PreGE2025 John Heche akamatwa na Polisi Kariakoo

PreGE2025 John Heche akamatwa na Polisi Kariakoo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Una mawazo ya kipumbavu sana! Watanzania wote wa wapi wakati CCM na vyama vingine 17, G55 na akina sisi tusiokuwa na chama tunaona reforms mnazozitaka ni ujinga fulani tu hivi?! Msimamo wa kikundi fulani cha wahuni wachache ndio unaita watanzania wote?!
Ndani ya chadema peke yake kuna watu wengi wasiokubali reforms za Lisu wakiongozwa na G 55 na wabunge 19 wa viti maalumu waliomo bungeni!.
Utachekwa ww, hakuna wajinga zaidi ya miaka 30.
 
polisi vipi mnamchelewesha mleta fujo kama huyo sokoni?

mnajadiliana nae nini?

OCD msimbazi ukajitathmnini,
hatuwezi kuvuruga shughuli za biashara kariakoo kwa kusumbuana kujibizana na vibaka wa wavuruga biashara wa aina hiyo, mkamatene mkamweke korokoroni mara moja:BASED:
Kkoo una biashara gani?
Kwani wewe mwenzetu unahisi maisha yako yote yatakua ya kutegemea polisi wakusaidie kuchakachua kura au??
 
Lema kaenda kuhutubia kariakoo akajikuta yupo yeye na wapambe wake akaamua kututukana mashabiki wa simba na Yanga, mjinga sana mwizi wa magari mkongwe!!
 
Una mawazo ya kipumbavu sana! Watanzania wote wa wapi wakati CCM na vyama vingine 17, G55 na akina sisi tusiokuwa na chama tunaona reforms mnazozitaka ni ujinga fulani tu hivi?! Msimamo wa kikundi fulani cha wahuni wachache ndio unaita watanzania wote?!
Ndani ya chadema peke yake kuna watu wengi wasiokubali reforms za Lisu wakiongozwa na G 55 na wabunge 19 wa viti maalumu waliomo bungeni!.
Kweli kabisa
 
Ona sasa, umekimbilia kwenye ujinga tena. Wewe ni shoga kwani? Huna unalowaza zaidi ya ushoga. Waza kukuza kupato chako ili uache mambo ya kujiita mnyonge
Mashoga pia walikuwa hawampendi Magu kama wa vyeti feki mkuu. Mimi namshukuru Mungu pesa za kutumia ninazo zinanitosha.
 
Una mawazo ya kipumbavu sana! Watanzania wote wa wapi wakati CCM na vyama vingine 17, G55 na akina sisi tusiokuwa na chama tunaona reforms mnazozitaka ni ujinga fulani tu hivi?! Msimamo wa kikundi fulani cha wahuni wachache ndio unaita watanzania wote?!
Ndani ya chadema peke yake kuna watu wengi wasiokubali reforms za Lisu wakiongozwa na G 55 na wabunge 19 wa viti maalumu waliomo bungeni!.
We ndo mpumbavu hamna kampaini kwa miaka ya karibuni imepata umarufu kama no reform no election hiyo kampaini isipo angusha ccm mabadiliko yatabadilika lazima
 
Ila mwishwo wake yataskua majadiliano hili suala la "no reform no election" limepokelewa almost na watanzania wote wakiwemo baadhi ya ccm haliepukiki
Mbona sasa wananchi wanakodoa tu macho badala ya kupambana na Polisi kumtetea Heche.?

Hiki ndiyo kipimo kwa CHADEMA kuwa No Reforms No Elections ni chorus ya uongozi wa CHADEMA tu. Wachaneni na mambo haya kwa vile hayana tija
 
Sijadhulumiwa chochote, kama sina ni uvivu wangu wa kutojituma kwenye biashara zangu na kilimo, baasi! Sina aliyenidhulumu chochote boya we!!
Sisi tunadai HAKI ya kuchagua Viongozi tuwatakao sio lazima wawe CHADEMA.
 
Taarifa rasmi kutoka CHADEMA imesema kwamba Jeshi la Polisi limemkamata Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, katika eneo la Kariakoo na kumpeleka kituo cha Polisi Msimbazi.

Hata hivyo, baadaye aliondolewa kituoni hapo na kupelekwa kusikojulikana.

Viongozi kadhaa waliokwenda kituo cha Polisi Kati kufuatilia suala hilo wameelezwa kuwa Heche hajawahi kufikishwa hapo.



View attachment 3312400


View attachment 3312401


Zuieni wasiamatwe, sasa mnashindwa kuzuia mtu mmoja kukamatwa mtazuiaje uchaguzi usifanyike nchi nzima?
 
Hakuna habari ya maagizo kutoka juu!
Kazi ya polisi ni kukamata kila anayeonekana kuwa hatari kwa usalama wa raia na mali zao au usalama wa nchi kwa ujumla.
Wanaoona mtu anafanya uhalifu au anahamasisha watu wafanye uhalifu watamkamata tu wala hawangoji maagizo kutoka juu!.
Kweli kabisa
 
Pongezi kwa Jeshi letu la Polisi kwa kulinda Amani ya Nchi, kamwe wasiwachekee hawa KUNGUNI. Amani ya nchi ni kubwa zaidi kuliko hawa kunguni.
 
Back
Top Bottom