J'tatu hiyooo, Lema njeeee....

J'tatu hiyooo, Lema njeeee....

Ndivyo linavyosomeka bango mojawapo katika mapokezi ya Mbunge Lema mjini Arusha leo.
 
Kama anamsaada...mbona mmemtelekeza gerezani? mnajua yaliyompata huko? alikaa wiki moja tu akazidiwa ikabidi amuombe Mbowe amnusuru lakini kwa bahati mbaya akatoswa!

Mkuu Rejao!

Kwa nini Lema alikataa dhamana akangangania kwenda Jela? Halafu saizi anataka kutoka Jela?
 
Akamatwe tu...hana msaada wowote kwa watanzania!

Hivi Rejao na Crashwise ni mtu na mtani wake au mlishadhulumiana huko kabla? Mbona mwapingana sana kila wakati? Lema kuachiwa ni haki yake kikatiba, Lema kutembea ni haki yake kimaumbile. Mbona mwaka 1967 Mwl Nyerere alitembea toka Musoma hadi Mwanza hakukamatwa? Au Marehemu Seth Benjamin alitembea na vijana wenzake mwaka 1967 kuelekea Dar akafariki na kutangazwa shujaa!!!
 
Lema mjanja kweli kapewa dhamana kaamua kutembea kwa miguu kuanzia mahakamani hadi levolosi kilometa 4 huku akisindikizwa na vijana machalii wa ungalimited anataka akamatwe tena nalipongeza jeshi la polisi safahi hii wamemwacha afanya atakavyo.

Lema anapenda sifa kila siku anataka heading za magazeti zimwongelee yeye polisi wamestuka hawana habari na Lema akipendaa atembee mpaka KIA.

mlioko huko eneo la tukio, Lema ameshatoka???
 
Unajua mimi ni nani? au inabwabwaja tu...muombe Invisible akusomee IP address ya hii PC nayoitumia halafu ufanye uchunguzi ni ya wapi!
Head water wee!

Ovyo! mtu anaeishi kwa kodi zetu ni rahisi kujitapa!!! uwe nyani inatusaidia nini sisi!
 
Unajua mimi ni nani? au inabwabwaja tu...muombe Invisible akusomee IP address ya hii PC nayoitumia halafu ufanye uchunguzi ni ya wapi!
Head water wee!
Wacha kutisha watu hata kama ikiwa ya ikulu inasaididia nini sisi kujua. Au ndiyo PC ya Wassira?
 
Unajua mimi ni nani? au inabwabwaja tu...muombe Invisible akusomee IP address ya hii PC nayoitumia halafu ufanye uchunguzi ni ya wapi!
Head water wee!
Kichwa maji kama wewe sihitaji hata kujuwa kama unampikia chai Nape Nnauye wala nini? Eti unanijuwa mimi ni nani! hizo ni style za kizamani za watu mazuzu kama wewe walizokuwa wanatumia kunywa gongo za bure mitaani. mimi unataka nikujuwe wewe hili iweje? u have touch wrong number young man. wewe bado unaishi dunia ya ujima ya mikwala mbuzi, kwani wewe hujui kwamba wanaofanya kazi ikulu wapo mpaka wakata nyasi? na hujui kwamba Usalama wa Taifa wapo ambao kazi yao ni kufunguwa mageti majumbani mwa viongozi?
 
Unajua mimi ni nani? au inabwabwaja tu...muombe Invisible akusomee IP address ya hii PC nayoitumia halafu ufanye uchunguzi ni ya wapi!
Head water wee!
Kwa kweli umeniudhi sana wewe Rejao, au ndiye nyie Usalama wa Taifa mnaokaa kutishia hata kwenye bar unanijua mimi ni nani, mimi ni usalama wa Taifa. Hebu ona kitambulisho changu hiki hapa, kina nembo ya ikulu. Ukichunguza ni kweli. Ni mjiinga sana wewe, pamoja na hayo madaraka uliyonayo.
 
Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema atakamatwa muda si mrefu kuanzia sasa ni baada ya kutembea kwa miguu kutoka mahakamani mpaka Ngarenaro zilipo ofisi za CHADEMA..

Habari nilizo zipata kutoka polisi makao makuu Arusha ni kuwa kuna kikao kinaendelea cha jinsi ya kumkamata...tayari jeshi la polisi limesha peleka vijana wao wakiwa wamejichanganya na wana CHADEMA waliokuwa wamefulika kumsindikiza nakufanya shughuli zilizoko uhuru road zisimame kwa mda..
wanahangaika kumkamata? si wampigie simu tu atarudi mwenyewe!!!
 
kwahiyo unataka kuniambia waaandamanaji wa mbeya ni PANYA? dah...amakweli akutukanaye hakuchagulii tusi
Wale walioitwa panya na Zuberi(kilaza) leo wameandamana kama kawaida pasipo kusumbuliwa na paka, political immaturity ni tatizo kubwa kwako mr.green guard.
 
Lema safari hii kachemka vibaya Polisi wamemwambia wewe tembea kutoka hapa mahakamani kama utapenda nenda mpaka Kia...

Katembea polisi wamemuachia tu wafuasi wake walivyoona hamna polisi kila mtu kakata kona...

Jamaa yangu yupo Arusha ndio kaniambia, kasema Lema hali yake sio nzuri anatoa machozi kila muda sijui kwa nini
 
kataka kujua mimi ni nani huyu hapa!

wewe hata uitishwe uchaguzi ndani ya familia yako huwezi kupigiwa kura wala huwezi kushinda, wewe utaishia kuongea upupu tu humu kwenye forum, huwezi kufikia mafanikio ya kimaisha aliyofikia lema mpaka unaingia kaburini.
Wewe kiwango chako ni cha kwenye keyboard tu na sio kwenda front kupigania kile unachoamini. Ur just a loser kid. Na kama unaona lema hana msaada nenda kwa cameroun anatoa misaada ya kumwaga tu, lakini chupi uache nyumbani.
hii hapa chini yote inajidai kujibu! Mmekosa cha kufanya??? Mpaka mjibu post zangu? Sipendi mtu anayejipendekeza kwangu!
watu wameshasambaa baada ya kuhutubiwa na mbunge...

wacha kutisha watu hata kama ikiwa ya ikulu inasaididia nini sisi kujua. Au ndiyo pc ya wassira?

ovyo! Mtu anaeishi kwa kodi zetu ni rahisi kujitapa!!! Uwe nyani inatusaidia nini sisi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom