Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,183
Hili andiko linaingilianaje na mtu aliyekataa dhamana !.
si lazima ujibu kila kitu mkuu. Kwanini Yesu alikubali kufa wakati alikuwa na option ya kupona? usiwe juha.
Hili andiko linaingilianaje na mtu aliyekataa dhamana !.
.......kwani walimpelekea gari la kupanda akakataa kama dhamana?Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema atakamatwa muda si mrefu kuanzia sasa ni baada ya kutembea kwa miguu kutoka mahakamani mpaka Ngarenaro zilipo ofisi za CHADEMA..
Habari nilizo zipata kutoka polisi makao makuu Arusha ni kuwa kuna kikao kinaendelea cha jinsi ya kumkamata...tayari jeshi la polisi limesha peleka vijana wao wakiwa wamejichanganya na wana CHADEMA waliokuwa wamefulika kumsindikiza nakufanya shughuli zilizoko uhuru road zisimame kwa mda..
Hapo sasa,...nafikiri wanataka jamaa apaesasa mkuu ina maana Lema hatakiwi kutembea kwa miguu?