Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Mimi nitawaomba hawa masheikh kuwa ktk hizo dua,ziwafikie mpaka hawa wa JF wanaoukejeli UISLAM..

Hizo dua hazijaanza kusomwa leo ndugu yangu, mapepo ambayo hupitia dini yenu huwa yanatimua mbio kwa Jina la Yesu na kwenda kutoa taarifa kwa mashekhe kwamba yameshindwa! Kajihangaishe tena kuwaeleza ili mapepo yao yaje yatimuliwe kwa mara nyingine!
 
Hizo dua hazijaanza kusomwa leo ndugu yangu, mapepo ambayo hupitia dini yenu huwa yanatimua mbio kwa Jina la Yesu na kwenda kutoa taarifa kwa mashekhe kwamba yameshindwa! Kajihangaishe tena kuwaeleza ili mapepo yao yaje yatimuliwe kwa mara nyingine!

kamuulize mrema kilichomsibu nini kisha utaelewa
 
Dua ni utaratibu tuu nafikiri "actions baada ya dua will bring a real impact"
Ukweli ni kwamba mahakama itapatikana iwe leo, kesho au keshokutwa whoever is in govermenent whetever it takes..."No one can resist the power and will of Allah"


Hivi nyie Waislaam kwa nini mnakubali? Mnakubali kutumika kuleta watu bungeni. Wakiingia bungeni wanakusaliti. Wakiingia Ikulu wanakusaliti. Ningelikuwa mie nisingelikubali.

By the way, hivi bajeti yetu inajitosheleza au bado twapewa pesa na wasanii? Wasanii hao wengi wao ni Wakristo au Waislaam? Kama ni Waislaam basi labda muizunguke serikali na kwenda kwenye nchi wahisani. Ila kama nchi hizo nyingi ni za Wakristo, basi mnashida maana inawezekana wahisani hao (wakristo) wanadai hii mahakama isiletwe....

Msikate tamaa, piganeni kudai haki yenu. Maombi ya masheick wote hao nina imani sala zenu zitasikilizwa.
By the way, naona China nako Waislaam wamedai haki zao kwa NGUVU na wamepata kibano cha nguvu naku-PAY THE HIGHEST PRICE.
 
IPP MNANINI KWA WAISLAM?
naamini kila mtanzania sasa anafuatilia hoja ya mahakama ya kadhi kupitia magazeti. lkn la kushangaza vyombo vya habari vya IPP kupitia magazeti yake ya Kulikoni, NIPASHE Hayaripoti kabisa habari hii, lkn nadahani hii inatokana na chuki za vyombo hivyo kwa waislam. lakn chakushangaza hao hao iPP katika sakata la Mengi na Manji na Bassalehe waliitumia Bakwata kumpa cheti MENGI ILI aonekane mtu safi. lakini kwa swala hili Ipp wamemgeuka Mufti . naamini sio kweli kama waandishi wa IPP hafuatili kadhia hii lakn wanaficha habari na kufurahisha maaskofu mbona kuhus swla la misamaha ya kodi ipp walikuwa mbele kuiripoti habari hizo au kwakuwa wamesema maaskofu?
 
St. Joseph's Convert Secondary School O-Level Education 1966 1969 SECONDARY

St. Joseph's Convert Primary School Primary Education 1959 1965 PRIMARY
Ndo uzuri wa Wakristu huo. Waliinvest kwenye education, na sasa wanashikilia nyadhifa nyingi. Taasisi za kikristu za afya na Elimu zilifanya kazi nzuri na zinaendelea kufanya kazi nzuri ya kutoa huduma bila ubaguzi. Sasa wenzangu wameshtuka na kuanza hilo too late, na ndo maana hata seminari za kiislamu watoto wanafeli sana, kwani hakuna walimu wazuri (waliosoma enzi za akina Chikawe et al). Kwa hiyo generation ya kutokuwa na elimu kubwa itaendelea kurithishwa labda baadae kabisa ndo watakuja kupata wasomi. Madrasa hazina msaada wa kielimu katika dunia hii, zaidi ya kujifunza tafsiri ya Kiarabu. Sasa badala ya kuangalia mabo ya msingi, tunadai mahakama ya kadhi, itatufutia ujinga?
 

waziri wetu wa Sheria na masuala ya katiba​

Ametoa kauli ya kuliongopea Taifa wazi wazi kwa kudai kuwa Africa ya kusini kuna waislam wengi sana..ni uwongo hauhitaji kwenda mbali kulijua hilo

lakini background yake ikoje huyu waziri? kwa haraka haraka kumbe alizaliwa tarehe 30/5/1951

lakini more interestingly elimu take ya primary na secondary kumbe alisoma hapa:


St. Joseph's Convert Secondary School O-Level Education 1966 1969 SECONDARY


St. Joseph's Convert Primary School Primary Education 1959 1965 PRIMARY

Ulitaka akasomee ULAYA wakati wakristo waliona mbali wakatgengeneza mashule na kuwahimiza watoto wao waende shule?

SEMA LINGINE hapa bado ni HANG OVER TU......
 
inamana the so called Bbau wa watu mjinga kiasi ca kutojua kuwa waislam in South Africa ni minority?

Mbona Mashekhe wenyewe wamedanganya kwa kudai kuwa kifungu cha 108 cha Ilani ya Uchaguzi 2005 kilitoa ahadi ya kuanzishwa Mahakama za Kadhi wakati ukweli ni kwamba kilisema ni kuangalia UWEZEKANO wa kuanzishwa mahakama hizo?
 
Weka hapa ulichotaka kumwambia kwenye simu

5niwpt.jpg
 
karibu mahakama ya miguu na mikono..! by the way mungu wa kweli hawezi kumdhuru mtu.! kama kweli mna uchungu na nchi hii waombeeni dua akina karamagi,rostam na manji..! hypocrite
 
Wana Zuoni tupeni shule je? Kanisa nalo liombe mahakama yake, kwa kuwa nalo lina sheria zake zinazo tambulika kama Canon Law, mfana mtu anapokuwa na nyumba ndogo ndizo zinazo tumika kumtenga.
 
Inategemeana na aliyempa data na wewe data umepewa na nani.

Hivi na kusoma kwake kote huku huyu waziri inamaana alikuwa hajui kama Muslims in S.A are minority?


sasa issue ndogo kama hii kwake huyu waziri ni bige deal..sembuse issues kubwa kubwa

au ndio kapewa tuu?

by the way huyu ni mbunge wa NACHINGWEA
 
Back
Top Bottom