William John 67
Member
- Jul 11, 2009
- 34
- 1
Wewe unapinga au unaunga mkono.
Waache waanzishe ni haki yao ya mshingi,
Wamesema ni mahakama ambayo wakristo hiwahusu kabisa.
Wakati wa ukoroni waingereza walianzisha hii mahakama sisi ndio tulioifunga bila sababu yoyote
Waache waanzishe ni haki yao ya mshingi,
Wamesema ni mahakama ambayo wakristo hiwahusu kabisa.
Wakati wa ukoroni waingereza walianzisha hii mahakama sisi ndio tulioifunga bila sababu yoyote