PreGE2025 John Heche akamatwa na Polisi Kariakoo

PreGE2025 John Heche akamatwa na Polisi Kariakoo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Sasa mbona leo upo tu kwenye computer!! Mvuta bangi mwenzenu ananyea debe huko!! Ha ha ha ha!
Kunyea Debe mbona ni kawaida
Nelson-Mandelas-Imprisonment-1200.jpg
 
  • Thanks
Reactions: K11
Su
Halafu wanasema eti watazuia uchaguzi
Subutu watazuiya kupita mitandao michadema mioga sijawai ona ndio mana !!!

Mwenyekiti wao waliompiga teke alikuwa anatumia Busara mzee mbowe zamani kwanza alikuwa anatingisha kuusu maandamano !!!

baadae akisoma upepo anatafuta Visababu ili tu kusitisha maandamano mana anawajua makamanda wake ukimkuta mtandaoni utamuogopa !!!!!!!!!!!!!!!
 
Taarifa rasmi kutoka CHADEMA imesema kwamba Jeshi la Polisi limemkamata Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, katika eneo la Kariakoo na kumpeleka kituo cha Polisi Msimbazi.

Hata hivyo, baadaye aliondolewa kituoni hapo na kupelekwa kusikojulikana.

Viongozi kadhaa waliokwenda kituo cha Polisi Kati kufuatilia suala hilo wameelezwa kuwa Heche hajawahi kufikishwa hapo.



View attachment 3312400


View attachment 3312401


Safi kabisa
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Siku ya Uchaguzi tutaandamana maanadamano ya AMANI dhidi ya Utawala wa Kidikteta wa Samia Suluhu.
Kwanza hamtaruhusiwa kufanya maandamano siku ya uchaguzi!
Lakini kwa upande mwingine mkiruhusiwa kuandamana kwa amani faida ya maandamano yenu itakuwa nini zaidi ya kupoteza muda ?!
Badala ya kupiga kura na kurudi kurudi kazini kwako na au kama hutaki kupiga kura ( kwasababu kwa sheria za nchi yetu kupiga kura sio lazima kwahiyo wale wanaopiga kura huwa wamewawakilisha wale wasiopiga kura ) ubaki eneo lako la kazi ukiendelea na kazi za kujenga taifa.
UNAANDAMANA SIKU YA UCHAGUZI ILI UPATE NINI?!
 
Msipende kumfananisha Mandela na hao mashoga zako!!
Wala hunisumbui wewe unaonekana kabisa unaroho mbaya sijui asili yako wapi huwezi kuwa na chuki hivi kwa Watanzania wanaodai HAKI zao.

Asili yako wapi Burundi Rwanda DRC Malawi?
 
  • Thanks
Reactions: K11
SUKUMA Gang ni kichaka cha kujifichia wapumbavu wote ambao walikataa elimu ya vitendo ya namna ambavyo raia namba moja anatakiwa abehave mbele ya wananchi wake na kuwajibika kwao katika kutekeleza majukumu yake.
wasukuma wamekukosea nini tena?
 
Wala hunisumbui wewe unaonekana kabisa unaroho mbaya sijui asili yako wapi huwezi kuwa na chuki hivi kwa Watanzania wanaodai HAKI zao.

Asili yako wapi Burundi Rwanda DRC Malawi?
Mimi mbona ni mtanzania na sidai chochote katika hayo maujinga yenu!! Mama mitano tenaaa!!
 
Maaaaamaaaa!!! Ha ha ha ha , kumbe umekaa kwenye gari!! Mbona siioni gari hapa, mi nipo hapa nyuma kabisa!! Wafuasi wa Lissu akili zenu kama za ng'ombe tu!!
Kwahiyo unafurahia Mama Samia kuitwa Dikteta Samia?
 
  • Thanks
Reactions: K11
Haiwezekani akamatwe bila sababu, lazima kuna jambo, aidha kuna uchochezi aliokuwa akipandikiza hapo kariakoo kwani haiwezekani raia mwema kukamatwa bila sababu!
Kweli kabisa
Anasababisha foleni na misongamano kuleta usumbufu kwa wenye magari, wafanyabiashara na wateja

CHADEMA tumieni akili pia sio tu kuwa manyumbu tu
Kweli
 
Mimi mbona ni mtanzania na sidai chochote katika hayo maujinga yenu!! Mama mitano tenaaa!!
Hebu angalia hii Video fupi 👇 halafu uone jee ni sawa?
 
Cheti feki, kenge wewe!
Cheti fake au Cheti halisi mimi cha nini sina ajira sehemu yoyote ila akili yako inawaza kuwa kila mtu ana cheti. Akili hizi kama zako ndizo alikuwa nazo Jiwe. Wanyonge mko wengi sana.
 
Back
Top Bottom