Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #2,361
Kwa sababu pendekezo langu jingine linaweza kuwa baya zaidi katika kufadhili hizi mahakama. Kwa hiyo hilo la kodi ni zuri sana.
wanaokula ban hapa JF wengi ni waisilamu....si unacheki NN,nyama hatari na yule YNIM...wizi ni tabia binafsi ya mtu ...si dini wala kabila...wala taifa!!
sasa mtafanya watu waanze kufuatilia majina ya vibaka wanaokamatwa kila siku au wazembe na wazururaji...tutafika kweli!!
Kwanini basi msisubiri kwanza au Kuiuliza serikali jinsi hiyo mahakama ya kadhi zitavyo endeshwa?hizo ni hisia zako. Tangu mwanzo nimeunga mkono uwepo wa mahakama ya kadhi kwani sina tatizo nazo kabisa. Tatizo langu lilikuwa ni juu ya uanzishwaji wake na gharama yake. Kwa vile imedokezwa (tusubiri hasa nini kimeamuriwa) kuwa serikali imekubali basi hatuna budi kutoa pongezi hizo. Sasa kutoa pendekezo la Kodi ni pendekezo tu linaweza kuangaliwa kufaa kwake na kutofaa kwake. Au wewe unaonaje kuhusu suala la kodi maalumu kwa Waislamu kugharimia Mahakama hizi?
Mwana Kijiji,
Ukiwa German, unauliza wewe ni dini gani na ukishasema dini basi unakatwa hela kila mwezi kwa ajili ya kugharamia misikiti/kanisa/sinagogi tempo nk nk. Naungana na hili kwamba, Waislam waanzishiwe kodi yao maalumu na pesa wapewe viongozi wao ili kugharamia dini yao. Na hili liwe LAZIMA kwa Waislam wote. Asiyetaka basi atangaze kabisa yeye SI MUISLAAM. Mtoto akililia wembe...... Ila mie kodi yangu kulipia kadhi wala kanisa sitaki. Ntatoa tu pale ninataka na si lazima. Ikibidi basi ntatangaza kuwa SINA DINI...................
Wewe unafikiri kwamba kama vile waislamu hawataki kutoa kugharamikia dini ...hypothesisi yako ni "wrong" ni nguzo kufanya hivyo katika uislamu,Mwana Kijiji,
Ukiwa German, unauliza wewe ni dini gani na ukishasema dini basi unakatwa hela kila mwezi kwa ajili ya kugharamia misikiti/kanisa/sinagogi tempo nk nk. Naungana na hili kwamba, Waislam waanzishiwe kodi yao maalumu na pesa wapewe viongozi wao ili kugharamia dini yao. Na hili liwe LAZIMA kwa Waislam wote. Asiyetaka basi atangaze kabisa yeye SI MUISLAAM. Mtoto akililia wembe...... Ila mie kodi yangu kulipia kadhi wala kanisa sitaki. Ntatoa tu pale ninataka na si lazima. Ikibidi basi ntatangaza kuwa SINA DINI...................
ustaadhat una matatizo na H.....anyway sasa si muda mrefu tutaanza kuwaona mmekatwa mikono....Kwanini basi msisubiri kwanza au Kuihuliza serikali jinsi hiyo mahakama ya kadhi zitavyo endeshwa?
Mlolongo wote huu wa maneno yanatoeka wapi? Kihasi ya kwamba watu wanaleta hoja ambazo hata haziingii akilini!?
Hahahaha... Sasa hii ni kesi mpya!wanaokula ban hapa JF wengi ni waisilamu....si unacheki NN,nyama hatari na yule YNIM...
Ukiiba yes! kwanini uibe au kanisani muna ruhusuustaadhat una matatizo na H.....anyway sasa si muda mrefu tutaanza kuwaona mmekatwa mikono....
Wajinga ndio waliwaokumbe mimi nilifikiri tunasheherekea mahakama kuruhusiwa ....kumbe kuna wenye mawazo tofauti waanafurahia kufikiri serikali itazigharamia.....hilo ni gumu sana...fikiria mara mbili !!
Mwana Kijiji,
Ukiwa German, unauliza wewe ni dini gani na ukishasema dini basi unakatwa hela kila mwezi kwa ajili ya kugharamia misikiti/kanisa/sinagogi tempo nk nk. Naungana na hili kwamba, Waislam waanzishiwe kodi yao maalumu na pesa wapewe viongozi wao ili kugharamia dini yao. Na hili liwe LAZIMA kwa Waislam wote. Asiyetaka basi atangaze kabisa yeye SI MUISLAAM. Mtoto akililia wembe...... Ila mie kodi yangu kulipia kadhi wala kanisa sitaki. Ntatoa tu pale ninataka na si lazima. Ikibidi basi ntatangaza kuwa SINA DINI...................
Hahahaha... Sasa hii ni kesi mpya!
Na mods wote ni wapagani...!
Ilo limeonekana na limerekebishwa...! La kukatwa mikono linaingiaje hapa...!?ustaadhat una matatizo na H.....anyway sasa si muda mrefu tutaanza kuwaona mmekatwa mikono....
wanaokula ban hapa JF wengi ni waisilamu....si unacheki NN,nyama hatari na yule YNIM...
mnadai mnapiga vita ufisadi lakini walioimaliza pesa za EPA na waliofikishwa mahakamani ni akina nani?
kaangalie waislam wangapi na wakristo wangapi
Mahakama ya kadhi inakuja na wenye wevu wajinyinge
Utaumia sana, ukiwa huna hoja.Wajinga ndio waliwao
waislam have lived to fight another day
Hata kama hutaki kukubali, serikali ikijiinhgiza kwa namna yoyote ktika kugharimia, waislamu hawatakuwa na choa... remember who pays the piper...Utaumia sana, ukiwa huna hoja.
a) Fedha siyo za Serikali ni za walipa kodi...j
b) Je walipa kodi ni kina nani? (waislamu, wakristo, na wasio na dini),
c) Composition iko vipi? (35% 30% 35%) divide on pro-rata
d) kesi ngapi za mirathi na ndoa zimeshughulikiwa (wananchi waislamu) -release the fund from treasuary--just simple logic?
Tatizo mnafikiri kama waislamu siyo watanzania (shame)