A-town
JF-Expert Member
- Oct 25, 2011
- 494
- 169
Akamatwe tu...hana msaada wowote kwa watanzania!
Wewe ni mat....a...k....o mkubwa unaongea upupu unaona kutetea ujinga ndo ujanja mtumwa wa fikra za magamba wewe ndo mana wanaku kameroon
Akamatwe tu...hana msaada wowote kwa watanzania!
Afadhali watu watawanyike wakaendelee na shughuli zao za mkate wa kila siku.watu wameshasambaa baada ya kuhutubiwa na mbunge...
Lema safari hii kachemka vibaya Polisi wamemwambia wewe tembea kutoka hapa mahakamani kama utapenda nenda mpaka Kia...
Katembea polisi wamemuachia tu wafuasi wake walivyoona hamna polisi kila mtu kakata kona...
Jamaa yangu yupo Arusha ndio kaniambia, kasema Lema hali yake sio nzuri anatoa machozi kila muda sijui kwa nini
Kwa kweli umeniudhi sana wewe Rejao, au ndiye nyie Usalama wa Taifa mnaokaa kutishia hata kwenye bar unanijua mimi ni nani, mimi ni usalama wa Taifa. Hebu ona kitambulisho changu hiki hapa, kina nembo ya ikulu. Ukichunguza ni kweli. Ni mjiinga sana wewe, pamoja na hayo madaraka uliyonayo.[/QUOTE]
Labda madaraka ya kupikia chai wageni wa ccm Lumumba.
Lema safari hii kachemka vibaya Polisi wamemwambia wewe tembea kutoka hapa mahakamani kama utapenda nenda mpaka Kia...
Katembea polisi wamemuachia tu wafuasi wake walivyoona hamna polisi kila mtu kakata kona...
Jamaa yangu yupo Arusha ndio kaniambia, kasema Lema hali yake sio nzuri anatoa machozi kila muda sijui kwa nini
Mkuu Rejao!
Kwa nini Lema alikataa dhamana akangangania kwenda Jela? Halafu saizi anataka kutoka Jela?
Unajua mimi ni nani? au inabwabwaja tu...muombe Invisible akusomee IP address ya hii PC nayoitumia halafu ufanye uchunguzi ni ya wapi!
Head water wee!
Lema safari hii kachemka vibaya Polisi wamemwambia wewe tembea kutoka hapa mahakamani kama utapenda nenda mpaka Kia...
Katembea polisi wamemuachia tu wafuasi wake walivyoona hamna polisi kila mtu kakata kona...
Jamaa yangu yupo Arusha ndio kaniambia, kasema Lema hali yake sio nzuri anatoa machozi kila muda sijui kwa nini
Kufanya matembezi siyo tatizo, tatizo linakuja pale mtu anaamua kufanya kitu ambacho hakina tija yoyote, ambacho hakina mbele wala nyuma.Hivi Rejao na Crashwise ni mtu na mtani wake au mlishadhulumiana huko kabla? Mbona mwapingana sana kila wakati? Lema kuachiwa ni haki yake kikatiba, Lema kutembea ni haki yake kimaumbile. Mbona mwaka 1967 Mwl Nyerere alitembea toka Musoma hadi Mwanza hakukamatwa? Au Marehemu Seth Benjamin alitembea na vijana wenzake mwaka 1967 kuelekea Dar akafariki na kutangazwa shujaa!!!
Mfariji mpumbavu mwenzako!hamna haya watu nyie,mnaitakia vp hi nchi yetu!hata kama mnakaa na kula ikulu,nyie ni nyang'au tu!hamna lolote,chumieni na mjaze hizo tupo zenu zenye njaa ya ufisadi!Akili fupi sana mlizonazo kushabikia uonevu wa watu!Lema aliwekwa na wananchi na sio nyie wehu!Thubutuni basi mmuone moto utakaowaka!!Nyie ni ma'inye tu!
Propaganda za nyumba ndogo ya lema na ID yake ya Crashwise
Lema safari hii kachemka vibaya Polisi wamemwambia wewe tembea kutoka hapa mahakamani kama utapenda nenda mpaka Kia...
Katembea polisi wamemuachia tu wafuasi wake walivyoona hamna polisi kila mtu kakata kona...
Jamaa yangu yupo Arusha ndio kaniambia, kasema Lema hali yake sio nzuri anatoa machozi kila muda sijui kwa nini
Kwa kweli umeniudhi sana wewe Rejao, au ndiye nyie Usalama wa Taifa mnaokaa kutishia hata kwenye bar unanijua mimi ni nani, mimi ni usalama wa Taifa. Hebu ona kitambulisho changu hiki hapa, kina nembo ya ikulu. Ukichunguza ni kweli. Ni mjiinga sana wewe, pamoja na hayo madaraka uliyonayo.[/QUOTE]
Labda madaraka ya kupikia chai wageni wa ccm Lumumba.
Ana madaraka gani huyu Rejao? Haya matisho yake hapa ni ya kutumiwa na mafisadi tu! Kama anataka kujifanya kwa ku2mia madaraka yake ya kuwapikia mafisadi hakika huyu humu ndani tutamruhusu MODS amshurutishe sasa hivi yeye aendelee tu. Kibaraka nguruwe huyu!
hizi ni dalili za taifa linaloanguka
Sio Jk, Huyu Jamaa anapumuliwa nza mzee Wassira.Tatizo nikikutukana Mpumbavu mnaanza kulalamika. Kwahiyo na wewe ni nyumba ndogo ya jk siyo