Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,588
- 23,949
swalikwa the so called GREAT THINKERS
where are te so called arguments kwa nini its wrong ku incorporate sharia laws kwenye sheria za kawaida
Kwa sababu hatufugi ngamia - sasa zitatekelezwaje ?
swalikwa the so called GREAT THINKERS
where are te so called arguments kwa nini its wrong ku incorporate sharia laws kwenye sheria za kawaida
Ili kuondoa mikanganyiko, in future hii inatupa fundisho kuwa si busara hata kidogo kujaribu kufanya jambo bila kwanza kufanya utafiti wa athari zake. Tumeshafanya mengi yenye mafunzo tele...historia itatuhukumu tukiendelea kuyadharau mafunzo hayo maana kwa vyovyote vile hii si habari njema sana kwa waliotaka mahakama hiyo kuanzishwa.Kwenye ilani yao CCM hawakuahidi kuwapatia, bali kuangalia uawezekano wa kuwapatia...
Mkuu ili kufanisha mjadala huu ningekuomba utuambie ni maamuzi gani waliyokataa hao waislaam ktk urithi ikiwa hakuna sheria wala mahakama ya kadhi na wakaenda ktk mahakamani..Mimi, ambaye nimetokea katika jamii yenye waislam wengi, nimeshuhudia na nina mifano mingi ya waislam waliokataa maamuzi (hasa ya mirathi) kutumia sheria za kiislam. Wengi hukimbilia mahakamani kupinga mgawanyo unaofanyika kufuata sheria za kiislam. Sasa ajabu ya hapa jf eti hizo sheria ambazo waislam wanazikataa huko mitaani, eti zinatakiwa imma faima. Najua Mashekhe wengi huchukia pale mgawanyo wa urithi uliotolewa kwa misingi ya kidini unapopingwa mahakamani na mahakama kutengua na kutumia sheria za nchi. Swali langu ni kuwa hivi wanaopinga huwa si ni waislam?? Sasa hao hao ndo tunawasemea eti wanataka mambo yao yaamuliwe kwa mujibu wa sheria zao!!
Kuna kitu zaidi kinatakiwa. Si haya mambo ya mirathi na kesi za madai kama wengi wanavyotaka tuamini. Vinginevyo, tungekusanya takwimu za ni waislam wangapi wamekataa migawanyo ya urithi inayotumia sheria za kidini, wala tusingefikiria hata kuzileta sheria hizo. Ikiwa wanaikataa hiyo migawanyo, tunataka tuipe nguvu za kidola ili wasikatae?? Haya yana reflect zaidi sentiments za mashekhe kuliko waislam wenyewe!
Si suala la madai tu, hapa kuna zaidi. Vinginevyo tungeona hoja zenye nguvu. Badala ya hizi za kuwa tunatumia canon law ndo maana waislam wanataka sheria zao!!
where are te so called arguments kwa nini its wrong ku incorporate sharia laws kwenye sheria za kawaida
That's a damn lie my brother.. who forced U!It would set a dangerous precedent to take a law of one of the religions and force it on all citizens.
The Chinese say that a journey of a thousand miles starts with one step. Imposing one part of SHARIA LAW on Tanzania would be the first step in imposing the whole SHARIA LAW on us.
It would set a dangerous precedent to take a law of one of the religions and force it on all citizens.
The Chinese say that a journey of a thousand miles starts with one step. Imposing one part of SHARIA LAW on Tanzania would be the first step in imposing the whole SHARIA LAW on us.
That's a damn lie my brother.. who forced U!
What Sharia law! - Hivi kweli wewe unaijua Sharia law ama kwa kuwasikiliza Mapadre na hizo NGO zenu makanisani?
Mnaudhi sana Wagala!
Kazi kwako Mkuu. Zanzibar wamewahi kukamata watu wasio Waislamu majumbani mwao kwa kula mchana wakati wa Ramadhani au mpaka nitoe/nitafute ushahidi.Sharia law is not supposed to apply to Christians and other non-Muslims. In theory, the Penal Code for Northern Nigeria remains in effect for non-Muslims. However, Zamfara state requires its female employees to meet Muslim standards of dress regardless of religion. Christians and women of other non-Muslim faiths cannot ride motorcycle taxis or share mass transportation with men. Smaller buses are provided for women, but they are few in number and run infrequently.
Sijashindwa kufikiri kwa sababu mahakama ya kadhi sii Sharia law unayozungumzia ndio maana nasema kama hamjui kitu ulizeni kwanza. Nani kasema tunataka kuingiza Sharia law..najua nini mnachotaka kujaribu kusema hapa.. hili neno Sharia law kwa jinsi mnavyofundishwa makanisa basi mahakama ya kadhi ndio inatuletea habari za kupiga mawe, kukata mikono na kadhalika.,. unafikiri mkuu wangu sijafahamu malengo yenu kuwavuruga wananchi akili zao wakatae kata kata hoja za kiislaam..Kazi kwako Mkuu. Zanzibar wamewahi kukamata watu wasio Waislamu majumbani mwao kwa kula mchana wakati wa Ramadhani au mpaka nitoe/nitafute ushahidi.
It would set a dangerous precedent to take a law of one of the religions and force it on all citizens.
The Chinese say that a journey of a thousand miles starts with one step. Imposing one part of SHARIA LAW on Tanzania would be the first step in imposing the whole SHARIA LAW on us.
Tulia Mkandara. Si kawaida yako kuandika kwa hasira.
Kuna wakati Waislamu walitaka Dar tusiruhusiwe kula nguruwe. Na walipita mitaani wakivunja mabucha ya nguruwe. Kama tungekubali kukatazwa kula nguruwe wakati ule huoni sasa hata wake zetu wangelazimishwa kuvaa hijab?
If you ignore a principle once then it ceasesto be a principle. And for us, it is a principle that we separate church from state.
Sheria za sasa sio za Kanisa. Tungetumia sheria za Kanisa si tungefunga serikali yote kwa makosa ya uzinzi! Kuna overlap kati ya sheria za nchi na zile za dini za Kiislamu na za Kikristu, lakini sio sheria za dini moja au nyingine. We want to leave it that way.
Mwanzo wa matatizo haya ni uchaguzi mkuu ujao. JK anatutakia vurugu.
Wazee Mkandara na GT,
Nawaona mnajitahidi sana kuelimisha ila naomba niwapeni angalizo moja. Ni kweli mwl mzuri anapaswa asichoke lakini ni muhimu ukajua unayemfundisha. Huyo Daktari wa hesabu sio kwamba haelewi juu ya aina ya sheria itakayotumika bali anataka kuwafanya muda wote muwe defensive. Unaweza kumuelewesha asiyeelewa sio asiyetaka kuelewa kwa chuki.
Wazee Mkandara na GT,
Nawaona mnajitahidi sana kuelimisha ila naomba niwapeni angalizo moja. Ni kweli mwl mzuri anapaswa asichoke lakini ni muhimu ukajua unayemfundisha. Huyo Daktari wa hesabu sio kwamba haelewi juu ya aina ya sheria itakayotumika bali anataka kuwafanya muda wote muwe defensive. Unaweza kumuelewesha asiyeelewa sio asiyetaka kuelewa kwa chuki.