Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

Why mnapigania mahakama? Impression ni kwamba nyie ni waovu sana au miongoni mwenu ni waovu sana? Badala ya kupigania taasisi za elimu na afya mnapigania a useless priority asset?

Waislamu fikirieni nje ya kabati na sii kukariri kiarabu tu!

Hivi wakati mnaandaa ile MoU mlikuwa mnafikiria nje ya Kabti na nyinyi au?
 
CCM kimsingi hapa ndio ile kauli ya mheshimiwa sana hayati Kolimba inajidhihirisha. "CCM imekosa DIRA". Walimfyetua lakini time will tell.
 
Tangible facs ni kuwa kikao kimekwisha na Pinda anakula wali nam asheikh na mahakama ya kadhi iko kwenye pile line


what more tangible facts mnataka?

GT Mkuu acha ushabiki, tangu lini Pinda ndo alikuwa kizuizi cha mahakama ya kadhi? si Pinda wala Serikali ni vikwazo vya kadhi. Kikwazo ni katiba ya nchi. Katiba inabadilishwa kwa utaratibu maalumu. Serikali ikikiuka katiba kunanamna ya kuiodoa.
 
Huyu Chikawe achukuliwe hatua za kisheria kwa kulidanganya Bunge!


Jamani ee mnashangaa nini? hii ni serikali ya mwendo mdundo.. Kesho maaskofu wakitangaza kutoipigia kura CCM mtasikia mengine, mwisho wa yote haya naona mapanga yananukia!

yaani kodi ya muabudu mbuyu, ikalipie ibada ya mwingine? Kitaeleweka tu.
 
halafu unataka kuwa rais wa Tanzania

mbona hukutia neno kwenye ile memorandum ya Serikali ya Kanisa ambayo serikali inawapa wakristo Pesa?

hebu tupumzishe sie

gharama gharama ebo!

kumbe mimi nilifikiri tunasheherekea mahakama kuruhusiwa ....kumbe kuna wenye mawazo tofauti waanafurahia kufikiri serikali itazigharamia.....hilo ni gumu sana...fikiria mara mbili !!

Ni lini serikali imegharamia pesa za kununua kanzu za watumishi kanisani ,kula au mishahara yao????........ pia makanisani kuna mabaraza ya usuluhishi ..hayagharamiwi na serikali...

nadhani watu wanachanganya mambo pengine...hasa kuhusu suala la hospitali za kanisa zinazohudumia wilayani [kama hospitali teule]..au za rufaa kama KCMC ,bugando...meta etc....hasa sehemu ambazo serikali haina hospitali..,[asilimia 40% ya health services].....wale wananchi wanaoishi huko wapo kwenye mipango ya afya ya nchi kwa hiyo lazima serikali ipeleke mgawo dawa..na vifaa ..ambavyo ni mgawo kwa kila wilaya...sasa kama wilaya ina hospitali teule ya misheni mnataka ikose mgawo huo....anayetaka kujenga mahospitali mikoani hajanyimwa!!

kwenye elimu ....serikali inatenga mgawo nafikiri dola 8 kwa elimu ya msingi...na kuongezeka sekondari,vyuo vya ufundi...stadi..,na mikopo ya chuo kikuu.....sasa kwa elimu ya msingi na sekondari serikali imejitosheleza...lakini kuna vyuo vikuu ,ualimu na ufundi vya kanisa ...serikali inatoa rusuku kwa wanafunzi....kupitia vyuo husika.....UTAFANANISHA HUDUMA AINA HIII NA MAHAKAMA YA KADHI!!

kubalini tu kuwa ili mahakama za kadhi ziwe indelevu lazima waumini waingie mifukoni...asiwadanganye mtu ndugu zangu!!!.....wala vijembe vya wenye wivu wakajinyonge hauna nafasi hapa...hakuna cha kuonea wivu!!
 
Tangible facs ni kuwa kikao kimekwisha na Pinda anakula wali nam asheikh na mahakama ya kadhi iko kwenye pile line


what more tangible facts mnataka?
Kumbe mkubwa una dini maana uliwahi declare ni atheist!!Hili tatizo limeitoa sura yako halisi.Kwikwikwi
 
kumbe mimi nilifikiri tunasheherekea mahakama kuruhusiwa ....kumbe kuna wenye mawazo tofauti waanafurahia kufikiri serikali itazigharamia.....hilo ni gumu sana...fikiria mara mbili !!

Ni lini serikali imegharamia pesa za kununua kanzu za watumishi kanisani ,kula au mishahara yao????........ pia makanisani kuna mabaraza ya usuluhishi ..hayagharamiwi na serikali...

nadhani watu wanachanganya mambo pengine...hasa kuhusu suala la hospitali za kanisa zinazohudumia wilayani [kama hospitali teule]..au za rufaa kama KCMC ,bugando...meta etc....hasa sehemu ambazo serikali haina hospitali..,[asilimia 40% ya health services].....wale wananchi wanaoishi huko wapo kwenye mipango ya afya ya nchi kwa hiyo lazima serikali ipeleke mgawo dawa..na vifaa ..ambavyo ni mgawo kwa kila wilaya...sasa kama wilaya ina hospitali teule ya misheni mnataka ikose mgawo huo....anayetaka kujenga mahospitali mikoani hajanyimwa!!

kwenye elimu ....serikali inatenga mgawo nafikiri dola 8 kwa elimu ya msingi...na kuongezeka sekondari,vyuo vya ufundi...stadi..,na mikopo ya chuo kikuu.....sasa kwa elimu ya msingi na sekondari serikali imejitosheleza...lakini kuna vyuo vikuu ,ualimu na ufundi vya kanisa ...serikali inatoa rusuku kwa wanafunzi....kupitia vyuo husika.....UTAFANANISHA HUDUMA AINA HIII NA MAHAKAMA YA KADHI!!

kubalini tu kuwa ili mahakama za kadhi ziwe indelevu lazima waumini waingie mifukoni...asiwadanganye mtu ndugu zangu!!!.....wala vijembe vya wenye wivu wakajinyonge hauna nafasi hapa...hakuna cha kuonea wivu!!
elmo-1-1.jpg

huwezi kuwa rais wangu wewe...na zaidi ya hayo kama unavivu jinyonge!
 
mnadai mnapiga vita ufisadi lakini walioimaliza pesa za EPA na waliofikishwa mahakamani ni akina nani?

kaangalie waislam wangapi na wakristo wangapi

Mahakama ya kadhi inakuja na wenye wevu wajinyinge
 
Mahakama ni haki zaidi ikigharamiwa na inayowahusu. Nafikiri Allah ni mwenye nguvu kwa wanaomhusu na hana nguvu kwa asiyemhusu!
MoU ilituhusu nini sisi mpaka nyie mfaidi na Maaskofu wenu acha unafiki??
 
Why mnapigania mahakama? Impression ni kwamba nyie ni waovu sana au miongoni mwenu ni waovu sana? Badala ya kupigania taasisi za elimu na afya mnapigania a useless priority asset?

Waislamu fikirieni nje ya kabati na sii kukariri kiarabu tu!
Fikiri wewe kwanza nje box kuliko kulazimishwa na Roman Canons! you can hate but ..you can nothing
 
Ngoja ije tuu..na lazima itakuja.Ninachotaka kukielewa ni kuwa itakuja kwa utaratibu gani. Mimi hainihusu na haitakaa kuja kunihusu as long itakuwa inashughulikia matatizo ya wahusika, waislamu.
 
Phew!! Afadhali hawakuingiza hizo sheria kwenye katiba, kama wanataka mahakama ya kadhi wapeni tuu mimi sioni big deal as long as haimdhuru mtu wa dhehebu lingine.
 
Wakkristo wao tayari walikuwa wanayo MoU na serikali ambayo among other things serikali inawapa pesa za kodi za waislam..for your information its in the best interest hao wakristo kuipigia kura CCM kuliko chama kingine kwa sababu wao wamejikita kwenye idara nyeti za serikali ambazo among other things ni kuandika ma MoU ya kuwapendelea watu wenye imani zao


kura wataipigia CCM na Mahakama ya kadhi takuwepo na bila kusahau MoU zingine zitaendelea kuandaliwa

its that simple
Mwisho wake umekaribia ...siku za mwizi arobaini ndiyo hiyo? "Ufisadi mnaopigia kelele mankubali ukifanywa na kanisa wha type religion is this?
 
anyway mahakama ya kadhi ishakuja, MoU ya kanisa mshawewkewa wazi

hebu ngoja nichomke kidogo ntarudi baadae
 
Mwisho wake umekaribia ...siku za mwizi arobaini ndiyo hiyo? "Ufisadi mnaopigia kelele mankubali ukifanywa na kanisa wha type religion is this?

ma lawayer waliosign mikataba ya kifisadi almost wote ni wakristo

waliofikishwa mahakamani kwa tuhuma za kifisadi almsot wote wakristo


make up our own conclusion
 
That means "it is taught somewhere on the scripture? (bible) we need to read throguh the lines
 
ma lawayer waliosign mikataba ya kifisadi almost wote ni wakristo

waliofikishwa mahakamani kwa tuhuma za kifisadi almsot wote wakristo


make up our own conclusion
Wakiongozwa na waislam nyangumi kina Rostam
 
Back
Top Bottom