Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Watatoa ELIMU gani wakati wao ni UPE wa Elimu hiyo! Kilichotufikisha hapa ni USHABIKI wa hao WASERIKALI! Historia inaonyesha kuna upande mmoja wa dini umekuwa na UVUMILIVU kiasi kwamba sasa UVUMILIVU umekwisha. Kama waswahili wanavyosema, WAMELIKOROGA NA SASA WANAPASWA KULINYWA! Membe alisema Wizara yake imeshafanya UTAFITI na kugundua kuwa HAKUNA tatizo TZ ikijiunga na OIC jana Mkulu anasema Wizara ya Mambo ya Nje bado inafanya UTAFITI! WATALINYWA!!???

Membe opened a Pandora Box!Wao wenyewe they are contradicting each other!
Lets sit back and see how they get themselves out of this mess!
One can not try to ride two horses moving in different directions, as to try to maintain in equal force two opposing or contradictory sets of desires.
 
Watatoa ELIMU gani wakati wao ni UPE wa Elimu hiyo! Kilichotufikisha hapa ni USHABIKI wa hao WASERIKALI! Historia inaonyesha kuna upande mmoja wa dini umekuwa na UVUMILIVU kiasi kwamba sasa UVUMILIVU umekwisha. Kama waswahili wanavyosema, WAMELIKOROGA NA SASA WANAPASWA KULINYWA! Membe alisema Wizara yake imeshafanya UTAFITI na kugundua kuwa HAKUNA tatizo TZ ikijiunga na OIC jana Mkulu anasema Wizara ya Mambo ya Nje bado inafanya UTAFITI! WATALINYWA!!???

Membe opened a Pandora Box!Wao wenyewe they are contradicting each other!
Lets sit back and see how they get themselves out of this mess!
One can not try to ride two horses moving in different directions, as to try to maintain in equal force two opposing or contradictory sets of desires.


In fact if JK were serious angeshamuondoa huyo Membe wake on this post. Kama boss mkubwa hajui kuwa utafiti umekwisha inakuwaje Membe aje atuambie wamefanya utafiti na kugundua OIC haina madhara.
 
In fact if JK were serious angeshamuondoa huyo Membe wake on this post. Kama boss mkubwa hajui kuwa utafiti umekwisha inakuwaje Membe aje atuambie wamefanya utafiti na kugundua OIC haina madhara.

I think aliyekurupuka hapo ni JK maana watakuwa wamehsafanya research sasa anaona mambo siyo mazuri sasa anajifanya hawakufanya research ili mwishowe aseme tulikaa chini tukaona ushauri wa kujiunga na OIC hautufai kwa sababu anaangalia upepo unakoelekea!
 
Field Marshall ES,
kugundua kua amekurupuka, amewatafuta maaskofu kwa siri na kujaribu kuwaomba msamaha na kwamba sio yeye chanzo cha hili sagga,
Mkuu unaona hatari yenyewe!.. yaani Membe waziri wa Mambo ya nje ya nchi nzima alikwenda kwa MAASKOFU kuwaomba msamaha..hii ni hatari kubwa sana..Huoni kama hapa hili swala limekuwa la wakristu badala ya Waislaam. ndicho nachopigia kelele mkuu wangu..Hao Maaskofu kinachowatisha ni kitu gani kwani nchi yetu inaendeshwa kwa misingi ya kikristu?.. Huyo Membe kenda kuomba radhi kwa sababu gani!

Kuna watu wanauliza kuhusiana na OIC kuwa haiwezi kutusaidia, ajabu ni kwamba kwa miaka 20 iliyopita Wakristu wamekuwa wakitegemea misaada toka vyombo vya Kikristu, wamejenga mashule, hospital, wamefungua NGO kibao na kadhalika, na hakuna mtu aliyezungumzia kwamba misaada hiyo haitusaidii kitu tena basi kama unakumbuka nilipiga vita swala la Elimu na Afya kuwa mikononi mwa taasisi za kidini hapa hapa JF. Wengi walikanusha na kusema Waislaam nanyi fungueni zenu hakuna mtu anayewakataza.. Leo hii waislaam wamepata chanzo imekuwa swala la nchi yetu haina dini..Je, huko nyuma hamkuliona hilo!

Mkuu bado hujanibu kitu kuhusiana na nchi kama Canada na Switzeland mbona huko hakuna matatizo?...Nchi zote zilizokwisha jiunga na OIC toka 70's mbona hakuna matatizo iweje sisi tushikilie hili kwa kutumia hadithi za kufikirika!
Je, unaweza kunipa nchi hata moja ambayo imepata matatizo kutokana na OIC ama serikali kukubali kundi moja la jamii fulani kujiunga na chombo chao cha kimataifa..Hamtaki wala kusikia!
Nipe mfano haya maswala mengine tutayaacha nje...Kwani tukianza kuzungumzia Faida za OIC sidhani kama waislaam waliulizwa faida za vyombo vya kikristu kuingia nchini na Diplomatic visa wakati waislaam wanapanga msululu bungeni kukubaliwa hoja zao.

Interested Observer,
Mkuu unachosema ni kweli kabisa lakini kwa nini leo hii ndio tunajiuliza yote haya wakati siku zote vyombo vya kikristu vilikuwa vinaingia nchini kusaidia wakristu na hiyo hiyo misaada!.. leo chombo kimoja tu kwa waislaam imekuwa issue wakati kuna zaidi ya vyombo kumi kama NGOs zilizopo nchini kwa maslahi ya wakristu....
kama kweli tunaona hakuna faida basi vyombo vyote vya misaada kwa dini viondoke nchini..Tanzania hatuhitaji tena misaada iwe ni kwa dini na watu wote na sio kundi fulani tu..
 
Phillemon Mikael,
mkandara kati ya watu ninaowaheshimu hapa forum ,,,,..ni wewe ..nakuchukulia kama intellectual na mawazo yako huwa nayatafakari kwa kina ..nakuchukulia kama ninavyowaheshimu wanaforum wote akiwemo FMES,MWANAKIJIJI,A.MOSHI,REV,JASUSI...ET AL.....

LAKINI SIAMINI KAMA UNAWEZA KUWA NA MAWAZO FINYU KAMA HAYA.....PLEASE YO CAN DO BETTER THAN THIS!!!

Mkuu kitu kimoja hapa ni kwamba tunazungumza kama watu wazima.. Sasa unapoondoka kwenye mada na kuanza kukaa uchi usifikirie kabisa kwamba mimi nitakusetiri kwa upande wa khanga. Tunazungumzia OIC lakini mara nyingi nimekuona wewe ukiwajumuisha Waislaam wote nje ya hoja...haipendezi na kumbuka kuwa mimi na wewe ni watu wawili tofauti wenye imani tofauti na mtazamo tofauti, kutokubaliana ni jambo la kawaida kabisa isipokuwa kuja na hoja ya msingi sio kunyooshea Waislaam wote vidole wakati tunazungumza mimi na wewe - Swala Ubaoni ni OIC..

Huwezi kabisa kuingiza swala la Waislaam wahamie Zanzibar wakati hufahamu historia ya nchi yetu..kisha unadai kuwa nchi yetu haina dini wakati unatumia Udini kuhoji Uislaam. Ni ktk kukosa heshima na adabu ndio maana unatumia maswala ya Mzizima ukifikiria labda unajenga hoja hapa..hizo hizo hadithi zako za kufikirika, kwa sababu huwezi kunambia hata mtu mmoja bara ambaye alikuwa mstari wa mbele ktk Uhuru wetu bila kushirikiana na viongozi Waislaam..sasa nambie Ufinyu wa mawazo yangu uko wapi?
Huelewi historia ya nchi yetu na kwa bahati mbaya unachofanya ni kuiga kama kawaida ya Mdanganyika. nasikia Jana mashule yote tanzania wamesherehekea Haloween wakivaa kama wachawi wa ULAYA!..
Waulize historia ya Haloween, yale yale kuiga uzungu, tumepoteza values zetu wenyewe!
 
Field Marshall ES,

Mkuu unaona hatari yenyewe!.. yaani Membe waziri wa Mambo ya nje ya nchi nzima alikwenda kwa MAASKOFU kuwaomba msamaha..hii ni hatari kubwa sana..Huoni kama hapa hili swala limekuwa la wakristu badala ya Waislaam. ndicho nachopigia kelele mkuu wangu..Hao Maaskofu kinachowatisha ni kitu gani kwani nchi yetu inaendeshwa kwa misingi ya kikristu?.. Huyo Membe kenda kuomba radhi kwa sababu gani!

Kuna watu wanauliza kuhusiana na OIC kuwa haiwezi kutusaidia, ajabu ni kwamba kwa miaka 20 iliyopita Wakristu wamekuwa wakitegemea misaada toka vyombo vya Kikristu, wamejenga mashule, hospital, wamefungua NGO kibao na kadhalika, na hakuna mtu aliyezungumzia kwamba misaada hiyo haitusaidii kitu tena basi kama unakumbuka nilipiga vita swala la Elimu na Afya kuwa mikononi mwa taasisi za kidini hapa hapa JF. Wengi walikanusha na kusema Waislaam nanyi fungueni zenu hakuna mtu anayewakataza.. Leo hii waislaam wamepata chanzo imekuwa swala la nchi yetu haina dini..Je, huko nyuma hamkuliona hilo!

Mkuu bado hujanibu kitu kuhusiana na nchi kama Canada na Switzeland mbona huko hakuna matatizo?...Nchi zote zilizokwisha jiunga na OIC toka 70's mbona hakuna matatizo iweje sisi tushikilie hili kwa kutumia hadithi za kufikirika!
Je, unaweza kunipa nchi hata moja ambayo imepata matatizo kutokana na OIC ama serikali kukubali kundi moja la jamii fulani kujiunga na chombo chao cha kimataifa..Hamtaki wala kusikia!
Nipe mfano haya maswala mengine tutayaacha nje...Kwani tukianza kuzungumzia Faida za OIC sidhani kama waislaam waliulizwa faida za vyombo vya kikristu kuingia nchini na Diplomatic visa wakati waislaam wanapanga msululu bungeni kukubaliwa hoja zao.

Interested Observer,
Mkuu unachosema ni kweli kabisa lakini kwa nini leo hii ndio tunajiuliza yote haya wakati siku zote vyombo vya kikristu vilikuwa vinaingia nchini kusaidia wakristu na hiyo hiyo misaada!.. leo chombo kimoja tu kwa waislaam imekuwa issue wakati kuna zaidi ya vyombo kumi kama NGOs zilizopo nchini kwa maslahi ya wakristu....
kama kweli tunaona hakuna faida basi vyombo vyote vya misaada kwa dini viondoke nchini..Tanzania hatuhitaji tena misaada iwe ni kwa dini na watu wote na sio kundi fulani tu..

Naomba unitajie chombo au jumuiya ya kikristor ambayo tanzania imejiunga kama nchi
 
Field Marshall ES,

Mkuu unaona hatari yenyewe!.. yaani Membe waziri wa Mambo ya nje ya nchi nzima alikwenda kwa MAASKOFU kuwaomba msamaha..hii ni hatari kubwa sana..Huoni kama hapa hili swala limekuwa la wakristu badala ya Waislaam. ndicho nachopigia kelele mkuu wangu..Hao Maaskofu kinachowatisha ni kitu gani kwani nchi yetu inaendeshwa kwa misingi ya kikristu?.. Huyo Membe kenda kuomba radhi kwa sababu gani!

Kuna watu wanauliza kuhusiana na OIC kuwa haiwezi kutusaidia, ajabu ni kwamba kwa miaka 20 iliyopita Wakristu wamekuwa wakitegemea misaada toka vyombo vya Kikristu, wamejenga mashule, hospital, wamefungua NGO kibao na kadhalika, na hakuna mtu aliyezungumzia kwamba misaada hiyo haitusaidii kitu tena basi kama unakumbuka nilipiga vita swala la Elimu na Afya kuwa mikononi mwa taasisi za kidini hapa hapa JF. Wengi walikanusha na kusema Waislaam nanyi fungueni zenu hakuna mtu anayewakataza.. Leo hii waislaam wamepata chanzo imekuwa swala la nchi yetu haina dini..Je, huko nyuma hamkuliona hilo!

Mkuu bado hujanibu kitu kuhusiana na nchi kama Canada na Switzeland mbona huko hakuna matatizo?...Nchi zote zilizokwisha jiunga na OIC toka 70's mbona hakuna matatizo iweje sisi tushikilie hili kwa kutumia hadithi za kufikirika!
Je, unaweza kunipa nchi hata moja ambayo imepata matatizo kutokana na OIC ama serikali kukubali kundi moja la jamii fulani kujiunga na chombo chao cha kimataifa..Hamtaki wala kusikia!
Nipe mfano haya maswala mengine tutayaacha nje...Kwani tukianza kuzungumzia Faida za OIC sidhani kama waislaam waliulizwa faida za vyombo vya kikristu kuingia nchini na Diplomatic visa wakati waislaam wanapanga msululu bungeni kukubaliwa hoja zao.

Interested Observer,
Mkuu unachosema ni kweli kabisa lakini kwa nini leo hii ndio tunajiuliza yote haya wakati siku zote vyombo vya kikristu vilikuwa vinaingia nchini kusaidia wakristu na hiyo hiyo misaada!.. leo chombo kimoja tu kwa waislaam imekuwa issue wakati kuna zaidi ya vyombo kumi kama NGOs zilizopo nchini kwa maslahi ya wakristu....
kama kweli tunaona hakuna faida basi vyombo vyote vya misaada kwa dini viondoke nchini..Tanzania hatuhitaji tena misaada iwe ni kwa dini na watu wote na sio kundi fulani tu..

On this I am neutral, and I cannot be biased; Mashirika ya wakristu yaliyowasaidia wakristu au Tanzania hayakuwa na masharti ya Nchi kujiunga na Mashirika yao. Ubishi hapa unakuja ati OIC inavyotaka Nchi mwanachama ijiunge kwa masharti yao. In case this organization is real painful with the conditions of poor Tanzanians they can invest or give as long as they are as an organization; why giving conditions to join them? I am neither a christian or islam apologist on this; I think it is not a priority for us to keep our country in dlemma because of this issue. We have many priorities and we have many donors as optionals to OIC as Tanzanians. We need our unity, we need to preach hardwork; not handouts. It is not the question of religion; all these we are either inheritting from our parents or a choice in nature. You can change your religion as you want but we cannot change our Africaness. Our country first, our unity first.

Ni kweli kabisa vyombo vyote vya misaada vingeoondoka Nchini; lakini, kwa hivi tulivyo hatuwezi kuishi bila misaada, kwa sababu toka kiongozi Mkuu (rais) hadi masikini wa mwisho hutegemea misaada. Hii ndiyo laana yetu; maana hapa tunataka hata kupigana ngumi kugombea kile ambacho inabidi tupewe. Shame on us and shame on the top leadership of this country!!
 
Field Marshall ES,
Mkuu unaona hatari yenyewe!.. yaani Membe waziri wa Mambo ya nje ya nchi nzima alikwenda kwa MAASKOFU kuwaomba msamaha..hii ni hatari kubwa sana..Huoni kama hapa hili swala limekuwa la wakristu badala ya Waislaam. ndicho nachopigia kelele mkuu wangu..Hao Maaskofu kinachowatisha ni kitu gani kwani nchi yetu inaendeshwa kwa misingi ya kikristu?.. Huyo Membe kenda kuomba radhi kwa sababu gani!


Hili swala si la waislamu ama wakristo na ingekuwa hivyo tu jibu lake lingekuwa rahisi sana. Ni swala la watanzania wote kwa sababu inayoburuzwa kuingia IOC ni Tanzania kama nchi na si waislamu peke yao. Waislamu wana ruhusa la kufanya lolote watakalo ndani ya katiba na si knyume cha hapo.


Kuna watu wanauliza kuhusiana na OIC kuwa haiwezi kutusaidia, ajabu ni kwamba kwa miaka 20 iliyopita Wakristu wamekuwa wakitegemea misaada toka vyombo vya Kikristu, wamejenga mashule, hospital, wamefungua NGO kibao na kadhalika, na hakuna mtu aliyezungumzia kwamba misaada hiyo haitusaidii kitu tena basi kama

Toka lini Tanzania imekuwa mwanachama wa vyombo hivi vya kikristo. Na siku ambayo Tanzania kama nchi itakapotakiwa ijiunge na chombo chochote cha kidini kama WCC kwa mfano, nitakuwa msitari wa mbele kupinga kama ninavyopinga Tanzania kujiunga na OIC.

Mkuu bado hujanibu kitu kuhusiana na nchi kama Canada na Switzeland mbona huko hakuna matatizo?...Nchi zote zilizokwisha jiunga na OIC toka 70's mbona hakuna matatizo iweje sisi tushikilie hili kwa kutumia hadithi za kufikirika! Je, unaweza kunipa nchi hata moja ambayo imepata matatizo kutokana na OIC ama serikali kukubali kundi moja la jamii fulani kujiunga na chombo chao cha kimataifa..Hamtaki wala kusikia!
Nipe mfano haya maswala mengine tutayaacha nje.

Mkandara tatizo la kuwa mdini sana ni kuwa hekima huwekwa kando na jazba hutawala mjadala. Hivi kweli unataka tuwe tunaiga yanayofanyika nchi zingine bila kufuata katiba yetu. Canada ndoa za mashoga zinaruhusiwa na wanaishi bila matatizo, je unaonaje na sisi tukiruhusu. Je yataleta madhara gani kwa wengine tusioukubali ushoga. Uganda kwa mfano ingekuwa imeshajitoa lakini inabanwa na mkataba kwa kuwa iliingizwa na Al Haj Idi Amin kimabavu.

Kwani tukianza kuzungumzia Faida za OIC sidhani kama waislaam waliulizwa faida za vyombo vya kikristu kuingia nchini na Diplomatic visa wakati waislaam wanapanga msululu bungeni kukubaliwa hoja zao.

Coming from a person of your caliber this is a disgrace. Sikujua diplomatic visa Tanzania zinatolewa kwa misingi ya dini na pia sidhani kuwa dawa yake kama ipo ni kujiunga na OIC. Umewaita wapinzani wako kuwa wanatawaliwa na jazba lakini matamko yako kama haya yanatoa jibu sahihi ziliko pumba.
 
MpiganajiNambaMoja,
Mkuu hizo mahakama za ndoa hata waislaam wanazo tatizo kubwa ni maamuzi ya mahakama hizi kuhusiana mirathi na kadhalika..Wakristu tayari sheria zao zipo ktk katiba na ndizo tunazotumia leo hii, kumbuka sheria zetu nyingi ni urithi wa mkoloni Muingereza.
Binafsi, sikubaliani na mahakama ya Kadhi kwa sababu Waislaam wengi ndoa zao hazikufuata sheria za dini. Watu wameoa kwa kufuata mila zaidi ya sharia na hata Wakristu wenyewe wamefunga ndoa kidini lakini wana wake zaidi ya mmoja na pengine hata taraka zimetolewa kiholela..
Kwa hiyo utaweza vipi kuhukumu mirathi ikiwa wahusika wenyewe hawakufuata sheria za ndoa to begin with!..
Kuna waoto walizaliwa nje ya ndoa hawa watakosa haki zao!..
Kuna mshikaji wangu mmoja mhuni tu alinambia kwamba dini zote kamba tu.. nikamuuliza kwa nini anasema hivyo akaniuliza maswali mawili tu..
1. Ni wapi katika Biblia ama Msahafu kumezungumzia kubaka watoto wadogo ni dhambi?
2. Ni wapi kati vitabu hivyo hivyo kumezungumzia Rape kama ni dhambi?..
Mkuu kwa sababu elimu yangui ndogo nilibaki domo wazi... Kwa hiyo tusitake kutafuta sababu ama vigezo nje ya mazingira tuliyokuwa nayo bali tujaribu kukabiri matatizo jinsi yanavyokuja na tusipende sana kutumia dini kama sababu za kukataa Ukweli..

Mkulu... naomba kutoka nje ya mada ya thread hii kidogo.... Si kweli kwamba Biblia haijakataza kubaka watoto/rape. Biblia iko totally against those sins.... from the beginning to the end!
 
Mag3,

Mkuu kila napoandika mnageuza issue na kuijengea hoja. Kuna vitu vingi sana tofauti kati ya Wakristu na waislaam. Mfano waislaam wanatruhusiwa kuoa wake zaidi ya mmoja na serikali inatambua ndoa zao wakati hakuna mtu anayedai kutazama wakristu wanaendesha vipi ndoa zao kutoa hukumu kwa Waislaam. jamani ndio sababu nyie Wakristu na mimi Muislaam..jaribuni kulitazama swala kwa misingi nje ya dini..

Ni katika mfumo huo huo ndio tunaweza kutazama maswala ya Waislaam kulingana na mfumo wao. Nitarudia tena ikiwa kama kweli hii ndio sababu ilikuwaje mkaitalia Zanzibar ilipotaka kujiunga na lisingekuwa swala la Taifa zima kama madai yenu yalivyopindishwa leo!.. Nini hasa sababu ya kuwakatalia Zanzibar!
Nitarudia kusema Quebec ni sehemu ya Canada na kwa population ina asilimia chini ya 20 ya Population yote lakini wamejiunga na shirikisho la nchi za Kifaransa kwa masharti ya Jumuiya hiyo na hakuna sehemu nyingine yoyote Canada imelazimishwa kufuata masharti hayo..Tumetazama list nzima ya nchi ambazo zimejiunga na OIC toka miaka ya 70 hakuna nchi hata moja imelazimika kubadilisha katiba yake kukidhi masharti ya OIC iweje leo hoja yenu itumike kwa Tanzania pekee wakati sisi sio nchi ya kwanza?.

Mkuu ikiwa kuna nafasi ya Ajira inayohitaji MA lakini wewe una BA na umekubaliwa kujiunga na shirika hilo.. kwa nini tena tunarusha swali la kuhoji masharti ya kujiunga kuhusiana na MA hali umekwisha kubaliwa ukiwa na BA yako. Hakuna mahala umeambiwa ni lazima uwe na MA baada ya kujiunga..OIC inafahamu Tanzania sio nchi ya Waislaam na tumekubaliwa.. sasa haya maswali ya sisi kubadilika yanatoka wapi?..

Swala hapa sio masharti ya kujiunga ila ni masharti ya utendaji kazi.. vyombo vyenu vimeingia nchi utadhani wana diplomatic visa wakati waislaam imekuwa lazima swala lao liopitie bungeni na kutungiwa sheria. Imetokea toka kuvunjwa kwa chombo chao kuundwa Bakwata, swala la mahakama ya kadhi mnaliweka kuwa swala la taifa wakati ni nyie mnaodai waislaam wafanye mambo yao..Ni yapi hayo yanayokubalika bila mkono wa serikali?
Kuna direct contact kati ya serikali na taasisi ya Vatican kiasi kwamba wana mkono ndani ya maamuzi mengi ya serikali yetu..
Sasa katika kuwaweka kona waislaam na vyombo vyao mlitaka Waislaam wafuate hatua gani? labda nambieni nyie nipate kuelewa.. Waislaam wafanye nini ktk mazingira haya ambayo yamejengwa kuhakikisha kila wanachokifanya lazima kiwe ktk rada..

Unajua mkuu kila naposoma maelezo yenu nashindwa kabisa kuelewa..yaani mnazunguka huku na kule itafikiria Marekani wanavyowasumba watu weusi..Kumbuka tu Waislaam hawawezi kuiga mfumo wa kikristu, wana mfumo wao ambao ndio msingi wa dini hiyo kukubalika nchini iweje wakitaka kufanya jambo ni lazima mtazame mfumo wa kikristu..Kwa nini msiwatazame waislaam kama walivyo..
Mkuu ni kama ktk ndoa..Katika taratibu za kabila yenu (ukristu) sio lazima kuomba ruksa kwa mzazi, waislaam ni lazima waombe ruksa iweje nyie mtumie kuomba huko kuwa ni sababu ya kuihusisha familia yote wakati inajulikana kabisa kuwa ndoa ni kati na mume na mke!..Masharti yanayotolewa na ndoa moja hayawezi kuwa sawa na ndoa iliyotangulia kikubwa cha kuangalia ni Je, mume ameridhia..Kama ni swala la familia nzima kuhusishwa hata ndoa isiyokuwa na maombi inawahusu wazazi wote pande mbili..
Kufunguliwa kwa Taasisi za Kikristu nchini kumejenga hofu ambayo nyie mnaikataa toka OIC wakati waislaam wanaishi kwa masharti hayo kila siku ya maisha yao..
nachokuombeni ni jaribuni kuigeuza shilingi hiyo na kuitazama upande wa pili..
 
Macho_mdiliko,
Mkuu sikusema hakuna ktk vitabu isipokuwa mimi sijui, elimu yangu ndogo ktk maswala hayo toka vitabu vyote viwili. Na huyu mhuni alitumia maswali hayo akijua pengine hakuna na ndio maana nikalileta kwenu...mimi sina clue kabisaaa na kweli ni maswala nyeti sana.
Nakuomba sana nipe sura inayoizungumzia ubakaji wa watoto na rape utakuwa umenisaidia sana..
Kisha sababu hasa ya kuunganisha na mada hii ilikuwa kwamba sio lazima kila kitu kiwepo ktk katiba ili tuweze kuona mabaya ya kitu fulani... Tusipende sana kutumia vitabu ikiwa hata vitabu vikubwa vya dini kama Kuran na Biblia haikutaja mambo yote, kutotajwa kwa mabo hayo haina maana vitu hivyo ni halali...
 
Membe opened a Pandora Box!Wao wenyewe they are contradicting each other!
Lets sit back and see how they get themselves out of this mess!
One can not try to ride two horses moving in different directions, as to try to maintain in equal force two opposing or contradictory sets of desires.

JF kwa vichwa bwana, yaani sometimes unaweza kufikiri umevimaliza kuvihesabu, kumbe ndio kwanza vinaibuka, Saafi sana mkulu keep it up na ni muhimu hii ikafika kwenye meza zao by Monday!
 
JF kwa vichwa bwana, yaani sometimes unaweza kufikiri umevimaliza kuvihesabu, kumbe ndio kwanza vinaibuka, Saafi sana mkulu keep it up na ni muhimu hii ikafika kwenye meza zao by Monday!

Baada kumsikia JK jana na habari ambazo ninazo ukweli ni kwamba jana JK aliizika hoja ya OIC rasmi ila kazi kubwa inakuja kama wao kama CCM walitoa ahadi juu ya Kadhi na OIC basi wanajimaliza ila hakuna tena litakalo endelea.Mwachieni Membe na kampuni yake nasi tuendelee na mengine .
JK anajua hatuhitaji kabisa kabisa OIC wala Waislam wa Tanzania hawamhitaji Kadhi.
 
Mimi kama muislamu katika uchunguzi wangu nimegundua nchi zote zenye idadi ya wakristo na waislamu inayo karibiana suala la IOC linakua na malumbano na mvutano mkubwa e.g Naigeria.Katika nchi ambayo wakristo ni wengi sana hawalioni swala hili kama ni baya sana kwakua wana 'numerical safety'.Katika nchi ambazo waislamu ni wengi sana hili swala linaonekana 'inevitable'.Kwa Tanzania sidhani kujiunga na IOC ni kuzuri.Kuhusu Kadhi mi naona itakua vizuri kama hii itakuwepo kisheria lakini serikali isihusike kuigharamia na jukumu hili liwe la waislamu.
 
..hili suala liamuliwe mara moja.

..Waziri Membe asingetoa matamshi yale kama utafiti wa suala hili ulikuwa haujamalizika.

..Naibu Waziri Seif Iddi naye awahi kutoa matamshi yanayoashiria mwelelekeo wa uamuzi wa serikali kuhusu suala hili.

..yaani nashangaa sana jinsi Raisi Kikwete anavyojiuma-uma kuhusu suala la OIC. he is supposed to be more informed kuhusu OIC kuliko Benard Membe na Seif Iddi. this issue sat on his desk for 10 yrs when he was our foreign minister.

..the government should make a move without any delays. kuendelea kuchelewa ndivyo makundi pinzani[ pro-OIC && anti-OIC] yanavyozidi kujikita na kujichimbia ktk mitizamo yao na kusababisha mpasuku miongoni mwa jamii yetu.

..tumekaa tukilumbana kwa muda mrefu sana. uamuzi uchukuliwe ili wananchi tuingie ktk hatua nyingine ya ku-RECONCILE na uamuzi utakachukuliwa.
 
Lunyungu,
JK anajua hatuhitaji kabisa kabisa OIC wala Waislam wa Tanzania hawamhitaji Kadhi
Mkuu hapa umesema.. Mimi naamini kabisa kuwa maswala ya Waislaam waachiwe waislaam hata kama kuna mkono wa serikali. Iwe kitu kama referendum vile lakini mtu wa nje kuingilia kati wakati haimuhusu kabisa inanishangaza nikielewa kwamba mifumo yetu ni tofauti kabisa!.
Mimi binafsi sioni sababu kabisa ya Waislaam kuingilia mambo ya Wakristu hata chembe lakini serikali inaweza kuhusishwa kwa sababu wahusika ni raia wake..
 
Macho_mdiliko,
Mkuu sikusema hakuna ktk vitabu isipokuwa mimi sijui, elimu yangu ndogo ktk maswala hayo toka vitabu vyote viwili. Na huyu mhuni alitumia maswali hayo akijua pengine hakuna na ndio maana nikalileta kwenu...mimi sina clue kabisaaa na kweli ni maswala nyeti sana.
Nakuomba sana nipe sura inayoizungumzia ubakaji wa watoto na rape utakuwa umenisaidia sana..
Kisha sababu hasa ya kuunganisha na mada hii ilikuwa kwamba sio lazima kila kitu kiwepo ktk katiba ili tuweze kuona mabaya ya kitu fulani... Tusipende sana kutumia vitabu ikiwa hata vitabu vikubwa vya dini kama Kuran na Biblia haikutaja mambo yote, kutotajwa kwa mabo hayo haina maana vitu hivyo ni halali...

Book of Deuteronomy in the wholly Bible

Author: Moses, wrote the Book of Deuteronomy, which is in fact a collection of his sermons to Israel just before they crossed the Jordan
Source: http://www.gotquestions.org/Book-of-Deuteronomy.html

Purpose of Writing: A new generation of Israelites was about to enter the Promised Land. This multitude had not experienced the miracle at the Red Sea or heard the law given at Sinai, and they were about to enter a new land with many dangers and temptations. The book of Deuteronomy was given to remind them of God's law and God's power.
Source: http://www.gotquestions.org/Book-of-Deuteronomy.html

From the Book of Deuteronomy 22:25-28: "But if in the field the man finds the girl who is engaged, and the man forces her and lies with her, then only the man who lies with her shall die. 26"But you shall do nothing to the girl; there is no sin in the girl worthy of death, for just as a man rises against his neighbor and murders him, so is this case. 27"When he found her in the field, the engaged girl cried out, but there was no one to save her,"
Source: Wholly bible
 
Lakini Kuna waislamu humu - Ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na naamini kuwa Taifa ni watu-sio mbuga za wanyama , migodi ya dhahabu au miti ya mikarafuu. Kama ni Taifa kwa nini lisijali maslahi ya watu wenye hilo Taifa?

Mkuu wangu heshima mbele, mimi ninaheshimu sana dini za wananchi wenzangu, na naomba uniamini kwamba marafiki wangu wengi wa karibu huwa ni Waisilamu, nikiwa NY nimesaidia sana ndugu wabongo wenzangu waliokwama pa kulala na chakula, na hata kuwatafutia kazi mpaka walipoweza kusimama wenyewe kwa miguu yao,

infact mmoja wao nilimkuta kwenye Subway akiwa hana pa kulala bali analala kwenye hilo treni for at least one month, to the time nilipomkuta, na 95% yao hawa ndugu zangu walipofanikiwa tu nikalipwa mateke, the matter of fact nikiwa na mmoja wao siku moja tulivunjiwa tukaibiwa lakini vilibiwa vitu vyangu tu lakini sio vyake na tukow awili tu kwenye apartment, My point sio kujigamba ila kukufahamisha how sensitive we are kama binadamu, na kwamba na sisi at the end of the day ni binadam pia,

Lakini hapa mbele yetu, kwenye hili la kujiunga na OIC huenda tunaongelea moja ya sababu muhimu ya kuwepo kwetu hapa JF, yaani uchungu wa Taifa letu it is about my nation baby which happens to be yours too, I respect that kwamba mimi na wewe ni wananchi wa taifa moja, na tunaweza kujadili kwa upeo na mapana, bila noma.

Siku ya kwanza tu niliposikia tu hizi habari, nilizungumza na viongozi wetu wengi sana, na kati ya viongozi karibu wote nilioongea nao hiyo siku, kuna mmoja ambaye yuko kwenye Jumuiya moja ya kimataifa ambaye aliwahi kuwa foreign na anaijua hii ishu kwa mapana na marefu, yeye ndiye aliyenifungua macho zaidi kwa kuniwekea karata zote za pande mbili mezani ili niamue mwenyewe kusuka au kunyoa,

Ninaomba nirudie tena kwamba sina ubaya na mwananchi yoyote wa upande wa pili wa this ishu, sina tatizo na mwananchi yoyote wa dini tofauti na yangu, lakini hapa kuna taifa letu, na hii ni ishu moja kati ya chache sana ninayokubaliana na Mwalimu, Baba wa Taifa kwamba sisi Tanzania kwa sababu sio taifa la Kiisilamu, hatuwezi kujiunga na shirika la dini ya Kiisilamu.

Na ninaomba nirudie kwamba kwenye hili I make no bones about it, ni kwamba ninafanya kazi around the clock kwa kutumia kila nguvu niliyonayo mwilini mwangu, ku-reach out kwa anybody ambaye ni politically influencial or connected ninayewaza kumfikia in our nation, kuwaomba kwamba waelewe msimamo wa baadhi ya sisi wananchi wa Tanzania. Hii safari ndefu sana imenifikisha mpaka kwa baadhi ya Wakuu wa wilaya na tarafa, madiwani, RCs na the rest, kwa sababu kwangu hakuna tena ishu nzito katika our time kama hiii.

Ninarudia tena siamini kabisa kwamba behind hii ishu kunaweza kua na any national debate kuanzia level za intellectualism, academism, ideologism, religionism au politically! It is just what it is kwamba ninaamini kuwa shirika la Kiisilamu linatakiwa kuwa na members ambao ni pure Islams, Tanzania we are not!

Ahsante Ndugu Zangu Wote na Hapa ninaweka Chini Kalamu, Back To Work.
 
Field Marshall Es,

Mkuu umezungumza mengi lakini ndugu yangu unakosea sana.. Umewasaidia watu wale sio kwa sababu ni Waislaam na unapoweka hoja ya Uislaam kutangulia inaonyesha wazi ulikuwa ukifikiria dini zao unapotoa huduma zako....

Pili, mfano wangu hapo juu ni wazi kabisa na umeshindwa kunijibu kuhusina na nchi za Canada na Swiss..sijui kama wao hawana uchungu na nchi zao.
Nitarudia hivi, sisi sote ni famiilia moja (Watanzania) kwa bahati mbaya ama nzuri ni jinsia mbili tofauti. Kwa hiyo kimila imetokea kuwepo na tofauti za malezi Ukristu kama mtoto wa kiume anaruhusiwa kuingia na vimwana nyumbani bila kuulizwa kitu lakini Waislaam kama mtoto wa kike hana ruhusa hiyo..
Imefikia huyu binti (dada yako) kupata boyfriend ama mume unataka afanye kama watoto wa kiume yaani ajimwage tu, mara unamchambua mume kwa vigezo ambavyo havina madhara kwake, kwao wala familia..basi tu chuki kwa sababu ya aidha kabila lake. wakati huo huo unadai huna ubaguzi wa kabila..
Nina kubali kabisa kuwa unajali maslahi ya Taifa, laa sivyo usingekuwepo hapa JF..kulingana na mfano wangu kweli unajali familia yako lakini mkuu huwezi kutumia vigezo vyako kama mwanamme kuviweka kwa dada yako ambaye hamfanani kijinsia. Mtazame dada yako kama mwanamke kisha jenga hoja zinazolingana naye ili dada yako apate kukuelewa.
Lakini unapoonyesha kuwa ndoa yake ni kama vile wewe pia utakuwa mke na kuathirika mahusiano kati yenu hapo ndipo nashindwa kuelewa! mawili aidha unamtaka wewe dada yako ama ndio Udikteta humtakii mema..
 
Mkuu umezungumza mengi lakini ndugu yangu unakosea sana.. Umewasaidia watu wale sio kwa sababu ni Waislaam na unapoweka hoja ya Uislaam kutangulia inaonyesha wazi ulikuwa ukifikiria dini zao unapotoa huduma zako....

Hapana ni lazima tukumbushane kua sisi ndugu moja na tunatoka kwenye ukurasa mmoja, hayo ya dini ni lazima in one way or another uya-notice katika process ya kusaidiana hata kama huyataki au huyajali, na in some cases yalikuwa chanzo cha some concerns, lakini not much of a big deal lakini yes they were there.

Na ninaomba nisikudanganye ni kuwa katika uchunguzi wangu wa hii ishu huko kwa viongozi, niligundua kua hata sometimes ago tulikua tukichukua some "misadaa" kutoka huko OIC, I mean kuna mengi sana ambayo hawa viongozi hawasemi.

Ndio maana sasa tunatka kila kitu kiwe wazi kwa kila mwananchi, kwa kweli naomba unisamehe kwamba kwenye hili ishu la OIC, yaani mifano ya mataifa mingine siioni kabisaa, smahani sana kwa hilo, ninaliona taifa langu ambalo letu na wewe pia.
 
Back
Top Bottom