Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Nijuavyo mimi hakuna pingamizi lolote la kuanzishwa kwa mahakama ya kazi. Waislamu wanapaswa kuangalia ni jinsi gani wataianzisha mahakama hiyo bila kuingilia mfumo wa uendeshaji nchi. Ni juu ya Waislamu na kamwe halipaswi kuwa suala la serikali.
 
Wewe unapinga au unaunga mkono.
Waache waanzishe ni haki yao ya mshingi,
Wamesema ni mahakama ambayo wakristo hiwahusu kabisa.
Wakati wa ukoroni waingereza walianzisha hii mahakama sisi ndio tulioifunga bila sababu yoyote

Mbona ya kikristo haikupigiwa kelele ipitie bungeni?? Mbona hii inahusishwa na serikali au kisiasa zaidi??. Itaharibu sana mfumo wa sheria za nchi na katiba.
 
Nikumbana na mjadala huu hata nje ya JF,hata na waislam wenye uwezo mzuri wa elimu,lakini nimegundua uislam unawanyima waumini wao uwezo wa kujadiri maswala yahusuyo dini yao kwa uhuru,matokeo ni kutoa hoja zingine zinatia hata kichefuchefu na unagundua kabisa mtoaji si kwa kuwa anapenda bali hana namna lazima atetee uislam.
Ni wakati wa kujadili hoja kwa manufaa ya nchi na si mapenzi ya dini,Tuelezeni ni kwa vipi jamii ya watanzania itanufaika na uwepo wa mahakama ya kadhi pasi na kurejea Uganda, Msumbiji n.k kwamba zenyewe zina mahakama ya kadhi.
 
Sidhani kama serikali inavunja katiba ikiruhusu nahakama ya Kadhi, na ata kama, Katiba inaweza kurekebishwa kupisha maendekeo au freedom ya wananchi

Maendeleo ya wananchi yanaweza kuwepo hata kama Mahakama hizo wataziendesha wanaohusika nazo. Si walisema JOHN hawezi kuhukumu kesi ya mwislamu? Kwa nini JOHN huyo huyo agharimie IBADA yenu? Kwani mkishughulikia mambo yenu wenyewe kuna ubaya gani? Freedom ya wananchi ni kufanya mambo yao wenyewe kulingana utaratibu na sio kuingiliwa na serikali. Hiyo Freedom unayoizungumzia ni ipi?

Hakuna evidence inayo onyesha mahakama ya kadhi itavunja amani iliopo Tanzania, sanasana, kuktaliwa mahakma ndio kutavunja amani.

Evidence: Mbona Mahakama za Kadhi hazikuwepo na amani ilikuwepo tena kuliko za jirani zetu popote na sasa hivi amani inazidi kutoweka taratibu anapoingia huyu shetani aitwaye Kadhi?

Evidence za kutosha zinaonyesha Mahakama ya kadhi haijavunja amani popote, mfano, Zanzibari, Kenya, Uganda, UK nakadhalika, zipo mahakama na bado jamii zao zinaishi kwa amani


Evidence: Umesahau Nigeria, Somalia. Halafu ukumbuke kuwa hakuna mtu anayekataa Mahakama za Kadhi, ila ni kwamba Waislamu wenyewe WAIGHARAMIE NA KUIENDESHA kwa kuwa ni IBADA yao.

kaka naomba uelewe mahakama ya kadhi ni haki kamili ya waislamu. Walioshinikiza serikali kuondoa kodi katika ngos walikuwa maaskofu na serikali ikasalimu amri na kuondoa kodi katika institution za kidini na sisi tutaishinikiza serikali itupe mahakama ya kadhi.

Ama kuhusu kugharimiwa mahakama ya kadhi itagharimiwa kwa pesa ya serikali kwani waislamu pia tunalipa kodi serikalini hivyo basi na hela zetu zijulikane zinaenda wapi serikalini na sio kutufanya sio watu hatuelewi kinachoendelea. Ikishindakana basi tusiione serikali ikitoa michango katika shule za seminari, hospitali za seminari eti kwa kisingizio cha kusambaza huduma ya jamii. Mnasambaza huduma ya jamii wakati vilevile mnaenezo neno, mnatoa kazi kwa wakristo kufanya kazi katika hizo institution this is total unfair na waislamu hatutakubali iendelee.
 
SUBJECT: SWALI LA KUJIBI WA KABLA YA MAHAKAMA YA KADHI.....Waislam vipi ule mfuko wa Kuisilimisha Tanzania?


Kisheria mtu akituhumiwa jambo akakaa kimya, wakati mwingine hutafsiriwa kwamba amekiri. Hivyo ndivyo kw baadhi ya waislamu nchini, ambao wamekuwa wakiishinikiza serikali iwaanzishie Mahakama ya Kiislamu (Kadhi), huku wakikaa kimya kuzungumzia tuhuma ya muda mrefu ya kusudio lao la kuigeuza Tanzania kuwa jamhuri ya kiislamu, ambapo mfuko maalum ulishaanzishwa na kuchangiwa fedha na watu wazito.

Kwa mujibu wa kumbukumbu zilizoko kwenye machapisho ya Waislamu wenyewe, aliyekuwa Makamu wa Rais, marehemu Dk. Omar Ali Juma, alichangia shilingi milioni moja kuzindua mfuko huo, huku akiwa ameridhia azimio kwamba ofisi yake ikulu ndiyo ingeratibu elimu ya Qur’an katika jamhuri mpya ya Kiislamu ya Tanzania.

Hiyo ilikuwa mwaka 1997.

Gazeti la Kiislamu lililochapisha siri hiyo siri hiyo (An-Nuur toleao namba 87 la Machi 1997) lilisema kusudio la kuifanya Tanzania kuwa Jamhuri ya Kiislamu, ni kwa sababu mifumo iliyopo sasa imeshindwa kuboresha hali ya jamii.

Gazeti hilo lilikuwa linaripoti kilele cha maadhimisho ya kusoma na kuhifadhi Qur’an, yaliyofanyika katika msikiti wa Shadhiya, ulioko katika meneo ya Kariakoo, jijini D’Salaam siku ya jumapili Februari 23, 1997, maadhimisho hayo yaliandaliwa na BAKWATA.

Hafla hiyo ilihudhuriwa na aliyekuwa Makamu wa Rais, marehemu d, aliyekuwa Katibu wa BAKWATA Alhaji Rajab Kundya, balozi wa Iran nchini na Mkurugenzi wa shirika la World Muslim league.

Dk. Juma, alisema Qur’an ni mwongozo wa maisha ya jamii, hivyo, jamii ya Watanzania iizingatie kwa kuisoma na kuitekeleza katika kila eneo la maisha yao, maana inawafunza Watanzania kila kitu kinachohusu maisha yao ya kila siku.

Katika kuifanya Qur’an kuwa mwongozo wa watanzania, Dk. Omar Juma alitoa mchango wake wa shilingi milioni moja , na kusema kuwa kimeanzishwa kitengo maalumu katika ofisi yake, kitakachoshughulikia ufundishaji na utekelezaji wa Qur’an kwa Watanzania.

Japo katika hotuba yake Dk. Omar Juma hakutaka kutoa ufafanusi zaidi juu ya hilo, lakini lengo lilikuwa ni kuwaonyesha Waislamu kuwa ofisi yake ambayo pia ina jukumu la kuondoa umasikini wa watanzania, imeamua kwa dhati kuusimamia na kutekeleza Uislamu kwa Watanzania wote, kwa madai kuwa una uwezo mkubwa wa kuboresha maisha yao.

Katika hafla hiyo Dk. Omar Juma aliwafurahisha Waislamu, kutokana na kukiri kwake mifumo yote iliyokuwa ikitumiwa na serikali yake, haikuwa inafaa kwa maisha na maendeleo ya Watanzania, zaidi ya kufuatisha mafundisho ya Qur’an.


“Dini ya kiyahudi, haimtambui asiye Myahudi, na kwa imani yao wana haki kupora mali za wengine na hata kuwaua ili kustawisha himaya yao. Ukristu hali kadhalika, tumeona wakristu walivyoendesha ubaguzi huko Afrika ya Kusini. Haki inayowakuta Wamarekani weusi ” alisema katika kukazia mpango wa ofisi yake.

Mpango huo uliotangazwa msikitini na Dk. Omar Juma mpaka leo, haujawahi kukanushwa na serikali wala mamlaka yoyote ie tangu habari hiyo ilipochapishwa kwa mara ya kwanza na gazeti hilo la An Nuur, miaka 12 iliyopita, hali inayoifanya jamii kuamini kuwa vuguvugu hili la Waislamu kudai Mahakama ya Kadhi, lina lengo la kutekeleza kile ilichokianzisha tangu miaka hiyo.

Ukimya au kigugumizi cha serikali cha kushindwa kutoa tamko la moja kwa moja kuwa mfuko huo upo au haupo kunaweza kuiaminisha jamii kuwa matamshi ya marehemu Dk. Omar Juma, yalikuwa mpango wa serikali na kwamba inauridhia.


Chanzo:
(Gazeti la Nyakati ambalo limeambatanishwa humu kama attachment likiwa na habari hii ili isomwe na non-members ambao hawawezi ku-downloadn attachment za JF)

Angalisho:
Soma hizo nyaraka kwa mpangilio mzuri wa namba yaani anza na Silimisha-01.pdf, halafu Silimisha-02.pdf kisha malizia na Silimisha-03.pdf.
 

Attachments

uKISEM MAHAKAMA YA KADHI WAKRISTU WANAKUWA WAOGA SANA NA NDIO WANAKUWA WASEMAJI WAKUU.

PILIPILI YALIWA SHAMBA EE INAKUWASHIA NINI? TUWAACHE WAISLAMU WAPAMBANE NA SERIKALI. WAKRISTU KAENI CHONJO.

KENYA, UGANDA ZIPO VIPI TANZANIA?
 
kaka naomba uelewe mahakama ya kadhi ni haki kamili ya waislamu. Walioshinikiza serikali kuondoa kodi katika ngos walikuwa maaskofu na serikali ikasalimu amri na kuondoa kodi katika institution za kidini na sisi tutaishinikiza serikali itupe mahakama ya kadhi.

Ama kuhusu kugharimiwa mahakama ya kadhi itagharimiwa kwa pesa ya serikali kwani waislamu pia tunalipa kodi serikalini hivyo basi na hela zetu zijulikane zinaenda wapi serikalini na sio kutufanya sio watu hatuelewi kinachoendelea. Ikishindakana basi tusiione serikali ikitoa michango katika shule za seminari, hospitali za seminari eti kwa kisingizio cha kusambaza huduma ya jamii. Mnasambaza huduma ya jamii wakati vilevile mnaenezo neno, mnatoa kazi kwa wakristo kufanya kazi katika hizo institution this is total unfair na waislamu hatutakubali iendelee.


Kweli mkuu nashindwa kukuelewa, Kuhusu kodi kwani taasisi za kiislamu hazipati misamaha hii? Nenda TRA ukapate data ndio uje JF? Mbona tulipopewa majengo ya chuo cha TANESCO Morogoro na kuwa chuo kikuu wao wakristo hawakupiga kelele? na hizi taasisi za wenzetu kwani wamepewa na serikali au wanajichanga na kujenga zao?

waislamu tujipange tuje na mikakati madhubuti na tuache kulalamika tu hatutafika. Tujenge utaifa na sio kuendeleza matabaka
 
kaka naomba uelewe mahakama ya kadhi ni haki kamili ya waislamu. Walioshinikiza serikali kuondoa kodi katika ngos walikuwa maaskofu na serikali ikasalimu amri na kuondoa kodi katika institution za kidini na sisi tutaishinikiza serikali itupe mahakama ya kadhi.

Ama kuhusu kugharimiwa mahakama ya kadhi itagharimiwa kwa pesa ya serikali kwani waislamu pia tunalipa kodi serikalini hivyo basi na hela zetu zijulikane zinaenda wapi serikalini na sio kutufanya sio watu hatuelewi kinachoendelea. Ikishindakana basi tusiione serikali ikitoa michango katika shule za seminari, hospitali za seminari eti kwa kisingizio cha kusambaza huduma ya jamii. Mnasambaza huduma ya jamii wakati vilevile mnaenezo neno, mnatoa kazi kwa wakristo kufanya kazi katika hizo institution this is total unfair na waislamu hatutakubali iendelee.

Hapa ndipo tatizo la kujadili na waislam lililpo,anasema shinikizo la misamaha ya kodi NGOs na mashirika ya Dini kana kwamba NGOs zote na mashirika ya dini ni ya kikristo peke yake,kwa makusidi anajiaminisha kwamba kwa kuwa maaskofu ndiyo walitolea macho serikali katika kuanza kuwatoza kodi yatima na masikini wanaohudimiwa na mashirika ya dini ya kIkristo na dini zingine basi serikali inawatii maaskofu. Kwenye moja ya post zangu nimeeleza tatizo la kujadili na waislam,kubwa ni kwamba muislam yuko tayari kufisha uelewa wake ili atetee dini yake
 
Mbona kuna ubalozi wa Vatican, si tumeurithi toka kwa wakoloni! Ni kwa maslahi ya nani? Kwani umeathiri uislam? Kama siyo, kwa nini Mahakama ya Kadhi iwe Nongwa? Huyo balozi anapowasilisha nyaraka ikulu, kiprotokali mantiki yake ni nini? uhusiano wa serikali na Ukristo au ni mkorogo gani huo? Waacheni na wenzenu wajinome kama nanyi mnavyoingia ikulu kuwasilisha nyaraka za Vatican!



Naomba kujua elimu yako tafadhali
 
najutia kwa kulra yangu niliyompa JK kweli kabisa hawezi kuwa na maamuzi kwa nini lakini,nini kemsibu maskini ya mungu anataka kuvunja katiba mchana kweupeeee ili mradi tu wapate kura.
Namuomba ajiangalie hii nchi aliyokabidhiwa ikiwa na amani anaipeleka kwa nini asiwaache waislamu waanzishe mahakama yao wenyewe kama wanavyotaka iwe au kama mafundisho ya imani yao inavyosema kuna kitu gani kinawapelekea kuifanya nchi iwe kwenye mabishano makuu tangu atawale ananishangaza kweli namsikitikia anaweza akawa rahisi asiye maarufu kabisa pindi atakapomaliza kipindi chake kwa kweli
Nyerere ,Uhuru na Kazi
Mwinyi-Ruksa
Mkapa-Ukapa
Jakaya ..............
 
uKISEM MAHAKAMA YA KADHI WAKRISTU WANAKUWA WAOGA SANA NA NDIO WANAKUWA WASEMAJI WAKUU.

PILIPILI YALIWA SHAMBA EE INAKUWASHIA NINI? TUWAACHE WAISLAMU WAPAMBANE NA SERIKALI. WAKRISTU KAENI CHONJO.

KENYA, UGANDA ZIPO VIPI TANZANIA?

SIMPO...Waislam dunia ni dugu moja kama ndivyo muwe mna export mashauri yenu kwenda kenya na uganda ambako kuna mahakama ya kadhi.
 
Ubalozi wa Vatican hauendeshwi na Serikali yetu, pia Vatican ni serikali kama zilivyo Iran, nchi ya Kiislamu ambayo ina ubalozi Tanzania. Tofauti iliyopo na ubalozi ni kwamba Mahakama ya Kadhi ni ibada ya Waislamu, ambayo waislamu wanataka Serikali iwaendeshee! Hili linahitaji kwenda shule? Wanaogopa nini kuiendesha wenyewe kwa maslahi yao? Kwani uendeshaji wa misikiti na BAKWATA vinaendeshwa na nani?

You are right mkuu hapo ndo tatizo lilipo. Kwanini Waislamu watake mahakama yao iendeshwe na serikali? Waianzishe huko misikitini kwao na wafanye maamuzi yao huko kwa gharama zao wenyewe, no problem na si kuifanya kama ya nchi vile.
 
Nijuavyo mimi hakuna pingamizi lolote la kuanzishwa kwa mahakama ya kazi. Waislamu wanapaswa kuangalia ni jinsi gani wataianzisha mahakama hiyo bila kuingilia mfumo wa uendeshaji nchi. Ni juu ya Waislamu na kamwe halipaswi kuwa suala la serikali.

Hili jamaa hawataki kuelewa kabisa. Huenda kuna mambo yamejificha ndani yake na yatakuja fumuka mara hiyo mahakama ikishaanzishwa.
 
Wazee naamini mahakama ya kadhi ni kwa ajili ya kushughulikia kesi za kiislamu tu k.v mirathi, talaka na ugoni. Waacheni watajuta maana huko sharia zipo za kukatwa mikono na kupigwa mawe mpaka kufa unapofumaniwa. Wanalilia wembe wapeni wafe kwa mawe maana wengi wao ni wazinzi sana kwa maana ule muda wa kuungana na wenzao kwenye vikao vya jioni wao hukimbila guest house.Ninaamini hii mahakama haiwezi kuathiri wakristu.
 
Wajameni, hakuna haja ya kulumba kuhusu hili. Naamini hii mahakama itakuwa inashughulika na kesi za kiislamu kama talaka, mirathi na ugoni.Waacheni waendelee watajaonea faida yake watoto wao watakapohukumiwa kupigwa mawe mpaka kufa pale wanapokamatwa wakingonoka bila ndoa. Kwanza asilimia kubwa ya hawa jamaa jioni wakati wengine wanaenda baa wao huenda guest house hivyo watakapofumaniwa mahakama yao itawahukumu vilivyo na ndipo kutakuwepo kulia na kusaga meno kwa wale ambao siyo vibogoyo. Cha msingi pesa ya serikali isitumike kuajiri masheha au wafanyakazi wa mahakama hiyo hapo ndo tifu litazuka. Vinginevyo waachwe wale pilipili zao ziwawashe wenyewe.
 
Tell me Buchanan hii ibara ya 19(2) ya "Jamhuri ya Muungano" haitumiki Zanzibar? mbona wao wana mahakama ya Kadhi?
 
No matter how we try to justify it. Hii sio nzuri kwa Tanzania. What if mwislamu ameolewa na mpagani au na mkristo. We all have to be subjected to same laws, so as we can behave as one people. Hii ni mwanzo wa kutugawa.
 
Mmh! hadi hofu inaniingia...hii mahakama ya kadhi itataka mahabusu zao, askari (jeshi lao) na zana za kijeshi, n.k kwa gharama za serikali? Tunakoelekea kubaya.
Kuna mengi yamejificha ndani ya hii mahakama ya kadhi...
Na wengi wanaotaka hii mahakama ya kadhi ni wanaume wa kiislamu na si wanawake, kamwe!!!
Naipinga kwa nguvu zote.
Mwenyezi Mungu atuepushe na balaa hili.
 
Wajameni, hakuna haja ya kulumba kuhusu hili. Naamini hii mahakama itakuwa inashughulika na kesi za kiislamu kama talaka, mirathi na ugoni.Waacheni waendelee watajaonea faida yake watoto wao watakapohukumiwa kupigwa mawe mpaka kufa pale wanapokamatwa wakingonoka bila ndoa. Kwanza asilimia kubwa ya hawa jamaa jioni wakati wengine wanaenda baa wao huenda guest house hivyo watakapofumaniwa mahakama yao itawahukumu vilivyo na ndipo kutakuwepo kulia na kusaga meno kwa wale ambao siyo vibogoyo. Cha msingi pesa ya serikali isitumike kuajiri masheha au wafanyakazi wa mahakama hiyo hapo ndo tifu litazuka. Vinginevyo waachwe wale pilipili zao ziwawashe wenyewe.
Poor argument, dogmatized thinking soam ndugu bado sana argument zako ni za kishabiki na uelewa mdogo
 
Back
Top Bottom