Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Do u need some authority to tell u that sleeping with ur mother is unethical?

according to your view there is no problem with that! Why should it be wrong? Unless you borrow from my view, you have no reason to pronounce it wrong!
 
according to your view there is no problem with that! Why should it be wrong? Unless you borrow from my view, you have no reason to pronounce it wrong!
Unapoulizwa swali ni vyema ukalijibu kama lilivyoulizwa, otherwise I will not be wasting my time here.
 
Ok Abduhalim, I'm curious where do you derive your morality so as to judge other wrong?


Mkuu ni vizuri tukijaribu kusikia maoni ya wengine kuhusu swala linalolongana na hili.
Ukiweza jaribu kutazama video kwenye youtube, search kwa kutumia Geert Wilders Fitna, kuna part one na two unaweza kuona ukweli kuhusu ajenda za watu wa middle east, lengo lao ni ku-conquer kila kona ya dunia kwa doctrine zao.
 
Hivi kwanini lakini jukwaa la dini mpaka uombe? Hii inakera sana!
ndugu yangu!! huenda kuna yasiytakiwa kusikika hadharani hapa kwani USHAHIDI mkali hauwekwi hadharani:thinking: kwani hujui ILUMINATISM???
 
"...
naomba nirudie kuelezea kusononeshwa na kusikitishwa kwangu na baadhi ya viongozi wa dini na wanasiasa waliowataka watanzania wawachague watu kwa dini zao. .... tuungane kuziba nyufa na kutibu majeraha yaliyoletwa na uchaguzi huu....."


jk
 
Yeah, u r s stupid and noisy dumbell, which, as sad as it is, can't make that noise itself until someone hit it, perhaps as hard as possible...thats sums up ur motto, a mere paster, with zero originality.

BTW, kiswahili ni lugha yako ya ngapi? mijitu mingine ya bara bana..aarrgh.
Ni kweli mimi ni mtu wa bara, na ndio maana nikasema mwanzoni kuwa siwezi mambo ya mipasho.... Hongera sana, mzee wa mipasho!
 
ndugu yangu!! huenda kuna yasiytakiwa kusikika hadharani hapa kwani USHAHIDI mkali hauwekwi hadharani:thinking: kwani hujui ILUMINATISM???
Laikini si wana msemo wao kuwa "Where We Dare To Talk Openly?" sasa hii si kwenda kinyume na tangazo lao?
 
Mkuu ni vizuri tukijaribu kusikia maoni ya wengine kuhusu swala linalolongana na hili.
Ukiweza jaribu kutazama video kwenye youtube, search kwa kutumia Geert Wilders Fitna, kuna part one na two unaweza kuona ukweli kuhusu ajenda za watu wa middle east, lengo lao ni ku-conquer kila kona ya dunia kwa doctrine zao.
Hapa sijakuelewa!
 
Unapoulizwa swali ni vyema ukalijibu kama lilivyoulizwa, otherwise I will not be wasting my time here.

according to your view there is no problem with that! Why should it be wrong? Unless you borrow from my view, you have no reason or grounds whatsoever to pronounce it wrong!
Why is it wrong?

Maswali magumu halafu una ignore? you are great thinker!
 
binadam wote ni ndugu kwanini tulumbane kisa matakwa ya wachache wasio elewa.Mungu alitoa amri na kwenye maandiko matakatifu zipo.y dini zilumbane wakati Mungu amesema tufwate amri zake na siyo dini ambazo kila kukicha binadam ana jaribu kuibuka na mafundisho yake?Adam na Hawa walikuwa dini gani?nina imani ni dhambi kubwa sana wayahudi,wakristu na waislam kulumbana eti nani zadi ya mwenzake wakati wote tuna mwomba Mungu mmoja anaye tupenda wote sawa.shetan ndyo adui yetu na anapambana na binadam na cyo dini.binadam wote ni wa Mungu na hata wale wanao mwamini shetani bado Mungu ana wapa nafasi ya kutubu na kumrudia.hata huyo shetan aliumbwa na Mungu ila tamaa zake akataka kuwa kama Mungu.Lugha isitupotoshe.wakristu wakitaka mahakama yao,wahindu wakitaka mahakama yao tutafikia wapi wakati sote ni watanzania na taifa letu siyo la dini bali sheria inayo cmamiwa na katiba?
 
Yeah, u r s stupid and noisy dumbell, which, as sad as it is, can't make that noise itself until someone hit it, perhaps as hard as possible...thats sums up ur motto, a mere paster, with zero originality.

BTW, kiswahili ni lugha yako ya ngapi? mijitu mingine ya bara bana..aarrgh.
Yaani ukishaanza ubaguzi wa namna moja........................you will always jump to the next level................ Nyerere alishawahi kusema ubaguzi ni kama kula nyama ya mtu...... so long as wa kuwala bado wapo HUTAACHA mpaka utakapobaki peke yako au na wala nyama za watu wenzio............. I HATE THIS..........
 
Kwa mara nyingine tena hoja ya Bunge kupitisha sheria ya kurudisha ofisi ya Kadhi Mkuu linajitokeza tena huku waislamu wakitaka Bunge litunge sheria ya kutambua uwepo wake na wakristu wakipiga kelele kuwa kufanya hivyo ni kuvunja Katiba. Hoja yangu leo ni kuwa, Waislamu hawahitaji kibali cha serikali kuanzisha ofisi ya Kadhi Mkuu kushughulikia mambo yao yanayoendana na sheria za Kiislamu.

Waislamu wakae wao wenyewe wapitishe uwepo wa ofisi hiyo na kuendelea na shughuli zao. Ilimradi tu, maamuzi ya ofisi yao hiyo hayaingilii uhuru wa Mtanzania mwingine au utendaji kazi wa sheria zetu za makosa ya uhalifu na jinai. Pia waelewe ya kwamba uwepo wa ofisi ya Kadhi Mkuu ni subject ya Katiba ya Muungano na Mtanzania yeyote kimbilio lake la mwisho ni mahakama ya Kiraia. Zaidi ya yote, watakapoanzisha ofisi hiyo, wajue kuwa isiwalazimishe waislamu wote kutatua matatizo yao kupitia ofisi hiyo isipokuwa wale ambao kwa hiari yao wanataka kufanya hivyo.

Kanisa Katoliki kwa mfano linayo mahakama yake na sheria zinazoliongoza kanisa hilo (Canon Law) na mahakama yake hiyo ina ngazi za rufaa hadi Vaticano. Hata hivyo Mkatoliki ana haki ya kutumia sheria hizo kuhusu masuala mbalimbali ya kanisa lake, lakini anapofanya kosa la jinai, sheria za kiraia (civil law) zinakuwa na mamlaka. Hivyo basi, waislamu wasisubiri Bunge kupitisha ofisi ya Kadhi Mkuu bali waianzishe wao wenyewe huku wakiweka bayana kabisa kuwa ofisi hiyo haitahusika na makosa ya jinai au kupingana na Katiba ya nchi. Then, hakutakuwa na haja ya kugongana!!!

kudai serikali iwape mahakama ya kadhi kwa aliye muumini hasa atashituka ina maana muumin anamuomba asiye amini (kafir)ampangie utaratibu wa imani hii ni kufuru mbaya kabisa hata mtume Mohammad saw alipigwa stop alipowaza kukubaliana na makafir kwamba mwezi huu tusali kwangu na mwezi ujao kwenu tuwaulize hao wanaodai mahakama ya kadhi kwa makafir ni waislam ama waumini ima ni makafir uislamu umefuzu na MAOMBI YOTE KWA MWENYEZI MUNGU SI WALIOKIRI KWAMBA WAO HAWAAMINI HUU NI MSIBA
 
Mkuu OIC ni jumuiya ambayo inaweza kuwagawa watanzania, ajenda yake ni dini. Inatumia issues nyingine kama elimu,afya na huduma nyingine za jamii kuadvance agenda ya uislamu. Lkini CARE international and alike hazi ajenda kama hiyo. Vatican si organisation of Christian Countries, ni kweli mission yake ni kuendeleza ukatoliki lakini haina ajenda ya kuimpose ukatoliki kwa wakristo wengine na wasio wakristo.
Nakubaliana na wewe time will tell, and it is telling now for sure tunaona ajenda iiliyo nyuma ya pazia.
Lakini nafurahi mkuu wewe at least unaongea kwa uelewa tofauti na baadhi ya wadau wanavyokuponda. TANZANIA DAIMA.
OIC ipo Uganda na Msumbiji, huko imemgawa nani na imembadilisha nani!? CARE na CARITAS zipo strongly kwenye maeneo ya Waislam wengi au ni kinyume chake?
 
IOC ni jumuiya ya nchi za kiislamu (so it says) na lengo lake ni kupromote ajenda ya uislamu na uarabu (not overtly). Ukiangalia baadhi ya mistari ya articles zake unaweza kuona kuwa ni jumuiya ya waarabu yenye lengo la kuendeleza interests za waarabu na kuleta welfare kwa waarabu. (waislamu wanaigia tu hapo lakini wao si lengo kuu)


"To promote and to protect human rights and fundamental freedoms including
the rights of women, children, youth, elderly and people with special needs as
well as the preservation of Islamic family values;"


"The Member States undertake that in order to realize the objectives in Article 1, they
shall be guided and inspired by the noble Islamic teachings and values and act in
accordance with the following principles:......."

"International Islamic Court of Justice"

Hii itakuwa ni kwa mujibu wa sharia, sasa sijui kama ni watanzania wote watakubali kuwa subjected to Sharia law. Au sijui kama Tanzania itakubali raia wake hata kama ni mwislamu apelekwe kuhukumiwa kwenye mahakama kama hiyo

"The Independent Permanent Commission on Human Rights shall promote the civil,
political, social and economic rights enshrined in the organisation’s covenants and
declarations and in universally agreed human rights instruments, in conformity with
Islamic values."

" ا ا
ا
In the name of Allah, the most Compassionate, the most Merciful"

Waarabu (SI waislamu) wakileta maneno kama haya basi ujue wana lao jambo, kuna wanaochinja watu wanasema hayo hayo maneno, hata magaidi wanaojilipua wanasema maneno hayo hayo. Sasa ukifikiri kuwa Tanzania inakuwa part ya waarabu hao, lazima uwe na hofu.

"to support the struggle of the Palestinian people, who are presently under
foreign occupation, and to empower them to attain their inalienable rights,
including the right to self-determination, and to establish their sovereign state
with Al-Quds Al-Sharif as its capital, while safeguarding its historic and
Islamic character, and the holy places therein;"



Kwa upande mmoja charter inasema haitaingilia mambo ya ndani ya nchi, lakini inazungumzia kuisaidia Palestina bila kutaja sababu ya kuisaidia Palestina, na inaamua kabisa kuwa mji mkuu wa Palestina. Lakini haitaji kuwasaidia watu wengine kama wakongo, Myanmar, Western sahara ambao wako under occupation of Maroc. Mkuu ukuangalia haya unaweza kuona lengo halisi la jumuiya hii. Kwa non muslims wa Tanzania ni kizunguzungu. Ni vizuri tukiendelea kuwa secular.
Propaganda za bei rahisi,.....................hoja dhaifu saana! Hivi Ukisema " Bismillah rahmmani rrahim...........Alham dulilah rrabil aalamin" ni Uarabu na si Uislam!? Khaa!!
 
Inashangaza,

Thread fyongo kama hii sasa imefika mpaka ukarasa wa 165!

Kwa sura moja, we have these the so called, 'religions', au 'religions of peace' or whateva the crap it is..Hizi dini zimeanzishwa na watu wa kale waliokuwa wakiishi mapangoni, wakinywa mikojo ya ngamia, na kuchamba kwa kutumia mawe na mchanga..hizi dini zinaongozwa na maono ya hao watu wa kale kwa kisingizio eti wametumwa na Mungu..not only the it is a fact that these murderous 'prophets' and their religions' can not be traced and tested from any neutral point of view for validity, even their gullibility is ridiculously astonishing..mathalan,baadhi ya madai ya hizi dini ni kama ifuatavyo:-

-- jua huzama kwene matope

--homa husababishwa na joto la jehenamu

--jua huzunguka dunia

--etc etc (list ni ndefu)

Kwa sura nyingine, ktk hali kama hii it is crazy that a modern mind wants to put these religion's garbage into our government system! Our bunge even spends taxpayers money to discuss this crap...halafu ati tunaketi kitako kujiuliza kwanini hatuendelei..hatuendelei simply bcoz we are stupid morons.

IMO, for all ya who think Tz is not Islamic /Christian/Jewish enough, nendeni kule mnakoona mtakuwa karibu na peponi, na miungu yenu na manabii wenu, mtuachie Tz yetu. We don't need ya. We need science and reason to be a guideline to our daily life, sio midini yenu ya kale ambayo inasema jua linazama kwene tope. Btw, hata hiyo midini yenu tu hamuifuati, kazi kutusumbua tu, kushoto na kulia, hatulali na makelele yenu.
Umenipa RAHA sana! we now see your true colors! hapa hampumui wala hamchomoi, tunakaba mpaka PENALT!!
 
Back
Top Bottom