Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Hizo ndio hoja za jazba sasa nani kakwambia kama Membe kasilimu? unaweza kueleza kuchukizwa kwako na kujiunga na OIC bila ya kuharibu majina ya watu na kukashifu dini za wenzio

....MASATU BWANA ....nimesema ..kinadharia..amesilimu!!!!...nadhani unaelewa mtu anaposema kinadharia.na waala hakuna mahali nimekashfu dini ya mtu ...labda niseme kuwa wewe ndio umemshusha sana hadhi membe...kiasi cha kuona KITENDO TU CHA MEMBE KUHUSISHWA NA DINI FULANI NI AS IF HIYO DINI IMEKASHIFIWA!!!............NI MTU AKUHUSISHE NA MTU ASIYEFAA KWENYE JAMII...MIMI NILIKUWA SIJAFIKA HUKO.

..MUUMINI AKIANZA KUTENDA MATENDO YALIYO KINYUME NA MATENDO YANAYOPINGANA NA DINI YAKE ...TENA BILA MAELEKEZO YA DOLA[MAANA TUMEELEKEZWA KUMTII KAIZARI].....HUNA HAJA YA KUJIULIZA KUHUSU KIASI CHA UAMINIFU WAKE KWA IMANI YAKE!
 
....MASATU BWANA ....nimesema ..kinadharia..amesilimu!!!!...nadhani unaelewa mtu anaposema kinadharia.na waala hakuna mahali nimekashfu dini ya mtu ...labda niseme kuwa wewe ndio umemshusha sana hadhi membe...kiasi cha kuona KITENDO TU CHA MEMBE KUHUSISHWA NA DINI FULANI NI AS IF HIYO DINI IMEKASHIFIWA!!!............NI MTU AKUHUSISHE NA MTU ASIYEFAA KWENYE JAMII...MIMI NILIKUWA SIJAFIKA HUKO.

..MUUMINI AKIANZA KUTENDA MATENDO YALIYO KINYUME NA MATENDO YANAYOPINGANA NA DINI YAKE ...TENA BILA MAELEKEZO YA DOLA[MAANA TUMEELEKEZWA KUMTII KAIZARI].....HUNA HAJA YA KUJIULIZA KUHUSU KIASI CHA UAMINIFU WAKE KWA IMANI YAKE!

Sasa hebu nifamishe "kusilimu kinadharia" kukoje? Kwa ufahamu wangu mdogo neno la karibu na nadharia ni kufanya jambo bila matendo ( theoretical). Kama ni sahihi ili awe amesilimu kinadharia anakuwa ametamka kuwa yeye muislamu sasa je waziri ametamka yeye ni muislam?
 
http://www.oic-oci.org/oicnew/member_states.asp

Waungwana badala ya hawa Masheikh na Maaskofu kutaka kuonyesha nani mbabe zaidi katika swala hili la umuhimu/kutokuwa na umuhimu wa Tanzania kujiunga na OIC ni bora ungefanywa utafiti wa kina kwa utumia balozi tatu katika nchi wanachama toka Afrika ambazo mimi naweza kusema huwezi kuziweka kwenye kundi la nchi za Kiislamu.

Nchi hizi kama zinavyoonekana katika link hiyo hapo juu ni Uganda ambayo ilijiunga OIC tangu mwaka 1974, Nigeria iliyojiunga mwaka 1986 na Msumbiji iliyojiunga mwaka 1994.
Serikali inaweza kabisa kwa kuwatumia balozi zetu katika nchi hizo ikakusanya athari na faida ambazo nchi hizo imezipata kutokana na kuwa wanachama wa OIC. Hizi zianikwe hadharani ili Watanzania walio ndani ya nje ya Tanzania tuzichambue kwa kina kabla ya kufanya uamuzi wa kujiunga au kutojiunga na OIC. Pia kama kuna masharti (nitayatafuta kwenye web site yao) yoyote ya kuwa mwanachama wa umoja huo basi pia nayo yawekwe hadharani kisha Watanzania tuamue kujiunga na umoja huo au kutojiunga.

Hili likifanyika litaondoa utata na ubabe unaotaka kuonyeshwa na pande zote mbili zinazounga na kutounga. Vinginevyo tunaweza kupigizana kelele bila ya kuwa na vigezo vyovyote muhimu na hatimaye kuingiza Tanzania katika matatizo makubwa zaidi na hasa ukitilia maanani Tanzania sasa hivi haijatulia kwa mambo mbali mbali yakiwemo mafisadi, uongozi duni n.k. tukiongeza na hili la udini basi nchi inaweza kulipuka tukabaki tunalia vilio vya mbwa mdomo juu, maana athari yake inaweza kuwa na matokeo mabaya sana.
 
[media]http://www.oic-oci.org/oicnew/is11/english/Charter-en.pdf[/media]

Kwenye link hiyo hapo juu tayari kuna utata



Charter of the Organisation of the Islamic Conference

In the name of Allah, the most Compassionate, the most Merciful
We the Member States of the Organisation of the Islamic
Conference, determined: to acknowledge the Conference of Kings, Heads of State and Government of the Member States convened in Rabat from 9 to 12 Rajab, 1389 H,
corresponding to 22 to 25 September 1969, as well as the Conference of
Foreign Ministers held in Jeddah from 14 to 18 Muharram 1392 H
corresponding to 29 February to 4 March 1972;

to be guided by the noble Islamic values of unity and fraternity, and affirmingthe essentiality of promoting and consolidating the unity and solidarity among
the Member States in securing their common interests at the international
arena;

to adhere our commitment to the principles of the United Nations Charter, the
present Charter and International Law; to preserve and promote the lofty Islamic values of peace, compassion, tolerance, equality, justice and human dignity;
to endeavour to work for revitalizing Islam’s pioneering role in the world while ensuring sustainable development, progress and prosperity for the peoples of Member States; to enhance and strengthen the bond of unity and solidarity among the Muslim peoples and Member States; to respect, safeguard and defend the national sovereignty, independence and
territorial integrity of all Member States;
to contribute to international peace and security, understanding and dialogue among civilizations, cultures and religions and promote and encourage friendly relations and good neighbourliness, mutual respect and cooperation; to promote human rights and fundamental freedoms, good governance, rule of law, democracy and accountability in Member States in accordance with their
constitutional and legal systems;

to promote confidence and encourage friendly relations, mutual respect and
cooperation between Member States and other States; to foster noble Islamic values concerning moderation, tolerance, respect fordiversity, preservation of Islamic symbols and common heritage and to defendthe universality of Islamic religion; to advance the acquisition and popularization of knowledge in consonance
with the lofty ideals of Islam to achieve intellectual excellence;
to promote cooperation among Member States to achieve sustained socioeconomic
development for effective integration in the global economy, in
conformity with the principles of partnership and equality;
to preserve and promote all aspects related to environment for present and
future generations;
to respect the right of self-determination and non-interference in the domestic
affairs and to respect sovereignty, independence and territorial integrity of
each Member State;
to support the struggle of the Palestinian people, who are presently under
foreign occupation, and to empower them to attain their inalienable rights,
including the right to self-determination, and to establish their sovereign state
with Al-Quds Al-Sharif as its capital, while safeguarding its historic and
Islamic character, and the holy places therein; to safeguard and promote the rights of women and their participation in all spheres of life, in accordance with the laws and legislation of Member States; to create conducive conditions for sound upbringing of Muslim children and youth, and to inculcate in them Islamic values through education for
strengthening their cultural, social, moral and ethical ideals; to assist Muslim minorities and communities outside the Member States to preserve their dignity, cultural and religious identity; to uphold the objectives and principles of the present Charter, the Charter of the United Nations and international law as well as international humanitarian
law while strictly adhering to the principle of non-interference in matters which are essentially within the domestic jurisdiction of any State; to strive to achieve good governance at the international level and the democratization of the international relations based on the principles of equality and mutual respect among States and non-interference in matters which are within their domestic jurisdiction; Have resolved to cooperate in achieving these goals and agreed to the present amended Charter.

CHAPTER I
Objectives and Principles
Article 1
The objectives of the Organisation of the Islamic Conference shall be:
1. To enhance and consolidate the bonds of fraternity and solidarity among the
Member States;
2. To safeguard and protect the common interests and support the legitimate
causes of the Member States and coordinate and unify the efforts of the
Member States in view of the challenges faced by the Islamic world in
particular and the international community in general;
3. To respect the right of self-determination and non-interference in the domestic affairs and to respect sovereignty, independence and territorial integrity of each Member State;

4. To support the restoration of complete sovereignty and territorial integrity of
any Member State under occupation, as a result of aggression, on the basis of
international law and cooperation with the relevant international and regional
organisations;
5. To ensure active participation of the Member States in the global political,
economic and social decision-making processes to secure their common
interests;
6. To promote inter-state relations based on justice, mutual respect and good
neighbourliness to ensure global peace, security and harmony;
7. To reaffirm its support for the rights of peoples as stipulated in the UN Charter
and international law;
8. To support and empower the Palestinian people to exercise their right to selfdetermination
and establish their sovereign State with Al-Quds Al-Sharif as its
capital, while safeguarding its historic and Islamic character as well as the
Holy places therein;

9. To strengthen intra-Islamic economic and trade cooperation; in order to
achieve economic integration leading to the establishment of an Islamic
Common Market;


10. To exert efforts to achieve sustainable and comprehensive human
development and economic well-being in Member States;

11. To disseminate, promote and preserve the Islamic teachings and values based
on moderation and tolerance, promote Islamic culture and safeguard Islamic
heritage;
4
12. To protect and defend the true image of Islam, to combat defamation of Islam and encourage dialogue among civilisations and religions;

13. To enhance and develop science and technology and encourage research and
cooperation among Member States in these fields;

14. To promote and to protect human rights and fundamental freedoms including
the rights of women, children, youth, elderly and people with special needs as
well as the preservation of Islamic family values;

15. To emphasize, protect and promote the role of the family as the natural and
fundamental unit of society;

16. To safeguard the rights, dignity and religious and cultural identity of Muslim
communities and minorities in non-Member States;

17. To promote and defend unified position on issues of common interest in the
international fora;

18. To cooperate in combating terrorism in all its forms and manifestations,
organised crime, illicit drug trafficking, corruption, money laundering and
human trafficking;

19. To cooperate and coordinate in humanitarian emergencies such as natural
disasters;

20. To promote cooperation in social, cultural and information fields among the
Member States.

Article 2
The Member States undertake that in order to realize the objectives in Article 1, they
shall be guided and inspired by the noble Islamic teachings and values and act in
accordance with the following principles:

1. All Member States commit themselves to the purposes and principles of the
United Nations Charter;

2. Member States are sovereign, independent and equal in rights and obligations;

3. All Member States shall settle their disputes through peaceful means and
refrain from use or threat of use of force in their relations;

4. All Member States undertake to respect national sovereignty, independence
and territorial integrity of other Member States and shall refrain from
interfering in the internal affairs of others;

5. All Member States undertake to contribute to the maintenance of international
peace and security and to refrain from interfering in each other’s internal
affairs as enshrined in the present Charter, the Charter of the United Nations,
international law and international humanitarian law;


6. As mentioned in the UN Charter, nothing contained in the present Charter
shall authorize the Organisation and its Organs to intervene in matters which
are essentially within the domestic jurisdiction of any State or related to it;

7. Member States shall uphold and promote, at the national and international
levels, good governance, democracy, human rights and fundamental freedoms,
and the rule of law;

8. Member States shall endeavour to protect and preserve the environment.
CHAPTER II
Membership
Article 3
1. The Organisation is made up of 57 States member of the Organisation of the
Islamic Conference and other States which may accede to this Charter in
accordance with Article 3 paragraph 2.
2. Any State, member of the United Nations, having Muslim majority and
abiding by the Charter, which submits an application for membership may
join the Organisation if approved by consensus only by the Council of Foreign
Ministers on the basis of the agreed criteria adopted by the Council of Foreign
Ministers.


3. Nothing in the present Charter shall undermine the present Member States’
rights or privileges relating to membership or any other issues.

Article 4
1. Decision on granting Observer status to a State, member of the United
Nations, will be taken by the Council of Foreign Ministers by consensus only
and on the basis of the agreed criteria by the Council of Foreign Ministers.

2. Decision on granting Observer status to an international organisation will be
taken by the Council of Foreign Ministers by consensus only and on the basis
of the agreed criteria by the Council of Foreign Ministers.

CHAPTER III
Organs
Article 5
The Organs of the Organisation of the Islamic Conference shall consist of:
1. Islamic Summit
2. Council of Foreign Ministers
3. Standing Committees
4. Executive Committee
5. International Islamic Court of Justice
6. Independent Permanent Commission of Human Rights
7. Committee of Permanent Representatives
8. General Secretariat
9. Subsidiary Organs
10. Specialized Institutions
11. Affiliated Institutions
CHAPTER IV
Islamic Summit
Article 6
The Islamic Summit is composed of Kings and Heads of State and Government of Member States and is the supreme authority of the Organisation.

Article 7
The Islamic Summit shall deliberate, take policy decisions and provide guidance on
all issues pertaining to the realization of the objectives as provided for in the Charter
and consider other issues of concern to the Member States and the Ummah.

Article 8
1. The Islamic Summit shall convene every three years in one of the Member States.
2. The Preparation of the Agenda and all necessary arrangements for the convening
of the Summit will be done by the Council of Foreign Ministers with the
assistance of the General Secretariat.

Article 9
Extraordinary Sessions will be held, whenever the interests of Ummah warrant it, to
consider matters of vital importance to the Ummah and coordinate the policy of the
Organisation accordingly. An Extraordinary Session may be held at the
recommendation of the Council of Foreign Ministers or on the initiative of one of the
Member States or the Secretary-General, provided that such initiative obtains the
support of simple majority of the Member States.

CHAPTER V
Council of Foreign Ministers
Article 10
1. The Council of Foreign Ministers shall be convened once a year in one of the
Member States.

2. An Extraordinary Session of the Council of Foreign Ministers may be convened at
the initiative of any Member State or of the Secretary-General if such initiative is
approved by a simple majority of the Member States.

3. The Council of Foreign Ministers may recommend convening other sectorial
Ministerial meetings to deal with the specific issues of concern to the Ummah.
Such meetings shall submit their reports to the Islamic Summit and the Council of
Foreign Ministers.

4. The Council of Foreign Ministers shall consider the means for the implementation
of the general policy of the Organisation by:
a. Adopting decisions and resolutions on matters of common interest in
the implementation of the objectives and the general policy of the
Organisation;
b. Reviewing progress of the implementation of the decisions and
resolutions adopted at the previous Summits and Councils of Foreign
Ministers;
c. Considering and approving the programme, budget and other financial
and administrative reports of the General Secretariat and Subsidiary
Organs;
d. Considering any issue affecting one or more Member States whenever
a request to that effect by the Member State concerned is made with a
view to taking appropriate measures in that respect;
e. Recommending to establish any new organ or committee;
f. Electing the Secretary General and appointing the Assistant Secretaries
General in accordance with Articles 16 and 18 of the Charter
respectively;
g. Considering any other issue it deems fit.
CHAPTER VI
Standing Committees
Article 11
1. In order to advance issues of critical importance to the Organisation and its
Member States, the Organisation has formed the following Standing
Committees:
i. Al Quds Committee
ii. Standing Committee for Information and Cultural Affairs
(COMIAC)
iii. Standing Committee for Economic and Commercial
Cooperation (COMCEC)
8
iv. Standing Committee for Scientific and Technological
Cooperation (COMSTECH).
2. The Standing Committees are chaired by Kings and Heads of State and
Government and are established in accordance with decisions of the Summit
or upon the recommendation of the Council of Foreign Ministers and the
membership of such Committees.
CHAPTER VII
Executive Committee
Article 12
The Executive Committee is comprised of the Chairmen of the current, preceding and
succeeding Islamic Summits and Councils of Foreign Ministers, the host country of
the Headquarters of the General Secretariat as well as the Secretary-General as an exofficio
member. The Meetings of the Executive Committee shall be conducted
according to its Rules of Procedure.
CHAPTER VIII
Committee of Permanent Representatives
Article 13
The prerogatives and modes of operation of the Committee of Permanent
Representatives shall be defined by the Council of Foreign Ministers.
CHAPTER IX
International Islamic Court of Justice
Article 14
The International Islamic Court of Justice established in Kuwait in 1987 shall, upon
the entry into force of its Statute, be the principal judicial organ of the Organisation.
CHAPTER X
Independent Permanent Commission on Human Rights
Article 15
The Independent Permanent Commission on Human Rights shall promote the civil,
political, social and economic rights enshrined in the organisation’s covenants and
declarations and in universally agreed human rights instruments, in conformity with
Islamic values.
9
CHAPTER XI
General Secretariat
Article 16
The General Secretariat shall comprise a Secretary-General, who shall be the Chief
Administrative Officer of the Organisation and such staff as the Organisation requires.
The Secretary-General shall be elected by the Council of Foreign Ministers for a
period of five years, renewable once only. The Secretary-General shall be elected
from among nationals of the Member States in accordance with the principles of
equitable geographical distribution, rotation and equal opportunity for all Member
States with due consideration to competence, integrity and experience.
Article 17
The Secretary General shall assume the following responsibilities:
a. bring to the attention of the competent organs of the Organisation matters
which, in his opinion, may serve or impair the objectives of the Organisation;
b. follow-up the implementation of decisions, resolutions and recommendations
of the Islamic Summits, and Councils of Foreign Ministers and other
Ministerial meetings;
c. provide the Member States with working papers and memoranda, in
implementation of the decisions, resolutions and recommendations of the
Islamic Summits and the Councils of Foreign Ministers;
d. coordinate and harmonize, the work of the relevant Organs of the
Organisation;
e. prepare the programme and the budget of the General Secretariat;
f. promote communication among Member States and facilitate consultations
and exchange of views as well as the dissemination of information that could
be of importance to Member States;
g. perform such other functions as are entrusted to him by the Islamic Summit or
the Council of Foreign Ministers;
h. submit annual reports to the Council of Foreign Ministers on the work of the
Organisation.
Article 18
1. The Secretary-General shall submit nominations of Assistant Secretaries
General to the Council of Foreign Ministers, for appointment, for a period of
5 years in accordance with the principle of equitable geographical distribution
10
and with due regard to the competence, integrity and dedication to the
objectives of the Charter. One post of Assistant Secretary General shall be
devoted to the cause of Al-Quds Al-Sharif and Palestine with the
understanding that the State of Palestine shall designate its candidate.
2. The Secretary-General may, for the implementation of the resolutions and
decisions of the Islamic Summits and the Councils of Foreign Ministers,
appoint Special Representatives. Such appointments along with mandates of
the Special Representatives shall be made with the approval of the Council of
Foreign Ministers.
3. The Secretary-General shall appoint the staff of the General Secretariat from
among nationals of Member States, paying due regard to their competence,
eligibility, integrity and gender in accordance with the principle of equitable
geographical distribution. The Secretary-General may appoint experts and
consultants on temporary basis.
Article 19
In the performance of their duties, the Secretary-General, Assistant Secretaries
General and the staff of the General Secretariat shall not seek or accept instructions
from any government or authority other than the Organisation. They shall refrain from
taking any action that may be detrimental to their position as international officials
responsible only to the Organisation. Member States shall respect this exclusively
international character, and shall not seek to influence them in any way in the
discharge of their duties.
Article 20
The General Secretariat shall prepare the meetings of the Islamic Summits and the
Councils of Foreign Ministers in close cooperation with the host country insofar as
administrative and organizational matters are concerned.
Article 21
The Headquarters of the General Secretariat shall be in the city of Jeddah until the
liberation of the city of Al-Quds so that it will become the permanent Headquarters of
the Organisation.
CHAPTER XII
Article 22
The Organisation may establish Subsidiary Organs, Specialized Institutions and grant
affiliated status, after approval of the Council of Foreign Ministers, in accordance
with the Charter.
11
Subsidiary Organs
Article 23
Subsidiary organs are established within the framework of the Organisation in
accordance with the decisions taken by the Islamic Summit or Council of Foreign
Ministers and their budgets shall be approved by the Council of Foreign Ministers.
CHAPTER XIII
Specialized Institutions
Article 24
Specialized institutions of the Organisation are established within the framework of
the Organisation in accordance with the decisions of the Islamic Summit or Council
of Foreign Ministers. Membership of the specialized institutions shall be optional and
open to members of the Organisation. Their budgets are independent and are
approved by their respective legislative bodies stipulated in their Statute.
Affiliated Institutions
Article 25
Affiliated institutions are entities or bodies whose objectives are in line with the
objectives of this Charter, and are recognized as affiliated institutions by the Council
of Foreign Ministers. Membership of the institutions is optional and open to organs
and institutions of the Member States. Their budgets are independent of the budget of
the General Secretariat and those of subsidiary organs and specialized institutions.
Affiliated institutions may be granted observer status by virtue of a resolution of the
Council of Foreign Ministers. They may obtain voluntary assistance from the
subsidiary organs or specialized institutions as well as from Member States.
CHAPTER XIV
Cooperation with Islamic and other Organizations
Article 26
The Organisation will enhance its cooperation with the Islamic and other
Organizations in the service of the objectives embodied in the present Charter.
12
CHAPTER XV
Peaceful Settlement of Disputes
Article 27
The Member States, parties to any dispute, the continuance of which may be
detrimental to the interests of the Islamic Ummah or may endanger the maintenance
of international peace and security, shall, seek a solution by good offices, negotiation,
enquiry, mediation, conciliation, arbitration, judicial settlement or other peaceful
means of their own choice. In this context good offices may include consultation with
the Executive Committee and the Secretary-General.
Article 28
The Organisation may cooperate with other international and regional organisations
with the objective of preserving international peace and security, and settling disputes
through peaceful means.
CHAPTER XVI
Budget & Finance
Article 29
1. The budget of the General Secretariat and Subsidiary Organs shall be borne by
Member States proportionate to their national incomes.
2. The Organisation may, with the approval of the Islamic Summit or the Council
of Foreign Ministers, establish special funds and endowments (waqfs) on
voluntary basis as contributed by Member States, individuals and
Organisations.These funds and endowments shall be subjected to the
Organisation’s financial system and shall be audited by the Finance Control
Organ annually.
Article 30
The General Secretariat and subsidiary organs shall administer their financial affairs
according to the Financial Rules of Procedure approved by the Council of Foreign
Ministers.
Article 31
1. A Permanent Finance Committee shall be set up by the Council of Foreign
Ministers from the accredited representatives of the participating Member
States which shall meet at the Headquarters of the Organisation to finalize the
programme and budget of the General Secretariat and its subsidiary organs in
accordance with the rules approved by the Council of Foreign Ministers.
13
2. The Permanent Finance Committee shall present an annual report to the
Council of Foreign Ministers which shall consider and approve the programme
and budget.
3. The Finance Control Organ comprising financial/auditing experts from the
Member States shall undertake the audit of the General Secretariat and its
subsidiary organs in accordance with its internal rules and regulations.
CHAPTER XVII
Rules of Procedure and Voting
Article 32
1. The Council of Foreign Ministers shall adopt its own rules of procedure.
2. The Council of Foreign Ministers shall recommend the rules of procedures of
the Islamic Summit.
3. The Standing Committees shall establish their own respective rules of
procedure.
Article 33
1. Two-third of the Member States shall constitute the quorum for the meetings
of the Organisation of the Islamic Conference.
2. Decisions shall be taken by consensus. If consensus cannot be obtained,
decision shall be taken by a two-third majority of members present and voting
unless otherwise stipulated in this Charter.
CHAPTER XVIII
Final Provisions
Privileges and Immunities
Article 34
1. The Organisation shall enjoy in the Member States, immunities and privileges
as necessary for the exercise of its functions and the fulfilment of its
objectives.
2. Representatives of the Member States and officials of the Organisation shall
enjoy such privileges and immunities as stipulated in the Agreement on
Privileges and Immunities of 1976.
3. The staff of the General Secretariat, subsidiary organs and specialised
institutions shall enjoy privileges and immunities necessary for the
14
performance of their duties as may be agreed between the Organisation and
host countries.
4. A Member State which is in arrears in the payment of its financial
contributions to the Organization shall have no vote in the Council of Foreign
Ministers if the amount of its arrears equals or exceeds the amount of the
contributions due from it for the preceding two full years. The Council may,
nevertheless, permit such a Member to vote if it is satisfied that the failure to
pay is due to conditions beyond the control of the Member.
Withdrawal
Article 35
1. Any Member State may withdraw from the Organisation by notifying the
Secretary-General one year prior to its withdrawal. Such a notification shall be
communicated to all Member States.
2. The State applying for withdrawal shall be bound by its obligations until the
end of the fiscal year during which the application for withdrawal is
submitted. It shall also settle any other financial dues it owes to the
Organisation.
Amendments
Article 36
Amendments to the present Charter shall take place according to the following
procedure:
a. Any Member State may propose amendments to the present Charter to
the Council of Foreign Ministers;
b. When approved by two-third majority of the Council of Foreign
Ministers and ratified by a two-third majority of the Member States, it
shall come into force.
Interpretation
Article 37
1. Any dispute that may arise in the interpretation, application or implementation
of any Article in the present Charter shall be settled cordially, and in all cases
through consultation, negotiation, reconciliation or arbitration;
2. The provisions of this Charter shall be implemented by the Member States in
conformity with their constitutional requirements.
15
Article 38
Languages of the Organisation shall be Arabic, English and French.
Transitional Arrangement
RATIFICATION AND ENTRY INTO FORCE
Article 39
1. This Charter shall be adopted by the Council of Foreign Ministers by two-third
majority and shall be open for signature and ratification by Member States in
accordance with the constitutional procedures of each Member State.
2. The instruments of ratification shall be deposited with the Secretary General
of the Organisation.
3- This Charter replaces the Charter of the Organisation of the Islamic
Conference which was registered in conformity with Article 102 of the
Charter of the United Nations on February 1, 1974.
Done at the city of Dakar (Republic of Senegal), the Seventh day of Rabi Al-Awal,
One Thousand Four Hundred and Twenty-nine Hijra, corresponding to Fourteenth
day of March Two Thousand and Eight.
 
Masatu,
achana na huyo jamaa! sidhani kama yupo 100%, watu kama huyu ndio ua tunawaita "mavitu chungu nzima".......kuendelea kujibizana nae ni kupoteza muda. Kilichobaki hapa ni kukaa kimya na kusubiri tamko rasmi la ma-sheikh hiyo ijumaa ijayo, na hapo ndipo hii thread itakapokuwa tamu zaidi.

lakini kama una-enjoy "alogia" ya jamaa...basi endelea, maana mie hata simuelewi!!

Bora nikalizime michosho mitupu!
 
http://www.oic-oci.org/oicnew/member_states.asp

Waungwana badala ya hawa Masheikh na Maaskofu kutaka kuonyesha nani mbabe zaidi katika swala hili la umuhimu/kutokuwa na umuhimu wa Tanzania kujiunga na OIC ni bora ungefanywa utafiti wa kina kwa utumia balozi tatu katika nchi wanachama toka Afrika ambazo mimi naweza kusema huwezi kuziweka kwenye kundi la nchi za Kiislamu.

Nchi hizi kama zinavyoonekana katika link hiyo hapo juu ni Uganda ambayo ilijiunga OIC tangu mwaka 1974, Nigeria iliyojiunga mwaka 1986 na Msumbiji iliyojiunga mwaka 1994.
Serikali inaweza kabisa kwa kuwatumia balozi zetu katika nchi hizo ikakusanya athari na faida ambazo nchi hizo imezipata kutokana na kuwa wanachama wa OIC. Hizi zianikwe hadharani ili Watanzania walio ndani ya nje ya Tanzania tuzichambue kwa kina kabla ya kufanya uamuzi wa kujiunga au kutojiunga na OIC. Pia kama kuna masharti (nitayatafuta kwenye web site yao) yoyote ya kuwa mwanachama wa umoja huo basi pia nayo yawekwe hadharani kisha Watanzania tuamue kujiunga na umoja huo au kutojiunga.

Hili likifanyika litaondoa utata na ubabe unaotaka kuonyeshwa na pande zote mbili zinazounga na kutounga. Vinginevyo tunaweza kupigizana kelele bila ya kuwa na vigezo vyovyote muhimu na hatimaye kuingiza Tanzania katika matatizo makubwa zaidi na hasa ukitilia maanani Tanzania sasa hivi haijatulia kwa mambo mbali mbali yakiwemo mafisadi, uongozi duni n.k. tukiongeza na hili la udini basi nchi inaweza kulipuka tukabaki tunalia vilio vya mbwa mdomo juu, maana athari yake inaweza kuwa na matokeo mabaya sana.

Suala hapa si kujiunga ama ala ....hakuna mtu anayekataa waislamu kama wao kwa umoja wao either iwe kwa kutumia BAKWATA au jumuia yoyote wao wanayoiona sawa kujiunga. Suala kubwa NI KWA SERIKALI YETU KUTAKA KWENDA KINYUME NA KATIBA YETU.
 
Suala hapa si kujiunga ama ala ....hakuna mtu anayekataa waislamu kama wao kwa umoja wao either iwe kwa kutumia BAKWATA au jumuia yoyote wao wanayoiona sawa kujiunga. Suala kubwa NI KWA SERIKALI YETU KUTAKA KWENDA KINYUME NA KATIBA YETU.

Katiba inavunjwa karibu kila siku pamoja na kulipigia kelele hili hakuna yeyote anayejali.
 
Field Marshall Es,

Mkuu nakujua sana unavyoweza kubeba mzigo kama huu ukajaribu kutuvika sote msalaba...
Unapounga maneno kama haya:- Waislamiu wote wahamie zanzibar na tuvunje muungano ili Zanzibar ingine OIC na Tanganyika ibaki secular..

Mkuu kweli unaweza kunambia ni serikali gani hiyo ya secular ambayo kwanza inawataka waislaam wote wahamie Zanzibar as if Tanganyika ni ya Wakristu.. Hii habari mnaitoa wapi haswa!..Hivi kweli huoni kuwa maneno haya yamebeba Udini zaidi hata ya hiyo OIC..

Nilishasema hivi mtu yeyote anayepinga Tanzania kujiunga na OIC kwa sababu ni chombo cha Waislaam basi yeye ndiye mdini..Unatumia imani yako ya dini kutoa hukumu ya swala lililopo ubaoni..Ni sawa na kumhukumu mwanamke kwa kosa ambalo wewe unafikiria halimhusu mwanamme..
Usemi huu hauna tofauti kabisa kama kesho Tanzania ikitaka kujiunga na chombo chochote kile kiwe hata cha wanawake, tutakao kataa kujiunga ndio Wabaguzi kwani hatuwezi kujenga sababu zozote nje ya gender..Tumejiunga na vyombo kibao vya kimataifa vyenye sura tofauti..Uhusiano wetu na Vatican unaweza kabisa kupingwa kikatiba kwa sababu Vatican sio nchi isipokuwa ni taasisi ya kidini...
Mtawala ni Pope na katiba yao ni Ukatoliki..hakuna Uongozi wenye mamlaka zaidi ya viongozi wa dini..yet, sisi tumeweza kuyatenga yote hayo kwa sababu Tanzania ni nchi yenye wakristu na wengi Wakatoliki ambao wanategemea sana Uongozi toka Vatican...Nilishasema kuwa kiongozi kama Pengo yuko aswerable kwa Pope na sio Kikwete wala Pinda..he represent Vatican administration, ndiye anaye provide subsidies to Catholic schools run by missionaries, wakati huo huo ana establish Vatican authority, exercise supervision na guidelines on behalf of the Vatican..
Kwa lugha nyingine naweza kabisa kusema tumegeuzwa kuwa a Constutional Monarchy sawa na wakati wa mkoloni Malkia alipomweka mwakilishi wake nchini tukatawaliwa..Lakini hii sio akili wala ujanja ni ujuha kutumia mpangilio wa dini ya watu wengine kujenga sababu ya kutoukubali Ukatoliki, wakati huo huo kikatiba naamini kuwa kila mtu anaruhusiwa kuabudu dini anayoitaka.

Now, nilirudi kwenye mada hii, mimi nasema hivi mtu yeyote Mdini atamwona Pengo na Vatican kuwa tishio, tena ukiweka hilo neno kuwa Tanzania ni nchi isiyokuwa na dini, lakini kwa sababu sisi tunatazama beyond than thin line ya kutawaliwa ama kuzuia wananchi wasifuate dini nyingine kuwa halipo ndipo tunapokubaliana kuwa Vatican sii tishio la imani za watu wengine ila ni baraka kwetu na Wakristu wa dhehebu la Kikatoliki wapate kufanya ibada zao bila kuzuiwa na sheria (katiba) zinazowachuja wao...Uhuru wa wakatoliki kuweza kufanya ibada na kufuata misingi ya dini yao bila kupingwa ndio uhuru unaotangulia na sio kukatazwa kwa dini ama dhehebu fulani kutofanya kile wanachoamini wao kuwa ni cha msingi kitumike kama sababu ya kutafsiri kuwa Tanzania haina dini..
Nchi zenye Udini kama Arabuni na kwingineko ndio huweka sheria kukataza dini fulani isiweze kufanya mambo yake ambayo hayahatarishi Usalama wa nchi isipokuwa ni tishio kwa dini zilizopo nchini humo.
Tanzania haina dini ina maana una ruhusiwa KUABUDU chochote kile unachoweza kuamini maadam kipo ktk imani za kidini na hakihatarishi Usalama wa Taifa..
Kwa misingi hiyo ndio maana, Waislaam na wasiokuwa Wakatoliki wote wamekubali uhusiano wetu na Vatican, nina hakika kabisa kama Tanzania ingekuwa haina Uhusiano na Vatican na swala hili limekuja leo basi kwa upofu na udini wetu tungeshindwa kabisa kuitambua Vatican..
 
Labda niwatarifu wananchi kinachoendelea.

Katiba ya sasa ambayo ndiyo inayotusimamia inakataza mambo ya dini katika serikali na bunge.Hivyo kitendo cha serikali na bunge kujadili mambo ya kidini ya OIC na kadhi wakati katiba haijabadilishwa ni uvunjaji wa katiba waliyoapa kuilinda.

Na Raisi,Mawaziri,wabunge na wanajeshi waliapa kulinda katiba hii iliyopo.Sasa wameamua kukataa kuilinda.Kwa sababu wamekataa kuilinda katiba iliyopo sasa waliyoapa kuilinda ina maana wameshindwa kufanya kazi waliyoapa kuifanya.

Hivyo vikao vinaendelea kwa siri na kwa wazi ndani na nje ya nchi kwa lengo la kumtimuaRaisi, Bunge na Mawaziri.majaji na kutaka jeshi lilopo livunjwe na magenerali na viongozi wa juu wa jeshi watimuliwe kwa kushindwa kulinda katiba waliyoapa kuilinda kabla ya 2010 kwa iitendo cha kuachia masuala ya Kadhi na OIC yaingie katika serikali na bunge wakati katiba iliyopo hairuhusu.

Kazi ya kulinda katiba serikali iliyopo,bunge lililopo na mahakama zilizopo,Na vyombo vya ulinzi na usalama vilivyopo vimeshindwa kuilinda katiba iliyopo ambayo haitambui dini.Hivyo wananchi wana haki ya kuitimua serikali na bunge na mahakama na kuvunja majeshi yote ya ulinzi na usalama kwa kuwa yamevunja kiapo cha utii kwa katiba na kuruhusu wapuuzi akina Membe na washirika wao akina Mary Nagu wa wizara ya sheria wachezee katiba wakishirikiana na bunge la muungano wakiongozwa na spika asiye na uwezo wa kusimmamia bunge Samweli Sitta ambaye hajali kama hoja ya OIC na kadhi kuingia kwenye katiba ni sawa au si sawa ili mradi anapata posho yake hilo halimhusu.

Raisi ,bunge na mawaziri wajiandae kuondoka kabla ya uchaguzi wa 2010.Na uchaguzi mpya utaitishwa kabla tuombe Mungu hali iwe shwari kama hoja hii ya kadhi na OIC itaendelea kuvaliwa kidedea na bunge,serikali na jeshi kulikalia kimya.

Nchi hii si ya wabunge,mawaziri,wabunge na vyombo vya ulinzi na usalama peke yao.Wasidhani wananchi ni wajinga.Wananchi wako makini sana na kila hatua na mkakati wa bunge,mawaziri na Raisi wa kujaribu kucheza na katiba.Serikali,bunge,mawaziri na jeshi wakae mkao wa kushangaa kwa yatakayotokea.Hawataamini macho wala masikio yao.Tunawasihi wasijifanye vipofu na viziwi.Shauri yao.

Miaka yote toka Tanzania ipate uhuru Raisi,mawaziri,wabunge,mahakama na jeshi walikuwa na akili kuliko wananchi lakini awamu hii ya tatu inaonyesha wananchi wana akili na ufahamu kuliko vyombo hivyo.Hii hali inatisha hivi kwenye baraza la mawaziri,bunge.majeshi,na mahakama kote kumejaa wapumbavu na waoga watupu kiasi kuwa hawaoni hatari inayokuja? kwa kuendekeza wavunja katiba iliyopo waendelee kutamba?
 
Field Marshall Es,

Mkuu nakujua sana unavyoweza kubeba mzigo kama huu ukajaribu kutuvika sote msalaba...
Unapounga maneno kama haya:- Waislamiu wote wahamie zanzibar na tuvunje muungano ili Zanzibar ingine OIC na Tanganyika ibaki secular..

Mkuu kweli unaweza kunambia ni serikali gani hiyo ya secular ambayo kwanza inawataka waislaam wote wahamie Zanzibar as if Tanganyika ni ya Wakristu.. Hii habari mnaitoa wapi haswa!..Hivi kweli huoni kuwa maneno haya yamebeba Udini zaidi hata ya hiyo OIC..

Nilishasema hivi mtu yeyote anayepinga Tanzania kujiunga na OIC kwa sababu ni chombo cha Waislaam basi yeye ndiye mdini..Unatumia imani yako ya dini kutoa hukumu ya swala lililopo ubaoni..Ni sawa na kumhukumu mwanamke kwa kosa ambalo wewe unafikiria halimhusu mwanamme..
Usemi huu hauna tofauti kabisa kama kesho Tanzania ikitaka kujiunga na chombo chochote kile kiwe hata cha wanawake, tutakao kataa kujiunga ndio Wabaguzi kwani hatuwezi kujenga sababu zozote nje ya gender..Tumejiunga na vyombo kibao vya kimataifa vyenye sura tofauti..Uhusiano wetu na Vatican unaweza kabisa kupingwa kikatiba kwa sababu Vatican sio nchi isipokuwa ni taasisi ya kidini...
Mtawala ni Pope na katiba yao ni Ukatoliki..hakuna Uongozi wenye mamlaka zaidi ya viongozi wa dini..yet, sisi tumeweza kuyatenga yote hayo kwa sababu Tanzania ni nchi yenye wakristu na wengi Wakatoliki ambao wanategemea sana Uongozi toka Vatican...Nilishasema kuwa kiongozi kama Pengo yuko aswerable kwa Pope na sio Kikwete wala Pinda..he represent Vatican administration, ndiye anaye provide subsidies to Catholic schools run by missionaries, wakati huo huo ana establish Vatican authority, exercise supervision na guidelines on behalf of the Vatican..
Kwa lugha nyingine naweza kabisa kusema tumegeuzwa kuwa a Constutional Monarchy sawa na wakati wa mkoloni Malkia alipomweka mwakilishi wake nchini tukatawaliwa..Lakini hii sio akili wala ujanja ni ujuha kutumia mpangilio wa dini ya watu wengine kujenga sababu ya kutoukubali Ukatoliki, wakati huo huo kikatiba naamini kuwa kila mtu anaruhusiwa kuabudu dini anayoitaka.

Now, nilirudi kwenye mada hii, mimi nasema hivi mtu yeyote Mdini atamwona Pengo na Vatican kuwa tishio, tena ukiweka hilo neno kuwa Tanzania ni nchi isiyokuwa na dini, lakini kwa sababu sisi tunatazama beyond than thin line ya kutawaliwa ama kuzuia wananchi wasifuate dini nyingine kuwa halipo ndipo tunapokubaliana kuwa Vatican sii tishio la imani za watu wengine ila ni baraka kwetu na Wakristu wa dhehebu la Kikatoliki wapate kufanya ibada zao bila kuzuiwa na sheria (katiba) zinazowachuja wao...Uhuru wa wakatoliki kuweza kufanya ibada na kufuata misingi ya dini yao bila kupingwa ndio uhuru unaotangulia na sio kukatazwa kwa dini ama dhehebu fulani kutofanya kile wanachoamini wao kuwa ni cha msingi kitumike kama sababu ya kutafsiri kuwa Tanzania haina dini..
Nchi zenye Udini kama Arabuni na kwingineko ndio huweka sheria kukataza dini fulani isiweze kufanya mambo yake ambayo hayahatarishi Usalama wa nchi isipokuwa ni tishio kwa dini zilizopo nchini humo.
Tanzania haina dini ina maana una ruhusiwa KUABUDU chochote kile unachoweza kuamini maadam kipo ktk imani za kidini na hakihatarishi Usalama wa Taifa..
Kwa misingi hiyo ndio maana, Waislaam na wasiokuwa Wakatoliki wote wamekubali uhusiano wetu na Vatican, nina hakika kabisa kama Tanzania ingekuwa haina Uhusiano na Vatican na swala hili limekuja leo basi kwa upofu na udini wetu tungeshindwa kabisa kuitambua Vatican..


Mkuu
Katiba ya IRAN ni nini?
Na Rais wao ni nani ?
Na mahakama zao zinauata sheria zipi?
 
Natanyahu,
Unaposema katiba imekatazama mambo ya dini ktk serikali na Bunge una maana gani!..ikiwa viongozi wetu wenyewe huapishwa kwa kutumia vitabu vya dini!.. wapi wameweka line..
 
Mkamap,
Mkuu vunja uhusiano na Iran hakuna Muislaam atakaye piga kelele kwa sababu Iran ni nchi haina Uhusiano wowote na Uislaam...hakuna kiomngozi wao yetote anayeheshimika tanzania kama kiongozi wa dini aliyechaguliwa ama kuteuliwa...Iran ni nchi Inayotawaliwa kidini na Rais anayechaguliwa na watu kwa kura nje ya dini na baraza la mawaziri wake wanatumikia wizara kama za nchi zote dunniani..
Kutumia kwao Katiba iwe Kuran haina maana yoyote ile zaidi ya kuwa sawa na Tanzania kuamua kuwa WaKomunist haitufanyi sisi kuwa Warussia au Wachina. Pili, hakuna kiongozi yeyote wa Kiislaam nchini ambaye anajibu kwa ayatollah ama anawakilisha Iran duniani kote..Zaidi ya hapo Komein ndiye aliyeongoza mapinduzi wakati asidhani kama hali hiyo inawezekana kutokokea Vatican..
Mkuu acha ubishi soma vizuri maandiko yangu kihs pima acha ushabiki utaona nilichozungumza hakika Ubishi kabisa..
 
Can anyone with expertise in laws and contract matters read the document particularly the goals, objective and membership; and enlighten us?

I personally have had problems understanding some of the clauses in the goals, objectives and membership criteria, eg. article 3 (2) "Any State, member of the United Nations, having Muslim majority and
abiding by the Charter, which submits an application for membership may
join the Organisation if approved by consensus only by the Council of Foreign
Ministers on the basis of the agreed criteria adopted by the Council of Foreign
Ministers". Does Tz meet this criteria??

I support you Babu. People with good expertise should review the issue and come up with sound recommendations based on evidence rather than working with speculations. These religious leaders must give the analysis, state the pros and cons of the decision using vivid evidence rather just playing with our minds. We need only objectivity in this matter without bias based on prejudice, hatred or religious fanaticism.
 
Mkamap,
Mkuu vunja uhusiano na Iran hakuna Muislaam atakaye piga kelele kwa sababu Iran ni nchi haina Uhusiano wowote na Uislaam...hakuna kiomngozi wao yetote anayeheshimika tanzania kama kiongozi wa dini aliyechaguliwa ama kuteuliwa...Iran ni nchi Inayotawaliwa kidini na Rais anayechaguliwa na watu kwa kura nje ya dini na baraza la mawaziri wake wanatumikia wiozara kama za nchi zote dunniani..Kutumia kwao Katiba iwe Kuran haina maana yoyote ile zaidi ya Tanzania kuamua kuwa Komunist haitufanyi sisi kuwa Warussia au Wachina. na hakuna kiongozi yeyote wa Kiislaam ambaye anajibu Iran ama anawakiliosha Iran duniani kote..Zaidi ya hapo Komein ndiye aliyeongoza mapinduzi wakati asidhani kama hali hiyo inawezekana kutokokea Vatican..
Mkuu acha ubishi soma vizuri maandiko yangu kihs pima acha ushabiki utaona nilichozungumza hakika Ubishi kabisa..

Ahaa kumbe umejijibu
Sasa mbona unalalamika VATICAN kutumia katiba ya kikatolic na unashindwa kuona katiba ya IRAN ni QURAN.?

Na mbona pia unashidwa kuelewa tu kwamba kiongozi wa nchi si lazima apigiwe kura? Si nchi inaweza tu kurahisisha na kusema sisi kiongozi wetu utakuwa uzao wa mfalme kama vile SAUDIA ARABIA ama kama vile VITACAN walivyoamua kuwa sisi kiongozi wetu wa nchi ni yule atakeyekuwa POPE??

Mbona VATICAN huioni kama nchi yumkini ukiiona IRAN ni nchi? Ama kwa vile VATICAN imo ndani ya ITALY? kama hiyo ni nogwa je kwanini GAMBIA ni nchi yumkini imezungukwa na SENEGAL?
 
Natanyahu,
Unaposema katiba imekatazama mambo ya dini ktk serikali na Bunge una maana gani!..ikiwa viongozi wetu wenyewe huapishwa kwa kutumia vitabu vya dini!.. wapi wameweka line..

Urusi,Cuba huwa wanaapa lakini wengi hawashiki vitabu vya dini.

Kuapa hakuna uhusiano na dini ni mapenzi binafsi ya mwapishaji na muapaji.

Kingunge Ngombare Mwiru hana dini na huwa anaapa kwa nafsi yake kuilinda katiba hashiki biblia wala kurani.Cha muhimu ni uapa kiapo cha utii kwa katiba.Kutaja jina la Mungu,Yesu au mohamed ni mbwembwe za watu binafsi.

Katiba haijaagiza mtu akiapa ashike biblia wala kurani hayo ni mambo binafsi ya mtu mwenyewe na huyo anayemwapisha kama wanakubaliana wenyewe waapishaneje.
 
Natanyahu,
Mkuu bado hujanijibu swali langu sikuuliza Kingunge ambaye hana dini.. Kuna tofauti kubwa sana kusema mtu fulani hana dini na KIKATIBA kusema Nchi isyokuwa na dini..Hizo Urusi na China walikataa kabisa kuwepo na dini hivyo uhuru wa kuabudu dini yoyote uliondolewa kikatiba.. dini yao ikawa ni Ukomunist.

sasa swali langu lilikuwa unambie hiyo katiba inauyokataza mambo ya dini serikalini na Bungeni wakati hao viongozi wana apa kwa kutumia vitabu vya dini..
Ukielewa tofauti hizo nadhani utaelewa vizuri sana katiba ina maana gani kuhusiana na Tanzania kutokuwa nchi ya dini.
 
Mkamap,
swala hapa sio katiba, kila nchi ina katiba yake na utawala wake. Tofauti na Iran, Vatican ni Taasisi ya kidini ambayo huwezi kuvunja Uhusiano na Vatican na bado ukaukubali Ukatoliki wakati Iran na hata Saudia unaweza kabisa kuvunja uhusiano na nchi hizo na isiwe swala la Uislaam...
Kwanza kama ungekuwa Muislaam ungegundua kwamba waislaam wengi sana wanapinga tawala zote za Saudia na Iran kwa sababu wanaitumia dini kuweza kujenga himaya zao while they nobody ktk Uislaam, Tofauti kabisa na Vatican.
 
Mkuu mkandara.
IRAN haina uhusiano wowote na waislamu ila wananchi wake ni waislamu ,katiba na sheria ni za kiislamu kama ilivyo VATICAN.
Hivyo kujenga hoja zako za OIC kulinganisha na VATICAN ni upotoshaji wa makusudi.ELEA HIVI vatican SIO tAASISI YA KIKATHOLIC bali ni nchi ya kikatholic na makao makuu ya kanisa katholic yapo ktk nchi ya VATICAN.

Tumia logic tu kidogo IMF ni taasisi hivyo makao makuu ya IMF hayawezi kuwa ktk IMF bali yapo ktk nchi fulani.

Hapa cha msingi ungepiga kelele kama Tanzania ingekuwa mwanachama wa VIWAWA ama lile cabinet la maaskofu wa kikatholic TEC lingekuwa linatambuliwa na katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania
 
Mkamap,
swala hapa sio katiba, kila nchi ina katiba yake na utawala wake. Tofauti na Iran, Vatican ni Taasisi ya kidini ambayo huwezi kuvunja Uhusiano na Vatican na bado ukaukubali Ukatoliki wakati Iran na hata Saudia unaweza kabisa kuvunja uhusiano na nchi hizo na isiwe swala la Uislaam...
Kwanza kama ungekuwa Muislaam ungegundua kwamba waislaam wengi sana wanapinga tawala zote za Saudia na Iran kwa sababu wanaitumia dini kuweza kujenga himaya zao while they nobody ktk Uislaam, Tofauti kabisa na Vatican.

Mkandara umekosea tena. Unachanganya Vatican City na Holy See. Nchi inaitwa Vatican City na mtawala wake ni Askofu wa Rome ambaye kofia yake nyingine ni Pope. Holy See ndiyo mamlaka ya juu ya Kanisa Katoliki. Holy See inaiwakilisha Vatican City katika shughuli zake za kibalozi kama vile sisi tunavyoweza kuwakilishwa na nchi nyingine pale ambapo hatuna uwezo au sababu za kipekee. Unaweza kwa hiyo kuvunja uhusiano na Vatican City lakini ukaukubali ukatoliki maana Vatican City sio mamlaka ya juu ya wakatoliki. Kwa hali hiyo unaweza kutokuwa na uhusiano na Vatican City lakini makadinali wako wakaendelea kuwajibika kwa Holy See. Unafanya kosa lile lile unalolaumu wenzako. Kuchanganya nchi ya Vatican na ukatoliki. Kama vile ukivunja uhusiano na Iran ambayo kiongozi wake Mkuu ni Ayatollah hakuna maana hauwataki na washia!
 
Back
Top Bottom