Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Can. 2 For the most part the Code does not define the rites which must be observed in celebrating liturgical actions. Therefore, liturgical laws in force until now retain their force unless one of them is contrary to the canons of the Code.

Can. 3 The canons of the Code neither abrogate nor derogate from the agreements entered into by the Apostolic See with nations or other political societies. These agreements therefore continue in force exactly as at present, notwithstanding contrary prescripts of this Code.

Can. 4 Acquired rights and privileges granted to physical or juridic persons up to this time by the Apostolic See remain intact if they are in use and have not been revoked, unless the canons of this Code expressly revoke them.

Can. 5 §1. Universal or particular customs presently in force which are contrary to the prescripts of these canons and are reprobated by the canons of this Code are absolutely suppressed and are not permitted to revive in the future. Other contrary customs are also considered suppressed unless the Code expressly provides otherwise or unless they are centenary or immemorial customs which can be tolerated if, in the judgment of the ordinary, they cannot be removed due to the circumstances of places and persons.

Link: Code of Canon Law - IntraText
 
Na Kanisa liombe kuanzisha mahakama yake, kwa kuwa ipo Canon Law.

Code of Canon Law - IntraText
The canons of this Code regard only the Latin Church.

Can. 2 For the most part the Code does not define the rites which must be observed in celebrating liturgical actions. Therefore, liturgical laws in force until now retain their force unless one of them is contrary to the canons of the Code.

Can. 3 The canons of the Code neither abrogate nor derogate from the agreements entered into by the Apostolic See with nations or other political societies. These agreements therefore continue in force exactly as at present, notwithstanding contrary prescripts of this Code.

Can. 4 Acquired rights and privileges granted to physical or juridic persons up to this time by the Apostolic See remain intact if they are in use and have not been revoked, unless the canons of this Code expressly revoke them.

Can. 5 §1. Universal or particular customs presently in force which are contrary to the prescripts of these canons and are reprobated by the canons of this Code are absolutely suppressed and are not permitted to revive in the future. Other contrary customs are also considered suppressed unless the Code expressly provides otherwise or unless they are centenary or immemorial customs which can be tolerated if, in the judgment of the ordinary, they cannot be removed due to the circumstances of places and persons.
 
Jana saa nne kulikua na kipindi channel Ten ambapo yule Mwalim wa Kiislam alisema bayana kuwa waziri mkuu ,mkuu wa mkoa wa dar es salaam na baadhi ya ma sheikh walikutana na ikaamuliwa kuwa mahakama ya kadhi itakuepo ila kuna vikao kadha wa kuamua mustakabali wa kuendesha mahakama hizo.........................

Anyway mimi mambo haya ya kidini siyawezi kabisa maana nasikia kuna dini nyingine baba anamtoa mtoto wake ili afe kwa ajili ya watu wengine halafu kuna dini nyingine hao watu wengine wanatakiwa kuwatoa watoto wao ili wamfie huyo baba.Kwa kweli mijadala ikishafikia hapo huwa mimi nanyoosha mikono na kukaa pembeni
 
Mkuu Game theary nakuaminia..
Unajua mkuu ukiongea ukweli unauma.. washazowea hao. unafkiri ataweza kupokea simu? jawabu la mwisho utaambiwa is not reachable,we ngojea tu mkuu..
 
No two countries are the same. Sisi si Kenya, Ethiopia au Afrika ya Kusini. Si kila wafanyalo wao linatufaa sisi. Kwa mfano, Afrika ya Kusini ina lugha zaidi ya moja ya kitaifa. Sasa na sisi tuamue Kisukuma na Kichaga navyo viwe lugha za taifa? Afrika ya Kusini hawana Waziri Mkuu. Sasa na sisi tumfutilie mbali Mizengo Pinda? Kenya wana wagombea binafsi lakini sisi hatuna.


Kumwomba Mungu amwadhibu mwanadamu mwenzio ni inverse religion. Kumtakia mabaya mwezio ni kutompenda, na hicho ni kinyume cha sheria za Mungu! Sasa mkiombea Tanzania mabaya na ikapata mafuriko makubwa mtafurahi?

Kama mnaombea CCM mabaya mbona zaidi ya nusu ya CCM yenyewe ni Waislamu?



Waislamu ni washari sana (ingawa sio wote) kutokana na wengi wao kubobea kwenye dini pekee na si elimu dunia wanakuwa wepesi sana kushawishika kwenye mambo cha uchochezi. Ukiona dini inayiinsist katika kumuombea mabaya adui au mtu ambaye si adui hiyo si dini ya mungu kwani katika amri za mungu hakuna kitu kama hicho.wasiwasi wangu mimi ni pale itakapodaiwa mahakama ya kadhi kwa nguvu kwa kisingizio cha kudai haki inaonekana huko ndipo tunakoelekea, kuna vijana wengi wa kiislamu hawana kazi(na wakikristu pia wapo) hivyo watapewa mafunzo ya kufanya hujuma mbalimbali ili kuelezea hasira zao,anayebisha abishe lakini huo ndio ukweri,wataiita ni jihadi. Inasikitisha sana kuona waislamu wanashindwa kuelewa jambo dogo sana kuwa serikali haina dini ila wananchi wana dini zao na jambo hilo lipo very clear kwenye katiba,sasa huyu mtu anayedai leo kuundwa mahakama ya kadhi kama si ushari ni nini? Sisi mfumo wetu ni mzuri sana na umekuwa ukiimarisha amani ya nchi,kama wanataka kuboresha mambo ya kidini waunde tu mfumo wao kama ilivyo kwa wakristu na hii inaonyesha ni jinsi gani wakristu walivyo na usomi ndio maana wanaweza kufanya mambo yao bila kutaka msaada kwa serikali. zanzibar si nchi lakini kutoka na tabia ya ushari wa waislamu wakajifanya hawaelewi and tha is because they wanted to join OIC,being not a country disqualified them,wakaanza malumbano yasiyokuwa na maana yoyote pamoja na wengine kuwa wabunge hata katiba walishindwa kuitetea yote hiyo ni tabia ya ushari wa kiarabu.mko wapi wasomi wa kiislamu kuwaelimisha wenzenu wasioelewa umuhimu wa kuheshimu mamlaka hata kama uamuzi utakaotolewa na mamlaka unawakera?Tanzania tumebarikiwa kuwa na watu waelewa hata kama hawajasoma ni wepesi kung'amua mambo na ndio maana hata suala la mahakama ya kadhi ni la wachache tu wanaofikiria ajira zaidi,sasa tufike mahali tuseme no kwenye mambo yanayohatarisha amani yetu,sasa hivi amani yetu inachezewa na waislamu (sorry kwa kusema hivyo) lakini it is a fact.
 
CCM ndio ilianzisha jambo hili na wao ndio wamalize wao na nyinyi waislamu kazeni Buti Hakuna kulala
 

chikawe.jpg


waziri wetu wa Sheria na masuala ya katiba​

Ametoa kauli ya kuliongopea Taifa wazi wazi kwa kudai kuwa Africa ya kusini kuna waislam wengi sana..ni uwongo hauhitaji kwenda mbali kulijua hilo

lakini background yake ikoje huyu waziri? kwa haraka haraka kumbe alizaliwa tarehe 30/5/1951

lakini more interestingly elimu take ya primary na secondary kumbe alisoma hapa:


St. Joseph's Convert Secondary School O-Level Education 1966 1969 SECONDARY


St. Joseph's Convert Primary School Primary Education 1959 1965 PRIMARY



sasa kwa issue sensitive ya kiimani kama ya kadhi he should have known better na kja na data za kueleweka lakini hilo yeye hakuona umuhimu wake aliamua kukurupuka tuu na kutoa kauli za uwongo usio na kifani

I hope wizara ya sheria inayo members wake humu hivyo watamfikishia habari kuwa tayari na yeye keshatundikwa Jamii Forums...atume watu wake waje humu kumjibia haya anayotuhumiwa na mengineyo....

watakuja tuu wakishaona bosi wao is part of the topics za leo, nyie subirini tuu

Wivu wa kike!
 
Mkuu Game theary nakuaminia..
Unajua mkuu ukiongea ukweli unauma.. washazowea hao. unafkiri ataweza kupokea simu? jawabu la mwisho utaambiwa is not reachable,we ngojea tu mkuu..

ZUMBUKUKU, MTOZENI kampigie shetani atapokea KAMWE HUTAKAA UNIPIGIE wewe wala hao wenzio.
 
nyamaza wewe hujui ulinenalo..nenda shule kwanza..ni wkt sasa watanzania kuanza kupigania haki zetu za msingi kwa ajili ya maendeleo yetu na watoto wetu..sio upuuzi wa kadhi..ili mwarabu awaone nyie ni wa maana na mpate vimsaada mbuzi..nendeni shule nyie masheikh na waislam wengine ili tujikomboe..upuuzi wa mambo ya kadhi ni kwa wasiokwenda shule...
 
Waisalamu fungeni ombeni kwa bidii CCM wamezidi uongo wao safari hii muombe kwelikweli isije ikawa toto cheza kama mulivyofanya dua kwa Mkapa,Mrema,Mtikila hatukuona kitu,Jitahidini yawafike ya kuwafika watajifunza kuwa na nidhamu yakuwa wakweli kwenye sera zao
 
nyamaza wewe hujui ulinenalo..nenda shule kwanza..ni wkt sasa watanzania kuanza kupigania haki zetu za msingi kwa ajili ya maendeleo yetu na watoto wetu..sio upuuzi wa kadhi..ili mwarabu awaone nyie ni wa maana na mpate vimsaada mbuzi..nendeni shule nyie masheikh na waislam wengine ili tujikomboe..upuuzi wa mambo ya kadhi ni kwa wasiokwenda shule...



Wee unafikiri waislam wanaotetea haki zao hawakwenda shule? mbona wamo ma-professor wengi tu wanataka Kadhi Court ? kuanzia ulaya na Africa, nata Archbishop wa Uingreza anajua Kadhi Court ni muhimu kwa wasilam. Wewew kwa sabababu ya umbumbu wako ndo unaona sio swala la msingi, wewe nadhani ndo uko nakosorio nenda kaombewe
 
karibu mahakama ya miguu na mikono..! by the way mungu wa kweli hawezi kumdhuru mtu.! kama kweli mna uchungu na nchi hii waombeeni dua akina karamagi,rostam na manji..! hypocrite

Nyie leo etimnadai mkonauchungu wa nchi hii, tangulini? ulizia nani aliyepoteza muda, mali na jasho kuleta Uhuru nchini? nyie mlikuja tu baadae nasi tukawakaribisha Mijini na serikalini, Hivi umesahau background yako?
 
Issues hapa sio wivu wala udini wake! issue hapa huyu waziri kilaza amedanganya taifa, kapotosha taifa kwa kushindwa kusoma basic statistics ilikuridhisha kanisa, Simply huyu jamaa hafai na hakuna ataemuamini tena. Acheni kutetea upuuzi hatakama niwadini yako.
 
Naona nchi inaingia pabaya, kama tunataka mahakama ya kadhi, basi waislam wenyewe tulipe hela kuiendesha sii kukata ktk kodi za wananchi wote, watu mnashindwa kutumia akili, kwanini mnataka kujitenga? mambo muhuimu mnaacha kufuatilia mnangangania ya ujinga, dua la kuku halimpati mwewe hata siku moja, ni upuuzi manaofanya, kwanza mmekosa kazi hata kukaa na nudai upuuzi upuuzi, hata mi mwenzenu nshawachoka, ntaenda kubatizwa kwa wakristu this week, tudai elimu tusome kwanza then hayo yatakuja automatic,sasa JK naye muislam why hatetei,ujue naye ana akili na anajua kuchambua mambo, ujinga ha-entertain kabisa!
 
Tatizo ni CCM na Chama chao na wote Hizo Dua ziwafikie wote walioiba kura huko Birahamuro na sehemu nyingine huko waliko
 
Back
Top Bottom