Wale wote wenye nia njema na taifa letu, mnachotakwia kutusaidia hapa ni mawazo na maswali serious kuhusu this ishu, ya kafiri na the rest of the story hayawezi kutusaidia anything,
Tuambieni ni kwa nini Mwalimu alipokuwepo, Membe hakuwa na haya mawazo? Halafu kwa nini Waziri mzima wa Jamhuri anakwenda kuongea ishu very sensitive namna hii kwenye majukwaa ya media badala ya kuanzia bungeni kwanza? Why now tena baada ya kutoka Iran ambao historia ya siasa yetu iko very clear kua ndio waliowapa hela za uchaguzi the Mtandaos ambao yeye Membe was very much involved?
Hapa hapahitaji mabishano ya kidini kwa sababu historia iko very clear kuhusu vita vya hizi dini mbili kwamba mara ya mwisho huko Europe walioshinda ni wa-Kristo, na ni none ishu at all katika kuamua iwapo Tanzania tujiunge au hapana,
Binafsi ninapinga kwa nguvu zote hii idea ya Membe, ninaamini kwamba watawala wetu wa sasa wa hili taifa wameshindwa kutuaminisha wananchi kua wana nia njema na taifa letu, na hasa uwezo mdogo wa kuongoza waliouonyesha tayari. Katika kipindi kifupi cha utawala wao wametuingiza kwenye matatizo makubwa sana, hasa inapokuja ishu zinazohusu maamuzi ya taifa letu na mataifa mengine, la mwisho lilikuwa Richimonduli.
Matatizo ya Uganda, kimaendeleo hayakumalizwa na kujiunga kwao na OIC, kwa hiyo ni hoja finyu sana kwa waziri kutudanganya na hiyo hoja uchwara, Tanzania sasa hivi ni mwanachama wa jumuiya nyingi sana za kimataifa na tunashindwa kwenda popote kimaendeleo, sasa labda ifike mahali as a nation tujiangalie upya kama ni worthy sisi kuendelea na some of hizi international membership na hasa zile zinazohitaji yearly fee kuwa member, ikibidi tujitoe nazo, badala ya kulazimisha kujiunga na jumuiya hizi za kidini ambazo zina-guarantee mgawanyiko wa kisiasa na kidini kwa taifa lolote kama letu ambalo officially halina dini moja kama letu.
I do not care what hii ni jumuiya ya Wa-Islam period, Tanzania we have no business kujiunga na this kind of Jumuiya, kwa sababu sisi sio taifa la Kii-slam, na Membe should apologize to us the public for this nonesense ideas kama amezitoa under ministerial capacity. Incompetence ya utawala wa sasa it is just out of hand, I mean waziri mzima hajui kwamba this is a very sensitive political ishu ambayo haiwezi kurushwa tu kwenye media, badala ya sehemu maalum za kisiasa na kisheria?
Hiii incompetence na huu utawala where does it stops? Kwa sababu now karibu wananchi wote tunajua inapoanzia!