Yule advocate MKONO ni muislam?
jibu swali
Hivi kwenye hili swala si linatakiwa kwnda kwenye katiba? Na mabadiliko ya katiba ni swala la wananchi wote? Sasa inakuwaje waziri mkuu anaweza kulitolea maamuzi kirahisi rahisi hivyo? au mimi ndo sielewi vizuri! Pse advise me.
mmekuwa so sensitive eeeh?
kazi kweli kweli
Hapo umedanganya ndugu! hatuna hata one presedent waislamu wakaomba kitu toka serikalini wakristo wasilalamike ntakupa mfanoWaislamu wangetoa MoU kama kanisa ingekuwa sawa tu, tatizo la waislamu wanashindwa kutetea hoja zao za msingi na kubaki kutumia nguvu kutetea imani yao. Imani inatetewa kwa hoja zenye mashiko, masuala ya kunyima kura 2010 sio point. Ilani ya CCM 2005 ilisema kuwa serikali ya CCM italishughulikia suala la MyK sio itaanzisha MyK. Leo hii watu wanalalama kuwa CCM ilihahidi kuanzisha, nani alisema hayo, kwahiyo ina maana waislamu waliichagua CCM 2005 ili waanzishiwe MyK pekee, haya mengine hayawahusu. Na sasa ndio nagundua kitu kumbe ndio maana hata kwenye vita ya ufisadi naona variations eeh!!
Mimi nitawaomba hawa masheikh kuwa ktk hizo dua,ziwafikie mpaka hawa wa JF wanaoukejeli UISLAM..
Akina nani wamekuwa so sensitive?
Kama dini yako inakufanya uwe mbali na Mungu wako iwache hiyo dini.
Kama dini yako inakufanya unamchukia binadamu mwenzako iwache hiyo dini haifai.
Kama dini yako inakufanya unabagua watu walioumbwa na Mungu hiyo dini si ya Mungu wachana nayo.
Kama dini yako inakufanya mnabishana na kugombana badala ya kufundishana wacha hiyo dini Mungu hayupo hapo.
Kama dini yako inakufanya unakuwa fisadi ikimbie hiyo dini sio nzuri.
Kama dini yako inakufanya unapendelea kwenye uongozi wako jua Mungu hayupo hapo.
Acheni ubishani wa dini hamtapata ufumbuzi, jadilini mambo yanayohusu jamii sio kikundi cha imani mwenye kuhukumu yupo juu kila mmoja anasiku yake. Ukiona dini inakuletea kero ungana na Mzee kingunge kanyaga twende haina ngwasu.
Nitajie lawyer hata mmoja muislam aliyehusishwa na kesi za kifisadi
Kwani yule Mnkono ni Muislam?
hebu nipumzishe mie...mnataka sources from Masatu...vyenu mbona huwa hamtoi sources?
au ushasahau kuwa JF ni mabingwa wa exclusives?
haya ndio mambo ya uwafaya watu wajinga
sasa huyu waziri mzima wa katiba anaongopa mchana mchana...hivi kweli inahitaji shule kujua kama waislam in South Africa ni minority?
huyu MATHISA sijui MATAYO CHIKAWE alifikiri waislam hawajaenda shule au alifikiri kila mtu mjinga?
ngoja nitafute background yake huyu jamaa who knows usikute keshatoa kauli nyingi za kuongopa in the past maana kama anaongopa kwa hili lililowazi makes you wonder...
Duh! sujaona kichwa maji kama huyu Abdul-halim,tena huyu mtu tumuangalieni back-groud yake..hajui hata anachokiongea, yaani anatia kichefu chefu,hajui kama humu ni vichwa vitupu.. think b4 talk..
GT unasumbuliwa na HANG OVER....... nilitegemea ungejenga HOJA badala yake unaingiza MoU ya wakristo na serikali tutafika????? is this JF of great thinkers?