John Mnyika ni Mwanasiasa aliyefanya kazi kubwa na Katika mazingira magumu 2019, 2020 na 2021 Nchini Tanzania

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
May 18, 2019
762
6,980
Nikiri niliwahi kupoteza Imani na Mnyika kipindi Dr. Slaa anatimkia CCM Kwa mgongo WA kuachana na siasa. Nilidhani kijana huyu atasaliti dhamira na Imani ya Watanzania dhidi yake lakini niombe radhi nilimwazia vibaya.

Kati ya watu waliosimama Katika mazingira magumu ni huyu kijana. Alisimama wakati wa JPM na Sasa amesimama wakati wa Mhe. Samia. Nikiri kwamba analipwa mshahara sahihi, muda wote yupo busy ofisini ,kwenye vikao, Mikutano na Mahakamani. Amesimama katika kofia ya mwenyekiti,makamu na Katibu Mkuu.

Anapambana kwa hoja na anajenga hoja, Hana degree lakini anafanya kazi za PhD. Nitoe pongezi kwake, chama kimeendelea kuwa salama. Sijui chama kingekuwa wapi endapo Mashinji ndiye angeshika uskani kipindi hiki ambacho viongozi wakuu wanatumikia adhabu Kwa uzalendo wao kwa Watanzania. Kama Mashinji aliacha ukatibu Mkuu kwa kulipiwa faini naamini angeweza kukiuza chama mchana kweupe.

Nitoe wito Kwa vijana kujijengea uaminifu katika nafasi ndogo Ili mpewe nafasi kubwa zaidi. Acheni tamaa , big up Mnyika usife moto wala kurubuniwa maana ujui muda Wala saa ambao warubuni watakosa nguvu walizonazo. Naamini vijana wenzako akina Nassary wanatamani wangekuwa upande wa wananchi kipindi hiki lakini walikosa uvumilivu.
 
Nikiri niliwahi kupoteza Imani na Mnyika kipindi Dr. Slaa anatimkia CCM Kwa mgongo WA kuachana na siasa. Nilidhani kijana huyu atasaliti dhamira na Imani ya Watanzania dhidi yake lakini niombe radhi nilimwazia vibaya.

Kati ya watu waliosimama Katika mazingira magumu ni huyu kijana. Alisimama wakati wa JPM na Sasa amesimama wakati wa Mhe. Samia. Nikiri kwamba analipwa mshahara sahihi, muda wote yupo busy ofisini ,kwenye vikao, Mikutano na Mahakamani. Amesimama katika kofia ya mwenyekiti,makamu na Katibu Mkuu.

Anapambana kwa hoja na anajenga hoja, Hana degree lakini anafanya kazi za PhD. Nitoe pongezi kwake, chama kimeendelea kuwa salama. Sijui chama kingekuwa wapi endapo Mashinji ndiye angeshika uskani kipindi hiki ambacho viongozi wakuu wanatumikia adhabu Kwa uzalendo wao kwa Watanzania. Kama Mashinji aliacha ukatibu Mkuu kwa kulipiwa faini naamini angeweza kukiuza chama mchana kweupe.

Nitoe wito Kwa vijana kujijengea uaminifu katika nafasi ndogo Ili mpewe nafasi kubwa zaidi. Acheni tamaa , big up Mnyika usife moto wala kurubuniwa maana ujui muda Wala saa ambao warubuni watakosa nguvu walizonazo. Naamini vijana wenzako akina Nassary wanatamani wangekuwa upande wa wananchi kipindi hiki lakini walikosa uvumilivu.
Mnyika viatu vya Mbowe vinamtosha.
 
Nikiri niliwahi kupoteza Imani na Mnyika kipindi Dr. Slaa anatimkia CCM Kwa mgongo WA kuachana na siasa. Nilidhani kijana huyu atasaliti dhamira na Imani ya Watanzania dhidi yake lakini niombe radhi nilimwazia vibaya.

Kati ya watu waliosimama Katika mazingira magumu ni huyu kijana. Alisimama wakati wa JPM na Sasa amesimama wakati wa Mhe. Samia. Nikiri kwamba analipwa mshahara sahihi, muda wote yupo busy ofisini ,kwenye vikao, Mikutano na Mahakamani. Amesimama katika kofia ya mwenyekiti,makamu na Katibu Mkuu.

Anapambana kwa hoja na anajenga hoja, Hana degree lakini anafanya kazi za PhD. Nitoe pongezi kwake, chama kimeendelea kuwa salama. Sijui chama kingekuwa wapi endapo Mashinji ndiye angeshika uskani kipindi hiki ambacho viongozi wakuu wanatumikia adhabu Kwa uzalendo wao kwa Watanzania. Kama Mashinji aliacha ukatibu Mkuu kwa kulipiwa faini naamini angeweza kukiuza chama mchana kweupe.

Nitoe wito Kwa vijana kujijengea uaminifu katika nafasi ndogo Ili mpewe nafasi kubwa zaidi. Acheni tamaa , big up Mnyika usife moto wala kurubuniwa maana ujui muda Wala saa ambao warubuni watakosa nguvu walizonazo. Naamini vijana wenzako akina Nassary wanatamani wangekuwa upande wa wananchi kipindi hiki lakini walikosa uvumilivu.
Dhoruba iliyoletwa na Magufuli 2015-2020 imesaidia kukisafisha chama. Mamluki wote tupa kule.
 
Nikiri niliwahi kupoteza Imani na Mnyika kipindi Dr. Slaa anatimkia CCM Kwa mgongo WA kuachana na siasa. Nilidhani kijana huyu atasaliti dhamira na Imani ya Watanzania dhidi yake lakini niombe radhi nilimwazia vibaya.

Kati ya watu waliosimama Katika mazingira magumu ni huyu kijana. Alisimama wakati wa JPM na Sasa amesimama wakati wa Mhe. Samia. Nikiri kwamba analipwa mshahara sahihi, muda wote yupo busy ofisini ,kwenye vikao, Mikutano na Mahakamani. Amesimama katika kofia ya mwenyekiti,makamu na Katibu Mkuu.

Anapambana kwa hoja na anajenga hoja, Hana degree lakini anafanya kazi za PhD. Nitoe pongezi kwake, chama kimeendelea kuwa salama. Sijui chama kingekuwa wapi endapo Mashinji ndiye angeshika uskani kipindi hiki ambacho viongozi wakuu wanatumikia adhabu Kwa uzalendo wao kwa Watanzania. Kama Mashinji aliacha ukatibu Mkuu kwa kulipiwa faini naamini angeweza kukiuza chama mchana kweupe.

Nitoe wito Kwa vijana kujijengea uaminifu katika nafasi ndogo Ili mpewe nafasi kubwa zaidi. Acheni tamaa , big up Mnyika usife moto wala kurubuniwa maana ujui muda Wala saa ambao warubuni watakosa nguvu walizonazo. Naamini vijana wenzako akina Nassary wanatamani wangekuwa upande wa wananchi kipindi hiki lakini walikosa uvumilivu.
Hongera sana JJ MNYIKA
 
Hata hivyo mnakuwaga mmejipanga!

Yaweza kuwa wewe ndiye Mnyika mwenyewe uliyeandika mada hii kujifagilia kwa fake id!

Maana siyo kwa sifa hizo!
 
"domo kaya"
kiongozi mwandamizi hapaswi kuwa mlopokaji na mwenye kuongea kwa jazba.
Mnyika hafai kabisaa kuwa hata Naibu Katibu Mkuu wa CDM kwa sababu tu ni mtu mwenye jazba, hamaki, mihemuko, mlopokaji asiye tafakari kabla ya kuongea..........tafuteni Katibu mwengine anaye fit ktk kiti hicho.
Povu kama lote. Povu linakutoka mwana HAYAWANI
MaCCM mnawaogopa sana viongozi wachadema wasionunilika.
 
Nikiri niliwahi kupoteza Imani na Mnyika kipindi Dr. Slaa anatimkia CCM Kwa mgongo WA kuachana na siasa. Nilidhani kijana huyu atasaliti dhamira na Imani ya Watanzania dhidi yake lakini niombe radhi nilimwazia vibaya.

Kati ya watu waliosimama Katika mazingira magumu ni huyu kijana. Alisimama wakati wa JPM na Sasa amesimama wakati wa Mhe. Samia. Nikiri kwamba analipwa mshahara sahihi, muda wote yupo busy ofisini ,kwenye vikao, Mikutano na Mahakamani. Amesimama katika kofia ya mwenyekiti,makamu na Katibu Mkuu.

Anapambana kwa hoja na anajenga hoja, Hana degree lakini anafanya kazi za PhD. Nitoe pongezi kwake, chama kimeendelea kuwa salama. Sijui chama kingekuwa wapi endapo Mashinji ndiye angeshika uskani kipindi hiki ambacho viongozi wakuu wanatumikia adhabu Kwa uzalendo wao kwa Watanzania. Kama Mashinji aliacha ukatibu Mkuu kwa kulipiwa faini naamini angeweza kukiuza chama mchana kweupe.

Nitoe wito Kwa vijana kujijengea uaminifu katika nafasi ndogo Ili mpewe nafasi kubwa zaidi. Acheni tamaa , big up Mnyika usife moto wala kurubuniwa maana ujui muda Wala saa ambao warubuni watakosa nguvu walizonazo. Naamini vijana wenzako akina Nassary wanatamani wangekuwa upande wa wananchi kipindi hiki lakini walikosa uvumilivu.
AMEN
 
"domo kaya"
kiongozi mwandamizi hapaswi kuwa mlopokaji na mwenye kuongea kwa jazba.
Mnyika hafai kabisaa kuwa hata Naibu Katibu Mkuu wa CDM kwa sababu tu ni mtu mwenye jazba, hamaki, mihemuko, mlopokaji asiye tafakari kabla ya kuongea..........tafuteni Katibu mwengine anaye fit ktk kiti hicho.
Lini Ccm mkaipenda Chadema hadi muwashauri kutafuta Katibu Mkuu mzuri??
 
"domo kaya"
kiongozi mwandamizi hapaswi kuwa mlopokaji na mwenye kuongea kwa jazba.
Mnyika hafai kabisaa kuwa hata Naibu Katibu Mkuu wa CDM kwa sababu tu ni mtu mwenye jazba, hamaki, mihemuko, mlopokaji asiye tafakari kabla ya kuongea..........tafuteni Katibu mwengine anaye fit ktk kiti hicho.
Pole2 akifiti na anafiti.
Kumbuka Spika aliwahi shauri Mnyika akajifunze kwa Bashiru alipokuwa Katibu was chama.
Uongozi kisiasa siyo amri na mtizamo wako kama kiongozi
 
Back
Top Bottom