NoreformNoelection
JF-Expert Member
- Jan 29, 2025
- 1,353
- 1,368
Msajili ni wakati sasa kukifutia usajili chadema na kusukuma ndani viongozi wake kwa uhaini.
Wameamua kuwajibu TEC kwa vitendo😁
Tena wa hovyo sanaThe female dictator
Kariakoo ni Central business district watu pale wako busy na biashsra wana kufanya hawategemei tone tone kuishi.Siasa ni sehemu ya maisha na bishara dude amka usingiZini hujawahi kuona waubili wa kilokole sokoni?
Acha kua Kibwengu weweBado mnyika. Labda akajifiche kanisani kwamba anasoma novena.
Raia wanatafuta mkate wao,hao wanaopanga kukinukisha acha wachafuliweKwahiyo raia wamekubali akamatwe kama kuku?
ni muhimu sana,Hii ni kwa mujibu wa accepted ya Lema kule X

Halafu wanasema eti watazuia uchaguziKwahiyo raia wamekubali akamatwe kama kuku?
Bad decision aisee hawa watawala wetu akili ndogo hawajui ndio wanazidi kuchochea chuki na hili watajutia coz hii nchi sio ndoa zao bwana. Nchi ni yetu soteHii ndio Taarifa ya Sasa kutoka Kariakoo, Dar es Salaam
View attachment 3312332
Hakuwa na koso lolote, lakini Inaelezwa kwamba Maagizo kutoka Juu yameelekezwa akamatwe na apewe Kesi ya Ugaidi.
Akisindikizwa na Mitutu kuelekea Kituo cha Polisi Msimbazi
View attachment 3312352View attachment 3312359
Majinga kama haya ni kuyatupia ignore tuona hii mazafaka
Kwa nini wasikubali wakati kaenda kuleta siasa wakati wa muda wa kazi wao wakitafuta riziki zaoKwahiyo raia wamekubali akamatwe kama kuku?
Wataandamana na hawara zaoNaona Viongozi wa Dini wakiamasisha maandamano ya amani si mda mrefu