Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 14,694
- 7,912
Kweli kabisaMsajili ni wakati sasa kukifutia usajili chadema na kusukuma ndani viongozi wake kwa uhaini.
Kweli kabisaMsajili ni wakati sasa kukifutia usajili chadema na kusukuma ndani viongozi wake kwa uhaini.
Lissu ndio dikteta uchwara, kila anayemuhoji anafukuzwa kwenye chama chenu sio!!? Mama hawezi kuitwa dikteta kwa kulinda amani ya nchi dhidi ya wapumbavu wachache kama nyie.Kwahiyo unafurahia Mama Samia kuitwa Dikteta Samia?
Polisi wamesema kuwa hawajamkamata mtuTaarifa rasmi kutoka CHADEMA imesema kwamba Jeshi la Polisi limemkamata Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, katika eneo la Kariakoo na kumpeleka kituo cha Polisi Msimbazi.
Hata hivyo, baadaye aliondolewa kituoni hapo na kupelekwa kusikojulikana.
Viongozi kadhaa waliokwenda kituo cha Polisi Kati kufuatilia suala hilo wameelezwa kuwa Heche hajawahi kufikishwa hapo.
View attachment 3312400
View attachment 3312401
thubutu mnyika keshakula kona mbaya, hata kutweet hajatweet, kuna mtu aliwahi sema hata ukitupa box la biscuit mnyika mbioApana wanasombwa tu agano jipya Mnyika mwenyewe njaaa ishamchosha Offisin aya yanayotokea anachekea chooni kimya kimya !!!!!!!!!!@
Ya kazi gani niangalie hiyo video, sina bando la kuchezea.Hebu angalia hii Video fupi 👇 halafu uone jee ni sawa?
View attachment 3312580
Sasa nyie mnaojiita wanyonge mnaweza tambua nini zaidi ya kuona watu ambao siyo wanyonge kuwa ni Nyani. Pole sana Sukuma gangKwa macho ya nyama tu kupitia comparison and contrasting huna tofauti na nyani ambaye anaamini ndizi ni tamu kuliko sega la asali. Pole sana kijana wa hovyo.
Kumbe na wewe ni masikini na bado unafurahia ZULUMA dhidi ya Watanzania wenzako?!Ya kazi gani niangalie hiyo video, sina bando la kuchezea.
Safi kabisa.Huu ndio ukwelipolisi vipi mnamchelewesha mleta fujo kama huyo sokoni?
mnajadiliana nae nini?
OCD msimbazi ukajitathmnini,
hatuwezi kuvuruga shughuli za biashara kariakoo kwa kusumbuana kujibizana na vibaka wa wavuruga biashara wa aina hiyo, mkamatene mkamweke korokoroni mara moja![]()
Basi utakuwa shoga! Hahaha...!!Cheti fake au Cheti halisi mimi cha nini sina ajira sehemu yoyote ila akili yako inawaza kuwa kila mtu ana cheti. Akili hizi kama zako ndizo alikuwa nazo Jiwe. Wanyonge mko wengi sana.
kabisa, tangu lissu aingie chadema kawafukuza zitto kitilamkumbo kafulila mhonge luhwanya ester matiku ester bulaya halima mdee, john mrema, alimpokonya form dr.slaa, yaani vurugu ka za dadapoa wakimakondeLissu ndio dikteta uchwara, kila anayemuhoji anafukuzwa kwenye chama chenu sio!!? Mama hawezi kuitwa dikteta kwa kulinda amani ya nchi dhidi ya wapumbavu wachache kama nyie.
😂😂😂😂😂😂Duh hatari! Yale ya Kiza Besigye yamehamia nchini kwetu.
Kumbe alikuwa serious aliposema:
"ukinikuna vizuri mimi nakukuna huku nakupapasa tena nakupuliza ufu ufu, ukinipara nakuparura"
Lakini anachokipanda atakivuna.
Hakuna mtu timamu anayejielewa ambaye aliamani kwenye sera za huyo Jiwe wenu. Mtaje hata mmoja kama yupo, au mzee wa Jalalani 😂😂😂😂😂😂Mimi sijawahi kuwa mnyonge. Ni raia mwenye akili timamu tu nayemiliki NIDA na PASSPORT ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wana hekima na busara.Askari ni wasomiAmeambiwa akawa anabisha huku gari yake inasababisha msongamano wa magari ulitaka askari wafanyaje?
Tena wamemhurumia kumkamata alitakiwa abondwe hasa aende mahabusu ulimi ukiwa nje
Nimeamini askari polisi wana huruma aisieee
Nakumbuka kipindi cha dhalimu Magu kulikuwa na uchaguzi wa marudio. Mtangazaji wa ITV aitwaye Sam Mahela alionyesha jamaa wakiingiza mabox ya kura, vituoni, polisi walikuwepo na msimamizi wa uchaguzi anaangalia! Baadae mtangazaji akaenda kumuuliza msimamizi wa kituo inakuwaje mabox ya kura yanaingizwa yakiwa na kura, msimamizi kwa aibu na hofu akamwambia yeye ana kazi nyingi hapo kituoni, sio kuangalia mabox ya kuta tu! Mtangazaji akamfuata polisi kumuuliza inakuwaje. Polisi akamwambia hiyo ni kazi ya msimamiz wa kituo hilo halimuhusu! Ndani ya dakika 30 matangazo mubashara yakakatwa, na likatoka agizo kuwa hakuna ruhusa kurusha matangazo live. Baadae usiku huo nikasikia ITV wanaomba msamaha kwa kurusha habari ambayo ingeweza kuleta machafuko nchini. Hiyo Dar ya ccm😂😂😂 Na toka siku hiyo ikawa kurusha uchaguzi mubashara ni maeneo tu ccm wanafaidika.Dar CHADEMA mwisho ilikuwa kipindi cha Lowassa kaenda CHADEMA
Baada ya Lowasa kurudi CCM
CHADEMA haina Chake Dar es Salaam
Sijadhulumiwa chochote, kama sina ni uvivu wangu wa kutojituma kwenye biashara zangu na kilimo, baasi! Sina aliyenidhulumu chochote boya we!!Kumbe na wewe ni masikini na bado unafurahia ZULUMA dhidi ya Watanzania wenzako?!
The female dictator
🤣🤣🤣🤣 Tuende na ipi The female Dictator au Yezebeli. Au a.k.a hazina idadiYezebeli 😂
Ona sasa, umekimbilia kwenye ujinga tena. Wewe ni shoga kwani? Huna unalowaza zaidi ya ushoga. Waza kukuza kupato chako ili uache mambo ya kujiita mnyongeBasi utakuwa shoga! Hahaha...!!
Mimi naona kama wamechelewa kumtia kibindoni, wangefanya hata juzi.polisi vipi mnamchelewesha mleta fujo kama huyo sokoni?
mnajadiliana nae nini?
OCD msimbazi ukajitathmnini,
hatuwezi kuvuruga shughuli za biashara kariakoo kwa kusumbuana kujibizana na vibaka wa wavuruga biashara wa aina hiyo, mkamatene mkamweke korokoroni mara moja![]()