Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Hivi Ukisema " Bismillah rahmmani rrahim...........Alham dulilah rrabil aalamin" ni Uarabu na si Uislam!? Khaa!!
Hebu mwaga tafsiri halafu tukuone uongo wako! Hivi unafikiri JF ni vilaza?
Kwa taarifa yko ni Uarabu na Uislam!
 
Safi sana,ni vema waanzishe mahakama yao bila kuishirikisha serikali kwa kuwa serikali yetu haina dini.
 
Kila mtu akinukuu kitabu chake cha dini na hata historia ya ukandamizaji hatutafika. Mistari ya Zaburi wengine hawana hakika nayo!
Nadhani ni wakati wa Katiba mpya kusema wazi siku ya mapumziko na kwa kuwa serikali haina dini na Watanzania tujadili na kuafikiana siku ya mapumziko
 
Don't forget this is tanzania and never Msumbiji or Uganda!

Watanzania tuna madudu ya kuyaogopa kama Nguvu za Kidikteta ambazo kapewa Rais na katiba iliyopo, rushwa iliyokubuhu, ufisadi lakini sio OIC au mahkama ya kadhi.

Kama Msumbiji , Uganda wamejiunga OIC na mpaka leo hawajaona sababu ya kujitoa ni vyema kujifunza au at least kutafuta habari kutoka kwao kwa nini walijiunga na wananufaika vipi kuwa wanachama na athari zipi zimewapata.

La kadhi Court, Kenya zipo, na hapa Tanzania zipo, Ndio Zipo Zanzibar! na tunataka nchi moja serikali moja , kwa hiyo tutawaondolea kadhi court kama hili la nchi moja ,serikali moja litatendeka? Zanzibar pia walijiunga OIC lakini walitakiwa wajitoe kwa kisingizio kuwa TZ itajiunga.

Sasa wakuu tusikurupuke tu kwa hofu bila kudadisi mambo na kujiridhisha kuwa haya mambo yatakuwa na athari kwetu. Ni nini hasa tunachokiogopa? Ni kwa sababu sisi sio katika kundi linalodai au kufurahia kuwa wanachama wa OIC au kuwa na kadhi courts? au ni nini hasa?
Mbona tunakuwa ni watu wa misimamo mikali? wakifaidika wao, tumefaidika na sisi.

Huu ukinzani tunaouonesha kwa kundi hili ndio unaowajengea misimamo mikali na kujenga chuki za kipuuzi na ndio utakaozaa msuguano na malumbano yasiyo na tija.

Tujielimishe, tuone ni athari zipi zitapatikana kama tutakuwa na mambo hayo mawili hapa TZ halafu tuorodheshe hizo athari na tuseme hizi ndizo sababu zetu sisi wa kundi hili tunapinga haya mambo.
Kazi hiyo inaweza hata kufanywa na Kamati ya bunge na kuianika ripoti yake kwa umma.
 
kujiunga taifa letu la tanzania ktk oic ni kujiunga kwenye mpango wa kuunda dola kubwa la kiislam ambalo watawala wa dola hili kisharia ni waarabu,nina maanisha khalifa halali atatoka hijaz naya ni maka,madina na bethlehem na hapo tayari ukoloni wa waarabu utashika eneo kubwa na halifa atachagua yeye mwenyewe wasaidizi na atawatuma watawale nchi zote zilizojiunga oic.na hapo itatugharimu wakristo damu nyingi kujikomboa,na kama kuna anaebisha anieleze ni sababu ipi inayoifanya oic ing'ang'anie ktk masharti kuwa serikali ndizo zijiunge nayo?eti uganda na msumbiji hakuna matatizo hamwangalii nigeria?waarabu ndio walioanzisha oic hawa wana hila nyingi maana hata watumwa walichukuliwa kule kigoma wakapitishwa katika eneo ambalo hawakushika watumwa na hawakupigwa hata kidogo na watemi wetu ambao walikuwa wajeuri,kwa nini?jibu wana hila sana.aya inasema "wala msiwafanye wakrito na wayahudi marafiki wa kuwapa siri zenu,wao kwa wao ni marafiki" haya hizo siri za oic nyinyi watanzania mnazijua?tena kuna muungano mwingine kama huu nijulishwe nijifunze huko nako.
 
vatican ni nchi na uislamu ni dini,
hao wana kiti mpaka Umoja wa Mataifa kama ilivyo kwa nchi kama Afaganistani na Nchi zote zinazofuta utawala wa kiislamu,
na kwa taarifa yako hizo ni nyingi sana

kwa haraka haraka ni
  1. Afganistani
  2. Iran
  3. Mauritanian
  4. Pakistan
hizo zinajulikana kama islamic state
mkuu hata udini na kama unataka kuendekeza udini basi tumia source za kuaminika.
na kama VATICAN ni Tatizo basi hizo nchi NNE za kiislamu ni tatizo tuvunje ubalozi nao pia

source wikipedia hapo chini

An Islamic state is a state that has adopted Islam as its state religion, and more specifically Islamic law as the foundations for political institutions, or laws, exclusively.

The concept is related to the notion of dar al-islam (Arabic دار الإسلام) the "domain of Islam", defined (by the prevailing opinion) as the domain in which:
  1. All the laws governing the area have their roots in islamic jurisprudence.
  2. The security al-amaanah (Arabic الأمانة) is in the hands of Muslims.
Islamic republic is the official name given to several contemporary states in the Muslim world, including the Islamic Republics of Pakistan, Iran, Afghanistan, and Mauritania. Pakistan adopted the title under the constitution of 1956. Mauritania adopted it on 28 November 1958. Iran adopted it after the 1979 Islamic Revolution that overthrew the Pahlavi dynasty. Afghanistan adopted it after the 2001 overthrow of the Taliban. Despite the similar name the countries differ greatly in their governments and laws.
Pan-Islamism is a form of religious nationalism within political Islam which advocates the unification of the Muslim world under a single Islamic state, often described as a caliphate


makala: Historia ya Suala la Mahakama ya Kadhi Tanzania Bara



(Na Pius Msekwa)


UTANGULIZI
Wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu wa Rais na Wabunge wa mwaka 2010, suala la kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi Tanzania Bara, liligeuzwa na baadhi ya wanasiasa kuwa ni mtaji wao mkubwa katika kampeni hizo. Wanasiasa waliochangamkia suala hilo walikuwa wakidai kwamba eti Rais Kikwete alikuwa na kusudio la kuanzisha Mahakama ya Kadhi Tanzania Bara, endapo atachaguliwa tena kushika wadhifa huo kwa kipindi cha pili cha miaka ya 2010 hadi 2015. Madai hayo hayakuwa na ukweli wowote.

Madhumuni ya Waraka huu
Madhumuni ya Waraka huu ni kueleza ukweli wenyewe ulivyo kuhusu jambo hili, kwamba suala la kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi, tayari lilikwisha kufanyiwa uamuzi wa mwisho na Serikali ya Rais Kikwete katika kipindi chake cha uongozi kilichomalizika mwezi Oktoba mwaka 2010. Kwa hiyo asingeweza kufanya uamuzi mwingine tofauti baada ya uchaguzi.

Uamuzi uliofanyika unasema kwamba kwa kuwa suala la Mahakama ya Kadhi ni suala la imani ya dini ya Kiislamu, ambalo linalohusu waumini wa dini hiyo tu na siyo Jamii nzima ya Watanzania, Mahakama ya Kadhi haiwezi kuanzishwa na Serikali, kwani kufanya hivyo itakuwa ni kitendo cha kuvunja Katiba ya Nchi. Isipokuwa kwamba Serikali haiwazuii Waislamu wenyewe kuanzisha Mahakama hiyo ndani ya utaratibu wa dini yao, kwa sababu kufanya hivyo hakutagusa Katiba au sheria za nchi.

SOURCE. website ya ccm.

[SIZE=+3]Ubalozi wa Vatican ung'oke nchini[/SIZE]
  • [SIZE=+2]Tanzania ijitoe jumuiya ya madola[/SIZE]
  • [SIZE=+2]Vinginevyo ijiunge na OIC[/SIZE]
SERIKALI imetakiwa kuuamuru Ubalozi wa Vatican uondoke nchini kwa sababu kuwepo kwake licha yakuwa ni kinyume na katiba ya nchi, hakuridhiwi na kundi kubwa la Wananchi. Aidha imetakiwa kujitoa uanachama katika jumuiya ya madola kwa kuwa umoja huo mbali ya kuwa ni wa kibaguzi, mkuu wake ni kiongozi wa Kanisa la Kianglicana.
Bwana Ali Mfuruki ambaye ni mkurugenzi wa kampuni ya Infortech Systems ametoa hoja hizo katika kipindi cha Hamza Kasongo Hour kilichorushwa na kituo cha DTV Jumapili.
Akishiriki mjadala uliopewa anuani ya "are Muslims marginalised" Januari 16, mwaka huu, bwana Mfuruki aliushangaa msimamo wa serikali wa kukataa kujiunga na jumuiya ya waislamu ya OIC ikidai kuzingatia maoni na hisia za Wakristo wakati ambapo hapa nchini upo Ubalozi wa Vatican ambao husimamia maslahi ya kanisa katoliki na wafuasi wake.
Akihitimisha maelezo yake Bwana Mfuruki alishauri kufungwa kwa ubalozi wa Vatican vinginevyo Tanzania ijiunge na OIC ili kuondoa dhana waliyonayo Waislamu juu ya Wakristo hasa wakatoliki kupendelewa na serikali.
Kwa mujibu wa baadhi ya maandiko Vatican, ikishajichimbia katika nchi huingia mkataba wa upendeleo na serikali unaoitwa Concordats.
Inaelezwa kuwa Concordats ni makubaliano ya kisiasa kati ya Vatican na nchi zilizo na Balozi ambapo ukatoliki hupewa nafasi pekee ya upendeleo katika nchi.
Katika kitabu kuhusu Vatican kinachoitwa Church, State and Diplomacy uk. 279 mwandishi Paul Blanshard ameandika kuwa kanisa katoliki huingia mkataba huo na serikali halafu huwa mstari wa mbele kueneza sera za serikali kutenganishwa na dini.

source: Annur

Ms
Kwanini msekwa hataki kutolea ufafanuzi kama alivyopambanua mahakama ya kadhi?
 
kwa lipi?
ili

Islamic republic is the official name given to several contemporary states in the Muslim world, including the Islamic Republics of Pakistan, Iran, Afghanistan, and Mauritania. Pakistan

Lakini sisi hatuna dini , hizo sharia zinazotumika katika hizo nchi sio wote tunazikubali ni za kiislamu na sio kikristo wa kipagani?
kwa nini hilo wewe sio tatizo kwako ila VATICAN?
harafu unajua kwa mimi tuko jumuiya ya madora?
na tofauti ya jumuiya ya madola na OIC ziko wazi, na hii nchi sio ya kiislamu kujiunga OIC
sasa unataka tujiunge huko kufuata nini?
kama una sababu za sisi kujitoa jumuiya ya madola sawa, lakini pia hakuna sababu ya sisi kwenda kwenye OIC kwa manufaa ya watu milioni 16 na kuunguza matakwa ya watu milioni 27 na kuvunja katiba ya nchi

basi tupige kura kama mtafurukuta maana naona kuna siasa kwenye mambo serious kama imani za watu, au hiyo misaada ndio inatoa watu roho? kama wao ni watu wazuri wa DINI NA WACHA MUNGU kwa nini hiyo misaada mpaka ujiunge OIC?
Ni nini siri ya kuwa member ina maana kama sio member wewe sio muislamu?
je uislamu ni OIC au roho ya mtu anavyoamini
.

msekwa awe wazi
 
justify
hiyo mkuu, naona kama unaongozwa na ubaguzi wa dini,
lakini pia una[inga ukweli kwa kutumia msuli
VATICAN ni member wa UN kwa sababu ni republic, je Dar-es-salaam ni nchi uhuru pia?
usichanganywe na hiyo nchi kuzungukwa na ITALY na kama hiyo ndio sababu inayokusumbua vipi kuhusu LESOTO
inayozungukwa na SOUTH AFRIKA.

kama vatican ni nchi basi hata dar Es salaam ni nchi
 
POINT yako imelenga nini?
kwamba tuwache mafisadi watutafune au tuishi kwa kufuata dini furani hata kama hatuiamini na tuna dini zetu
au wachukia ufisadi ni tabaka gani la watu kwa mtazamo wako?
au bado huko kwa msekwa? sikuelewi
na wanopenda ufisadi ni wapi?
je wale wanaotaka tujiunge OIC?
hahhaaa.hapa ndipo wachukia ufisadi wanaposhindwa.
 
Vatican si nchi ni Taasisi na ndio maana haitambuliki hata kwenye international laws na UN kama maaskofu hawaitaki mahakama ya kadhi na waislamu hawaitaki vatican.
 
OK nimekuelewa ya kwamba ccm ni mafisadi
na chadema ni wapinga ufisadi
lakini wote wana share common ground kwenye issue ya OIC, ya kwamba wote wanasema no kujiunga
sasa hapo kuna tatizo gani? ina maana ccm wakiwa sahihi kuna haja ya kuwapinga kwa sababu wao ni mafisadi?
you are missing a point bro-----vita dhidi ya ufisadi vinalenga maendeleo ya nchi na ni matakwa ya wengi kupiga vita ufisadi, hakuna mtazamo wa kidini hapo.

sio tatizo UNO kujulikana. tatizo tz na ubaguzi wa kidini

hapa ndipo wapinga ufisadi wanapowaunga mkono ccm
 
hii sio nchi ya kidini mkuu, na kama utataka matakwa wa waislamu yawe kipaumbele na ya wakristo unayaju?

mnaibana ccm kuhusu ufisadi.lkn mnakuwa pamoja na kuunga mkono kuhusu madai ya waislam. hapo ndipo manposhindwa. yaani one side
 
husichanganyi mambo mkuu, vatican nchi ( the central governing body of the Catholic Church and sovereign entity recognized by international law, consisting of the Pope and the Roman Curia. The Vatican can also be referred to as "The Holy City)
na hiyo ni kwa ROMANI CATHROLIC sio wakristo ,
kuna wakristo wa aina nyingi na VATICAN haiwahusu. sasa hiyo mahakama ya kadhi unataka nani wa kuhukumiwa huko?
vipi kama muislamu na mkristo wakiwa wana matatizo?
na ni sheria gani watatumia na mambo gani yatashughulikiwa huko?

hii mahakama ya kadhi ni haki ya waislam kama ulivyo ubalozi wa vatican ni haki wa wakiristo
 
Back
Top Bottom