waziri wetu wa Sheria na masuala ya katiba
Ametoa kauli ya kuliongopea Taifa wazi wazi kwa kudai kuwa Africa ya kusini kuna waislam wengi sana..ni uwongo hauhitaji kwenda mbali kulijua hilo
lakini background yake ikoje huyu waziri? kwa haraka haraka kumbe alizaliwa tarehe 30/5/1951
lakini more interestingly elimu take ya primary na secondary kumbe alisoma hapa:
St. Joseph's Convert Secondary School O-Level Education 1966 1969 SECONDARY
St. Joseph's Convert Primary School Primary Education 1959 1965 PRIMARY
sasa kwa issue sensitive ya kiimani kama ya kadhi he should have known better na kja na data za kueleweka lakini hilo yeye hakuona umuhimu wake aliamua kukurupuka tuu na kutoa kauli za uwongo usio na kifani
I hope wizara ya sheria inayo members wake humu hivyo watamfikishia habari kuwa tayari na yeye keshatundikwa Jamii Forums...atume watu wake waje humu kumjibia haya anayotuhumiwa na mengineyo....
watakuja tuu wakishaona bosi wao is part of the topics za leo, nyie subirini tuu