Pulchra Animo
Platinum Member
- Jun 16, 2016
- 6,870
- 10,587
Nadhani takwa la kisheria ni kutoa taarifa (notice) ya mkutano, sio kuomba kibali.Tunakemea sana hili mtu kujichukulia hatua za kufanya Mkutano pahala bila kuzingatia taratibu husika / au zinazotakiwa kufuata,
-Inshort amefanya tukio ili akamatwe!
#Shame!