Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Yale yale ya Field Marshal Idi Amin Dada, conqueror of the British Empire and man-eater. Mmmh ! Hapa dawa ni kuzaa kwa ari, kasi na nguvu mpya ili kuongezeka na kutapakaa kila kona ya Tanzania halafu njia ya kuingia OIC itakuwa nyeupee!! Tujiepushe tu na ukimwi.

.

teh teh teh

Dah, ukikenua utaambiwa umecheka, lakini potelea mbali i will just smile


KWI KWI KWI..
 
hawa waislamu nao!!

UK’s first official sharia courts



Mkuu does that justify Tanzania kuwa na kadhi? If it does, then I think we should aldo do this

New York is set to recognize same-sex marriages performed in other parts of the United States...

Earlier this month, California's top court ruled that a state law banning marriage between same-sex couples was unconstitutional...


In its ruling, the California Supreme Court said the "right to form a family relationship" applied to all Californians regardless of sexuality.

Source BBC, May 2008.

Kama huko ni mbali tunaweza kuiga South Africa... I mean sio kila kitu ambacho Uingereza, et al wanafanya ni sahihi kwetu.


Teh teh teh, leo sikuwa na hamu ya kuandika chochote lakini hii yako ni kali mno imenichekesha na kunifanya nitambue fikra yako ilipo.

Hilo la kuiga New York na California kwa utovu wa nidhamu ya maadili ya kiasili(hata ukiweka udini pembeni) watanzania sote pamoja tutalipinga ila kama itakuwa ni sehemu ya ibada yenu pasi tutaendelea kunung'unika na kulipigia kelele ila hatutawalazimisha kutoka katika ibada yenu.
Suala la Kadhi ni la ibada sio jambo la khiyari, waislam tulinyima haki ya kuabudu kwenye ibada ya Ndoa, Talaka, Miirathi na haki zingine mbalimbali.
 
Nadhani hili si gumu, hizo Mahakama Uingereza zinagharimiwa na nani?

Hapo ndo pa msingi, kwanini wanataka mahakama ya Kidini agaramiwe na serikali isiyo na dini?

Kama ni ya dini basi igaramiwe na dini husika! vinginevyo kila dhehebu likiibuka na kudai mahakama yake ambayo inatakiwa igaramiwe na serikali sijui tutaishia wapi?

Lakini pia Vipi hiyo mhakama itakubali kuajiri hakimu wasio waislamu? je huo siyo ubaguzi wa kutengeneza ajira kwa manufaa ya kikundi fulani tu? Kwakeli kama kuanzisha ni kivyao vyao si kwa kodi zetu!
 
Unajua kuna mambo mengi sana japo mengine utayaona ni madogo madogo lakini wenzetu wamekuwa wakitumia kwa makusudio maalum kuwabagua waislam na hasa wale walio waumini.
Nitakupa moja dogo ili kukupanua upeo wa kuoni ni jinsi gani mambo yameandaliwa kiustadi ili kumbagua muislam, angalia taarifa za Habari katika Redio na TV, zimeandaliwa maalum waumini wa kiislam wasiweze kuziona/kuzisikia. angalia timings zimepangwa muda ambao muumini atakuwa msikitini. ya saa nne asubuhi ili aipate maana yake asifanye kazi na ya saa nne/tano usiku ili asilale mapema ila achelewe swala ya Alfajiri. kwa wepesi unaweza kuona si jambo zitu lakini limefanywa strategically. ah kwani taarifa ya habari inaumuhimu gani????. ila wangeweza kupanga muda tofauti na wa swala kwa mfano saa sita mchana saa tisa alasiri saa moja usiku na saa tatu usiku. yapo mengi ila leo niko hapa tu ilikukufahamisheni kwamba hata mambo madogo ambayo hayaonekani umuhimu wao wanayafanyia mkakati.
 
MImi na swali ni misaada gani ambayo hatutapata mpaka tujiunge na shirikisho la kidini?
 
Unajua kuna mambo mengi sana japo mengine utayaona ni madogo madogo lakini wenzetu wamekuwa wakitumia kwa makusudio maalum kuwabagua waislam na hasa wale walio waumini.
Nitakupa moja dogo ili kukupanua upeo wa kuoni ni jinsi gani mambo yameandaliwa kiustadi ili kumbagua muislam, angalia taarifa za Habari katika Redio na TV, zimeandaliwa maalum waumini wa kiislam wasiweze kuziona/kuzisikia. angalia timings zimepangwa muda ambao muumini atakuwa msikitini. ya saa nne asubuhi ili aipate maana yake asifanye kazi na ya saa nne/tano usiku ili asilale mapema ila achelewe swala ya Alfajiri. kwa wepesi unaweza kuona si jambo zitu lakini limefanywa strategically. ah kwani taarifa ya habari inaumuhimu gani????. ila wangeweza kupanga muda tofauti na wa swala kwa mfano saa sita mchana saa tisa alasiri saa moja usiku na saa tatu usiku. yapo mengi ila leo niko hapa tu ilikukufahamisheni kwamba hata mambo madogo ambayo hayaonekani umuhimu wao wanayafanyia mkakati.

Dah, kwa hiyo timetable ya taarifa za habari zinalenga kuwakomoa waswahilina?

Sitii neno zaidi..hakika tunao mwendo huko tuendako..

So sad.
 
Hapo ndo pa msingi, kwanini wanataka mahakama ya Kidini agaramiwe na serikali isiyo na dini?

Kama ni ya dini basi igaramiwe na dini husika! vinginevyo kila dhehebu likiibuka na kudai mahakama yake ambayo inatakiwa igaramiwe na serikali sijui tutaishia wapi?

Lakini pia Vipi hiyo mhakama itakubali kuajiri hakimu wasio waislamu? je huo siyo ubaguzi wa kutengeneza ajira kwa manufaa ya kikundi fulani tu? Kwakeli kama kuanzisha ni kivyao vyao si kwa kodi zetu!

Hapa sio suala la kila dhehebu kuwa na mahakama, hakuna dhehebu wala dini nyingine isiokuwa uislam yenye sheria moja kwa umma wote. Uislam ni mfumo unaohusisha maisha yote kwa ujumla wake, tunayo madhehebi yetu lakini madhehebi yote hayatakuwa na sheria tofauti kwasababu waislam wote duniani tuansheria moja(japo wasiokuwa waislam wanajitahidi kutugawanya na kutufanya tujione sisi si wamoja) sasa woga wa wasio waislam ni kuwa kama tutaunganishwa na kadhi katika Mahkama na sheria basi inaweza kuongeza umoja wa waislam.
 
Waislamu wenye msimamo wa wastani leo wanacheza karata yao ya mwisho katika kuwafnya wapinzani wa maendeleo ya Uislamu na Waislamu watambue kuwa nyuma yao kuna watu wasio na subira na uvumilivu kama walivyo wao.

Na kwamba serikali ikionesha kwamba inatawaliwa na maaskofu na sio rais na wabunge waliochaguliwa na wananchi basi patakuwa na maswali mengi sana ya kujibiwa na CCM na serikali yake katika siku zijazo....

Maswali hayo ni pamoja na kama serikali sasa imeachia Maaskofu kuwa ndio viongozi wa nchi na waandaaji maamuzi yote; kuzuiwa kwa misaada ya Waislamu kwa kisingizio cha Ugaidi; serikali, chama tawala na makanisa kupeana fedha kwa njia zisizoeleweka; wakiristo kuendelea kuwa wengi katika nafasi mbalimbali za serikali na kanisa kutumia mahospitali na huduma zake nyingine kusambaza virusi vinavyowafanya watu wauchukie Uislamu!

Waislamu kwa miaka mingi wamekuwa wapole na wasiotaka shari dhidi ya Wakiristo hapa nchini. Lakini kwa hivi sasa inaelekea uvumilivu wao unafikia kikomo baada ya kuona kwamba kila wanachotaka kukifanya kwa kurahisisha maendeleo ya Uislamu na Waislamu kinatiliwa fitina na wasio waislamu kwa nia mbaya tu na sio nzuri, hususan kuhakikisha kuwa Waislamu hapa nchini wanakuwa watu wa daraja la pili kama sio la tatu.

La kusikitisha ni kwamba kwa hivi sasa maaskofu wamefikia kiwango cha kuipindisha na kupotosha katiba na kutoa tafisiri potofu ya madhumuni ya Ofisi ya Kadhi na Tanzania kujiunga na OIC. Taasisi ambayo nchi kadhaa za Afrika Magharibi na Mashariki ambazo zina raia wakiristo wengi kuliko waislamu ni wanachama.

Hii ni pamoja na kifungu cha katiba kinachozungumzia uhuru wa kuabudu ambao sasa wao wamegeuza ni uhuru wa kutokuabudu.

Kwa mujibu wa Chief Cadh (Kadhi Mkuu) wa Kenya aliyehojiwa na Radio Kheri jana Mahama ya kadhi Kenya inafanya kazi bila bughudha Kenya wala kuingilia watu wa dini zingine na kwamba mahakama hiyo iko chini ya Wizara ya Sheria ya nchi hiyo kama zilivyo mahakama nyingine ya nchi hiyo na wakiristo hawalalamiki kwa mahakama hiyo kupewa bajeti na serikali kwani ni kiasi kilekile kinachotumika kupunguzia mahakama za kisekula mzigo wa kesi mahakamani.
Ndugu yangu,

Unaandika mambo kama "kasuku" aliyenyeshewa mvua ya mawe. Sijui kama umetumia hata chembe ya ubongo kuandika hicho ulichoandika. Mimi nadhani ukosefu wa elimu ndiyo unaokusumbua na hili ndilo tatizo lenu ninyi mnajiita fundamentalists wa kiislamu. Pamoja na elimu yenu ya kiimani ebu geukieni na elimu dunia ili muweze kuongea ya maana.

Kila ninaposoma hoja zinazounga kuanzisha mahakama ya kadhi au kujiunga na OIC napata hata kichefuchefu. Sioni la maana linalong'ang'aniwa zaidi ya misaada. Ni viinchi vingapi vilivyojiunga na OIC huko Afrika Magharibi tangu uhuru wao na sasa ni tajiri? Kitu kingine mnachoniudhi ni kukimbilia kuiga mambo bila kujua mnaowaiga katiba zao zinasemaje. Acheni ulimbukeni usio na msingi. Mara oooh, wakristo wameshika post kubwa Serikalini, mara sijui nini, nani aliyewaambia mkazanie madrasa badala ya masomo yanayokupa qualification za kushika hizo post. Ninyi endeleeni kusoma madrasa wakati wengine tunaendelea na masomo dunia. Kazi zikitangazwa lazima mtupwe nje maana cheti cha madrasa hakihitajiki. Hili jambo msipoliangia, mtaendelea kulalamika mpaka mwisho wa dunia maana ni la kihistoria. Wakati wakoloni wa kizungu walikuwa wanajenga makanisa, shule na hospitali, ndugu zenu waarabu walikuwa wanajenga misikiti na bahati mbaya mchezo huo mmeendeleza hadi leo. Kalagha baho!!!!

Labda nikufahamishe ndugu yangu jambo moja, ukimya wa wakristo msije mkautafsili vibaya kwamba wanaweza wakachezewachezewa tu. Nchi hii imejengwa kwa msingi imara chini ya uongozi wa Mwalimu Nyerere. Hatutakubali kuharibu misingi yetu eti kwa suala la mahakama ya kadhi au OIC. Tutapambana hadi kieleweke. Kama ni mahakama nani aliyewazuia kuzianzisha? Mbona dini zingine zina mifumo yao ya maamuzi ya kimahakama kwa kufuata taratibu zao bila kuingiliwa na serikali? Kama hamna fedha za kuendesha mahakama zenu si muombe kwa ndugu zenu waarabu wawasaidie kwani lazima fedha zitoke kwenye kodi ya wananchi?

Kwa ufupi maneno uliyoandika ni utumbo tu unaopaswa kutumwa jalalani.

Gosbert
 
Mimi siku zote nasema waislam ni kama mtoto mkorofi hata awe na glasi ya maziwa mkononi atalia tu
Leo hii bado wanalalamika upendeleo wa nafasi za serikali kwa wakristo,wakati huohuo Rais ni muislam na Makamu wake ni muislam,kitu ambacho hakijawahi kutokea tangia nchi ipate uhuru.Na ingekuwa ni wakristo ndiyo wamezishikilia nafasi hizo kelele zake kutoka kwa ndugu zetu sijui zingekuwaje.Mwanzoni mwa serikali ya awamu ya nne karibu wizara zote nyeti zilishikwa na waislam hata mpaka leo wizara zote ziko balanced kwa watendaji wake kuwa wa kikristo na kiislam,sasa tatizo liko wapi?
Kwanini ndugu zetu nyinyi mnapenda kuwa walalamishi na watu wa kulialia hata kwa vitu ambavyo viko wazi kabisa kwamba ni kinyume na kanuni na taratibu za nchi?
Siri ya kushindana na wakristo ni kusoma tu hakuna kingine.Msikae vijiweni na kupandikizana chuki zisizo kuwa na msingi.Kazaneni kwenye elimu dunia na matokeo yake mtayaona.
 
Hapa sio suala la kila dhehebu kuwa na mahakama, hakuna dhehebu wala dini nyingine isiokuwa uislam yenye sheria moja kwa umma wote. Uislam ni mfumo unaohusisha maisha yote kwa ujumla wake, tunayo madhehebi yetu lakini madhehebi yote hayatakuwa na sheria tofauti kwasababu waislam wote duniani tuansheria moja(japo wasiokuwa waislam wanajitahidi kutugawanya na kutufanya tujione sisi si wamoja) sasa woga wa wasio waislam ni kuwa kama tutaunganishwa na kadhi katika Mahkama na sheria basi inaweza kuongeza umoja wa waislam.

Ndugu kuna jambo moja nimeona niligusie...Kwanza si kweli kwamba kuna watu wanaotaka kuwagawanya waislam...Wao tayari wameshagawanyika na bado wanapigana kwa misingi kama hiyo..Tizama Huko Iraki na Iran....Hawa walizichapa kwa miaka nane...Na ni waislam walioshirikiana na Bush kuivamia Iraki...Na kina Abu Musab Al Zarqawi waliweka wazi kabisa kuwa Shia ni wasaliti wa Uislam na akasema na wao ni target.

Binafsi nachotaka kusema hapa ni kuwa waafrika tutagawanywa sana tu...Hilo halikuanza leo..Kama sio udini utaanzishwa ukabila nk.

Mwarabu na Mzungu tukiwaachia Afrika wataishi kwa amani? Hilo sidhani...Je na wao wanataka kutuachia Afrika yetu? Hilo pia sidhani.

Nachofahamu Afrika ni Tajiri sana...Ila migawanyiko ambayo haiko kwa bahati mbaya inatuangusha na kujikuta tunapiga hatua moja mbele na mbili nyuma.

Kwa mfano ni juzi tu waislam na wakristo walikuja pamoja kwenye issue ya ufisadi..Lakini ghafla hili la OIC likaibuliwa na Membe na kwa kusema ukweli mwisho wake unaweza kupelekea matokeo ya tofauti pale inapokuja kwenye muungano thabiti dhidi ya Ufisadi.

Kabla ya Mzungu na Mwarabu kuja Afrika dini zetu zilikuwa ni nini?
Na kama tuliletewa dini hizi...Ni kivipi zitugawe kiasi hiki?

Jana hapa USA nilienda kwenye ulitility store moja hapa kucheki some stuff for my dreadlocks...Store ni ya familia moja kutoka Egypt...Vijana ndugu wenye store hiyo wakaniuliza nimetokea wapi..Nikawaambia Afrika...Wakawa wanasisitizia Afrika nchi gani...Nikawa nawaambia Afrika na hiyo inatosha...Wao binafsi wakawa wanasema sisi tumetokea huko huko lakini Egypt, baada ya maongezi zaidi nikagunduwa kuwa wao hawaoni kama na wao ni waafrika rather ni wa Egypt.

Sasa kuna Afrika ambayo iko considered kuwa ni middle east..Kwamfano Morrocco, Algeria, Egypt nk...Waislam wao waniziita nchi hizi Masharik...Na magharib ni nchi kama Libya nk.
Sasa ni ramani mpya wanatuchorea Afrika ama?

Je sisi waafrika msimamo wetu bila kujali dini zetu ni upi?
Kwanini sisi watu weusi tuendelee kusikitisha kiasi hiki?

Inanishangaza sana kama tutaendelea kupigania maslahi ya waarabu na wazungu na kusahahu maslahi yetu sisi waafrika ambao tunaujali uafrika wetu.
Nani kasema kuwa kuwategemea hawa watu ndio solution ya matatizo yetu?
Juzi tu hapa tuliambiwa tujiunge na OIC kwasababu ya misaada...Je hao viongozi hawapiti hapa JF na kusikiliza maoni ya wananchi kuwa tatizo sio dini wala misaada bali ni ufisadi?

Hivi kweli viongozi wa Tanzania bila aibu mnadiriki kuwapelekea wananchi hoja kama hizi simply ili kupreserve power na kupata kura?

Ni wazi ccm msamba utapasuka kwasababu mnaendesha serikali kisanii na pia nadhani washauri wa Mh Rais si watanzania kabisa kwasababu hakuna Mtanzania atakayethubutu kuja na sera ya kuwagawa wananchi kama kweli ana fikra za kitanzania ambazo tumejijengea na kuwa mfano bora Afrika.

Ndugu zanguni nilishasema huko nyuma na nitaendelea kusema...Nina uhakika kabisa kuwa kuna waislam na wakristo wanaokubaliana kwenye issue hii kuja na solution itakayo epusha vurugu ama kutokuelewana.

Hivi ndugu zangu waislam mnakubaliana na serikali yetu kuwa ufisadi na umasikini umeenea kwasababu wakristo hawawapendi? Ama kwasababu haki za waislam hazizingatiwi?

Ndio maana JK anafanya analotaka kwasababu anajuwa kabisa ni kivipi atapata kura zake..Lakini sasa hivi wananchi walio wengi wamegunduwa usanii huo wa kulishwa chuki....Hilo linapelekea sana huko uswahilini kuridhika na shida kuliko kupatana na kafiri.

Wale wasiokuwa na elimu ambao ni wengi ni wazi tutawapoteza kwa ccm...Kwasababu kama wanaambiwa kuwa adui yako ni Mkristo...Basi usishangae wakasema kama walivyodai huko nyuma kuwa Mafisadi ndio makafiri....Just imagine kama wakristo na wao wangekuwa na elimu ya dini tu na bila elim dunia...Kungekalika?

Kuhusu maslahi ya Taifa langu nitapigania mpaka mwisho wa pumzi.

I wonder whose playbook all of this shit is comming from...Honestly....Inanikumbushia sana siasa za Karl Rove.

Ama kweli JK alikuja kujifunza politics za division hapa USA.
 
Teh teh teh, leo sikuwa na hamu ya kuandika chochote lakini hii yako ni kali mno imenichekesha na kunifanya nitambue fikra yako ilipo.

Hilo la kuiga New York na California kwa utovu wa nidhamu ya maadili ya kiasili(hata ukiweka udini pembeni) watanzania sote pamoja tutalipinga ila kama itakuwa ni sehemu ya ibada yenu pasi tutaendelea kunung'unika na kulipigia kelele ila hatutawalazimisha kutoka katika ibada yenu.
Suala la Kadhi ni la ibada sio jambo la khiyari, waislam tulinyima haki ya kuabudu kwenye ibada ya Ndoa, Talaka, Miirathi na haki zingine mbalimbali.

Mkuu, utovu wa nidhamu is subjective. Kwa wamarekani ushoga ni haki za binadamu, kwako ni utovu wa nidhamu. Kadhi kwako ni ibada, kwangu mimi ni utovu wa nidhamu, hasa katika secular state...
 
Naona pc yangu ina kirusi.. Ila ntaandika tuu.. That was not originally posted by pingiri... Anyway mwenye posti anajijua.
 
Unajua kuna mambo mengi sana japo mengine utayaona ni madogo madogo lakini wenzetu wamekuwa wakitumia kwa makusudio maalum kuwabagua waislam na hasa wale walio waumini.
Nitakupa moja dogo ili kukupanua upeo wa kuoni ni jinsi gani mambo yameandaliwa kiustadi ili kumbagua muislam, angalia taarifa za Habari katika Redio na TV, zimeandaliwa maalum waumini wa kiislam wasiweze kuziona/kuzisikia. angalia timings zimepangwa muda ambao muumini atakuwa msikitini. ya saa nne asubuhi ili aipate maana yake asifanye kazi na ya saa nne/tano usiku ili asilale mapema ila achelewe swala ya Alfajiri. kwa wepesi unaweza kuona si jambo zitu lakini limefanywa strategically. ah kwani taarifa ya habari inaumuhimu gani????. ila wangeweza kupanga muda tofauti na wa swala kwa mfano saa sita mchana saa tisa alasiri saa moja usiku na saa tatu usiku. yapo mengi ila leo niko hapa tu ilikukufahamisheni kwamba hata mambo madogo ambayo hayaonekani umuhimu wao wanayafanyia mkakati.

Duuh hii kazi kweli kweli. Nilidhani shida ni OIC na Kadhi, kumbe hadi muda??!!
Mkuu, unaonaje ukienda kuishi Saudia..?
 
Hii mada inasema kuhusu waislam wasiokuwa na msimamo mkali...Hao sidhani kama wanataka tubadilishe kila kitu ili kuwa suitiwaislam.

At the other hand...Tatizo hapa ni nani kati ya waislam na wasio waislam atakeyekubaliana kuishi kwa kutumia sheria zetu za nchi yetu na serikali yetu isiyokuwa na dini.

Kwani wale waliomsadia Bush uko Iraki na kwingineko ni wenye msimamo wa kati ama mkali?

Kama ni hivyo basi sioni shida yoyote ya waislam hao wenye msimamo wa wastani kukubaliana kuwa katiba hapa ni muhimu kuliko dini.
 
AMA KWELI TEMBEA UONE, NILIKUWA NAJUA ANGALAU WAISLAMU WASOMI, WENYE UWEZO WA KUJUA DUNIA INAENDAJE WANAWEZA WAKAWAELIMISHA WALE WASIOSOMA.

MNALAZIMISHA WATU WAONGEE VISIVYOONGEKEKA.

Chukua mfano wale ombaomba walioko mitaani , barabara zote kuu DSM , ebu fikiria jinsi wanavyowatumia watoto wadogo kuombaombaomba, watoto hawa walitakiwa wapewe elimu, wafikiriwe maisha yao ya baadae!

Tanzania kama nchi leo bila aibu inawatumia waislamu, kuomba sawa na wale ombaomba wazee wasiojiweza mitaani wanavyowatumia waotot! KICHEKESHO NI KUWA HUYU MUISLAMU ANAFURAHIA HII HALI!!! ANACHEKELEA! KANA KWAMABA AKIPATA MISAADA HII NDIYO ATAKWAMUKA KIUCHUMI!!!, WAKATI MZEE HUYU TZ, ANA MIAKA 40, hajafanya lolote la maana, wakati anaomba kura, tulijua atatumia uwezo wake na akili zake kutupeleka kwenye maisha bora , kwa kutumia rasilimali zetu na uwezo wetu, watu wetu n.k. HATA SIKU MOJA TUFIKIE KUWA NCHI BORA.

HAYA NI MATUSI NDUGU ZANGU WAISLAMU, MATUSI MAKUBWA KUWA UISLAMU , kuwa uislamu NI ALAMA YA UMASKINI TANZANIA!!

BY THE WAY, KWA NINI SERIKALI IINGIE HUKU WATENDAJI WENGI WA SERIKALI NI WAKRISTO? ...MAKAFIR?? NA HIZO HELA ZA OIC ZITAKAZO TOLEWA NA WAISLAMU HUKO...UGHAIBUNI ZIKIJA NCHINI MAKAFIRI HAWA WAKRISTO WATAZILA TU

KWANINI MSITUMIE BAKWATA NA NA VYOMBO VINGINE VYA KIISLAMU ILI MAKAFIRI WASIZIGUSE???

AU DHANA YA UKAFIR HAIKO TENA MBELE YA HELA?????? NA JE MAHAKAMA YA KADHI IKIJA SIO KWAMBA WALE WAISLAMU WENGI WATABADILI DINI?? KWA SABABU WENGI NI MASKINI, WANAISHI KWA KUBABAISHA, KUIBA, RUSHWA N.K( HII NDIYO MAANA YA BONGO ATI) AU NDIYO MAHAKAMA YA KADHI ITAKUWA KWA AJILI YA KUWAHUKUMU WANAWAKE TU!!!!!!!!!!!!, nchi zetu za dunia ya tatu wafuata dini ni wachache sana, majina ya John, juma, musa, paul yasiwatishe wala yasiwaonyeshe kuwa eti waislamu wa kufuata mahakama ya kadhi wako wengi, wengi watahama dini , watabadili majina,

narudia tena

SERIKALI IMEJAA MAKAFIR WENGI SANA, UISLAMU NA FEDHA ZAKE ZITAKUJA NA KUPITIA HUMU?? AU KWA SASA TUFUTE NENO KAFIR??



BAKWATA MKO WAPI?, MBONA UISLAMU UNATUKANWA NAMNA HII, BAADA YA OIC, MTAENDA WAPI??

waberoya
 
Hapa sio suala la kila dhehebu kuwa na mahakama, hakuna dhehebu wala dini nyingine isiokuwa uislam yenye sheria moja kwa umma wote. Uislam ni mfumo unaohusisha maisha yote kwa ujumla wake, tunayo madhehebi yetu lakini madhehebi yote hayatakuwa na sheria tofauti kwasababu waislam wote duniani tuansheria moja(japo wasiokuwa waislam wanajitahidi kutugawanya na kutufanya tujione sisi si wamoja) sasa woga wa wasio waislam ni kuwa kama tutaunganishwa na kadhi katika Mahkama na sheria basi inaweza kuongeza umoja wa waislam.



..you are wasting your time bother...kama vipi unataka sana OIC au hayo unayoyataka nakushauri hamia YEMEN....mnayoyataka hayatakaa yafanikiwe hapa ...bro............we are a secular state ...and will remain...
 


..you are wasting your time bother...kama vipi unataka sana OIC au hayo unayoyataka nakushauri hamia YEMEN....mnayoyataka hayatakaa yafanikiwe hapa ...bro............we are a circular state ...and will remain...

Secular State!
 
wanaofikiri tanzania inaweza kujiunga na OIC au MAHAKAMA YA KADHI wanaota ndoto za mchana...THAT WILL NEVER HAPPEN HERE ..........
 
Back
Top Bottom