Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 485
Hapo sasa,...nafikiri wanataka jamaa apae
Mipango inafanywa kumtengenezea UNGO apae nao. Maombi hayo yameshawasilishwa kule. Kuweni na subra jamani.
Hapo sasa,...nafikiri wanataka jamaa apae
huyo si ndio my wife wake Lema, kwani ulikuwa hujui siku hizi CDM wamekubali masharti ya waziri wa uingereza?Wewe Crashwise mbona unapotosha watu kwa hiyo wewe ndio RPC wa Arusha?
hii thred imelenga kudanganya umma hasa wana jf wanaofuatilia ishu ya kuachiwa kwa lema.......mwenye akili atasoma na kutafakari.
Lete hoja acha kuharibu lengo la thread! Hata Angekuwa ni mkewe ww inakuhusu? Ndio maana mnaishia kuingiziwa vijiti kwa nyuma!huyo si ndio my wife wake Lema, kwani ulikuwa hujui siku hizi CDM wamekubali masharti ya waziri wa uingereza?
Ni kweli hana msaada Tanzania ila ana msaada na umuhimu hapa arusha, arusha ni nchi na Lema ndo raisi, wasalimie huko tanzania muulize mbunge wako Majimarefu maendeleo ya kukamata wanga yanaendelea??Akamatwe tu...hana msaada wowote kwa watanzania!
Kweli wewe unaakili ya nyani, thread ina lengo gani hii? Kijana wa Lema anamuogopea basha wake halafu anatuletea stori za jikoni.Lete hoja acha kuharibu lengo la thread! Hata Angekuwa ni mkewe ww inakuhusu? Ndio maana mnaishia kuingiziwa vijiti kwa nyuma!
asante. Haya!:focus:Kweli wewe unaakili ya nyani, thread ina lengo gani hii? Kijana wa Lema anamuogopea basha wake halafu anatuletea stori za jikoni.
Wewe hata uitishwe uchaguzi ndani ya familia yako huwezi kupigiwa kura wala huwezi kushinda, wewe utaishia kuongea upupu tu humu kwenye forum, huwezi kufikia mafanikio ya kimaisha aliyofikia Lema mpaka unaingia kaburini.Akamatwe tu...hana msaada wowote kwa watanzania!
Ni kweli hana msaada Tanzania ila ana msaada na umuhimu hapa arusha, arusha ni nchi na Lema ndo raisi, wasalimie huko tanzania muulize mbunge wako Majimarefu maendeleo ya kukamata wanga yanaendelea??
Unajua mimi ni nani? au inabwabwaja tu...muombe Invisible akusomee IP address ya hii PC nayoitumia halafu ufanye uchunguzi ni ya wapi!Wewe hata uitishwe uchaguzi ndani ya familia yako huwezi kupigiwa kura wala huwezi kushinda, wewe utaishia kuongea upupu tu humu kwenye forum, huwezi kufikia mafanikio ya kimaisha aliyofikia Lema mpaka unaingia kaburini.
Wewe kiwango chako ni cha kwenye keyboard tu na sio kwenda front kupigania kile unachoamini. ur just a loser kid. na kama unaona Lema hana msaada nenda kwa Cameroun anatoa misaada ya kumwaga tu, lakini chupi uache nyumbani.
Kama anamsaada...mbona mmemtelekeza gerezani? mnajua yaliyompata huko? alikaa wiki moja tu akazidiwa ikabidi amuombe Mbowe amnusuru lakini kwa bahati mbaya akatoswa!Ni kweli hana msaada Tanzania ila ana msaada na umuhimu hapa arusha, arusha ni nchi na Lema ndo raisi, wasalimie huko tanzania muulize mbunge wako Majimarefu maendeleo ya kukamata wanga yanaendelea??
si wamkamate waone,
mbeya wameshatoa fundisho la kutosha.
Safari hii polisi wanaua, kama polisi hawaui basi vijana wa CCM wanaingia mitaani.si wamkamate waone,
mbeya wameshatoa fundisho la kutosha.
Polisi wamemgusa muandamanaji hata mmoja??????? paka kanywea, panya wametawala.Nakumbusha leo ndio tarehe 14 ulisema Panya atamfukuza Paka..
Ndio itakuwa siku ya mapinduzi Arusha..
Zilikuwa story za mbege au Vodka...
kwahiyo unataka kuniambia waaandamanaji wa mbeya ni PANYA? dah...amakweli akutukanaye hakuchagulii tusiPolisi wamemgusa muandamanaji hata mmoja??????? paka kanywea, panya wametawala.
hujambo faizaAkamatwe tu...hana msaada wowote kwa watanzania!
Halafu walisema Zuberi amewatukana wakati wao wenyewe wanajiona ni mapanya.kwahiyo unataka kuniambia waaandamanaji wa mbeya ni PANYA? dah...amakweli akutukanaye hakuchagulii tusi