Bablai kumbe na wewe ni mmoja wao?WAPUMBAVU. Tafsiri halisi ya mtu wa aina hii ni ambaye hawezi kutumia utashi wake kuepuka madhara na anategemea kujifunza kupitia makosa.
Mimi siwezi kuwa mmoja wao.Bablai kumbe na wewe ni mmoja wao?
Ili Chawa wa Tulia Ackson mzidi kunenepa na yeye azidi kukondeana?CCM itaendelea kuongoza Taifa letu mpaka mwisho wa Dunia
chupi ya mange kimambi wewe kwan nani haijui kariakoo, viongozi wangapi wanakujaga kuadress uma na mambo huwa yanaenda yan unadhani kwakua nimeongea uonezi kuhusu heche basi mimi ni wa Mara ? Very stupid we jamaa...yan familia iko kariakoo unajisifu ? una changamoto gani unaweka familia na bidhaa ZA kila aina mkuu ? Mkuu kwanini unaishi sokoni ? 😂😂😂...unalinda maduka na other premises sababu matajiri wa kariakoo Hawakai kariakoo kenge wewe? Comeon man get a life....Kariakoo barabara ipi isiyo na foleni nitajie moja nimezaliwa na kukulia kariakoo
Familia yangu iko kariakoo
Nitajie barabara ipi?.mshamba toka Mara kwa Heche wewe
Kachunge ng'ombe kwenu huko
Kariakoo barabara ipi isiyo na foleni nitajie moja nimezaliwa na kukulia kariakoo
Familia yangu iko kariakoo
Nitajie barabara ipi?.mshamba toka Mara kwa Heche wewe
Kachunge ng'ombe kwenu huko
yote🤣🤣🤣🤣 Tuende na ipi The female Dictator au Yezebeli. Au a.k.a hazina idadi
Tulia ww mtu mdogoOoh yeye na Magu ni tofauti, yeye anatembea na 4R wakati mtangulizi wake alikuwa dikteta, muonevu, muuaji na katili.
Kiko wapi leo, amekuwa katili na muonevu kuliko hao waliomtangulia.
Najua, mimi ni sisimizi...ila nina thamani sana kwa hili taifa.Tulia ww mtu mdogo
Polisi nia yao ilikuwa kuwaprovoke Chadema ili itokee vurumai watumie risasi za moto kumlenga Heche halafu wadai ilikuwa bahati mbaya agizo wanalotembea nalo ni kuua, kuwatelekeza njia ni dhahiri kuwa hawakutenda kosa lolote vinginevyo wangewafikisha kituoni na kuwafungulia jalada. Hangaya bado ana kiu ya damu za wanachadema.Halafu eti baada ya kuwakamata, wakaishia tu kuwazungusha kwenye magari yao na kuwatelekeza barabarani! Policcm bure kabisa. 😁
Unapiga kitu inalia kama filimbiMimi nitaruka na Lucas Mwashambwa
Mkule na chiembeMimi nitaruka na Lucas Mwashambwa
Lazima niwatie mimba watulie maana wanaruka ruka sana kama popcornMkule na chiembe