J'tatu hiyooo, Lema njeeee....

J'tatu hiyooo, Lema njeeee....

Imekuaje tena akubali dhamana. Au aliwamis washkaji zake selo, amepata fursa ya kukutana nao.
Achani maneno ya upotoshaji, hatutawaruhusu!

Mkamateni tena ndo mtajuwa kama amekubali ama kukataa dhamana.
 
bado naendelea kufatilia..kikao cha maafisa polisi...lakini katika maandamano hayo kama wanavyopenda tuyaite yameisha kwa amani kabisa..watu walikuwa wakiamba 'tumempata panya mwenzetu x100

Duh! wameamua kumwita mbunge wao PANYA........sawa, hawajakosea.
 
images


siku zote HAKI hushinda dhidi ya dhuruma safi sana kamanda Lema songa mbele
 
Duu! Wachangiaji wa humu wameingia mtego wa kujibiza na mambwiga badala ya kuelezea hali halisi ya mambo ilivyokua na ilivyo.

Watu mnawajua kazi yao nn humu ila bado mnaingia nao kwenye marumbano kana kwamba na nyie ni wageni humu. Wapuuzi wachache wapo humu kuin-attentive thread za cdm wapuuze.

We hujiulizi mtu toka saa kumi alfajir mpaka saa saba yumo na kila jukwaa anachangia ila kwa hoja nyepesi tu. Kuna thread za kiintelligent huwez kuwaona hao wapuuzi. Wao wapo kwenye thread za cdm na zinazohusu udini na ukabila/ukanda. Ndugu zangu jitahidini kuwaepuka wapuuzi hawa.

Nikirudi kwenye hoja big up lema karibu kwenye mapambano pia tunakutarajia uungane bungeni tayari kupambana na wezi wagonga meza magamba.
Mkulu Rumanyika umenena kweli kabisa, hawa watu kazi yao ni kudirail mada na kuondoa stimu kwenye issues! Nimeamini wako kazini kwa malipo wala si vinginevyo!
 
Ha! Ha! Ha! Mkuu maneno yako kuntu!
Haya ni maneno yanayotumiwa na wanawake waliosheheni uswahili, sasa mwenzetu kutumia maneno kama haya nashindwa kuelewa kama wewe ni salama au lawama.
 
You are in a diffrent paradigm,maongezi yako hayaendani na wengi wetu humu kwasababu you are thinking and acting is different from many Tanzanians.

Kama JF ni nguo wewe ndi doa.

Yes kupewa dhamana ni haki ya kila mtanzania,lakini vipi kama kuwekwa selo kwenyewe hakukuwa kwa haki?

Ndo hapo utagunduwa tofauti zetu kwenye reasonig.

Mkuu, huyo Rejao ni majnuni hajui a wala be. Na kundi lao limepigwa panga jana ucku na Paw ff banned 4 2yrs bado rejao jukwaa libaki na cream ya GTs
 
Unajua mimi ni nani? au inabwabwaja tu...muombe Invisible akusomee IP address ya hii PC nayoitumia halafu ufanye uchunguzi ni ya wapi!
Head water wee!

Haituhusu....Kawaambie mtaani kwenu ndio wanakuja,hii sio sehemu ya kukatana mikwara,eti wewe nani ataka kukujua??
 
Tuko pamoja wakereketwa na wafurukutwa wote wa CDM. Peoples power never fail!!!
 
Haya ni maneno yanayotumiwa na wanawake waliosheheni uswahili, sasa mwenzetu kutumia maneno kama haya nashindwa kuelewa kama wewe ni salama au lawama.

Vipi habari za uingereza kuna siku ulisema mwenyewe upo UK ulikuawa unaongelea UK ya Nansio au?
 
Lema saizi anapata mbege huku akikandwa maumivu. Nape ameamua kumnunulia kofia kama ya malkia wa uingereza kwaajili ya kuvalia bungeni. Safari hii anaingia bungeni ametilishia gwanda na kofia ya maua maua
 
Haituhusu....Kawaambie mtaani kwenu ndio wanakuja,hii sio sehemu ya kukatana mikwara,eti wewe nani ataka kukujua??

Well said. If everyone of us are exposed JF will cease to exist , if others think a publicity of who are they or where are they working from can scare some members to dare speaking openly!, I have some news for them, some of us are working from hell!.
 
We uko kweli jamvini? We subiria picha ya leo,lakini wakati unafanya subira endelea kuperuz kwani thread bila shaka iko na iliyojaa kila kilichojiri hapa A town.
 
Well said. If everyone of us are exposed JF will cease to exist , if one thinks want publicity of who are they or where are they working from some of us have from hell!.
Tatizo la wabongo ndio hili jamaa kawatishia kidogo tu wote mkarukia usalama wa taifa mara anatoka Ikulu. Inaweza kuwa yeye ni bondia au daktari wa muhimbili pia
 
Hata hao polisi ni rai wa nchi hii hawataweza kufanya ujuhaa wa namana hiYO. Hata wao wanaamini katika peoples power. Cheers MP LEMA!!!
 
Hata hao polisi ni rai wa nchi hii hawataweza kufanya ujuhaa wa namana hiYO. Hata wao wanaamini katika peoples power. Cheers MP LEMA!!!
Basi mbona wanawachapa kama punda?
 
Tatizo la wabongo ndio hili jamaa kawatishia kidogo tu wote mkarukia usalama wa taifa mara anatoka Ikulu. Inaweza kuwa yeye ni bondia au daktari wa muhimbili pia
Hao ni either machizi,magamba/out of touch, ama both.

Na usalama nao ni ndani ya magamba, si wanalinda mafisadi? so la ajabu ni lipi?

Nchi ikichukuliwa na wao ulaji hawana,so it makes sense kuwa ni ether mafayatu ama magamba out touch,usalama nao included.
 
Tatizo la wabongo ndio hili jamaa kawatishia kidogo tu wote mkarukia usalama wa taifa mara anatoka Ikulu. Inaweza kuwa yeye ni bondia au daktari wa muhimbili pia

Mkuu wapi nimetamka maneno hayo?. By the way who cares if you are from TISS or State house?, Only slaves can scare them. You have to free your mind, fear them not!, respect them yes(for having authority only if they use it for pro bono) otherwise fear only Allah!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom