J'tatu hiyooo, Lema njeeee....

J'tatu hiyooo, Lema njeeee....

Pamoja na kuwa huu ni umbeya - Ila hapo kwenye red - unachotaka kutuambia ni kuwa vurugu za Arusha huletwa na Polisi. Asante sana kwa kuukiri ukweli.

Wahuni wa Chadema ndio wanasababisha fujo si unaona walikuwa wanasubiri polisi waje waanze fujo, polisi wakawambia nyie tembeeni mpaka Kia sisi hatuji
 
hii thred imelenga kudanganya umma hasa wana jf wanaofuatilia ishu ya kuachiwa kwa lema.......mwenye akili atasoma na kutafakari.

Kama una ukweli zaidi ya huu uweke basi acha kukejeli kila kitu wewe Zuberi
 
Lema ametoa fundisho kubwa na la kutosha kwa jeshi la polisi ,ccm na serikali yake yote kuwa saa ya ukombozi imefika na kwamba hakuna cha kuwazuia chadema kutwekeleza azma ya kulikomboa taifa hili.magereza na risasi zimepitwa na wakat
 
Crashwise, upo wapi mbona umeikimbia thread yako..njoo utupe update za mahakamani
 
Kufanya matembezi siyo tatizo, tatizo linakuja pale mtu anaamua kufanya kitu ambacho hakina tija yoyote, ambacho hakina mbele wala nyuma.
kumbuka kupewa dhamana ni haki ya kila mtanzania kikatiba. Lakini kwanini akatae? kwanini aliamua kujipeleka gerezani mwenyewe?
Umaarufu aliokuwa anautafuta umemtokea puani
You are in a diffrent paradigm,maongezi yako hayaendani na wengi wetu humu kwasababu hiyo, that you are thinking and acting is different from many Tanzanians.

Kama JF ni nguo wewe ndi doa.

Yes kupewa dhamana ni haki ya kila mtanzania,lakini vipi kama kuwekwa selo kwenyewe hakukuwa kwa haki to begin with?

Ndo hapo utagunduwa tofauti zetu kwenye reasonig.
 
Mimi nadhani wewe green guard hufahamu hasa katiba ni kitu gan na misingi iliyomo nadni ya katiba.kimsingi msingi mkubwa wa katiba ni uhuru na haki za raia ikiwemo haki ya kuishi bila kutishwa wala kunyanyaswa lakini pia haki ya dhamana kwa hiyo mkesha wa nmc ulikuwa ni sehemu ya kudai katiba mpya kwani ulilenga kuzidai haki hizo
 
hii thred imelenga kudanganya umma hasa wana jf wanaofuatilia ishu ya kuachiwa kwa lema.......mwenye akili atasoma na kutafakari.
...

Nathibitisha si habari za kudanganya wala nini 100% is true kama wewe ndo unalengo la kudanganya Umma sawa ...sitaki kuamini kama nawe unatokea cameroon
 
Duu! Wachangiaji wa humu wameingia mtego wa kujibiza na mambwiga badala ya kuelezea hali halisi ya mambo ilivyokua na ilivyo. Watu mnawajua kazi yao nn humu ila bado mnaingia nao kwenye marumbano kana kwamba na nyie ni wageni humu.

Wapuuzi wachache wapo humu kuin-attentive thread za cdm wapuuze. We hujiulizi mtu toka saa kumi alfajir mpaka saa saba yumo na kila jukwaa anachangia ila kwa hoja nyepesi tu. Kuna thread za kiintelligent huwez kuwaona hao wapuuzi. Wao wapo kwenye thread za cdm na zinazohusu udini na ukabila/ukanda. Ndugu zangu jitahidini kuwaepuka wapuuzi hawa.

Nikirudi kwenye hoja big up lema karibu kwenye mapambano pia tunakutarajia uungane bungeni tayari kupambana na wezi wagonga meza magamba.Usihangaike na shangazi; yeye sio mwenye kupitisha vigezo vya nani uoe nani usioe; bali wewe tu; so kama umeridhika hata kama ana sura kama yangu hapo kwenye avata.

Weye kula ile roho yako inachopenda
 
Crashwise, upo wapi mbona umeikimbia thread yako..njoo utupe update za mahakamani
Wewe huna kazi ya kufanya ndio maana una uwezo wa kukaa humu jamvini 24/7, wanaume wa ukweli wametenga muda wa kuingia kwenye hizi forum na muda wa kutafuta mkate wa kila siku, sasa wewe kwa sababu unalipwa per post unashindwa kuelewa kwamba kuna muda wanawaume wa ukweli wapo kazini.
 
Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema atakamatwa muda si mrefu kuanzia sasa ni baada ya kutembea kwa miguu kutoka mahakamani mpaka Ngarenaro zilipo ofisi za CHADEMA..

Habari nilizo zipata kutoka polisi makao makuu Arusha ni kuwa kuna kikao kinaendelea cha jinsi ya kumkamata...tayari jeshi la polisi limesha peleka vijana wao wakiwa wamejichanganya na wana CHADEMA waliokuwa wamefulika kumsindikiza nakufanya shughuli zilizoko uhuru road zisimame kwa mda..
Tuacheni uongo jamani,lema alikuwa juu ya cruiser na si kwamba alitembea kwa miguu,nipo arusha
 
Lema mjanja kweli kapewa dhamana kaamua kutembea kwa miguu kuanzia mahakamani hadi levolosi kilometa 4 huku akisindikizwa na vijana machalii wa ungalimited anataka akamatwe tena nalipongeza jeshi la polisi safahi hii wamemwacha afanya atakavyo.

Lema anapenda sifa kila siku anataka heading za magazeti zimwongelee yeye polisi wamestuka hawana habari na Lema akipendaa atembee mpaka KIA.


Polisi wangefanya hivyo siku zote wangezuia chuki kwa polisi na kupunguza gharama za mabomu na risasi , kwani shida ingekuwa wapi kama wangemwacha atembee hadi moshi kama anataka na wanaomsindikiza wakitaka ruksa si basi
 
Angegomea tena dhamana aone. Haturembeshi.
 
Tuacheni uongo jamani,lema alikuwa juu ya cruiser na si kwamba alitembea kwa miguu,nipo arusha

Kubingwa! Nawe usiwe kama ritz,mzee na yule anayejiija Rejao! Ni kweli (MB) alikuwa ktk landcruiser lakini umeona peoplessss waliokuwa nao sambamba? Ndiyo wale polisisisiem walitaka kuleta zao na wakabuloo wenyewe!
 
bado naendelea kufatilia..kikao cha maafisa polisi...lakini katika maandamano hayo kama wanavyopenda tuyaite yameisha kwa amani kabisa..watu walikuwa wakiamba 'tumempata panya mwenzetu x100
 
Imekuaje tena akubali dhamana. Au aliwamis washkaji zake selo, amepata fursa ya kukutana nao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom