Kidfatu,
Nia na madhumuni ya kushika Biblia ni Kusema UKWELI..hizi habari za kulitamka jina la Mungu na kadhalika hazina mpango..
Ndio au hapana inaweza kusemwa hata na Kafir asiyeabudu Mungu na ikiwa ukweli au sii ukweli.. Dhumuni la kushika Biblia ndilo linatazamwa hapa na limeanzishwa na nani? tena hata ukienda mahotelini na Magereza ni sheria kuweka hizo Biblia hiyo sheria aliiweka nani?..
Nia na madhumuni ya kushika Biblia ni Kusema UKWELI..hizi habari za kulitamka jina la Mungu na kadhalika hazina mpango..
Ndio au hapana inaweza kusemwa hata na Kafir asiyeabudu Mungu na ikiwa ukweli au sii ukweli.. Dhumuni la kushika Biblia ndilo linatazamwa hapa na limeanzishwa na nani? tena hata ukienda mahotelini na Magereza ni sheria kuweka hizo Biblia hiyo sheria aliiweka nani?..