Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Asilimia kubwa ya nchi hii ni Waislam, yani Tanzania Bara na Visiwani kwa hio obviously Birth Rate ya Waislam itakuwa higher ukiweka na factors zingine kama Uislamu unavyoruhusu kuoa mke zaidi ya mmoja....maximum ni wanne.

Yale yale ya Field Marshal Idi Amin Dada, conqueror of the British Empire and man-eater. Mmmh ! Hapa dawa ni kuzaa kwa ari, kasi na nguvu mpya ili kuongezeka na kutapakaa kila kona ya Tanzania halafu njia ya kuingia OIC itakuwa nyeupee!! Tujiepushe tu na ukimwi.

Halafu pia hivi sasa tuna watu wengi ambao wanasilimu na kuukubali Uislamu kuliko wakati wowote kwenye historia yetu(Source: islamic propagation centre).

Source !! Lo makubwa haya - bravo bila shaka siyo muda mrefu hao makafiri, mapagani na wote waliopotea njia mwisho wao hauko mbali. Lakini kwanza hawa wenye mioyo migumu wapewe muda kusilimu na wasipofanya hivyo.. ..............

Ni uwongo kwamba sisi tunataka kujiunga na OIC kwa ajili ya maslahi yetu, je ni maslahi gani hayo? yaweke wazi ili na sisi tujue! Nchi za Sudan, Somalia na Djibouti ziko kwenye vita kwa ajili ya ukabila na sio udini...kwa nini unahoji uwezo wa OIC kuzisaidia nchi hizi na uihoji Umoja wa Mataifa(UN), au nchi hizi haziko kwenye umoja huo? UN ina nguvu kuliko OIC, OIC ni bado changa na inahitaji mchango wa nchi kama Tanzania ili iweze kutimiza agenda zake.

Kumbe mchango wa Tanzania unahitajiwa ili kutimiza ajenda za OIC. Hima wananchi OIC inahitaji msaada wetu na wakati wa kutoa misaada ndio huu. Masikini OIC !!

Uganda ina matatizo kwa ajili ya Rebel Force army ijulikanayo kama LRA(Lords Resistance Army) ambayo inaongozwa na wakristo na si waislamu, hapo pia ninaomba ungeihoji UN au hoji Umoja wa Africa Mashariki (EAC)! Afghanistan ilivamiwa na Marekani na Uingereza ambazo ni mmoja kati ya nchi zinazopiga vita Uislam, na Wa-afghani wanahaki ya kutetea ardhi yao na uhuru wao na pia OIC iko 'against' conflict katika nchi zote ulizotaja na inajitahidi kadri iwezayo kutatua matatizo yaliokumba nchi hizi.

Kumbe tunatakiwa kutetea uislamu tukiingia OIC na kwa maana hiyo lengo mojawapo la OIC ni kuwapinga Marekani na Uingereza kwa kupiga vita uislam. Lo, sasa kichwa kinazunguka.


Ninawashauri watanzania wenzangu kujiunga na OIC ili wote tusimame na tutokomeze uonevu, umasikini, ufisadi na matatizo yote yanaetukumba sisi nchi masikini!

OIC kimbilio la wanyonge na masikini. OIC dawa ya uonevu na ufisadi. Kumbe kujiunga kuna manufaa kiasi hiki. Basi na mimi nakubali tujiunge na OIC tukitaka ndege yetu ipae kwa mbwembwe.
 
........
Naona unanipotezea muda............

Wewe ndiye unayenipotezea muda mzee, kwaheri tusigombane bure. Tuwaachie wengine nao watoe uchambuzi wao. Nina uhakika hoja zangu zimeeleweka, na maswali ambayo hujajibu wasomaji na wadau wengine wanayaona. Nahitimisha kwa msimamo wangu kuwa ili nchi ijiunge na taasisi yoyote ile kunahitaji kushabihiana pasipo mikinzano kwa malengo ya taasisi hiyo na malengo ya kitaifa ya taifa husika. Nimemaliza.
 
Waislamu wenye msimamo wa wastani leo wanacheza karata yao ya mwisho katika kuwafnya wapinzani wa maendeleo ya Uislamu na Waislamu watambue kuwa nyuma yao kuna watu wasio na subira na uvumilivu kama walivyo wao.

Na kwamba serikali ikionesha kwamba inatawaliwa na maaskofu na sio rais na wabunge waliochaguliwa na wananchi basi patakuwa na maswali mengi sana ya kujibiwa na CCM na serikali yake katika siku zijazo....

Maswali hayo ni pamoja na kama serikali sasa imeachia Maaskofu kuwa ndio viongozi wa nchi na waandaaji maamuzi yote; kuzuiwa kwa misaada ya Waislamu kwa kisingizio cha Ugaidi; serikali, chama tawala na makanisa kupeana fedha kwa njia zisizoeleweka; wakiristo kuendelea kuwa wengi katika nafasi mbalimbali za serikali na kanisa kutumia mahospitali na huduma zake nyingine kusambaza virusi vinavyowafanya watu wauchukie Uislamu!

Waislamu kwa miaka mingi wamekuwa wapole na wasiotaka shari dhidi ya Wakiristo hapa nchini. Lakini kwa hivi sasa inaelekea uvumilivu wao unafikia kikomo baada ya kuona kwamba kila wanachotaka kukifanya kwa kurahisisha maendeleo ya Uislamu na Waislamu kinatiliwa fitina na wasio waislamu kwa nia mbaya tu na sio nzuri, hususan kuhakikisha kuwa Waislamu hapa nchini wanakuwa watu wa daraja la pili kama sio la tatu.

La kusikitisha ni kwamba kwa hivi sasa maaskofu wamefikia kiwango cha kuipindisha na kupotosha katiba na kutoa tafisiri potofu ya madhumuni ya Ofisi ya Kadhi na Tanzania kujiunga na OIC. Taasisi ambayo nchi kadhaa za Afrika Magharibi na Mashariki ambazo zina raia wakiristo wengi kuliko waislamu ni wanachama.

Hii ni pamoja na kifungu cha katiba kinachozungumzia uhuru wa kuabudu ambao sasa wao wamegeuza ni uhuru wa kutokuabudu.

Kwa mujibu wa Chief Cadh (Kadhi Mkuu) wa Kenya aliyehojiwa na Radio Kheri jana Mahama ya kadhi Kenya inafanya kazi bila bughudha Kenya wala kuingilia watu wa dini zingine na kwamba mahakama hiyo iko chini ya Wizara ya Sheria ya nchi hiyo kama zilivyo mahakama nyingine ya nchi hiyo na wakiristo hawalalamiki kwa mahakama hiyo kupewa bajeti na serikali kwani ni kiasi kilekile kinachotumika kupunguzia mahakama za kisekula mzigo wa kesi mahakamani.
 
kama nchi yetu ni changa, kama nchi yetu inahitaji fedha kwa ajili ya kulipia ghalama zote za mahakama ya kadhi, mtu makini ambaye haongozwi na hisia ana wajibu wa kuhoji.
 
Waislamu wenye msimamo wa wastani leo wanacheza karata yao ya mwisho katika kuwafnya wapinzani wa maendeleo ya Uislamu na Waislamu watambue kuwa nyuma yao kuna watu wasio na subira na uvumilivu kama walivyo wao.

Na kwamba serikali ikionesha kwamba inatawaliwa na maaskofu na sio rais na wabunge waliochaguliwa na wananchi basi patakuwa na maswali mengi sana ya kujibiwa na CCM na serikali yake katika siku zijazo....

Maswali hayo ni pamoja na kama serikali sasa imeachia Maaskofu kuwa ndio viongozi wa nchi na waandaaji maamuzi yote; kuzuiwa kwa misaada ya Waislamu kwa kisingizio cha Ugaidi; serikali, chama tawala na makanisa kupeana fedha kwa njia zisizoeleweka; wakiristo kuendelea kuwa wengi katika nafasi mbalimbali za serikali na kanisa kutumia mahospitali na huduma zake nyingine kusambaza virusi vinavyowafanya watu wauchukie Uislamu!

Waislamu kwa miaka mingi wamekuwa wapole na wasiotaka shari dhidi ya Wakiristo hapa nchini. Lakini kwa hivi sasa inaelekea uvumilivu wao unafikia kikomo baada ya kuona kwamba kila wanachotaka kukifanya kwa kurahisisha maendeleo ya Uislamu na Waislamu kinatiliwa fitina na wasio waislamu kwa nia mbaya tu na sio nzuri, hususan kuhakikisha kuwa Waislamu hapa nchini wanakuwa watu wa daraja la pili kama sio la tatu.

La kusikitisha ni kwamba kwa hivi sasa maaskofu wamefikia kiwango cha kuipindisha na kupotosha katiba na kutoa tafisiri potofu ya madhumuni ya Ofisi ya Kadhi na Tanzania kujiunga na OIC. Taasisi ambayo nchi kadhaa za Afrika Magharibi na Mashariki ambazo zina raia wakiristo wengi kuliko waislamu ni wanachama.

Hii ni pamoja na kifungu cha katiba kinachozungumzia uhuru wa kuabudu ambao sasa wao wamegeuza ni uhuru wa kutokuabudu.

Kwa mujibu wa Chief Cadh (Kadhi Mkuu) wa Kenya aliyehojiwa na Radio Kheri jana Mahama ya kadhi Kenya inafanya kazi bila bughudha Kenya wala kuingilia watu wa dini zingine na kwamba mahakama hiyo iko chini ya Wizara ya Sheria ya nchi hiyo kama zilivyo mahakama nyingine ya nchi hiyo na wakiristo hawalalamiki kwa mahakama hiyo kupewa bajeti na serikali kwani ni kiasi kilekile kinachotumika kupunguzia mahakama za kisekula mzigo wa kesi mahakamani.

Tatizo lao wameelemewa na mzigo mzito wa choyo na fitna dhidi ya islaam. Inashangaza na kusikitisha unaposoma maoni ya mtu anayetoa hoja kwamba haiwezekani kuwa kodi yake alipiwe mshahara muislam, hizi ni chuki binafsi zilizopandikizwa either kwa makusudi au kwa bahati mbaya kwa jamii moja juu ya jamii nyingine. Halafu wanasema eti mahakama hizo zisimamiwe na BAKWATA, ninani asiyejua kuwa bakwata ni baraza haramu lililoundwa mahususi kwaajili ya kuudhoofisha uislaam? (kumbuka kuwa kulikuwa na sheria eti hata waislamu wakitaka kuanzisha shule na au hospitali9 ziwe chini ya bakwata... hata hivyo shule hizo zikawa ndio zinazoongoza kwa kufanya vibaya). Anyway waislaam hawaogopi kutetea haki zao...hawadhurumiwi kirahisi. Naamini tutafanikiwa, wenye chuki binafsi acheni hizo bana....
 
It's obvious that kuipa serikali jukumu la kuigharamia mahakama ya kadhi itakayokuwapo kwa ajili ya waislamu pekee, ni kuiongezea serikali mzigo, na huo mzigo ni wa wananchi wenyewe wanaolipa kodi wakiwamo na wakristu (ambao hawafaidiki lolote na mahakama hiyo). Sasa kama mtu hatanufaika na huduma, kwa nini ajiingize kuigharamia? Mi nadhani the best way kwa waisilamu ni kutafuta chanzo cha mapato ya kuiendesha mahakama hiyo, then watume maombi kuisajili iwe kama asasi fulani hivi ya kusuluhisha mashauri mbalimbali yanayowahusu waisilamu. Nadhani ingeendeshwa kama NGO ili isiwabebeshe mzigo walalahoi ambao tayari wameshachoka!
 
It's obvious that kuipa serikali jukumu la kuigharamia mahakama ya kadhi itakayokuwapo kwa ajili ya waislamu pekee, ni kuiongezea serikali mzigo, na huo mzigo ni wa wananchi wenyewe wanaolipa kodi wakiwamo na wakristu (ambao hawafaidiki lolote na mahakama hiyo). Sasa kama mtu hatanufaika na huduma, kwa nini ajiingize kuigharamia? Mi nadhani the best way kwa waisilamu ni kutafuta chanzo cha mapato ya kuiendesha mahakama hiyo, then watume maombi kuisajili iwe kama asasi fulani hivi ya kusuluhisha mashauri mbalimbali yanayowahusu waisilamu. Nadhani ingeendeshwa kama NGO ili isiwabebeshe mzigo walalahoi ambao tayari wameshachoka!

Nasikitika kukuambia kwamba wewe ndio wale tunaosema kwamba mmeelemewa na chuki binafsi, kwani ni mizigo mingapi wewe unayobebeshwa ilihali huna faida nayo yeyote kama richmondi na bei za umeme zinazopanda kila siku. Ieleweke kuwa sidhani kwamba tatizo ni fedha za kijiendesha, naamini kuwa waislamu nchi hii wanavyo nyanzo kwani mbona mashilika ya kiislamu yapo mengi na yanajiendesha yenyewe.... Tatizo kubwa ni nguvu ya kisheria ya kutatua migogoro ya kiislamu kama ndoa na mirathi. Inaelekea wanaopinga jambo hili wana-uelewa mwembamba kwani tumesha jieleza vya kutosha sasa ninashangaa mnavyotoa visingizio mbavyo tumeshavitolea maelezo.
 
Nasikitika kukuambia kwamba wewe ndio wale tunaosema kwamba mmeelemewa na chuki binafsi, kwani ni mizigo mingapi wewe unayobebeshwa ilihali huna faida nayo yeyote kama richmondi na bei za umeme zinazopanda kila siku.

Mkuu TN,
No, sina chuki kabisa za kidini, ila nilikuwa natoa maoni yangu na wanaJanvi pia waweze kuchangia. Nimekuquote hapo juu na kuhighlight yale niliyoona yanatisha. Yaani una maana kwa kuwa watanzania wameshabebeshwa mizigo kama richmondi ndo wakae kimya na kukaribisha mizigo mingine? Imekuwaje mahakama hiyo tukufu unailinganisha na mzigo wa richmond? Kwa kuwa hatukupata faida kwa mikataba mibovu iliyopita, ndo tuhalalishe kuendeleza mikataba mibovu mingine? Hapana mkuu, ndo maana hapa JF wananchi wanatoa maoni yao kukemea maovu ili yaachwe, na si kuridhika! Na kama kuna ukweli kwamba mzigo wa mahakama hiyo ni sawa na richmond, tuthibitishie hapa mapema ili tuungane kuipinga!
 
Ieleweke kuwa sidhani kwamba tatizo ni fedha za kijiendesha, naamini kuwa waislamu nchi hii wanavyo nyanzo kwani mbona mashilika ya kiislamu yapo mengi na yanajiendesha yenyewe.... Tatizo kubwa ni nguvu ya kisheria ya kutatua migogoro ya kiislamu kama ndoa na mirathi. .

Na kama tatizo si source of income, basi ngoja nikupe paragraph moja niliyoquote somewhere na source yake as well:

"The Government requires religious organizations to register with the Registrar of Societies at the Ministry of Home Affairs on the mainland and with the Chief Government Registrar on Zanzibar. To register, religious organizations must have at least ten followers and provide a Constitution, the resumes of their leaders, and a letter of recommendation from their district commissioner. In addition, groups registering on Zanzibar must provide a letter of approval from the Mufti."

Source: Tanzania
 
Nasikitika kukuambia kwamba wewe ndio wale tunaosema kwamba mmeelemewa na chuki binafsi, kwani ni mizigo mingapi wewe unayobebeshwa ilihali huna faida nayo yeyote kama richmondi na bei za umeme zinazopanda kila siku. Ieleweke kuwa sidhani kwamba tatizo ni fedha za kijiendesha, naamini kuwa waislamu nchi hii wanavyo nyanzo kwani mbona mashilika ya kiislamu yapo mengi na yanajiendesha yenyewe.... Tatizo kubwa ni nguvu ya kisheria ya kutatua migogoro ya kiislamu kama ndoa na mirathi. Inaelekea wanaopinga jambo hili wana-uelewa mwembamba kwani tumesha jieleza vya kutosha sasa ninashangaa mnavyotoa visingizio mbavyo tumeshavitolea maelezo.

Unapunguza uzito wa hoja yako kwa kulinganisha mzigo wa OIC wa mzigo wa Richmond, na kupanda bei ya umeme.
 
Huduma, kwenye bandiko lako sijaona hiyo karata ya mwisho inavyochezwa na hao waislamu wenye msimamo wa wastani. Ufafanuzi tafadhali
 
hawa waislamu nao!!

UK’s first official sharia courts

ISLAMIC law has been officially adopted in Britain , with sharia courts given powers to rule on Muslim civil cases.
Rulings issued by a network of five sharia courts are enforceable with the full power of the judicial system, through the county courts or High Court.
Previously, the rulings of sharia courts in Britain could not be enforced, and depended on voluntary compliance among Muslims.

It has now emerged that sharia courts with these powers have been set up in London , Birmingham , Bradford and Manchester with the network’s headquarters in Nuneaton , Warwickshire. Two more courts are being planned for Glasgow and Edinburgh.
Sheikh Faiz-ul-Aqtab Siddiqi, whose Muslim Arbitration Tribunal runs the courts, said he had taken advantage of a clause in the Arbitration Act 1996.

Under the act, the sharia courts are classified as arbitration tribunals. The rulings of arbitration tribunals are binding in law, provided that both parties in the dispute agree to give it the power to rule on their case.
Siddiqi said: “We realised that under the Arbitration Act we can make rulings which can be enforced by county and high courts. The act allows disputes to be resolved using alternatives like tribunals. This method is called alternative dispute resolution, which for Muslims is what the sharia courts are.”

The disclosure that Muslim courts have legal powers in Britain comes seven months after Rowan Williams, the Archbishop of Canterbury, was pilloried for suggesting that the establishment of sharia in the future “seems unavoidable” in Britain.
In July, the head of the judiciary, the lord chief justice, Lord Phillips, further stoked controversy when he said that sharia could be used to settle marital and financial disputes.

August 2007

In fact, Muslim tribunal courts started passing sharia judgments in August 2007. They have dealt with more than 100 cases that range from Muslim divorce and inheritance to nuisance neighbours.

It has also emerged that tribunal courts have settled six cases of domestic violence between married couples, working in tandem with the police investigations.
Siddiqi said he expected the courts to handle a greater number of “smaller” criminal cases in coming years as more Muslim clients approach them. “All we are doing is regulating community affairs in these cases,” said Siddiqi, chairman of the governing council of the tribunal.

Jewish Beth Din courts operate under the same provision in the Arbitration Act and resolve civil cases, ranging from divorce to business disputes. They have existed in Britain for more than 100 years, and previously operated under a precursor to the act.

Politicians and church leaders expressed concerns that this could mark the beginnings of a “parallel legal system” based on sharia for some British Muslims.

Siddiqi said that in a recent inheritance dispute handled by the court in Nuneaton, the estate of a Midlands man was divided between three daughters and two sons.
The judges on the panel gave the sons twice as much as the daughters, in accordance with sharia. Had the family gone to a normal British court, the daughters would have got equal amounts.

In the six cases of domestic violence, Siddiqi said the judges ordered the husbands to take anger management classes and mentoring from community elders. There was no further punishment.

In each case, the women subsequently withdrew the complaints they had lodged with the police and the police stopped their investigations.

Siddiqi said that in the domestic violence cases, the advantage was that marriages were saved and couples given a second chance.

Inayat Bunglawala, assistant secretary-general of the Muslim Council of Britain, said: “The MCB supports these tribunals. If the Jewish courts are allowed to flourish, so must the sharia ones.”

Source: The Sunday Times(September 14, 2008)

 
Waislamu kwa miaka mingi wamekuwa wapole na wasiotaka shari dhidi ya Wakiristo hapa nchini. Lakini kwa hivi sasa inaelekea uvumilivu wao unafikia kikomo baada ya kuona kwamba kila wanachotaka kukifanya kwa kurahisisha maendeleo ya Uislamu na Waislamu kinatiliwa fitina na wasio waislamu kwa nia mbaya tu na sio nzuri, hususan kuhakikisha kuwa Waislamu hapa nchini wanakuwa watu wa daraja la pili kama sio la tatu.

Ndugu yangu Huduma!
UPOLE wa Waislamu ni wa aina gani,,, labda nikukumbushe tu kuwa katika miaka ya 80 na 90 waislamu waliaanza dhamira halisi ya kuwapaka matope wakristu na ukristu wenyewe. Ikafikia mahali matusi yalikuwa ya wazi kabisa. Baraza la Maaskofu wa Kikristu waliandika na kulalamikia sana hili, lakini wenzetu ndio kwanza wakafunga na vipaza sauti kueneza majungu haya. Na wakristu wakaa kimya maana walipuuza. Hii nilitaka kukujulisha tu kuwa hakuna upole hapa.
Hainingii akilini kuwa Waislamu wanazuiwa maendeleo yao hata kidogo.
Wengi wa viongozi wa waislamu wamesoma katika shule za wakristu. Hii ilisababishwa na jamii ya Kiislamu kutotilia maanani suala la elimu ya kisasa, hasa kwa kuogopa ama kuamini kuwa watoto wao watalishwa chakula ambacho ni kinyume na matakwa ya Uislamu au kufundishwa mambo yasiyoendana na maadiliya Uislamu. Hii ilifanya idadi ya Waislamu wasomi wawe wachache sana. Waliokuwa na uwezo wa kuongoza kwa wakati huo wengi wao walikuwa ni wakristu (Hata hivyo kuna waliotumia na wanaotumia majina ya kikristu ingawa ni waislamu na wako katika uongozi). Wanawake ndo kabisa wakakatazwa kwenda shule. Wakati ndugu zetu Waislamu wanaamka kwenda shule wenzao wakristu wako mbali sana.
Mfano tu ni kwa kulinganisha seminary schools za Kiislamu na Kikristu. Ufaulu wake ni tofauti kabisa! hilo halina mjadala.
Sasa mtu anapotaka nafasi sawa katika kazi na uongozi wakati hawana watu wanaofikia kiwango kifaacho, binafsi simwelewi.
Suala la IOC, Tanzania kama Tanzania na si Kenya wala Uganda, tunaongozwa na sheria na Taratibu (Katiba) tuliyokubaliana iwe ndo mhimili wetu. Kama kikundi ama jamii iliyoko katika nchi hii inataka nchi kama nchi ijiunge na chombo fulani kwa ajili ya ya maendeleo ya kikundi husika na sio kwa nchi nzima, hii haiingii akilini hata kidogo.
Na tukishapata mahakama ya kadhi, tutadai magereza ya waislamu pia? na askari wa kiislamu pia? Haya ndiyo maendeleo tunayoyasema hapa?
Maaskofu wametoa tamko lao kama sehemu ya jamii pia na ni kwa mtizamo wao pia, kama pia wanapojumuika pamoja na masheikh kutoa tamko mbalimabli.
Waislamu na Wakristu na wote pai wasijaribu kumwingiza JK katika mitego ya kidini. Waache serikali yake ishughulikie mambo muhimu kuliko hili la IOC.
 
hawa waislamu nao!!

UK’s first official sharia courts



Mkuu does that justify Tanzania kuwa na kadhi? If it does, then I think we should aldo do this

New York is set to recognize same-sex marriages performed in other parts of the United States...

Earlier this month, California's top court ruled that a state law banning marriage between same-sex couples was unconstitutional...


In its ruling, the California Supreme Court said the "right to form a family relationship" applied to all Californians regardless of sexuality.

Source BBC, May 2008.

Kama huko ni mbali tunaweza kuiga South Africa... I mean sio kila kitu ambacho Uingereza, et al wanafanya ni sahihi kwetu.
 
Waislamu wenye msimamo wa wastani leo wanacheza karata yao ya mwisho katika kuwafnya wapinzani wa maendeleo ya Uislamu na Waislamu watambue kuwa nyuma yao kuna watu wasio na subira na uvumilivu kama walivyo wao.

Na kwamba serikali ikionesha kwamba inatawaliwa na maaskofu na sio rais na wabunge waliochaguliwa na wananchi basi patakuwa na maswali mengi sana ya kujibiwa na CCM na serikali yake katika siku zijazo....

Maswali hayo ni pamoja na kama serikali sasa imeachia Maaskofu kuwa ndio viongozi wa nchi na waandaaji maamuzi yote; kuzuiwa kwa misaada ya Waislamu kwa kisingizio cha Ugaidi; serikali, chama tawala na makanisa kupeana fedha kwa njia zisizoeleweka; wakiristo kuendelea kuwa wengi katika nafasi mbalimbali za serikali na kanisa kutumia mahospitali na huduma zake nyingine kusambaza virusi vinavyowafanya watu wauchukie Uislamu!

Waislamu kwa miaka mingi wamekuwa wapole na wasiotaka shari dhidi ya Wakiristo hapa nchini. Lakini kwa hivi sasa inaelekea uvumilivu wao unafikia kikomo baada ya kuona kwamba kila wanachotaka kukifanya kwa kurahisisha maendeleo ya Uislamu na Waislamu kinatiliwa fitina na wasio waislamu kwa nia mbaya tu na sio nzuri, hususan kuhakikisha kuwa Waislamu hapa nchini wanakuwa watu wa daraja la pili kama sio la tatu.

La kusikitisha ni kwamba kwa hivi sasa maaskofu wamefikia kiwango cha kuipindisha na kupotosha katiba na kutoa tafisiri potofu ya madhumuni ya Ofisi ya Kadhi na Tanzania kujiunga na OIC. Taasisi ambayo nchi kadhaa za Afrika Magharibi na Mashariki ambazo zina raia wakiristo wengi kuliko waislamu ni wanachama.

Hii ni pamoja na kifungu cha katiba kinachozungumzia uhuru wa kuabudu ambao sasa wao wamegeuza ni uhuru wa kutokuabudu.

Kwa mujibu wa Chief Cadh (Kadhi Mkuu) wa Kenya aliyehojiwa na Radio Kheri jana Mahama ya kadhi Kenya inafanya kazi bila bughudha Kenya wala kuingilia watu wa dini zingine na kwamba mahakama hiyo iko chini ya Wizara ya Sheria ya nchi hiyo kama zilivyo mahakama nyingine ya nchi hiyo na wakiristo hawalalamiki kwa mahakama hiyo kupewa bajeti na serikali kwani ni kiasi kilekile kinachotumika kupunguzia mahakama za kisekula mzigo wa kesi mahakamani.

Mawazo mengine ni ya ajabu sana. Hii lazima itakuwa "vijiweni source". Ndo maana wachangiaji wengine wanaamua ku-sum up baadhi ya maoni as IDIOTIC!! (Sorry I didnt say this is IDIOTIC)
 
Mawazo mengine ni ya ajabu sana. Hii lazima itakuwa "vijiweni source". Ndo maana wachangiaji wengine wanaamua ku-sum up baadhi ya maoni as IDIOTIC!! (Sorry I didnt say this is IDIOTIC)

Mtumishi,

Ndo maana wahenga walisema ilmu ni ufunguo wa maisha..hawakukosea..

Hizi ni gharama za kukimbia umande
 
Hata mimi msimamo wangu ni kutowaburuza watu kujiunga na organizations nyingine wakati zile za kiafrika tunazikimbia.
 
Kuna Busara mbele ya Haki na Nguvu ya Umma? Hamuwezi kuiendesha nchi hii kama ni ya kikristo, enzi hizo zimeshapita! hii ni nchi ya wote na hata sisi waislamu tuna haki ya kutetea mapendekezo yetu.

Tutaona nani ndio Simba na nani ndio Paka Mwitu!

Najua dini yenu kitu 'busara' ni kitu kisicho na definition, hata hivyo itabidi muelimishwe tu hata kwa mjeledi ..tutafika.

Ama kuhusu pakamwitu na simba, yangu macho, tutajua mbivu na mbichi hivi punde tu, wala hamna haja ya kuandikia mate wakti wino upo.
 
OIC kimbilio la wanyonge na masikini. OIC dawa ya uonevu na ufisadi. Kumbe kujiunga kuna manufaa kiasi hiki. Basi na mimi nakubali tujiunge na OIC tukitaka ndege yetu ipae kwa mbwembwe.

That will only happen in your dreams..to be exact in your daydreams..
 
Back
Top Bottom