PreGE2025 John Heche akamatwa na Polisi Kariakoo

PreGE2025 John Heche akamatwa na Polisi Kariakoo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Ila mwishwo wake yataskua majadiliano hili suala la "no reform no election" limepokelewa almost na watanzania wote wakiwemo baadhi ya ccm haliepukiki
Una mawazo ya kipumbavu sana! Watanzania wote wa wapi wakati CCM na vyama vingine 17, G55 na akina sisi tusiokuwa na chama tunaona reforms mnazozitaka ni ujinga fulani tu hivi?! Msimamo wa kikundi fulani cha wahuni wachache ndio unaita watanzania wote?!
Ndani ya chadema peke yake kuna watu wengi wasiokubali reforms za Lisu wakiongozwa na G 55 na wabunge 19 wa viti maalumu waliomo bungeni!.
 
Tutakunukisha kwa njia za AMANI zikiwemo Spana.
Eti mzuie uchaguzi nyinyi nyumbu. Leo Heche amekamatwa hata bomu moja la machozi halijapigwa! Yaani Dar wamediss sana!! Lema sasa anawatukana washabiki wa Simba na Yanga baada ya kuwatukana bodaboda huko Arusha.
 
Eti mzuie uchaguzi nyinyi nyumbu. Leo Heche amekamatwa hata bomu moja la machozi halijapigwa! Yaani Dar wamediss sana!! Lema sasa anawatukana washabiki wa Simba na Yanga baada ya kuwatukana bodaboda huko Arusha.
Lema ana laana ya ujambazi wa kuua watu na kuiba magari yao Arusha. Lema ndiye kiongozi wa wezi wa magari na anafanya kila njia aruhusiwe kurudi ukimbizini kwani wanaomsaka ni wengi kwa ujambazi wake.
 
Ni maagizo kutoka Juu
Hakuna habari ya maagizo kutoka juu!
Kazi ya polisi ni kukamata kila anayeonekana kuwa hatari kwa usalama wa raia na mali zao au usalama wa nchi kwa ujumla.
Wanaoona mtu anafanya uhalifu au anahamasisha watu wafanye uhalifu watamkamata tu wala hawangoji maagizo kutoka juu!.
 
Hakuna habari ya maagizo kutoka juu!
Kazi ya polisi ni kukamata kila anayeonekana kuwa hatari kwa usalama wa raia na mali zao au usalama wa nchi kwa ujumla.
Wanaoona mtu anafanya uhalifu au anahamasisha watu wafanye uhalifu watamkamata tu wala hawangoji maagizo kutoka juu!.
Tena hata hivyo wamechelewa sana kulikamata jinga hilo!!
 
Nadhani kuna mambo mengi sana ktk nchi wengine hatuyajui..yani huko utawalani, huko upinzani ktk nyanja za uchumi na usalama. Yani kwa tabu hizi wanazopata hawa viongozi wa upinzani hasa cdm inanifundisha kuwa wapo watu wanaojua kujitoa mhanga, na tupo waoga kama sisi, yani uoga wetu ndio salama yetu lakini ndio kufeli kwetu..hawa wajasiri wanaishia kupata cha moto na sisi tunawangalia tu....kisha wanachopigania hakipatikani, kwakweli nawaonea imani sana..anyway Mungu ndiye ajuaye
 
Huu Moto unaopaliliwa hautamuacha Samia salama

Sijajuwa Samia ana mpango gani na Tanzania au ni agent wa warabu sisi tupo tu tunashangaa shangaa ndio anatuuza na kuiua Tanzania?
Huyu mama ni laana kwa nchi!

Namlaumu sana Ngosha kumchagua huyu kilaza kuwa mgombea mwenza wake
 
Eti mzuie uchaguzi nyinyi nyumbu. Leo Heche amekamatwa hata bomu moja la machozi halijapigwa! Yaani Dar wamediss sana!! Lema sasa anawatukana washabiki wa Simba na Yanga baada ya kuwatukana bodaboda huko Arusha.
Siku ya Uchaguzi tutaandamana maanadamano ya AMANI dhidi ya Utawala wa Kidikteta wa Samia Suluhu.
 
Back
Top Bottom