Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

OIC:Hamna kuna tatizo kwa Tanzania kujiunga na OIC.Wizara ya mambo ya nje ya Tanzania ilishafanya utafiti na Kuconclude kwamba hamna tatizo lolote.,na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa JK, Dk Bernard Membe alitangaza wazi wazi mbele ya waandishi wa habari (23 October 2008).na alisema “Serikarli kupitia wataalam wake wake wamefanya utafiti na imejilidhisha kwamba kujiunga na OIC haina madhara yoyote “ .
Wasiotaka Tanzania Kujiunga na OIC ni maaskofu ambao walitahadharisha serikali ya CCM kuwa hawatafanya nayo kazi endapo Tanzania itajiunga na OIC,siku chache baada ya membe kuongea na wanahabari
Nukuu” "Tuna uhakika kuwa yaliyomo ndani ya OIC ni hatari kabisa, kwani endapo yakikubalika katiba, nchi itakuwa imevunjika na Watanzania watakuwa wameingia katika migogoro itakayoua maridhiano, mshikamano, utengemano na umoja wa kitaifa, " walisema maaskofu hao katika tamko lao.”
KADHI: juu ya mahakama ya Kadhi Tatizo watu wengi hawana elimu ya kutosha wanafikiri watahukumiwa kiislam(Ukiiba unakatwa mkono,Ukizini Bakora 100,ukizini ukiwa na mke/mume utapigwa viboko hadi kufa,ukilewa bakora 80,nk.)Zanzibar kuna mahakama ya kadhi ,Kenya kuna mahakama ya kadhi nani kakatwa mkono,Nani kachapwa.”UNAPOPINGA AMA KUKUBALI KITU AMBACHO HUNA ELIMU NACHO NI UJINGA”.
Tatizo nikwamba wakristo wanaichukia OIC na Mahakma ya kadhi kutokana na Mafundisho wanayopata kwenye makanisa yao na viongozi wao wa Dini.ambao wana “hidden Agenda”
Endapo hii hoja itapelekwa bungeni haiwezi kukubalika kwa sababu majority wa wabunge ni wafuasi wa dini ya kikristu.wapo zaidi ya asilimia 55,na Mtoto wa nyoka ni nyoka haiwezekani kiongozi wako wa dini akate kitu mfuasi akikubali,Halafu jumapili unakwenda kanisani kwake.
USHAURI WA BURE:Nendeni kwenye nchi ambazo kuna mahakama ya KADHI na OIC kama kuna ubaya wowote.Miongani mwa mataifa ya afrika yaliojiunga na OIC ni Cameroon, Uganda , Côte d'Ivoire, Gabon,Cameroon, Mozambique, Senegal, Benin, Togo, Gambia,n.K. Kadhi waulizeni wakenya.
Mwisho:TUACHE CHUKI KATIKA MAMBO YA MSINGI,WAACHENI WAISLLAM WAWE NA MAHAKAMA YA KADHI NA TANZANIA KUJIUNGA NA OIC IWE RUKSA

Mkuu uhakika hao watu wawili wana uwezo wa kufanya utafiti huo? ni wataalamu gani walifanya utafiti huo? Kwanini wataalamu wasitaumbie walitumia methodology gani au watuoneshe matokeo ya utafiti huo? walifanya utafiti huo kwenye nchi ngapi na kwa kipindi gani na watuoneshe evidence.

Ni kanisa gani hilo linalofunidha kuhusu sharia law hapa Tanzania? NI mahubiri gani kwenye vitabu vya Tanzania yanahusiana na Sharia law? Au ni kanisa gani linatoa mahubiri kuhusu sharia law?

Mkuu bungeni hakuna wafuasi wa dini ya kikristo, kuna waumini wa dini ya kikristo.

inawezekana ni kweli watu tusiounga mkono hoja hii ni wajinga, lakini ni vizuri tukielewesha sababu hasa ya kutaka kujiunga na OIC na kuwa na mahakama ya kadhi. Na kuna ubaya gani tusipojiunga.

Sensa inayosema Tanzania asilimia 55 ni waislamu ilifanyika lini?
 
An atheist with her/his popcorns on the sofa watching the majority of god loving people hate each other.
 
Kwani oic kirefu chake nini?........na maana ya kirefu chake inatuhusu vp sisi?
 
You don't know what you are saying! Who told you science have morality? Prove to me scientifically that lying, murdering, stealing et al is wrong!
you better rethink your beliefs!

Funny stuff indeed.

Nadhani umeskip kwa kusudi mstari unaosema kwamba hizo dini zenu haziezi kuwa traced and tested from any neutral point of view. DO u know what does that mean? it means it is redundant what it says about morality or whatever crap it pretends to specialize.
 
Hapo mwenyewe ndio unaona umepatiiiaa?

Nitakuweza wapi wewe kwa mipasho!

Nimeweka bandiko langu lenye ujumbe nadhifu hapo juu..and look who started mipasho? kama huwezi kuzikabili hoja, zione posts zangu kama kituo cha polisi..ebo.
 
Funny stuff indeed.

Nadhani umeskip kwa kusudi mstari unaosema kwamba hizo dini zenu haziezi kuwa traced and tested from any neutral point of view. DO u know what does that mean? it means it is redundant what it says about morality or whatever crap it pretends to specialize.
And who taught you there is neutral point?
Neutral point doesn't exist, you are either this or that and never none!
 
Wadau kama kuna mtu ana motives za mahakama ya kadi na hiyo OIC azipost ili tujue undani wake kifungu kwa kifungu kuliko kujadili kwa ushabiki tu !
 
Wadau kama kuna mtu ana motives za mahakama ya kadi na hiyo OIC azipost ili tujue undani wake kifungu kwa kifungu kuliko kujadili kwa ushabiki tu !
Ina elements za uislamu ndani yake. Some quotes:
1. Wanachukia Wayahudi
The OIC attracted attention at the opening session of the meeting in Putrajaya, Malaysia, on 16 October 2003, where Prime Minister Mahathir Mohamad of Malaysia in his speech argued that the Jews control the world: "They invented socialism, communism, human rights and democracy, so that persecuting them would appear to be wrong, so that they can enjoy equal rights with others. With these they have gained control of the most powerful countries and they, this tiny community, have become a world power". He also said that "The Europeans killed six million Jews out of 12 million, but today the Jews rule the world by proxy. They get others to fight and die for them"

2. Vyombo vyake vimekaa kidini zaidi

Standing Committees


  • Standing Committee on Information and Cultural Affairs (COMIAC).
  • Standing Committee on Economic and Commercial Cooperation (COMCEC).
  • Standing Committee on Scientific and Technological Cooperation (COMSTECH).
  • Islamic Committee for Economic, Cultural and Social Affairs.
  • Permanent Finance Committee.
  • Financial Control Organ.
Subsidiary organs


  • The Statistical, Economic and Social Research and Training Centre for Islamic Countries (SESRIC), located in Ankara, Turkey.
  • The Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), located in Istanbul, Turkey.
  • The Islamic University of Technology, located in Dhaka, Bangladesh.
  • The Islamic Centre for the Development of Trade, located in Casablanca, Morocco.
  • The Islamic Fiqh Academy, located in Jeddah, Saudi Arabia.
  • The Executive Bureau of the Islamic Solidarity Fund and its Waqf, located in Jeddah, Saudi Arabia.
  • The Islamic University in Niger, located in Say, Niger.
  • The Islamic University in Uganda, located in Mbale, Uganda.
Specialised institutions


  • The Islamic social, Educational, Scientific and Cultural Organisation (ISESCO), located in Rabat, Morocco.
  • The Islamic States Broadcasting Organisation (ISBO) and the International Islamic News Agency (IINA), located in Jeddah, Saudi Arabia.
Affiliated institutions


  • Islamic Chamber of Commerce and Industry (ICCI), located in Karachi, Pakistan.
  • World Islamic Economic Forum (WIEF), located in Kuala Lumpur, Malaysia.
  • Organisation of Islamic Capitals and Cities (OICC), located in Jeddah, Saudi Arabia.
  • Sports Federation of Islamic Solidarity Games, located in Riyadh, Saudi Arabia.
  • Islamic Committee of the International Crescent (ICIC), located in Benghazi, Libya.
  • Islamic Shipowners Association (ISA), located in Jeddah, Saudi Arabia.
  • World Federation of International Arab-Islamic Schools, located in Jeddah, Saudi Arabia.
  • International Association of Islamic Banks (IAIB), located in Jeddah, Saudi Arabia.
  • Islamic Conference Youth Forum for Dialogue and Cooperation,(ICYF-DC)located in Istanbul, Turkey.
  • General Council for Islamic Banks and Financial Institutions,(CIBAFI)located in Manama, Bahrain.
La muhimu kuliko yote ni charter yake ambayo nimeiambatanisha. Hapa nanukuu:

We the Member States of the Organisation of the Islamic
Conference, determined:
to acknowledge the Conference of Kings, Heads of State and Government of
the Member States convened in Rabat from 9 to 12 Rajab, 1389 H,
corresponding to 22 to 25 September 1969, as well as the Conference of
Foreign Ministers held in Jeddah from 14 to 18 Muharram 1392 H
corresponding to 29 February to 4 March 1972;
to be guided by the noble Islamic values of unity and fraternity, and affirming
the essentiality of promoting and consolidating the unity and solidarity among
the Member States
in securing their common interests at the international
arena;
 
Nimeweka bandiko langu lenye ujumbe nadhifu hapo juu..and look who started mipasho? kama huwezi kuzikabili hoja, zione posts zangu kama kituo cha polisi..ebo.
Mkuu wewe una digirii ya mipasho, mi sikuwezi mkuu...! Ongera kwa ilo.
 
Mkuu wewe una digirii ya mipasho, mi sikuwezi mkuu...! Ongera kwa ilo.
Yeah, u r s stupid and noisy dumbell, which, as sad as it is, can't make that noise itself until someone hit it, perhaps as hard as possible...thats sums up ur motto, a mere paster, with zero originality.

BTW, kiswahili ni lugha yako ya ngapi? mijitu mingine ya bara bana..aarrgh.
 
Back
Top Bottom