuingiza Sheria Law ktk mfumo wa Sheria zetu za Tanzania, kama Waziri wa Sheria na Katiba alivyotangaza Bungeni, eti ili mahakama za kawaida zishughulikie masuala hayo ya Waislamu, ambayo Mufti, Mkuu wao mwenyewe, ametamka ni sehemu ya IBADA kwao.
 
Wakristo wamesahau historia ya nchi hii kua niwaislam ndo waliovujajasho kupambana na wakristo wakoloni, wakati huo wakristo walikua hawafikiri kuusu uhuru wa TZ. sasa wanajisahau wanafikiri wao ndo wanstailil kila kitu hapa nchini. Nimeonaniwakumbushe history ya nchi hii kila muda ilimuweze kujielewa nyie wakristo naona mmejisahau sana.

Hii nafikiri ni emosheno na stori za vijiweni Na huko ZENJI walipigana na wakristu wa wapi?

Kitu ambacho nafikiri watu tunashindwa kulogic ni hiki Mimba ikifika umri wake wa mama kujifungua lazima mtoto atoke nje hatajalisha mama yupo wapi na anafanya nini??

mimi pia nafikri tuwe na logic hii Uhuru wetu ulikuwa umefika na umekwiva na haufungamani na Nyerere wala vikundi vya kidini.

Labda unikumbushe kidogo ZUBERI MTEMVU na KASANGA TUMBO walikuwa ni dini ipi? na role yao ktk kuusaka uhuru ilikuwa je? Mbona tunakubali kupotoshwa kwa idea nyepesi nyepesi namna hii .Je uchumi unaohitaji idea nzito nzito tutaweza kuijenga kweli??
 
Wakristo wamesahau historia ya nchi hii kua niwaislam ndo waliovujajasho kupambana na wakristo wakoloni, wakati huo wakristo walikua hawafikiri kuusu uhuru wa TZ. sasa wanajisahau wanafikiri wao ndo wanstailil kila kitu hapa nchini. Nimeonaniwakumbushe history ya nchi hii kila muda ilimuweze kujielewa nyie wakristo naona mmejisahau sana.

wewe ndie kilaza msahaulifu.

kila mzungu mkristu?

Hivi, wavaa vilemeba waliozikwa pale kaole ni wakristu?

Magwiji wa slave trade afrika mashariki ni wakristu?

Waliowageuza wazenj miaka ile ni wakrsitu?

Nani alikuwa wa mwisho kabisa kufanya biashara ya utumwa tanganyika na zenj?

Waliopinduliwa siku ya mapinduzi zenj ni wakristu?

Nyerere ni muislamu? au kile kikofia kinakudangaya?


Ukweli ni kwamba waislamu walijitokeza kwa wingi kwenye mikutano ya Nyerere ya kuwania uhuru, kwa lengo la kula pilau hawakuwa na jipy,....YES ni mnuso tuuu uliwavutia...
 
Ni kama vile TZ nayo inaongozwa ma 'Supreme Leaders" wa kidini kama kule persia. Maana viongozi wa Kikristo au wa Kiislam wasipopendezwa na maamuzi yoyote secular leaders wananywea! Huu ni udhaifu? Tulianza na kodi, imekuja kadhi, na kwa mwendo huu haitaishia hapa.
 
Mimi sina pingamizi na kuwepo kwa Mahakama ya Kadhi provided yanaanzishwa na waumini wa Kiislamu kama a Non-Governmental Organization kwa mujibu wa sheria inayohusu N.G.O.s.

Mufti katika maelezo yake amesisitiza kwamba Mahakama itashughulika na masuala ya MIRATHI na NDOA tu, na kwamba masuala ya jinai baina ya waumini wa Kiislamu yataendelea ktk mahakama ya kawaida ya serikali. Akifafanua, Mufti alitamka kwamba masuala hayo ya mirathi na ndoa yanachukuliwa na waumini kama ni IBADA.

Kutokana na maelezo hayo, ni dhahiri kwamba Serikali haiwezi kutumia fedha za walipa kodi, wakiwemo wananchi ambao si Waislamu, kugharimia Mahakama ya Kadhi. Hatua kama hiyo itakuwa ni kinyume na Katiba ya Tanzania inayotamka kwamba serikali haitakuwa na dini.

Kwa hiyo nashauri kwamba ili kupata fedha za kuiendesha, Mahakama ya Kadhi , kama NGO, ikusanye michango ya hiari toka waumini wa Kiislamu Tanzania na pia iruhusiwe kupokea ruzuku toka kwa wafadhili wengine wa ndani na nje kama NGOs nyingine.

Itakuwa ni jambo la kusikitisha sana kama Serikali ya CCM itang'ang'ania kuingiza Sheria Law ktk mfumo wa Sheria zetu za Tanzania, kama Waziri wa Sheria na Katiba alivyotangaza Bungeni, eti ili mahakama za kawaida zishughulikie masuala hayo ya Waislamu, ambayo Mufti, Mkuu wao mwenyewe, ametamka ni sehemu ya IBADA kwao.

Tatizo mkuu linakuja mfano ,mimi nikiona hii kesi kulingana na sharia itanitia hatiani na kupelekea mali zangu kuwa ndivyo sivyo ,sasa basi nikifika mahakamani naukana uisilamu watanifanyia nini??
 
Ni kama vile TZ nayo inaongozwa ma 'Supreme Leaders" wa kidini kama kule persia. Maana viongozi wa Kikristo au wa Kiislam wasipopendezwa na maamuzi yoyote secular leaders wananywea! Huu ni udhaifu? Tulianza na kodi, imekuja kadhi, na kwa mwendo huu haitaishia hapa.

Na wakiendelea hivyo DEMOKRASIA ndiyo mwisho wake, watu watapiga kura kulingana na udini na si demokrasia.

Nawakiendelea hivyo mwisho wa ccm utakuwa unafika fika ukingoni, maana mle kwenye NEC waislamu wanawajumbe wengi,hivyo ikitokea akasimama mkristu na mwislamu ,harafu mkristu akashindwa huyu aliyeshindwa hata kama ameshindwa kiukweli atakuwa na sababu za kulalamika na uwezekano wa kuvunjika unakuwa mkubwa.

CCM ili kukilinda chama lazima wabadirishe na mfumo wao wa kupata wagombea ktoka urais hadi chini ,wagombea wao wapigiwe kura na wanachama wote bila hivyo natabiri 2015 hakutakuwa na ccm kama ya leo.
 
Yanikumbusha, mtoto akililia wembe mpe, umkate pale pale na akililia moto moto, mpe umchome pale pale.

Huko mbele naona hakutakuwa na neutral ground - either upo nasi ama haupo nasi. Huko Kenya na Uganda tayari kuna mvutano mkubwa kuhusu Mahakama za Kadhi kuendelea kuwepo kwenye katiba..

A meeting of church leaders in Kenya has been called to discuss how they can remove a clause in the draft constitution that recognises Muslim courts - also referred to as Kadhi's courts.


Hata hivyo...........

In Kenya, the decisions of the Court of Appeal are binding on all other subordinate courts, including the High Court.

Kadhis' courts are 'subordinate' courts, meaning that the secular High Court has jurisdiction to supervise any civil or criminal proceedings. Any party involved in the proceedings may refer a question involving interpretation, or directly appeal a decision, to the High Court.

Under the Kadhi's Courts Act, Parliament has established twelve Courts. The Kadhi's Courts Act passed in 1967 initially established 6 Kadhi's Courts, subordinate to the High Court, four having jurisdiction within the area of the former protectorate, one in Nyanza, Western and parts of Rift Valley Province and the last one having Jurisdiction over the former Northern Frontier Districts of Garissa, Wajir and Mandera (Ghai & McAuslan).

An appeal from the Kadhi's Court can be lodged with the Chief Kadhi's Court or to the High Court. The High Court will sit in appeal with the Chief Kadhi or other Kadhi's as assessors. The opinion of the Kadhis as assessors is however not binding on the judge in deciding the appeal, especially if he disagrees with their opinion. An appeal also lies to the Court of Appeal from the High Court and in that final Court, the Chief Kadhi or any other Kadhi does not sit even as assessors.
Sina hakika hili linakubalika kwa Waislamu wa Tanzania - Je hukumu za High Court au Court of Appeal zitaheshimiwa kama zitatengua maamuzi ya Mahakama za Kadhi ? Nafikiri serikali yetu inajitia kitanzi hapa.
 
Mkandara,

Pamoja na shule yako nzito, naona hakuna kilichozaliwa. Mahakama hiyo na watoto haramu sasa kwishieni. Mume akifariki, basi mkewe aanze kutafuta nguzo yake yataa ya barabarani ili aanze kuwa changu doa maana atanyanganywa kila kitu.
Kila la kheri waislaam.............
 
Sikonge,
Hapana mkuu wangu sheria zilizopo ktk Uislaam ni nzuri sana ktk sehemu nyingi za mirathi isipokuwa hofu yangu ilikuwa WATU na MAZINGIRA.

Nashindwa kuelewa kama mahakama hiyo itaweza fanya kazi kwa Ufasaha kwa sababu nyingi za kimsingi.. Watoto wa haramu hata ktk Ukristu hawatambuliwi ktk mirathi na mara zote ktk korti zetu wamekuwa wakipuuzwa..
Lakini Will inakubalika ktk Uislaam.. na bila shaka itakubalika kote kwa Wakritu, Waislaam na Wasiokuwa na dini isipokuwa muda wote imekuwa haina uzito kutokana na kutokuwepo sheria za kiislaam ambazo wengi wetu wanafikiria ni mbaya, mbaya, mbaya, kutokana na jina hili la Uislaam..

Pengine hii itawawezesha watu kuwapa elimu ya kuandika WILL kitu ambacho nchi za Ulaya kwa kupitia ma lawyer wanasisitiza sana.. WILL inaweza kusaidia sana inapofikia maswala kama haya isipokuwa tu kutokana na wananchi wengi kutokuwa na Elimu uandikaji wa Will ni kitu cha mwisho. Nakumbuka wakati sisi tukiwa wadogo wazee wengi walitumia Usia wa mwisho wakiwa mahtuti kitamdani na ukachukuliwa kama ndio WILL lakini uatamaduni huo ulikwisha baada ya sisi kuchukua mkondo mwingine wa sheria kuzizika sheria na tamaduni zetu.. Usia unakubalika ktk Uislaam na hata jadi za makabila yetu, hivyo bado mtoto wa haramu anayo nafasi kubwa ya kupewa haki yake..
Kumbuka tu ktk Uislaam Haramu ni kile kitendo sii mtoto aliyezaliwa.. Hizi hadithi nyingine watu tunaongezea tu katika kuupaka Uislaam..
 
Mkandara,

Pamoja na shule yako nzito, naona hakuna kilichozaliwa. Mahakama hiyo na watoto haramu sasa kwishieni. Mume akifariki, basi mkewe aanze kutafuta nguzo yake yataa ya barabarani ili aanze kuwa changu doa maana atanyanganywa kila kitu.
Kila la kheri waislaam.............

We sikonge vipi?
Mahakama hii inawathamini sana wanawake ama unaongea kinyume nini?
 
Back
Top Bottom