Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

msimamo wa CHADEMA kuhusus mahakama ya kadhi ni upi?

Kukaa kimya na lenyewe ni jibu. Kwani Mwinyi alipoulizwa Zanzibar ni nchi au la si alijibu kuwa hajui? Wewe uliposoma Ilani ya Uchaguzi ya CHADEMA, 2005 ulikuta suala la Kadhi humo?
 
Hii hoja kwanza ni ya ubaguzi. Kwa nini jamaa anataka msimamo wa CHADEMA na si vyama vyote. Moderator, ondoa hii hoja inatupotezea muda.

hicho ndicho GT na serikali ya Kikwete wanataka uongelee sasa hivi. Hawataki uongelee Kagoda, meremeta, EPA, Buzwagi nk. Wanataka umaliza muda wako kuongelea mambo ya kidini.

Wamerudi kwenye game yao waliyocheza miaka ya 90
 
This is so unusual ya CHADEMA kutotoa tamko kwenye mambo yanyoihusu nchi ...vipi kulikoni?

Au this is too hot to handle?

Lakini hata kam ni hivyo je kwa wao kujiita chama mbadala wanajua kuwa mambo haya yamo kwenye kuendesha nchi au?

Toweni tamko CHADEMA watu wajue mmesimama upande upi

Hili sio suala la nchi ni la waislamu, lilipaswa kuishia misikitini! Suala sio hot ila halina maana kwa lisilowahusu!
 
Mkuu Waberoya tupo pamoja. Nadhani CCM ilipoingiza hoja hii kwenye ilani yao ya uchaguzi mwaka 2005 hawakuwa na nia ya kuianzisha hiyo mahakama ya kadhi bali janja ya kupata kura. Inasemekana kipengele hiki kiliingizwa kwenye ilani na Kingunge - hana dini na Mang'ula - mkristo. Kwa maneno mengine kiliingizwa na wanasiasa. Wanasiasa wakati wote first priority yao ni "votes". Ustawi wa taifa kwao ni second priority iwapo tu utaelekea kuwadanganya raia kuwachagua tena kuwa viongozi. Kwa kuingiza kipengele hiki kwenye ilani yao ya uchaguzi kwa uroho wa kupata kura, CCM hawakujua kuwa wanajipalia makaa. Sasa imefika wakati kuwa hata Waziri mkuu anapewa siku 14 na waislamu kufuta kauli ya serikali bungeni iliyotolewa na waziri wa katiba! hapa TULIPOFIKA NI HATARI. Kumbuka, waislamu ni sehemu tu ya watanzania, na kwa bahati mbaya mchango wao katika ustawi wa taifa kielimu na kiafya ni mdogo sana! Shule zao za sekondari (kama Waberoya alivyosema) zinazoongoza kwa kufanya vibaya (hata pamoja na kuzibadilisha jina eti nazo ziitwe seminari!! kumbe tatizo si jina!). Chuo chao kikuu walichopewa bure na serikali ya Mkapa (Majengo ya Tanesco Morogoro) wanashindwa kukifanya kitoe taaluma bora inayokusudiwa. Si siri kuwa hata lecturers wao wanawachukua tutors wa chuo cha ualimu kigurunyembe kinachotoa diploma na sasa wafundishe undergraduates!!!!. Sasa iwapo wakristu nao wakija juu na kuipa serikali ultimatum ya kufuta wazo la mahakama ya kazi la sivyo nao wafunga vyuo vyao vikuu ambavyo ni bora sana kama SAUT, BUCHS, MWENGE, RUCCO, TUMAINI, etc pamoja na hospitali zao bora sana (tena za rufaa!! zenye madawa na vifaa) kama BUGANDO, KCMC, na sekondari zao bora sana kama MARIAN GIRLS -Bagamoyo, ST. FRANCIS-Mbeya, KIFUNGILO-Lushoto nk, achilia mbali zahanati zao zilizotapakaa nchi nzima! Je serikali hii ya CCM bado itasimama! Si nchi nzima italipuka! Tafadhali CCM, msitupeleke kusiko kwa uroho wa "votes". Heshimu katiba ya nchi ambayo inasema wazi kabisa kuwa serikali haina dini bali raia wake wana dini. Waacheni raia wake wenyewe waanzishe mahakama yao ya kadhi (mradi hawapingani na katiba) kwa gharama za dini yao na wala si kwa kodi za raia ambao wengine si waislamu. Mambo yao ya ibada - kama wanavyodai juu ya mahakama ya kadhi - basi isiwe gharama kwa wengine wanadaiwa kuwa makafiri katika upeo wa dini yao. Nao waislamu wenyewe wang'amue ni kwanini ibada yao iwahusishe makafiri katika kuamua, kuanzisha na hatimaye kuigharamia!!!!! something must be wrong in their heads!

Tena sio kidogo!
 
Mkuu Waberoya tupo pamoja. Nadhani CCM ilipoingiza hoja hii kwenye ilani yao ya uchaguzi mwaka 2005 hawakuwa na nia ya kuianzisha hiyo mahakama ya kadhi bali janja ya kupata kura. Inasemekana kipengele hiki kiliingizwa kwenye ilani na Kingunge - hana dini na Mang'ula - mkristo. Kwa maneno mengine kiliingizwa na wanasiasa. Wanasiasa wakati wote first priority yao ni "votes". Ustawi wa taifa kwao ni second priority iwapo tu utaelekea kuwadanganya raia kuwachagua tena kuwa viongozi. Kwa kuingiza kipengele hiki kwenye ilani yao ya uchaguzi kwa uroho wa kupata kura, CCM hawakujua kuwa wanajipalia makaa. Sasa imefika wakati kuwa hata Waziri mkuu anapewa siku 14 na waislamu kufuta kauli ya serikali bungeni iliyotolewa na waziri wa katiba! hapa TULIPOFIKA NI HATARI. Kumbuka, waislamu ni sehemu tu ya watanzania, na kwa bahati mbaya mchango wao katika ustawi wa taifa kielimu na kiafya ni mdogo sana! Shule zao za sekondari (kama Waberoya alivyosema) zinazoongoza kwa kufanya vibaya (hata pamoja na kuzibadilisha jina eti nazo ziitwe seminari!! kumbe tatizo si jina!). Chuo chao kikuu walichopewa bure na serikali ya Mkapa (Majengo ya Tanesco Morogoro) wanashindwa kukifanya kitoe taaluma bora inayokusudiwa. Si siri kuwa hata lecturers wao wanawachukua tutors wa chuo cha ualimu kigurunyembe kinachotoa diploma na sasa wafundishe undergraduates!!!!. Sasa iwapo wakristu nao wakija juu na kuipa serikali ultimatum ya kufuta wazo la mahakama ya kazi la sivyo nao wafunga vyuo vyao vikuu ambavyo ni bora sana kama SAUT, BUCHS, MWENGE, RUCCO, TUMAINI, etc pamoja na hospitali zao bora sana (tena za rufaa!! zenye madawa na vifaa) kama BUGANDO, KCMC, na sekondari zao bora sana kama MARIAN GIRLS -Bagamoyo, ST. FRANCIS-Mbeya, KIFUNGILO-Lushoto nk, achilia mbali zahanati zao zilizotapakaa nchi nzima! Je serikali hii ya CCM bado itasimama! Si nchi nzima italipuka! Tafadhali CCM, msitupeleke kusiko kwa uroho wa "votes". Heshimu katiba ya nchi ambayo inasema wazi kabisa kuwa serikali haina dini bali raia wake wana dini.
Waacheni raia wake wenyewe waanzishe mahakama yao ya kadhi (mradi hawapingani na katiba) kwa gharama za dini yao na wala si kwa kodi za raia ambao wengine si waislamu.
Mambo yao ya ibada - kama wanavyodai juu ya mahakama ya kadhi - basi isiwe gharama kwa wengine wanadaiwa kuwa makafiri katika upeo wa dini yao. Nao waislamu wenyewe wang'amue ni kwanini ibada yao iwahusishe makafiri katika kuamua, kuanzisha na hatimaye kuigharamia!!!!! something must be wrong in their heads!


Well said...
 
Kwani CHADEMA Ilani yao ilikuwa na mahakama ya kadhi nao?. Kama haikuwepo sasa wao mahakama ya kadhi ina wahusu nini?. Ni kama vile umuulize mtu mwenye akili timamu kuwa msimamo wake ni upi kuhusu kuogelea?, kwanza hajakwambia kama yeye ni muogeleaji au ana mpango wa kuogelea na huenda hata maana ya kuogelea asiijue. So interest za CCM si lazima ndiyo ziwe dira ya Taifa.
 
Tupo Pamoja ndugu zangu hata mimi huwa napata shida sana ni kwanini CCM waliingiza hili kwenye ilani yake

Hili naona liliingizwa kwa bahati mbaya. JK mwenyewe alilikataa kuwa alilingiza yeye! Wakati ananadi maisha bora kwa kila mtz wala hakuligusia hili la kadhi. Watu walipoanza kulizungumzia ndipo aliposhtuka kwamba na hili nako lipo!
 
Hili naona liliingizwa kwa bahati mbaya. JK mwenyewe alilikataa kuwa alilingiza yeye! Wakati ananadi maisha bora kwa kila mtz wala hakuligusia hili la kadhi. Watu walipoanza kulizungumzia ndipo aliposhtuka kwamba na hili nako lipo!
Ndipo hapa mzee wetu wa kaya anadhibitisha kuwa ni mvivu wa Kusoma kila kitu, maana nakumbuka hata Prof Lipumba aliwahi kusema kuwa anamjua vilivyo na alikuwa ana tabia kama hiyo tokea UDSM, Sasa mimi nashindwa kuelewa kabisa na sidhani kama kweli alikuwa hajui bwana mzee
 
Nasubiri kwa hamu kusoma maoni ya Philemon Michael

We maoni yako nini, si umeambiwa chadema huyu fisi aitwaye kadhi ambaye magaidi wanamwita ndio ibada hakuwepo kwenye ilani yao, 2005? Ungewauliza juu ya sera ya majimbo ungepewa somo muruwa kweli!
 
Ndipo hapa mzee wetu wa kaya anadhibitisha kuwa ni mvivu wa Kusoma kila kitu, maana nakumbuka hata Prof Lipumba aliwahi kusema kuwa anamjua vilivyo na alikuwa ana tabia kama hiyo tokea UDSM, Sasa mimi nashindwa kuelewa kabisa na sidhani kama kweli alikuwa hajui bwana mzee

Wakati ananadi sera za ccm uliwahi kumsikia akizungumzia mambo ya kadhi uchaguzi mkuu , 2005? Na alipoulizwa kuhusu hilo suala mbona alianza kurusha mpira kwa Mkapa, Ngasongwa na Kingunge? Kwani wao ndio waliinadi hiyo ilani?
 
Nikweli hii sio Agenda yao agenda yao ni UZAWA na UKIRISTO, wasubiri 2010 waone Kama Watapata Kura, hivi Waislamu ni Wapumbavu sanaa mnavyo fikiria haya sawa wacha tuone tusiandikie mate na Wino Upo/

Ndio maana hata Zitto sasa amekuwa hana maana ndani ya CHADEMA sababu ni Uislamu wake? na ndio hatujaona Bungeni Wabunge wa CHADEMA Kutetea KADHI Kwa Sababu PADRI SLAA Hataki mnatufanya sisi Mamilioni ya Wapiga Kura Waislamu kuwa sawa na KONDOMU Baada ya Kututumia ni Kututupa baada ya Hamu Kwisha. Mmekwisha CHADEMA Kazi imeanza Nyumba kwa Nyumba Mtu Kwa mtu yena inakwenda uzuri yena kwa kasi kama iwakavyo petroli na nyie kaani Limya mssitowe kauli kuhusu kadhi kazeni Buti kwenye Ufisadi Muuone mtavuna nini 2010 kwenye Uchaguzi kama hamkubakia na vijimbo viwili au kimoja vya UCHAGANI
 
Wakati ananadi sera za ccm uliwahi kumsikia akizungumzia mambo ya kadhi uchaguzi mkuu , 2005? Na alipoulizwa kuhusu hilo suala mbona alianza kurusha mpira kwa Mkapa, Ngasongwa na Kingunge? Kwani wao ndio waliinadi hiyo ilani?
Hivyo ndugu zangu hakuna haja ya kuendelea kumjadili huyu mtu maana anaeleweka kabisa kuwa ni mtu kigeugeu sana na mtu asiye pinda lawama kabisa. SAsa kama wewe unabisha hiyo mahakama waislamu wasahau kabisa kabisa
 
Nikweli hii sio Agenda yao agenda yao ni UZAWA na UKIRISTO, wasubiri 2010 waone Kama Watapata Kura, hivi Waislamu ni Wapumbavu sanaa mnavyo fikiria haya sawa wacha tuone tusiandikie mate na Wino Upo/

Ndio maana hata Zitto sasa amekuwa hana maana ndani ya CHADEMA sababu ni Uislamu wake? na ndio hatujaona Bungeni Wabunge wa CHADEMA Kutetea KADHI Kwa Sababu PADRI SLAA Hataki mnatufanya sisi Mamilioni ya Wapiga Kura Waislamu kuwa sawa na KONDOMU Baada ya Kututumia ni Kututupa baada ya Hamu Kwisha. Mmekwisha CHADEMA Kazi imeanza Nyumba kwa Nyumba Mtu Kwa mtu yena inakwenda uzuri yena kwa kasi kama iwakavyo petroli na nyie kaani Limya mssitowe kauli kuhusu kadhi kazeni Buti kwenye Ufisadi Muuone mtavuna nini 2010 kwenye Uchaguzi kama hamkubakia na vijimbo viwili au kimoja vya UCHAGANI

Ili msiendelee kuwa kondomu simamieni mambo yenu wenyewe! Kaeni misikitini, sokoni wherever mkaunda chombo chenu kitakachohusu ibada yenu! Kama hamtakichagua chadema hakuna haja ya vitisho kwani haikuwa sera yao! Nyie chagueni chama kitakachowatumia kama kondomu na hamu ikiisha watawatumia tena hamu ikija!
 
Masheikh 25 waanza mchakato wa Kadhi
broken-heart.jpg
Na Ummy Muya

BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) limetangaza kamati ya masheikh 25 watakaofanya kazi na serikali katika mchakato wa kuunda Mahakama ya Kadhi.

Kaimu Katibu Mkuu wa Bakwata, Sheikh Suleiman Lolila aliwaambia waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam kuwa, kamati hiyo iliundwa baada ya kikao cha pamoja kati ya masheikh na Waziri Mkuu Mizengo Pinda kilichofanyika hivi karibuni.

Sheikh Lolila alisema kuwa waziri mkuu alipendekeza mchakato wa majadiliano unaohusisha pande mbili za masheikh na serikali uanze na kwamba kamati hiyo itakuwa chini ya Mufti Simba.

“Kamati hii inaundwa na jumla ya masheikh maarufu 25 na tayari imeshaanza kazi na ndani yake kuna wanasheria wa Kiislamu, mawakili wa kujitegemea na wataalamu wa fani za jamii,” alisema Lolila.
“Ratiba ya vikao vya kamati hiyo vitatangazwa mara tu wanakamati watakapokutana na serikali na kuweka mbinu za utekelezaji,” alisema.

Masheikh wanaounda kamati hiyo ni Mufti Issa bin Shaaban Simba (mwenyekiti wa kamati), Ustadh Suleiman Lolila (kaimu katibu mkuu -Bakwata), Sheikh Ismail Habib, mjumbe wa baraza la Ulamaa, Sheikh Taufiq Malilo, mjumbe wa baraza la Ulamaa, na mjumbe wa baraza la Ulamaa Sheikh Fereji Hassain.

Wengine kwa mujibu wa Sheikh Lolila ni Sheikh Alhad Mussa, ambaye ni sheikh wa mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Suleiman Kilemile (Islamic Call Society), Sheikh Twaha Bane (Al-Haramain), Ustadh Abdallah Matumla na Sheikh Abdallah Nyasi wa Bakwata.

Wengine ni mwakilishi kutoka Bohora, mwakilishi kutoka Shia, mwakilishi kutoka Sunni, mwakilishi kutoka Masjid Ibaadhi –Istiqama Sheikh Mussa Kundecha, Sheikh Juma Pori (Answar Sunna) na Sheikh Abdallah Bawazir (Masjid Kiblaten).

Pia wapo Sheikh Twalib Ahmed (Masjid Maamur), Ustadh Yahya Njama (mwanasheria), Ustadh Issa Maige (mwanasheria), Sheikh Muharam Juma Dogga (Al Haramain), Sheikh Hamid Masoud Jongo (Masjid Manyema), Sheikh Abdallah Ndauga (International Islamic Relief Organisation), Sheikh Abubakar Zubeir (Salafiya) na Ustadh Mohamed Said (Bakwata).

Hivi karibuni baadhi ya Waislamu waliilalamikia serikali baada ya Waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe kutangaza kuwa serikali imeamua kutounda Mahakama ya Kadhi na badala yake itajumuisha sheria za Kadhi kwenye mahakama za kawaida.

Akiwasilisha makadirio na matumizi ya wizara yake kwa mwaka 2009/10, Chikawe alisema kuwa uamuzi huo wa serikali unatokana na mapendekezo yaliyowasilishwa kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na tume ya wataalamu waliochambua mapendekezo ya utafiti uliofanywa na Kamati ya Kurekebisha Sheria nchini.

Taasisi kadhaa za Kiislamu zilipinga uamuzi huo na kutishia kufanya maandamano na hata kuinyima kura CCM katika uchaguzi mkuu ujao.
Hata hivyo, madhehebu mengine ya Kikristo yamekuwa yakielezea kuwa hayaoni ubaya wowote kwa Waislamu ila wanachokikataa ni serikali kutumia sehemu za walipakodi nchini kwa ajili ya kuzigharamia.
Tuma maoni kwa Mhariri
 
Masheikh 25 waanza mchakato wa Kadhi
broken-heart.jpg
Na Ummy Muya

BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) limetangaza kamati ya masheikh 25 watakaofanya kazi na serikali katika mchakato wa kuunda Mahakama ya Kadhi.

Kaimu Katibu Mkuu wa Bakwata, Sheikh Suleiman Lolila aliwaambia waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam kuwa, kamati hiyo iliundwa baada ya kikao cha pamoja kati ya masheikh na Waziri Mkuu Mizengo Pinda kilichofanyika hivi karibuni.

Sheikh Lolila alisema kuwa waziri mkuu alipendekeza mchakato wa majadiliano unaohusisha pande mbili za masheikh na serikali uanze na kwamba kamati hiyo itakuwa chini ya Mufti Simba.

“Kamati hii inaundwa na jumla ya masheikh maarufu 25 na tayari imeshaanza kazi na ndani yake kuna wanasheria wa Kiislamu, mawakili wa kujitegemea na wataalamu wa fani za jamii,” alisema Lolila.
“Ratiba ya vikao vya kamati hiyo vitatangazwa mara tu wanakamati watakapokutana na serikali na kuweka mbinu za utekelezaji,” alisema.

Masheikh wanaounda kamati hiyo ni Mufti Issa bin Shaaban Simba (mwenyekiti wa kamati), Ustadh Suleiman Lolila (kaimu katibu mkuu -Bakwata), Sheikh Ismail Habib, mjumbe wa baraza la Ulamaa, Sheikh Taufiq Malilo, mjumbe wa baraza la Ulamaa, na mjumbe wa baraza la Ulamaa Sheikh Fereji Hassain.

Wengine kwa mujibu wa Sheikh Lolila ni Sheikh Alhad Mussa, ambaye ni sheikh wa mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Suleiman Kilemile (Islamic Call Society), Sheikh Twaha Bane (Al-Haramain), Ustadh Abdallah Matumla na Sheikh Abdallah Nyasi wa Bakwata.

Wengine ni mwakilishi kutoka Bohora, mwakilishi kutoka Shia, mwakilishi kutoka Sunni, mwakilishi kutoka Masjid Ibaadhi –Istiqama Sheikh Mussa Kundecha, Sheikh Juma Pori (Answar Sunna) na Sheikh Abdallah Bawazir (Masjid Kiblaten).

Pia wapo Sheikh Twalib Ahmed (Masjid Maamur), Ustadh Yahya Njama (mwanasheria), Ustadh Issa Maige (mwanasheria), Sheikh Muharam Juma Dogga (Al Haramain), Sheikh Hamid Masoud Jongo (Masjid Manyema), Sheikh Abdallah Ndauga (International Islamic Relief Organisation), Sheikh Abubakar Zubeir (Salafiya) na Ustadh Mohamed Said (Bakwata).

Hivi karibuni baadhi ya Waislamu waliilalamikia serikali baada ya Waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe kutangaza kuwa serikali imeamua kutounda Mahakama ya Kadhi na badala yake itajumuisha sheria za Kadhi kwenye mahakama za kawaida.

Akiwasilisha makadirio na matumizi ya wizara yake kwa mwaka 2009/10, Chikawe alisema kuwa uamuzi huo wa serikali unatokana na mapendekezo yaliyowasilishwa kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali na tume ya wataalamu waliochambua mapendekezo ya utafiti uliofanywa na Kamati ya Kurekebisha Sheria nchini.

Taasisi kadhaa za Kiislamu zilipinga uamuzi huo na kutishia kufanya maandamano na hata kuinyima kura CCM katika uchaguzi mkuu ujao.
Hata hivyo, madhehebu mengine ya Kikristo yamekuwa yakielezea kuwa hayaoni ubaya wowote kwa Waislamu ila wanachokikataa ni serikali kutumia sehemu za walipakodi nchini kwa ajili ya kuzigharamia.


Hiyo TITLE ni dhihaka nadhani MOD anakazi this time. Kuna mengine kwakweli hayavumili, kama unahiahi kuheshimiwa basi heshima mila, destruri na tamaduni za watu. Kucheza na belief za wengine si kitu chema kabisa.
 
Hiyo TITLE ni dhihaka nadhani MOD anakazi this time. Kuna mengine kwakweli hayavumili, kama unahiahi kuheshimiwa basi heshima mila, destruri na tamaduni za watu. Kucheza na belief za wengine si kitu chema kabisa.


Mkuu hapa kuna dhihaka ama ni spinning zako ? Hapa naona ametajwa Mufti na wale jamaa wa Manzese hawamtambui Mufti je swali hili ni baya ?
 
Kuundwa kwa kamati ya kushugulikia hili suala kutokana na agizo la WAZIRI MKUU ni dalili tosha ya Serikali kunyoosha mikono na kukubali. Kwa nini serikali yetu haina misimamo kwenye maamuzi?? Kodi iliondoa baada ya kupata shinikizo hili nalo vile vile. Kweli tuna viongozi hapa.
 
Back
Top Bottom