Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

duh.. !! hongereni Waislamu kwa kupata mahakama yenu ya kadhi ambayo ilikuwa inazuiliwa na serikali ya CCM. Jambo hili ni la kujivunia kwani mmepata kile ambacho ni sehemu ya ibada yenu. Kutokana na hilo, nina uhakika serikali itaanzisha kodi maalum kwa ajili ya kufadhili mahakama hii (kama nikweli serikali itaigharimia); kodi ambayo Waislamu tu watatozwa. Hii itaondoa mgongano wa mahakama ya dini ya Kiislamu kufadhiliwa na makafir.

Ingekuwa poa kama Mahakama hizo za Kiislamu zihukumu pia criminal offenses, ili kesi zote za aina zote za washtakiwa waislamu zipelekwe huko, ili wezi wao wakatwe mikono, wazinzi wapigwe mawe hadi wafe, wengine wakatwe vichwa...

Ikiwa hivyo ndio itakuwa poa, kwani wataanzwa kukatwa mikono akina Rostam... Mkulu naye je atapona hapo?

Hapo ndio haki yao itatimia. Inshallah...
 
a) Tatizo ni kodi? au fedha mkuu naomba nikupe chanzo:
Kwakuwa kesi nyingi za Mirathi na ndoa za waislamu zitapungua kutoka "kwenye mahakama za maintream (taifa) then maana yake ni kwamba cost ambazo mainstream court ilikuwa inapata wanazishift very simple...yaani ni

shame on you (anyway mna haki ya kufikiri

.....pia makanisani kuna kitengo cha kusuluhisha mogogoro ya ndoa...ma uamuzi wake huheshimiwa ...hizi taasisi hata wahindu wanazo...na hata kwenye makabila yetu ..kuna vikao vya usuluhishi kimila.....na hawa nao waombe fungu la mahakama za mwanzo wapewe???..jamani du!!

hata kama fungu la kugharamia mahakama ya mwanzo zinazoongelea ndoa...likipelekwa kwa kadhi kutokana na uuwiano wa kesi...hii haiondoi ukweli kuwa bado najisi itakuwa kubwa na haiondo ukweli kuwa kwa kiasi kikubwa waislamu itabidi waingie mifukoni kutoa sadaka zaidi kufanikisha mahakama hizi....,lakini pia njia nyingine za mapato ni kwa taasisi rafiki za kiislamu za nje ya nchi kutoa misaada.....hata nchi zenye jamuhuri za kiislamu zinaweza kusadia....sioni kwa nini tunabishana kuhusu kutaka serikali ya muungano igharamie ...wakati tunajuwa haitafanya hivyo......
 
Ingekuwa poa kama Mahakama hizo za Kiislamu zihukumu pia criminal offenses, ili kesi zote za aina zote za washtakiwa waislamu zipelekwe huko, ili wezi wao wakatwe mikono, wazinzi wapigwe mawe hadi wafe, wengine wakatwe vichwa...

Ikiwa hivyo ndio itakuwa poa, kwani wataanzwa kukatwa mikono akina Rostam... Mkulu naye je atapona hapo?

Hapo ndio haki yao itatimia. Inshallah...
Yap! wasingekuwepo kabisa duniani...neema ingetambaa Tanzania ...Naunga mkono ingekuwa hivyo mbona raha lakini bahati mbaya ni kwamba zinahusu tu mirathi na ndoa labda Maaskofu wakikubali iwe pamoja na kesi za jinai tutashuru inshalaah!
 
Ingekuwa poa kama Mahakama hizo za Kiislamu zihukumu pia criminal offenses, ili kesi zote za aina zote za washtakiwa waislamu zipelekwe huko, ili wezi wao wakatwe mikono, wazinzi wapigwe mawe hadi wafe, wengine wakatwe vichwa...

Ikiwa hivyo ndio itakuwa poa, kwani wataanzwa kukatwa mikono akina Rostam... Mkulu naye je atapona hapo?

Hapo ndio haki yao itatimia. Inshallah...

Ndio maana mimi sielewi kwanini mahakama za kadhi kwa Tanzania ziwe kwenye masuala ya ndoa, mirathi na wakf? Kama kweli mahakama za kadhi ni sehemu ya ibada ni kwanini zisipendekezwe kujumuisha mambo yote ya maisha ya waislamu? Zihukumu waislamu kama ilivyo Nigeria ya Kaskazini.

Kwa sababu kwa kuchagua kidogo tunazipunja majukumu yake wakati tunajua kabisa kuwa zipo sheria za Kiislamu ambazo zinahusu mambo yote ya maisha ya muumini na zinaweza kutumika kuyaongoza maisha yake.

Nawashaurii Waislamu wasikubali kupewa kitu kidogo; ni bora wadai mahakama ya kadhi ili ishughulikie maisha yao ya kila siku na hivyo basi kukamilisha ibada.
 
Ndio maana mimi sielewi kwanini mahakama za kadhi kwa Tanzania ziwe kwenye masuala ya ndoa, mirathi na wakf? Kama kweli mahakama za kadhi ni sehemu ya ibada ni kwanini zisipendekezwe kujumuisha mambo yote ya maisha ya waislamu? Zihukumu waislamu kama ilivyo Nigeria ya Kaskazini.

Kwa sababu kwa kuchagua kidogo tunazipunja majukumu yake wakati tunajua kabisa kuwa zipo sheria za Kiislamu ambazo zinahusu mambo yote ya maisha ya muumini na zinaweza kutumika kuyaongoza maisha yake.

Nawashaurii Waislamu wasikubali kupewa kitu kidogo; ni bora wadai mahakama ya kadhi ili ishughulikie maisha yao ya kila siku na hivyo basi kukamilisha ibada.
Hiyo kidogo miaka 20! kubwa miaka mingapi piga multiplier effect 20*....inshallah itakuja
 
Mwanakijiji,
Anayedharau kidogo hata kubwa atadharau, chukua kwanza kidogo! progresively
Halafu wewe huo ni uchonganishi kwa Maaskofu....wataleta waraka mwingine!
 
Ingekuwa poa kama Mahakama hizo za Kiislamu zihukumu pia criminal offenses, ili kesi zote za aina zote za washtakiwa waislamu zipelekwe huko, ili wezi wao wakatwe mikono, wazinzi wapigwe mawe hadi wafe, wengine wakatwe vichwa...

Ikiwa hivyo ndio itakuwa poa, kwani wataanzwa kukatwa mikono akina Rostam... Mkulu naye je atapona hapo?

Hapo ndio haki yao itatimia. Inshallah...

Poor you.

Huko Uarabuni kwenyewe nilipata habari siku moja sikuamini. Kuna ma Changudoa kibao, pombe na kila takataka. Kuna hadi ile video ya claric anamrudi mama mmoja na linauliza kama watu wamemuona wakati anaongia. Iliyonimaliza nguvu ni hii habari kwamba "ukiwa rubani m-kristo, basi unapata kazi haraka sana. Jamaa wanakuja kwenye ndege na ma-airhostess, wanachukua kidege chao na kuanza kuzunguka tu angani. Huko angani wanaanza kula maraha na ma airhostess wao. Mafuta yakikaribia kuisha wanatua na au kurudi makwao, au kujaza mafuta na kuendelea na maraha........" Hii kazi Muislam hupewi ng'ooooo.

Nyingine nikasikia kijana alikwenda kusoma Syria. Akaniambia wale makuadi walikuwa wanawaleta watoto wa Kiarabu ma changudoa kwenye madomitory na huko hujifanya kuwa ni kaka na dada na wamekuja kumtembelea jamaa. Pesa zililipwa na jamaa akaendelea na kazi.

Mie nataka nione jinsi hizi mahakama zitakavyokuwa zikichukua hela za kodi kutoka Viwanda vya Bia na Konyagi, kodi ya vilabu vya pombe ya Chimpumu na Tikisa, Wanzuki, nyama za nguruwe na kila pesa ambazo kwa misingi ya dini ya Kiislam ni HARAMU. Mhhh, nasikia huwa tunauza silaha na risasi, na kodi yake jamaa watatia ndani? Ama kweli njaa si mchezo....
 
kama inawezekana sasa kwanini isiwe? hauoni kama ni kujinyima haki ya kutimiza dini?
Dini ni process...huwezi kuanza kwa pupa kwanza unaleta impact watu wanakuunga mkono kutokana na impact! hata wakristo wataipenda tuu ngoja ianze ni neema
 
Ndio maana mimi sielewi kwanini mahakama za kadhi kwa Tanzania ziwe kwenye masuala ya ndoa, mirathi na wakf? Kama kweli mahakama za kadhi ni sehemu ya ibada ni kwanini zisipendekezwe kujumuisha mambo yote ya maisha ya waislamu? Zihukumu waislamu kama ilivyo Nigeria ya Kaskazini.

Kwa sababu kwa kuchagua kidogo tunazipunja majukumu yake wakati tunajua kabisa kuwa zipo sheria za Kiislamu ambazo zinahusu mambo yote ya maisha ya muumini na zinaweza kutumika kuyaongoza maisha yake.

Nawashaurii Waislamu wasikubali kupewa kitu kidogo; ni bora wadai mahakama ya kadhi ili ishughulikie maisha yao ya kila siku na hivyo basi kukamilisha ibada.

good observation ..ziruhusiwe kuhukumu watuhumiwa wake..kwa kadiri ya maandiko...,lakini ni vema kutoa haki kwa mshtaki na mtuhumiwa kuamua kama wangependa kusuluhishwa kwa kutumia mahakama ya kadhi au cercular....courts..mfano ,katika baadhi ya nchi wanandoa wana option kutatua migogoro kwa kadhi au mahakama za kawaida
 
Pongezi zako zimekaa kinafiki zaidi kuliko hali halisi ilivyo...!

hizo ni hisia zako. Tangu mwanzo nimeunga mkono uwepo wa mahakama ya kadhi kwani sina tatizo nazo kabisa. Tatizo langu lilikuwa ni juu ya uanzishwaji wake na gharama yake. Kwa vile imedokezwa (tusubiri hasa nini kimeamuriwa) kuwa serikali imekubali basi hatuna budi kutoa pongezi hizo. Sasa kutoa pendekezo la Kodi ni pendekezo tu linaweza kuangaliwa kufaa kwake na kutofaa kwake. Au wewe unaonaje kuhusu suala la kodi maalumu kwa Waislamu kugharimia Mahakama hizi?
 
Poor you.

Huko Uarabuni kwenyewe nilipata habari siku moja sikuamini. Kuna ma Changudoa kibao, pombe na kila takataka. Kuna hadi ile video ya claric anamrudi mama mmoja na linauliza kama watu wamemuona wakati anaongia. Iliyonimaliza nguvu ni hii habari kwamba "ukiwa rubani m-kristo, basi unapata kazi haraka sana. Jamaa wanakuja kwenye ndege na ma-airhostess, wanachukua kidege chao na kuanza kuzunguka tu angani. Huko angani wanaanza kula maraha na ma airhostess wao. Mafuta yakikaribia kuisha wanatua na au kurudi makwao, au kujaza mafuta na kuendelea na maraha........" Hii kazi Muislam hupewi ng'ooooo.

Nyingine nikasikia kijana alikwenda kusoma Syria. Akaniambia wale makuadi walikuwa wanawaleta watoto wa Kiarabu ma changudoa kwenye madomitory na huko hujifanya kuwa ni kaka na dada na wamekuja kumtembelea jamaa. Pesa zililipwa na jamaa akaendelea na kazi.

Mie nataka nione jinsi hizi mahakama zitakavyokuwa zikichukua hela za kodi kutoka Viwanda vya Bia na Konyagi, kodi ya vilabu vya pombe ya Chimpumu na Tikisa, Wanzuki, nyama za nguruwe na kila pesa ambazo kwa misingi ya dini ya Kiislam ni HARAMU. Mhhh, nasikia huwa tunauza silaha na risasi, na kodi yake jamaa watatia ndani? Ama kweli njaa si mchezo....
Kila jamii ina wabaya wake lakini huwezi kulinganisha Saudia na Merakni/UK/France kwa makahaba na sodomy na uchafu mwingine...ambao mungu hapendi
Unalaani kitu ambacho huna ujuzi nacho ndugu..wenye imani tunaifurahia..lakini nakuomba usome dini yako/na hata Uislamu mwenyewe utagundua "ukweli" vizuri...utaona hakuna tofauti sana na tunachodai muslims
 
Mimi nashindwa kuelewa haya maneno 'Serikali imekubali' hivi Serikali ni Pinda? Tusubiri kuisikia Serikali siyo haya ya kikao cha Pinda na mashehe. Binafsi ninalotatizo hapo kwenye katiba.
 
Ingekuwa poa kama Mahakama hizo za Kiislamu zihukumu pia criminal offenses, ili kesi zote za aina zote za washtakiwa waislamu zipelekwe huko, ili wezi wao wakatwe mikono, wazinzi wapigwe mawe hadi wafe, wengine wakatwe vichwa...

Ikiwa hivyo ndio itakuwa poa, kwani wataanzwa kukatwa mikono akina Rostam... Mkulu naye je atapona hapo?

Hapo ndio haki yao itatimia. Inshallah...
Haya majibu mbona yamekaa kihasira hasira zaidi....?

Suhala la kadhi lilipoanza kujadiliwa... mlipiga kelele kuwa sasa Tanzania inataka kuleta Sharia na zitawaathili hata wasio Waislam... Sasa dalili zinaonyesha kukubaliwa kwa Mahakama ya kadhi kurudishwa upya... Mnataka kuingiza kile ambacho mnakiona kuwa ndio kibaya sana kwenye sharia...!
 
Lakini bora ianzishwe tu maana maongezi yote hapa JF tulikuwa tunaandikia mate tu. Kama itakua na manufaa kwa Watanzania au kweli it's something ndugu zetu want so bad then so be it. Baada ya muda tutaona maendeleo yake na kama yote yaliyo semwa hapa hayata tokea I will be the first to say I was wrong. Hope wenzetu hawataona sasa kuwa wanaonewa au nchi inaendeshwa na wakristo. congrats to our brothers and sisters.
 
duh.. !! hongereni Waislamu kwa kupata mahakama yenu ya kadhi ambayo ilikuwa inazuiliwa na serikali ya CCM. Jambo hili ni la kujivunia kwani mmepata kile ambacho ni sehemu ya ibada yenu. Kutokana na hilo, nina uhakika serikali itaanzisha kodi maalum kwa ajili ya kufadhili mahakama hii (kama nikweli serikali itaigharimia); kodi ambayo Waislamu tu watatozwa. Hii itaondoa mgongano wa mahakama ya dini ya Kiislamu kufadhiliwa na makafir.

na ndio utakuwa mwanzo wa UBAGUZI MKUU.......anyway ngoja tuvute subira tuone hiyo "MoU"
 
hizo ni hisia zako. Tangu mwanzo nimeunga mkono uwepo wa mahakama ya kadhi kwani sina tatizo nazo kabisa. Tatizo langu lilikuwa ni juu ya uanzishwaji wake na gharama yake. Kwa vile imedokezwa (tusubiri hasa nini kimeamuriwa) kuwa serikali imekubali basi hatuna budi kutoa pongezi hizo. Sasa kutoa pendekezo la Kodi ni pendekezo tu linaweza kuangaliwa kufaa kwake na kutofaa kwake. Au wewe unaonaje kuhusu suala la kodi maalumu kwa Waislamu kugharimia Mahakama hizi?

Mwana Kijiji,
Ukiwa German, unauliza wewe ni dini gani na ukishasema dini basi unakatwa hela kila mwezi kwa ajili ya kugharamia misikiti/kanisa/sinagogi tempo nk nk. Naungana na hili kwamba, Waislam waanzishiwe kodi yao maalumu na pesa wapewe viongozi wao ili kugharamia dini yao. Na hili liwe LAZIMA kwa Waislam wote. Asiyetaka basi atangaze kabisa yeye SI MUISLAAM. Mtoto akililia wembe...... Ila mie kodi yangu kulipia kadhi wala kanisa sitaki. Ntatoa tu pale ninataka na si lazima. Ikibidi basi ntatangaza kuwa SINA DINI...................
 
54 Reactions
Reply
Back
Top Bottom