Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

tatizo jazba zimewakithiri mpaka uwezo wao wa kufikiri umepungua...badala ya kijadili OIC na URT kujiunga kwayo, wao wanaanza kukandamiza uislamu!!!

Kuna point nzuri sana uliitoa hapo juu, kwamba itafutwe modality ktk muungano ambayo itaruhusu SMZ kujiunga na OIC!! au badiliko katibani ambalo litaruhusu waislamu woooooooooooooooooote wa Tanzania kujiunga na OIC na kunufaika na yale mazuri yake bila kusema kwamba Tanzania imejiunga na OIC!! vinginevyo hili ni zengwe......

Kuneni vichwa mlete jinsi ya ku-solve hili tatizo badala ya kukandia uislamu na waislamu.....

tahadhali: kuendelea kupiga madogo uislamu, kutaitia matatani hii thread....

Hakuna cha modality wala nini, hili swala halipo na halitatokea, Kikwete anawatafuta watu kama wewe , wasijadili ufisadi wajadali dini! na ukweli amewapata, nenda kulia kushoto kaka, OIC haiwezekani hapatakalika hapa!

Nashangaa hata waialsmu kulishabikia hili, HIVI UNA MKE NA WATOTO WAKO?. Ebu fikiria unaenda kwa mshikaji ukaombe pesa, akikupa masharti ya kulala na mkeo utakataa? hivi HAMUONI AIBU dini yenu kutumika kama CHAMBO CHA KUPATA HELA NA KAMA NI ALAMA YA UMASKINI TANZANIA?

AU WALIOLETA UMASKINI TANZANIA NI WAISLAMU SO WANA REPAY? AU NDIYO ILE DHANA YA KWENDA KWA AKINA BAKHRESA SIKU ZA IJUMAA NA MIFUKO HALAFU ANAWAGAWIA BUKU BUKU na michele?

JAMANI KUOMBA NA MISAADA IWE VITA YA KITAIFA...tunadumaa, na wanatudumaza siyo hao waislamu tu hata mataifa ya ulaya, misaada inaleta matatizo, inaleta ujinga

TUKIKUBALIANA NA HILI, BASI KATIKA KAMPENI WAWE WANAONYESHA UTAALAMU WAO WA KUANDIKA PROPOSAL ZA KUOMBA MISAADA, NA HUMO WANAYOYAANDIKA NI KUWA SHULE ZA KIISLAMU HAZIFANYI VIZURI-KWA SABABU WANAKOSA MISAADA, BAKWATA KUNA MAPINDUZI YANANUKIA KILA SIKU KWA SABABU WANAKOSA MISAADA.....

JAMANI WAISLAMU WENZANGU POPOTE MLIPO, MBIU IMEPIGWA, LA MGAMBO LIMELIA, TUANDAMANE TUPINGE MATUSI HAYA YA SERIKALI YA TANZANIA JUU YA DINI YETU....ETI SISI MASKINI.

ALQAIDA NAO WATASEMA NJOONI MCHUKUE MISAADA TUTAENDA, VIPI ZIKITOKEA JUMUIYA MAALUMU ZA KDINI ZINAZASEMA WANAAMINI NDOA ZA JINSIA MOJA PIA MTAENDA!! YES SI MASKINI???


AIBU HII HATA KIKWETE KUZUNGUMZIA AMEONA WAISLAMU NDIO HAO, MATUSI HAYA ...

KIKWETE AWAZE KUBORESHA MAISHA, KUONGEZA UZALISHAJI, KUTUMIA ARDHI TULIYONAYO, KUINDUSTRILIZE MAZAO , MADINI N.K

ABORESHE UFANISI WA SERIKALI, ELIMU KILA KONA, WAKATI SERIKALI IKIWAJIBIKA, JUMIYA ZA KDINI NAZO ZIWAJIBIKE KUBORESHA UCHUMI WAO NA VIZAZI VIJAVYO NA SIO KUWAZA HELA AMABZO WATU WALIZOTOLEA JASHO! AIBU HII.

MKITAKA NENDENI, NA MIMI NA ULOKOLE WANGU NIKIWA RAIS NITALETA LANGU, AKIJA MPAGANI NAYE ATALETA LAKE, AKIJA MBUDHA ATALETA LAKE. MAANA WAISLAMU MMEJISAHAU NCHI HII DINI ZIKO NYINGI. SIO NYIE TU.NCHI UJENGWA NA KATIBA...NYERERE ALIHESHIMU HILI AMA SIVYO NCHI INGEKUWA YA KIKATOLIKI, NA ENZI HIZO WENGI WAISLAMU WALIKUWA HAWAJUI KUSOMA NA KUANDIKA!!! WALIWEKA KATIBA SERIKALI HAINA DINI.(full stop)

Samahani naona naandika mikono inatetemeka, naona kama muungwana angekuwa karibu nimpige kibao cha nguvu usoni, potelea mbali nikienda segerea..

waberoya
 
Matusi ya MAKAFIRI kama wewe tunayajua. Bahati nzuri nyote mnajua waislam wanazaana kwa wingi.

Kawaambieni hao maaskofu kuwa ninyi makafiri hamna ujasiri wa kupambana na waislam kutokana na chuki wanazokupandikizeni.

Wajinga wengine wanasema kuwa Iddi Amin ndio aliingiza Uganda kwenye OIC, mbona marais wengi wakristo wamepita pale na hawajajitoa.

Laiti mngekuwa mmeindeleza nchi kwa nafasi mlizopewa, tungeweza kuwasikiliza.
Mmeiua nchi na kila juhudi zenye alama ya Uislam mnazichukia.

kweli ni vigumu kumuelimisha KAFIRI mwenye chuki.

NN.

Hii ndiyo hatari ya OIC ninayoiona, itatupeleka pabaya sana kama wanaoitaka nia zao ndio hizi. Hapa UK kuna sheikh mmoja alitoa hotuba msikitini inayofanana baadhi ya maneno na huyu jamaa Nungunungu, ikatangazwa sana kwenye TV. Sheikh huyo alisema waislamu watatawala (conquer) UK kwa njia ya 'uzazi', akafafanua kila mwislamu akizaa watoto 10 na kuendelea, watahitaji vizazi (generations) mbili tu kutawala nchi, na wataitawala kwa 'sharia law'. Hapa wamembandika jina la 'hate preacher', na kwa mtazamo wangu anaharibu taswira ya uislamu ambayo watu wasio waislamu wanayo, labda kama waislamu wengi au wote wataendelea kuthibitisha kuwa huu ndio msimamo wao!

Hiyo OIC haitufai hata kidogo kama nchi. Kama waislamu wanaipenda, wajiunge wao huko kama waislamu, lakini si kuiburuza nchi nzima. Mimi siiamini OIC na siitaki.
 
MEMBE UTASILIMISHA NCHI YA TANZANIA KAMA OBASAJO ALIVYOFANYA KWA NIGERIA !!!!!!

Kwa taarifa yenu watanzania viongozi wote waliofanikisha kusilimishwa kwa Nigeria walilipwa mabilioni ya fedha na waarabu wakiwemo

Rais
Waziri wa mambo ya nje
Mkuu wa majeshi
N.k



*******************************************************

AN APPEAL TO PRESIDENT OLUSEGUN OBASANJO: Nigeria: Neither an Islamic nor a Christian Country

The denial of the status of Nigeria in D8 by the Federal Government forced me to write this essay. I am arguing that the recent attendance of President Matthew Obasanjo, a Christian as President of Nigeria at the D8 Summit of Islamic countries at Cairo was not an isolated incidence. It is the culmination of the creeping Islamization of Nigeria, which started in 1975 under General Murtala Muhammad.

The military leaders of Nigeria who got Nigeria into these various Islamic organizations had one thing in mind as to the qualification of Nigerian leadership. They had in mind that Muslims would permanently rule Nigeria as elected Presidents or military Heads of State. Is the emergence of 'a Matthew' in President Obasanjo an aberration?

There is no doubt in the minds of General Ibrahim Badamasi Babangida (IBB) when he converted the Nigerian involvement from that of an Observer to that of a Full Member of the OIC in 1986. It was meant to stop the gimmick of that nebulous concept, 'observer status' and reenact the plan of General Murtala Muhammed to make Nigeria an Islamic Republic in the fashion of Libya. It was his untimely death that interrupted the plan. Murtala's death did not kill the plan, as his followers in the military and in civilian wings of the geo-ethno-military-clique, that is the northern leadership were aware of the plan and pushed it to the Constitution Drafting Committee (CDC).

Those who sought membership for Nigeria in the Organization of Islamic Conference (OIC) and later in the D8 knew that the Presidents of Nigeria, by election or by coup or by appointment would or should always be Muslims. Is this not an issue, which Nigerians should discuss?

SHARIA EPISODE IN 1977/78
CDC PLAN A REENACTMENT OF MURTALA'S PLAN

It is part of the history of Shariazation of Nigeria that it was the Murtala's plan for the Islamization of Nigeria, which formed the basis of the Sharia provision in the Draft Constitution. But the determination of the members of Constituent Assembly from the Middle-belt working with the members from the Southern minorities of then Bendel, Rivers and Cross River States that successfully put a check on the planned Islamization of Nigeria after the death of General Murtala.

SOUTHERN LAWYERS UNAWARE OF THE POLITICS OF SHARIA

Nigerians of today are faced with the Sharia crisis. But they should note that for whatever reasons, Southern Lawyers failed to warn their people of the implications. Do the southerners know that it was the Constitution Drafting Committee (CDC) headed by the eminent Lawyer, Chief Rotimi Williams that first translated Murtala's plan into what appeared in the Draft Constitution?
It is a matter of record that the South had eminent lawyers in the leadership of the CDC. From the record of the CDC, how many Nigerians realize that in addition to Chief Rotimi Williams, there were Professor Ben Nwabueze, Chief Richard Akinjide and Chief Bola Ige in the CDC who are concerned about the Sharia today? What did they have in mind when they yielded to the pressure and introduced the Sharia at the Federal level into the Draft Constitution in 1977?

PAUL UNONGO AND SOLOMON D. LAR HERO OF SECULARISM

It should be noted that it was only one CDC member, Paul Unongo from Benue who opposed the Sharia in the CDC. But he could not stop the inclusion of the Sharia provision in the Draft Constitution. Having failed at the CDC, he sought election to the Constituent Assembly from Benue along with others from the Middle-Belt on the anti-Sharia platform.

ACCORD BETWEEN MIDDLE-BELT CAUCUS AND SOUTHERN MINORITIES

How the Middle-Belt caucus under the leadership of Chief Solomon D Lar worked out a deal with the Southern minorities in the Constituent Assembly is something, which the new politicians of today should emulate. The Middle-Belt members and the members from the southern minorities in the Constituent Assembly were able to build a consensus on the Sharia, the Revenue Allocation and the Presidential System. This is a subject of my forthcoming book, Beyond the Tripod in Nigerian Politics. Those who are talking of accord between the Middle-Belt and the South-South would have some lessons from the past efforts in my forthcoming book
SOVEREIGNTY NOT WITH THE CONSTITUENT ASSEMBLY

The crisis over Sharia in the Constituent Assembly was resolved in the Constituent Assembly. But because the Constituent Assembly was not sovereign, that that it did not have a final say on the decision on Sharia. Its decision was subject to the overriding approval of the Supreme Military Council, hence the Sharia provision in the final Constitution was fundamentally amended by the Supreme Military Council under the chairmanship of General Obasanjo as Alhaji Maitama Sule recently told Nigeria. This is why advocates of the Sovereign National Conference are agitating for some understanding that no one would tamper with any decision arrived at by a National Conference or an Assembly of Nigerian peoples and their leaders if it meets for the purpose of resolving the lingering political problems afflicting this country.

SUPREME MILITARY COUNCIL UNDER OBASANJO WAS SPLIT

It is part of the history of Nigeria, that General Olusegun Obasanjo, as the successor of General Murtala had problems with pushing through, the Islamization Plan of Murtala. The believers in Murtala's Islamization Plan in the Supreme Military Council, Shehu Yar'Adua, Babangida and Buhari were not powerful enough to push the plan through. They had problems with the avid defenders of the secularism in the Supreme Military Council led by the Service Chiefs {General TY Danjunma (Army), Commodore Isa Doko (Airforce) and Rear Admiral Adelanwa (Navy)}. Tinkling with what the Constituent Assembly approved was what General Obasanjo's regime could do and it did precisely that.

TY DANJUMA LONE COORDINATOR AGAINST SHARIA OF CDC

Why and how some of us in the Constituent Assembly were able to withstand the pressure of the pro-Sharia in the military has not been told. It is part of the history of Sharia episode in the Constituent Assembly that General TY Danjuma held a meeting with some of us from the Constituent Assembly to plead with us to stay on course. He was particularly worried that some of the Igbo members who originally supported the motion ably and successfully moved by Dr. Mudiaga Odje for the deletion of the Sharia provision in the Constitution were wavering. The Igbo members were worried after some northern members walked out of the Assembly. Why were some of the Igbo members wavering?

DILEMMA FACING IGBO MEMBERS IN THE ASSEMBLY

The Igbo members came to the Constituent Assembly with two conflicting mandates. One was from the religious leaders that they should do everything to stop the Islamization of Nigeria by supporting the deletion of the Sharia provision in the Constitution. The other was from the political leaders of thought, which mandated the members from the Igboland to the Constituent Assembly to do everything to work with the Hausa/Fulani in the tradition of the old NPC and NCNC alliance in post Independence Nigeria (1960-66). How the various Igbo political leaders coped with this dilemma during and after the Constituent Assembly will be discussed in my forthcoming book. The Igbo leaders are still facing this dilemma today. To the Igbo leaders there can be compartmentalization; to the northern leaders they are joined and inseparable.

GENERAL DANJUMA RESOLVED THE DILEMMA FACING IGBO

It was General TY Danjuma who pleaded with the Igbo members of the Constituent Assembly not to yield to the pressure orchestrated by General Shehu Musa Yar'Adua, the Chief of Staff, Supreme Headquarters. He assured them that nothing would happen to them if they stayed the course.
It was part of the scare tactics then mounted on the Igbo members of the Constituent Assembly that a second war was in the offing if they the Igbo leaders would not cooperate with the northern l4aders on the Sharia issue. The Igbo leaders were told that the losers would not be the Yorubas or the Southern minorities and that the winners in another war would certainly be the Yorubas and the southern minorities. This was very dangerous campaign in addition of some financial and office consideration. This was hard for the Igbo leaders to comprehend as the Igbo people were still battling the aftermath of the Civil War. This was why the meeting arranged by Paul Unongo with General Danjuma was hurriedly meant to reassure the Igbo members of the Constituent Assembly to discount the pressure and veiled threat from General Yar'Adua. What was the position of the then Head of State, General Obasanjo?

GENERAL OBASANJO SUPPORTED THE CDC POSITION

General Obasanjo then did not see anything wrong with the provision as propounded by the Pro-Sharia zealots. He did not see anything wrong with having the Sharia Court up to the highest level of the federal judiciary with a Grand Mufti as the head of the Federal Supreme Sharia Court. He was not opposed to the plan to have parity between the Chief Justice of the Supreme Court and the Grand Mufti of the Supreme Sharia Court.

IMPLICATION OF PARITY BETWEEN GRAND MUFTI AND CJ

For the interest of those who did not know of what I am talking about, under the provision in the Draft Constitution, the Grand Mufti was to have the same power like the Chief Justice of the Federation to swear in the President, Commander in Chief. Of course, the protagonists of the plan knew that the President would always be a Muslim. When some of us fought to delete the provision from the Draft Constitution in the Constituent Assembly in 1978, we knew that we were only postponing the evil day. I say this because the plan of the government of General Obasanjo was in violation of the decision of the Constituent Assembly. It was obvious to us then that the successor regime to the military whether civilian or military would whittle down the gains we made in the Constituent Assembly.

PRESIDENT SHAGARI AND ISLAMIZATION

President Shehu Shagari was a major exponent of federalizing the Sharia in the Constituent Assembly. When Alhaji Shagari became the President in 1978, the dynamics of the civilian politics did not make it possible for the new civilian to push for a full scale Islamization of the country between 1979 and 1983.

BUHARI AND ISLAMIZATION

General Muhammadu Buhari was one of the disciples of General Murtala. From what he did recently it is obvious that he is a strong believer in the political Sharia. But his regime (1983-1985) was too short to know what he too would have done with Islamization of the country, if he were to spend a longer period as the military Head of State.

BABANGIDA AND ISLAMIZATION

ORGANIZATION OF ISLAMIC CONFERENCE (OIC)

But the period of General Babangida (1985-1993) represented the beginning of unmitigated Islamization of Nigeria. General Babangida was one of the loyal followers of General Murtala. This was why General Babangida took the fateful decision in 1986 to face the Nigerian Christians in particular and Nigerians in general with the plan of Muslims. He without the approval of the governing organs of the Federal Military Government organized a mission led by a non-member of the Government, the Sultan of Sokoto to formally admit Nigeria into the Organization of Islamic Conference (OIC). When the Chief of General Staff, Commodore Ubitu Ukiwe complained that he knew nothing about it and definitely said that he could not remember the matter coming to the Armed Forces Ruling Council (AFRC), he was shown his way out. The Christians took it. The Christian leaders bought the plan of the Military President to keep them talking under the auspices of a 20-man panel to 'examine the implications of the country's full membership of the organization'. This was a diversion and the Christians were victims. This was not all.

ADVISORY COUNCIL ON IRELIGIOUS AFFAIRS

Later President Babangida set up an Advisory Council on Religious Affairs. The Council as the name implied was advisory. One was not surprised that this Council was not privy to General Babangida's decision to take Nigeria further down the road of Islamization.

SHAREHOLDER OF ISLAMIC DEVELOPMENT BANK

General Babangida unilaterally made Nigeria a Shareholder of the Islamic Development Bank in January 1988. Nigeria at the time of becoming a Shareholder held 0.32% shares. Nigeria is still a Shareholder of this Bank today.

RELIGIOUS CLEANSING OF REGIME

Nigeria would recall the hue and cry over the religious cleansing of the military regime in December 20, 1989 of Christian officers. How many Nigerians still recall how the commanding heights of the IBB regime were Islamized? This was by far the most far-reaching change under the IBB administration, which had five main implications.

1. That it reenacted the regional dominance of the country;
2. That it reenacted the Muslim religious dominance of Nigeria;
3. That it dislodged the Langtang Mafia with the humiliation of General Bali out of office and the removal of General Dongoyaro from command and influence;
4. That it empowered General Abacha by making him the Chief of Defense Staff, a more enhanced position than the one held by General Bali who was just Chairman, Joint Chief of Staff.

CHRISTIAN LEADERS'VIEWS OF IBB

Despite the protest of many Christian organizations, I was not surprised that just the way he treated Christians during the OIC protest, IBB ignored the prelate who carried placards with the following inscriptions:
1. Forceful Islamization Impossible;
2. Christians Have no Confidence in IBB and His Administration;
3. No Arab Colonization;
4. Maradona, Enough of Your Hypocrisy.
(See African Concord of January 22, 1990).
If the foregoing are no attributes of an Islamic Country, I do not know what is an Islamic Country.

ABACHA AND ISLAMIZATION OF NIGERIA.

PARTICIPATION IN OIC AFFAIRS OPENLY

That Nigeria is a full member of the OIC was no longer in dispute as Nigerian Islamic leaders were freely and openly participating in all the activities of the organization. The Nigerian Christians and their leaders resigned themselves to that fact with the Sultan of Sokoto flying in and out of one OIC affair or the other in different parts of the Islamic world.

MEMBERSHIP OF D8

General Abacha took another fateful step when he got Nigeria into the D8, an organization of eight Islamic countries in 1997. The eight countries are
Egypt,
Malaysia,
Indonesia,
Iran,
Nigeria,
Turkey,
Pakistan, and
Bangladesh.

OBASANJO AND ISLAMIZATION

SHARIA, A POLITICAL FACT.

Under President Obasanjo, the Shariazation of the northern part of Nigeria, which commenced in one location in Gusau in Zamfara State, is now an established practice in most of the states in the north.

SUMMITRY OF D8

Under President Obasanjo Nigeria openly participated at the President's level in the activities of the D8 with the attendance of the President Olusegun Obasanjo at 3rd Summit of D8 in Egypt on February 24, 2001. One should ask some questions for the President of Nigeria to answer.

1. What was going through President Obasanjo's mind when he took off for Cairo that day?
2. Where did President Obasanjo tell Nigerians he was going when he took off for Cairo?
3. How comfortable was President Obasanjo when the other Islamic leaders surrounded him from Bangladesh, Turkey, Egypt, Iran, Pakistan, Indonesia, and Malaysia?
4. Did President Obasanjo, a born again Christian see himself as one of the Islamic leaders?
5. Did President Obasanjo see Nigeria as an Islamic country to qualify to be a member?

MINISTER OF FOREIGN AFFAIRS WAS WRONG

Why should the Federal Government issue a statement credited to the Foreign Minster, Alhaji Sule Lamido, that D8 is not an Islamic organization and that Nigeria's participation does not mean that Nigeria is an Islamic country. Haba!, Comrade Sule, why should you engage in disputing what is so obvious internationally? As a Foreign Minister, you should be aware of what is known internationally. If Alhaji Sule Lamido is not aware, he should read the news reports in the international media since the inauguration of the D8 through the successive Summits. He would come to one conclusion that the D8 is an organization of Islamic Countries and that membership of the organization defined by Islam.

D8 IS AN ISLAMIC ORGANIZATION

May I appeal to Alhaji Lamido to stop deceiving or confusing the Nigerian people. Does the Minister know that the CNN World news had this headline: 'Islamic Leaders Debate Responses to Globalization'? This news was web posted at 10:47 am on February 25, 2001. Does the Minister think that these international media are ignorant of the developments in the world, as the Minister would want us believe?

D8 IRRELEVANT TO PROBLEMS OF DEBT RELIEF

I do not want to discuss the merit of using this forum to attack the problems of globalization. Nigeria was in the wrong place if debt crisis is her problem. I do not want to discuss the lack of commonality among the countries except that they are all supposed to be Muslim Countries run supposedly by Islamic leaders. Nigerians were right in asking if Nigeria is a Muslim country and if President Obasanjo is an Islamic leader?

CREDIBILITY OF MINISTER AN ISSUE

May I with humility call on my former comrade in progressive movement in Nigeria, Alhaji Lamido to perform two tasks in the interest of his credibility as a Foreign Minister of Nigeria.

1. He should search for more news items on the Web on the D8 since 1997;
2. He should let Nigerians know what he found out.

OBASANJO, AN ISLAMIC LEADER OF AN ISLAMIC COUNTRY?

As a loyal Nigerian, may I let the Hon. Minister know what I found out from my exercise. I found out three things

1. That the D8 is made up of Islamic Countries;
2. That Nigeria's membership is derived from the fact the military leader who took Nigeria to D8 knew that Nigeria is an Islamic country; and
3. That the attendance of President Obasanjo at the last meeting confers on him the envious title of an Islamic leader.

CONCLUSION: A NATIONAL CONFERENCE

Finally, granted that General Olusegun Obasanjo had no alternative than to follow the footstep of General Murtala his former boss who was assassinated on February 13, 1976 in supporting the Murtala's Shariazation of Nigeria in 1977/78. But President Obasanjo has no reason whatsoever to follow the footsteps of Generals Babangida and Abacha in turning Nigeria into an Islamic State by becoming an Islamic leader in the process. A Summit of Islamic leaders, which General Abacha could not attend even though he got Nigeria into it was graced by President Obasanjo!
It is obvious that the pressure is too much for President Obasanjo. This is another reason why Nigerians of goodwill including, Chief Emeka, Anyaoku, Alhaji Babatunde Jose and Professor Adebayo Adedeji are calling for a National Conference to tackle the lingering political problems including the place of religion in the politics of Nigeria.
 
Mkuu Majimoto,

Asante kwa habari uliyotuwekea kuhusu Nigeria. Hii OIC mimi naiona ni hatari tupu, itatupeleka kwenye vita, ngojeni mtaona.
 
Nipo tayari kwa hilo! Wakaribishe hao na wengine. Ninajua na kuamini ninachokiandika. Nawajuwa watanzania na wana JF; wenye utaifa na wenye chuki. Nilimsikia Membe, nikawasikia maaskofu, kisha nikamsikia Membe tena akiwa tayari kaingia hofu. Ninachoweza kukueleza for sure, hao maaskofu na watu kama PM ni chui wa karatasi tu!

NN.

Wale wote wenye nia njema na taifa letu, mnachotakwia kutusaidia hapa ni mawazo na maswali serious kuhusu this ishu, ya kafiri na the rest of the story hayawezi kutusaidia anything,

Tuambieni ni kwa nini Mwalimu alipokuwepo, Membe hakuwa na haya mawazo? Halafu kwa nini Waziri mzima wa Jamhuri anakwenda kuongea ishu very sensitive namna hii kwenye majukwaa ya media badala ya kuanzia bungeni kwanza? Why now tena baada ya kutoka Iran ambao historia ya siasa yetu iko very clear kua ndio waliowapa hela za uchaguzi the Mtandaos ambao yeye Membe was very much involved?

Hapa hapahitaji mabishano ya kidini kwa sababu historia iko very clear kuhusu vita vya hizi dini mbili kwamba mara ya mwisho huko Europe walioshinda ni wa-Kristo, na ni none ishu at all katika kuamua iwapo Tanzania tujiunge au hapana,

Binafsi ninapinga kwa nguvu zote hii idea ya Membe, ninaamini kwamba watawala wetu wa sasa wa hili taifa wameshindwa kutuaminisha wananchi kua wana nia njema na taifa letu, na hasa uwezo mdogo wa kuongoza waliouonyesha tayari. Katika kipindi kifupi cha utawala wao wametuingiza kwenye matatizo makubwa sana, hasa inapokuja ishu zinazohusu maamuzi ya taifa letu na mataifa mengine, la mwisho lilikuwa Richimonduli.

Matatizo ya Uganda, kimaendeleo hayakumalizwa na kujiunga kwao na OIC, kwa hiyo ni hoja finyu sana kwa waziri kutudanganya na hiyo hoja uchwara, Tanzania sasa hivi ni mwanachama wa jumuiya nyingi sana za kimataifa na tunashindwa kwenda popote kimaendeleo, sasa labda ifike mahali as a nation tujiangalie upya kama ni worthy sisi kuendelea na some of hizi international membership na hasa zile zinazohitaji yearly fee kuwa member, ikibidi tujitoe nazo, badala ya kulazimisha kujiunga na jumuiya hizi za kidini ambazo zina-guarantee mgawanyiko wa kisiasa na kidini kwa taifa lolote kama letu ambalo officially halina dini moja kama letu.

I do not care what hii ni jumuiya ya Wa-Islam period, Tanzania we have no business kujiunga na this kind of Jumuiya, kwa sababu sisi sio taifa la Kii-slam, na Membe should apologize to us the public for this nonesense ideas kama amezitoa under ministerial capacity. Incompetence ya utawala wa sasa it is just out of hand, I mean waziri mzima hajui kwamba this is a very sensitive political ishu ambayo haiwezi kurushwa tu kwenye media, badala ya sehemu maalum za kisiasa na kisheria?

Hiii incompetence na huu utawala where does it stops? Kwa sababu now karibu wananchi wote tunajua inapoanzia!
 
Mkuu Field Marshall ES

Nashukuru kwa post yako hapo juu, imewakilisha vizuri sana msimamo wa wananchi wasiotaka kuburuzwa kwenye jambo ambalo licha ya kutokuwa na maslahi na wananchi wote, halielekei hata kidogo kutatua matatizo tuliyo nayo sasa. Na tena naona linaweza kutuongezea shida, ni sawa na kuongezea pilipili kwenye kidonda.

Kama ni mjadala kuhusu haki ya waislamu kujiunga na jumuiya wanayotaka, hilo nalikubali kimsingi ni haki yao kwa hiyo jumuiya husika iwaruhusu kujiunga wao kama waislamu badala ya kulazimisha nchi nzima kujiunga. Yaani OIC iweke provision kwa waislamu kutoka nchi ambazo si wanachama, waweze kujiunga na jumuiya hiyo bila kulazimisha nchi husika kujiunga. Hatuhitaji badiliko la katiba kwa ishu kama hiyo, maana kuna taasisi nyingi tu ambazo watanzania (au jumuiya zao) ni wanachama lakini Tanzania kama nchi si mwanachama.

Lingine ninaloliona hapa ni kwamba inawezekana hii ni mbinu ya watawala kukwepesha mijadala mingine ya masuala muhimu (hasa mambo ya ufisadi na kushindwa kwa serikali katika mambo mengi), ili watu tupoteze muda mwingi kujadili udini huku wao wakiendelea ku-"buy time" hadi mambo mengine yanayohojiwa sasa yajifie yenyewe "natural death". Huu mjadala kuibuka sasa hivi ni makusudi kabisa, ili utusahaulishe ya EPA, Richmond nk. Kwa hiyo tuwe makini. Tutayajadili yote, hakiachwi kitu hapa, na kama tutaingizwa kwenye hiyo OIC kwa nguvu ndipo watajua kama nchi hii ni yao peke yao au pia kuna wengine pia inaotuhusu.
 
Kwa hiyo tuwe makini. Tutayajadili yote, hakiachwi kitu hapa, na kama tutaingizwa kwenye hiyo OIC kwa nguvu ndipo watajua kama nchi hii ni yao peke yao au pia kuna wengine pia inaotuhusu.

Over our dead bodies, na not in our time ninasema never, ni tabia ya watawala wasiokuwa na uwezo wa kuongoza kutafuta njia za kutokea kwenye political misery locally created by their incompetence, we know that,

Hitler aliposhindwa kuongoza we know what he did, Idd Amin aliposhidwa kuongoza we know hwat he did, infact hata Saddam Hussein aliposhindwa kuongoza we know what he did in Kuwait and Iran,

Sasa hawa baada tu ya kurushiwa mawe kidogo tu Mbeya, sasa wanakuja na haya ya kutuingiza kwenye mgongano wa sisi wananchi wenyewe kwa wenyewe ili tusahau their incompetence!

Ninasema over our dead bodies! Mr. Membe please read our lips!
 
............Matatizo ya Uganda, kimaendeleo hayakumalizwa na kujiunga kwao na OIC, kwa hiyo ni hoja finyu sana kwa waziri kutudanganya na hiyo hoja uchwara, Tanzania sasa hivi ni mwanachama wa jumuiya nyingi sana za kimataifa na tunashindwa kwenda popote kimaendeleo, sasa labda ifike mahali as a nation tujiangalie upya kama ni worthy sisi kuendelea na some of hizi international membership na hasa zile zinazohitaji yearly fee kuwa member, ikibidi tujitoe nazo, badala ya kulazimisha kujiunga na jumuiya hizi za kidini ambazo zina-guarantee mgawanyiko wa kisiasa na kidini kwa taifa lolote kama letu ambalo officially halina dini moja kama letu.

................., na Membe should apologize to us the public for this nonesense ideas kama amezitoa under ministerial capacity. Incompetence ya utawala wa sasa it is just out of hand, I mean waziri mzima hajui kwamba this is a very sensitive political ishu ambayo haiwezi kurushwa tu kwenye media, badala ya sehemu maalum za kisiasa na kisheria?
..........

ABSOLUTELY!!!......very strong indeed.................Yes Yes this is Membe's INCOMPETENCE......period............

........please Membe wananchi deserve more than huo upuuzi/matusi
 
Hakuna cha modality wala nini, hili swala halipo na halitatokea, Kikwete anawatafuta watu kama wewe , wasijadili ufisadi wajadali dini! na ukweli amewapata, nenda kulia kushoto kaka, OIC haiwezekani hapatakalika hapa!

Nashangaa hata waialsmu kulishabikia hili, HIVI UNA MKE NA WATOTO WAKO?. Ebu fikiria unaenda kwa mshikaji ukaombe pesa, akikupa masharti ya kulala na mkeo utakataa? hivi HAMUONI AIBU dini yenu kutumika kama CHAMBO CHA KUPATA HELA NA KAMA NI ALAMA YA UMASKINI TANZANIA?

AU WALIOLETA UMASKINI TANZANIA NI WAISLAMU SO WANA REPAY? AU NDIYO ILE DHANA YA KWENDA KWA AKINA BAKHRESA SIKU ZA IJUMAA NA MIFUKO HALAFU ANAWAGAWIA BUKU BUKU na michele?

JAMANI KUOMBA NA MISAADA IWE VITA YA KITAIFA...tunadumaa, na wanatudumaza siyo hao waislamu tu hata mataifa ya ulaya, misaada inaleta matatizo, inaleta ujinga

TUKIKUBALIANA NA HILI, BASI KATIKA KAMPENI WAWE WANAONYESHA UTAALAMU WAO WA KUANDIKA PROPOSAL ZA KUOMBA MISAADA, NA HUMO WANAYOYAANDIKA NI KUWA SHULE ZA KIISLAMU HAZIFANYI VIZURI-KWA SABABU WANAKOSA MISAADA, BAKWATA KUNA MAPINDUZI YANANUKIA KILA SIKU KWA SABABU WANAKOSA MISAADA.....

JAMANI WAISLAMU WENZANGU POPOTE MLIPO, MBIU IMEPIGWA, LA MGAMBO LIMELIA, TUANDAMANE TUPINGE MATUSI HAYA YA SERIKALI YA TANZANIA JUU YA DINI YETU....ETI SISI MASKINI.

ALQAIDA NAO WATASEMA NJOONI MCHUKUE MISAADA TUTAENDA, VIPI ZIKITOKEA JUMUIYA MAALUMU ZA KDINI ZINAZASEMA WANAAMINI NDOA ZA JINSIA MOJA PIA MTAENDA!! YES SI MASKINI???


AIBU HII HATA KIKWETE KUZUNGUMZIA AMEONA WAISLAMU NDIO HAO, MATUSI HAYA ...

KIKWETE AWAZE KUBORESHA MAISHA, KUONGEZA UZALISHAJI, KUTUMIA ARDHI TULIYONAYO, KUINDUSTRILIZE MAZAO , MADINI N.K

ABORESHE UFANISI WA SERIKALI, ELIMU KILA KONA, WAKATI SERIKALI IKIWAJIBIKA, JUMIYA ZA KDINI NAZO ZIWAJIBIKE KUBORESHA UCHUMI WAO NA VIZAZI VIJAVYO NA SIO KUWAZA HELA AMABZO WATU WALIZOTOLEA JASHO! AIBU HII.

MKITAKA NENDENI, NA MIMI NA ULOKOLE WANGU NIKIWA RAIS NITALETA LANGU, AKIJA MPAGANI NAYE ATALETA LAKE, AKIJA MBUDHA ATALETA LAKE. MAANA WAISLAMU MMEJISAHAU NCHI HII DINI ZIKO NYINGI. SIO NYIE TU.NCHI UJENGWA NA KATIBA...NYERERE ALIHESHIMU HILI AMA SIVYO NCHI INGEKUWA YA KIKATOLIKI, NA ENZI HIZO WENGI WAISLAMU WALIKUWA HAWAJUI KUSOMA NA KUANDIKA!!! WALIWEKA KATIBA SERIKALI HAINA DINI.(full stop)

Samahani naona naandika mikono inatetemeka, naona kama muungwana angekuwa karibu nimpige kibao cha nguvu usoni, potelea mbali nikienda segerea..

waberoya

Safi sana Mkuu kuonyesha ni jinsi gani unauchukia Uislamu na Waislamu wewe huna tofauti sana na Rais Bush tofauti zenu ni rangi tu! Umetukana uislamu na kuudhalilisha pia sidhani kama ni uungwana ulioufanya.

Hivi hapo Unganda mbona OIC imeingia na pamekalila? Hivi kweli ninyi Wakrito wenye siasa kali mna dhamira nzuri na nchi hii kweli? Najua kuwa mnaolipinga hili mnalenu jambo mnajua kuwa OIC ikiingia kutakuwa na Benk za Kiislam hazitatoza RIBA ambayo kwetu sisi ni HARAM. Ila unataka nikakope ili mke wangu alale na alienikopesha! I see wewe kiboko sipati hata maneno ya kukuelezea ila endeleeni na kampeni yenu! All in all hata hiyo OIC ikiingia isiingie Ufisadi utapingwa na Waislam kwa manufaa ya Watanzania wote wenye dini na sio na dini. Serikali haina dini lakini viongozi na wanaotawaliwa wana dini zao na ni jukumu la watawala kuheshimu dini za wanaowaongoza. Usitetemeke hizo ni hasira zenye chuki nadhani unajua kuwa Vatican wana ubalozi hapa lakini hilo halinipatishi mie hasira wala kutetemeka mikono. Na wala sitampiga kibao Lowassa alie saini MoU na Kanisa Katoliki mwaka 1992 serikali ya Tanzania iwe inatoa pesa za walipa kodi kuendesha shughuli za kanisa hilo hapa nchini. Nimejifunza kitu kimoja hapa Tanzania Waislam wakizungumzia maslahi yao wanaambiwa ni wadini lakini wakristo wakizungumzia yao wao hawawi wadini. Nini maana ya Dini?na nini udini basi?uslamu ndio udini?

Ikiwa Serikali inatoa ruzuku kwa hospitali za kanisa waislamu wananyamaza kwanini wakristo wapige kelele serikali kuwalipa makadhi kuendesha Kadhi Courts?Ikiwa walipa kodi ni wa dini zote na wasio kuwa na dini?Mbona hamna utu?uzalendo unawashinda kwa jambo lisolo na maana kwenu?kwani ikianzishwa hiyo mahakama unadhani John Mwakitundu atashitakiwa katika mahakama hiyo?Acheni wivu na Roho mbaya jamani!

Ushauri wangu:
Chuki dhidi ya Dini ya mwenzio sisi Dini yetu inatufundisha kuheshimu dini za wengine Suratul Kafiruun. Na neno Kafiri ni yule ambae haja amini uwepo wa Mungu mmoja na kumkubali Muhammad kama ni mtume wa Mwenyezimungu.
 
Hivi ni nini madhara ya Tz kujiunga na OIC?
Mimi kama Mtanzania nitadhurika vipi endapo Tz itajiunga na OIC?
Maaskofu na watu wadini nyingine watadhurika vipi na OIC?

Kama hatuna majibu ya maswali haya, hatuna sababu za msingi kutaka Membe ajiuzulu. Kusema kwamba ati Mwalimu Nyerere hakuruhusu Tz kujiunga na OIC nikutugandisha kwenye miaka ya Nyerere: sizani kwamba Tz inatakiwa ibaki katika siasa za Nyerere karne hadi karne.
 
Khaaaa! sasa tumepagwa?!!!!!! Nchi si ya kidini....then tunataka kujiunga na juimuiya ya kiislamu, OIC!!!!!. definetely tumelongwa!
Ndugu waislamu hiyo mnayotaka sivyo, na haitafnikiwa. Period! wandugu tutabaki "neutral" hivyo hivyo...potelea mbali pesa ya shetani tuikose..ulafi wa Membe hautatupeleka huko.
Mungu tusaidie nchi hiii ibaki kama ilivyo. Amina
.
 
Hivi ni nini madhara ya Tz kujiunga na OIC?
Mimi kama Mtanzania nitadhurika vipi endapo Tz itajiunga na OIC?
Maaskofu na watu wadini nyingine watadhurika vipi na OIC?

Kama hatuna majibu ya maswali haya, hatuna sababu za msingi kutaka Membe ajiuzulu. Kusema kwamba ati Mwalimu Nyerere hakuruhusu Tz kujiunga na OIC nikutugandisha kwenye miaka ya Nyerere: sizani kwamba Tz inatakiwa ibaki katika siasa za Nyerere karne hadi karne.

Kwani sasa tulivyo tunakosa nini?
Huoni tutavunja katiba yetu mabyo inasema nchi hii haina dini?
Au hujui OIC ni kwa nchi za Kiislamu na ni kwa ajili ya jamii ya kiislamu?
******.
pendekezo;
Waislamiu wote wahamie zanzibar na tuvunje muungano ili Zanzibar ingine OIC na Tanganyika ibaki secular. Else, OIC isn't compatible to Tanzania comunity.
 
Hivi ni nini madhara ya Tz kujiunga na OIC?
Mimi kama Mtanzania nitadhurika vipi endapo Tz itajiunga na OIC?
Maaskofu na watu wadini nyingine watadhurika vipi na OIC?

Sasa hivi unadhurika nini Tanzania kutokuwemo OIC? Ni nani waliotuambia kuwa Salim hafai kua rais wetu kwa sababu ya rangi na dini yake sio hawa kina Membe na Mtandao?
 
Najua kuwa mnaolipinga hili mnalenu jambo mnajua kuwa OIC ikiingia kutakuwa na Benk za Kiislam hazitatoza RIBA ambayo kwetu sisi ni HARAM. Ila unataka nikakope ili mke wangu alale na alienikopesha!
Benki ya kiislamu inaweza kuanzishwa hata kama nchi haijajiunga OIC. Kuna aliyeanzisha benki ya aina hiyo akakatazwa? Kama hao OIC wakitaka kuanzisha benki wataanzisha tu kama wawekezaji wengine. Lau kama sharti lao la kuanzisha benki kama hiyo ni kuwa lazima tujiunge OIC, basi wana lao jambo ambalo kwetu wengine linatusababishia taharuki
Usitetemeke hizo ni hasira zenye chuki nadhani unajua kuwa Vatican wana ubalozi hapa lakini hilo halinipatishi mie hasira wala kutetemeka mikono.

Hata Iran ina ubalozi wao hapa kama zilivyo nchi nyingine

Na wala sitampiga kibao Lowassa alie saini MoU na Kanisa Katoliki mwaka 1992 serikali ya Tanzania iwe inatoa pesa za walipa kodi kuendesha shughuli za kanisa hilo hapa nchini.
Hebu toa uthibitisho wa tuhuma hii.

Ikiwa Serikali inatoa ruzuku kwa hospitali za kanisa waislamu wananyamaza kwanini wakristo wapige kelele serikali kuwalipa makadhi kuendesha Kadhi Courts?
Kuna tofauti kubwa sana hapa. Hospitali hizo zinahudumia wananchi wote bila kujali dini, na hilo ni sharti mojawapo kabla ya kuteuliwa kupata ruzuku ya serikali. Inafahamika kuwa mahakama za kadhi zitakuwa zinahudumia waislamu peke yao. Na pili, waislamu hawakukatazwa kujenga hospitali kwenye maeneo ya vijijini ambako hakukuwa na hospitali za serikali kama kule Muheza, Ifakara, Biharamulo, Ndanda nk, ambako wananchi wengi (bila kujali dini zao)wanazitegemea hospitali hizo kwa huduma za tiba. Na sijawahi kusikia kuwa waislamu wameomba ruzuku kwa ajili ya hospitali yao ambayo inakidhi sifa za kupata ruzuku hiyo wakanyimwa. Kwa hiyo usifananishe suala la kadhi na hospitali za misheni, hazifanani hata chembe!
Ikiwa walipa kodi ni wa dini zote na wasio kuwa na dini?Mbona hamna utu?uzalendo unawashinda kwa jambo lisolo na maana kwenu?kwani ikianzishwa hiyo mahakama unadhani John Mwakitundu atashitakiwa katika mahakama hiyo?
Hapa unazidi kuthibitisha kuwa si haki kwa asiye mwislamu kuchangia kodi yake katika mahakama hiyo maana haitamhusu!
Acheni wivu na Roho mbaya jamani!

Hebu jipime mwenyewe, mwenye roho mbaya hapa nani sasa kati ya wewe na unaowapinga?

 
Najua kuwa mnaolipinga hili mnalenu jambo mnajua kuwa OIC ikiingia kutakuwa na Benk za Kiislam hazitatoza RIBA ambayo kwetu sisi ni HARAM.

Benki ngapi zipo Dar sasa tena mpaka za Bin Laden, hiyo haiwatoshi tu? Nendeni na Bakwata yenu mjiunge huko, hizi msituletee ujinga huu ndani ya taifa letu!
 
"Poverty is not the real problem of the modern world. For we have the knowledge and resources which could enable us to overcome poverty. The real problem--the thing which causes misery, wars, and hatred among men--is the division of mankind into rich and poor."

- Author Mwalimu Nyerere.
 
Hivi ni nini madhara ya Tz kujiunga na OIC?
Mimi kama Mtanzania nitadhurika vipi endapo Tz itajiunga na OIC?
Maaskofu na watu wadini nyingine watadhurika vipi na OIC?

Kama hatuna majibu ya maswali haya, hatuna sababu za msingi kutaka Membe ajiuzulu. Kusema kwamba ati Mwalimu Nyerere hakuruhusu Tz kujiunga na OIC nikutugandisha kwenye miaka ya Nyerere: sizani kwamba Tz inatakiwa ibaki katika siasa za Nyerere karne hadi karne.

Madhara yake ni kutulazimisha kufuata maazimio na makubaliano yanayotolewa kwa misingi ya kiimani ambayo mimi siiamini. Madhara yake ni kunilazimisha kufuata 'OIC charter' ambayo siiamini, na ina vipengele ambavyo sipendi kushiriki maana siviamini. Mimi nikikutuma wewe mwislamu ujiunge na shirika ambalo lengo lake ni kueneza dini nyingine utakubali? Ukikubali ina maana umepingana na dini yako inayosema Mungu ni huyo mmoja unayemwamini wewe, na Mtume wake ni huyo unayeamini! Hakuna madhara hapo? Madhara yake ni kufungamanishwa kwa nguvu na mambo nisiyoyaamini, kufarakanishwa na ninayoamini (maana yanatofautiana na OIC charter), na kupangiwa misimamo nisiyoiamini wala kuikubali. Madhara yake ni kuwagawa wananchi, baina ya wale ambao hiyo OIC inawahusu na wanafurahia jambo hilo na sisi ambao haituhusu na hatulipendi jambo hilo. Madhara yake ni mifarakano na kutokuelewana katika jamii kama ilivyoanza kutokea sasa katika mjadala huu hapa JF!
 
Date::10/25/2008
Masheikh wajipanga kuwajibu maaskofu
Salim Said na Ibrahim Bakari
Mwananchi

SUALA la Tanzania kujiunga na Jumuiya ya Nchi za Kiislaam (OIC) limechukua sura mpya baada ya masheikh kutoka tasisi na madhehebu mbambali kufanya kikao cha dharura jana na kujipanga kutoa msimamo wao Ijumaa ijayo.

Masheikh hao ambao ni Maimamu wa misikiti mbalimbali jijini Dar es Salaam pamoja na viongozi wa taasisi mbalimbali za kiislaam nchini baada ya mjadala huo walitoka na msimamo kuwa watatangaza uwanja baadaye na kuwajibu maaskofu wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) waliotoa tamko la kupinga Tanzania kujiunga OIC na kumtaka Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe anayelishadadia ajiuzulu.


Katibu wa Kamati ya masheikh hao, Ramdhan Sanze alithibitisha kuwa tamko lao litatolewa Ijumaa.


“Kwa kweli askofu kumwambia waziri apewe kadi nyekundu kwa kukubali jambo lenye maslahi kwa taifa si kauli nzuri na ni kiburi, sasa tunataka kujua kiburi hiki wamekitoa wapi?” alihoji Sheikh Sanze.

Alifafanua kama maaskofu wanatumia kigezo cha katiba ambacho hakina nguvu kwa sababu katiba ipo kwa maslahi ya Watanzania wote wa dini, makabila na rangi zote.

“Kama wao hawataki na hawawezi kukubali Tanzania ijiunge na OIC na sisi pia hatutaki na wala hatuwezi kukubali kukosa manufaa makubwa ya kijamii na kiuchumi kutokana na vikwazo vyao,” alisema Sheikh Sanze.

Sheikh Sanze alisema kuwa kama hali itakuwa hivyo wataona baada ya jahazi kuachana nani atachukua nini.

“Masheikh wamekubaliana kuwa tutoa tamko letu rasmi na zito siku ya Ijumaa ijayo na tena tutalitoa uwanjani, ni uwanja gani na saa ngapi yapo katika mchakato na tutatangaza,” alisema Sheikh Sanze.

Sheikh Sanze alisema watahoji mtazamo na msimamo wa serikali kuhusiana na kiburi cha maaskofu hao wa CCT kujiunga na OIC.

Alisema Tanzania si ya wakristo wala waislaam bali ni ya wote kwa hiyo kila mmoja ana haki ya kupata kile anachostahili kupata bila ya kuwekewa vikwazo na imani nyingine.

Aliongeza kuwa suala la Mahakama ya Kadhi na OIC si mapya kwa Tanzania kwa sababu yalikuwepo na hakuna madhara yoyote waliyoyapata Watanzania kutokana na uwepo wake.

“Hili si jambo jipya lilikuwepo na tulikuwa tunafaidika sana kwa hiyo ni kulirejesha tu na wala si la kuasisiwa upya,” alisema Sheikh Sanze.

Kwa mujibu wa sheikh Sanze OIC ni taasisi inayoongoza kwa kutoa misaada na mikopo yenye riba nafuu duniani kote, hivyo Tanzania ina kila sababu ya kujiunga na Jumuiya hiyo.

“Hapa tatizo si dini tatizo ni kwa kiwango gani Watanzania watafaidika na iwapo nchi yao itakuwa mwanachama wa OIC bila kujali dini,” alisema Sheikh Sanze.

Alisema Tanzania inajiunga na Jumuiya mbalimbali za kimataifa ambazo zinatoa misaada na mikopo kwa nchi yetu yenye masharti magumu na kuhoji kwa nini OIC ipingwe.

Juzi CCT ilitoa tamko la kumwonya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe kuwa kauli zake kuhusu kujiunga na Jumuiya ya Kimataifa ya Nchi za Kiislamu (OIC) zinaweza kusababisha mgawanyiko wa kitaifa na kumtaka aachane nazo au ajiuzulu wadhifa wake.

Tamko hilo la maaskofu wa makanisa ya Kikristo limekuja baada ya Waziri Membe kukaririwa akisema kuwa hakuna athari zozote kwa Tanzania kujiunga na taasisi hiyo, ambayo madhumuni yake ni kutetea binadamu na hasa Waislamu na sehemu takatifu.

Wakitoa tamko lao kwa waandishi wa habari juzi, maaskofu hao kutokana makanisa ya kiprotestanti walisema kauli ya Waziri Membe ina lengo la kutetea maslahi ya watu wachache.

Katika hatua nyingine maaskofu zaidi ya 300 wa Makanisa ya Kipentekoste Tanzania, (KLPT) waliokuwa wanakutana jijini Dar es Salaam, nao wamepinga serikali kudhamiria kujiunga na OIC na kuonya kwamba taifa litasambaratika.

Mwangalizi Mkuu wa Kanisa hilo, Askofu Philemon Tibanenason alisema wao kama kanisa wanalipinga hilo kwa kuwa lipo nje ya katiba. “Nchi inakoelekea si pazuri, mfano kutumika kwa uislamu na ukristo, ni kinyume na katiba.

Tayari vikundi vya waumini na taasisi mbalimbali vimekwishatoa misimamo yao kupinga hatua ya Waziri Membe na msaidizi wake, Seif Alli Iddi juu ya suala hilo.

“Dini ni nje ya serikali ndiyo maana hakuna Waziri wa Uislamu…sisi kama kanisa kwanza tunashangazwa na hii ya kupeleka masuala ya dini bungeni, kuzungumza masuala ya dini bungeni, pia ni kinyume na katiba…sisi hatuna dini sasa iweje leo hii tunaingiza mijadala ya kidini?

“Hatuchukii dini wala Uislamu, lakini tunachopinga ni nchi kuendeshwa katika misingi hiyo. Tunaona Pakistan, Sudan, Lebanon, kila kukicha ni mapigano…,” alisema Tibanenason.

Aliongeza kusema: ”Kanisa linapenda kuitahadharisha serikali na kuitaka kusimamia bila woga katiba yetu kwa kuwa serikali imepewa dhamana hiyo na wanachi kwa kiapo.

”Sisi kama kanisa la Pentekoste Tanzania, tunaungana na wote hao kupinga kwa nguvu kusudio hilo la serikali..kazi ya kutangaza, kueneza na kuamini ni suala la mtu binafsi na uendeshaji wa taasisi ni nje ya shughuli za mamlaka ya nchi.

Akisisitiza, Tibanenason alisema kujiunga na OIC kutaleta mgawanyiko na hofu katika jamii huku akiiunganisha na Mahakama ya Kadhi kuwa haina mashiko kwa jamii nyingine isiyo ya Kiislamu.

Alisema kwa kuwa serikali ina chombo chake cha kutoa haki kwa wananchi, kama mahakama, na kuiingiza Mahakama ya Kadhi ni kuinyang’anya serikali mamlaka yake ya utoaji na usimamizi wa haki sawa kwa wananchi wake. Mahakama hiyo haiwezi kukubalika katika taifa ambalo si la Kiislamu

Akizungumzia suala la ufisadi, alisema ni matokeo ya ubinafsi wa viongozi wengi. ”Wengi wamekosa upendo, ni wapenda pesa kiasi cha kusahau maadili ya uongozi. Watu wanaopewa madaraka si waadilifu tena na ingekuwa inawezekana, wangeenguliwa kutoka madarakani ili tutafutwe waadilifu wa kweli.

”Watu wanafahamika, tunadhani hata Rais anatakiwa kuangalia watu waadilifu, tunataka ateue watu wenye moyo wa kweli wa kuipenda nchi na watu wake,” alisema.

Juu ya mauaji ya maalbino, alisema azimio la mkutano wao ulioanza Alhamisi iliyopita hadi jana, ni kwamba serikali iwanyang’anye waganga wa jadi leseni za kuendesha biashara zao kwa kuwa ni chanzo na wachochezi wa mauaji.
 
sw km ugnda, msumbikji walikuwa na sababu basi nasi tunasababu nzito tuu ya zanzibar ambayo inataka kujiunga na jumuiya hiyo hivyo sisi kama ni big brother kunastahili kujiunga


....acheni cheap arguing ....niambie OIC walitoa msaada gani..kwa msumbiji wakati wa yale mafuriko makubwa...niambie chochote ambacho ni landmark pale msumbiji kimefanywa na OIC......

PILI....wakati uganda ikipigana kurudi kwenye hali ya kawaida ya kiuchumi kabla museveni hajaingia mwaka 1986......OIC walikuwa wapi kuisaidia uganda zaidi ya kujenga kile chuo kikuu [ISLAMIC UNIVERSITY].....NA kujenga ule msikiti mkuu wa uganda amabao hata hivyo haukuisha hadi alipokuja ghadaffi kuumalizia....

OIC wametoa msaada gani kwa somalia ..baada ya siad barre kupinduliwa....wametoa senti ngapi kudhamini angalau mazungumzo ya nairobi....

OIC ..na mwanachama wake sudan ...wametoa ushawishi gani kumaliza machinjio ya wanadamu kule darfur

.....interest kubwa ya OIC ni kujenga msikiti wa AL QUARSA..pale israel.....na kufanya advancement ya mambo ya kidini tu....

........

vipande vya pesa alivyopewa kikwete na IRAN ili aingie ikulu vitamponza...ushahidi wa hili upo ML15....YULE mwandishi wa african report [somebody rajab]....alimwambia akauchukue huo ushahidi pale kikwete alipotishia kumfungulia kesi ya kashfa london...hadi leo mawakili wa kikwete hawajatia mguu london kufungua kesi......

..kinadharia MEMBE ameshasilimishwa ...kwani tangu anapokea pesa za kampeni za mtandao toka iran alianza kuwa MPINGA KRISTO .....atuambie tu kuwa siku hizi jina lake ni nani??...........afadhali angekuwa anatoa hiyo kauli kama taarifa rasmi ya serikali ya maamuzi rasmi...lakini kwakuwa alikuwa anatumika ..basi ana lake jambo!!!

HII NAFASI YA URAIS ILIKUWA HALALI YA ...SALIM AHMED SALIM....HAWA KINA MEMBE NA KIKWETE WAKAMDHULUMU KWA MBINU CHAFU IKIWEMO YA KUUNGANISHA PICHA YA UJANA YA SALIM KWA COMPUTER AONEKANE YUPO NA SULTANI.......TUMEONA SERIKALI NYINGI LAKINI SIJAWAHI KUONA SERIKALI ILIYOCHOKWA NA WANANCHI KWA KIASI HICHI WAKATI HATA MIAKA MITATU BADO...................HAWA NDIO WALIOOHONGA HADI WATU WANAOJIITA "MAASKOFU?"....WASEME KIKWETE NI CHAGUO LA MUNGU.......WAKO WAPI LEO KUMUOMBEA????

NAAMINI MUNGU ANALIPENDA TAIFA LETU ...KUNA ULAZIMA WA KUFANYA SALA YA TOBA KWA KUMSINGIZIA KUWA ALITULETEA CHAGUO HILI????

TANGU LINI MTOTO AKAKUOMBA SAMAKI UKAMPA NYOKA?????.......MUNGU WETU HAWEZI KUTUPA NYOKA!!!

NAAMINI KAMA KUNA HILA NA NGUVU ZA GIZA,WIZI WA EPA NA UCHAFU MWINGINE ZILITUMIKA ...TUTASHUHUDIA...AKIANGUSHA!!!!
 
..kinadharia MEMBE ameshasilimishwa ...kwani tangu anapokea pesa za kampeni za mtandao toka iran alianza kuwa MPINGA KRISTO .....atuambie tu kuwa siku hizi jina lake ni nani??...........afadhali angekuwa anatoa hiyo kauli kama taarifa rasmi ya serikali ya maamuzi rasmi...lakini kwakuwa alikuwa anatumika ..basi ana lake jambo!!!

Hizo ndio hoja za jazba sasa nani kakwambia kama Membe kasilimu? unaweza kueleza kuchukizwa kwako na kujiunga na OIC bila ya kuharibu majina ya watu na kukashifu dini za wenzio
 
Back
Top Bottom