Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Why mnapigania mahakama? Impression ni kwamba nyie ni waovu sana au miongoni mwenu ni waovu sana? Badala ya kupigania taasisi za elimu na afya mnapigania a useless priority asset?
Waislamu fikirieni nje ya kabati na sii kukariri kiarabu tu!
Hivi wakati mnaandaa ile MoU mlikuwa mnafikiria nje ya Kabti na nyinyi au?