Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 14,694
- 7,912
MitanooMimi mbona ni mtanzania na sidai chochote katika hayo maujinga yenu!! Mama mitano tenaaa!!
MitanooMimi mbona ni mtanzania na sidai chochote katika hayo maujinga yenu!! Mama mitano tenaaa!!
Kweli kabisaCCM itaendelea kuongoza Taifa letu mpaka mwisho wa Dunia
Zaidi ya watangulizi wake woteSamia amekuwa mtu hatari
From other countryThe female dictator
Ooh yeye na Magu ni tofauti, yeye anatembea na 4R wakati mtangulizi wake alikuwa dikteta, muonevu, muuaji na katili.
Kiko wapi leo, amekuwa katili na muonevu kuliko hao waliomtanguma
Hivi reform haipo kwenye zile 4RsTaarifa rasmi kutoka CHADEMA imesema kwamba Jeshi la Polisi limemkamata Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, katika eneo la Kariakoo na kumpeleka kituo cha Polisi Msimbazi.
Hata hivyo, baadaye aliondolewa kituoni hapo na kupelekwa kusikojulikana.
Viongozi kadhaa waliokwenda kituo cha Polisi Kati kufuatilia suala hilo wameelezwa kuwa Heche hajawahi kufikishwa hapo.
View attachment 3312400
View attachment 3312401
Zanzibar yake IPO wewe utaenda wapiHuu Moto unaopaliliwa hautamuacha Samia salama
Sijajuwa Samia ana mpango gani na Tanzania au ni agent wa warabu sisi tupo tu tunashangaa shangaa ndio anatuuza na kuiua Tanzania?
Haya majitu yaliyofeli form four ninapo yachukia kutoka moyoni, muwe mnanielewa ndugu zangu.Taarifa rasmi kutoka CHADEMA imesema kwamba Jeshi la Polisi limemkamata Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, katika eneo la Kariakoo na kumpeleka kituo cha Polisi Msimbazi.
Hata hivyo, baadaye aliondolewa kituoni hapo na kupelekwa kusikojulikana.
Viongozi kadhaa waliokwenda kituo cha Polisi Kati kufuatilia suala hilo wameelezwa kuwa Heche hajawahi kufikishwa hapo.
View attachment 3312400
View attachment 3312401
relax my lady,Kkoo una biashara gani?
Kwani wewe mwenzetu unahisi maisha yako yote yatakua ya kutegemea polisi wakusaidie kuchakachua kura au??
John Heche is doing stupid politics.Taarifa rasmi kutoka CHADEMA imesema kwamba Jeshi la Polisi limemkamata Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, katika eneo la Kariakoo na kumpeleka kituo cha Polisi Msimbazi.
Hata hivyo, baadaye aliondolewa kituoni hapo na kupelekwa kusikojulikana.
Viongozi kadhaa waliokwenda kituo cha Polisi Kati kufuatilia suala hilo wameelezwa kuwa Heche hajawahi kufikishwa hapo.
View attachment 3312400
View attachment 3312401
Mbona CCM wanafanya mikutano yao maeneo hayo hayo?Kariakoo ni Central business district watu pale wako busy na biashsra wana kufanya hawategemei tone tone kuishi.
Wahubiri hawasababishi foleni,wala misongamano wa watu na magari wa biashara,wafanyabiashara na wateja
Hapo aliposimama kasababisha usumbufu kwa wafanyabiashara na wateja na wenye magari
Mtu anayepigania uchaguzi huru na haki Kwa maslahi mapana ya taifa na mwizi wa kura anayepindisha maamuzi ya wananchi Kwa maslahi ya wachache yupi ni mshenzi?Hizo ni kwa wastaarabu. Washenzi wamezoea mijeledi tu.
Kwani dada, wewe unaonaje ?Kariakoo ni sehemu ya Biashara au mikutano ya siasa?
Hivi huyu mtangazaji walimwacha salama kweli??Nakumbuka kipindi cha dhalimu Magu kulikuwa na uchaguzi wa marudio. Mtangazaji wa ITV aitwaye Sam Mahela alionyesha jamaa wakiingiza mabox ya kura, vituoni, polisi walikuwepo na msimamizi wa uchaguzi anaangalia! Baadae mtangazaji akaenda kumuuliza msimamizi wa kituo inakuwaje mabox ya kura yanaingizwa yakiwa na kura, msimamizi kwa aibu na hofu akamwambia yeye ana kazi nyingi hapo kituoni, sio kuangalia mabox ya kuta tu! Mtangazaji akamfuata polisi kumuuliza inakuwaje. Polisi akamwambia hiyo ni kazi ya msimamiz wa kituo hilo halimuhusu! Ndani ya dakika 30 matangazo mubashara yakakatwa, na likatoka agizo kuwa hakuna ruhusa kurusha matangazo live. Baadae usiku huo nikasikia ITV wanaomba msamaha kwa kurusha habari ambayo ingeweza kuleta machafuko nchini. Hiyo Dar ya ccm😂😂😂 Na toka siku hiyo ikawa kurusha uchaguzi mubashara ni maeneo tu ccm wanafaidika.
Hadja Kopa katika ubora wakeHivi huyo ni Rais
Aliletewa shida sana, baada ya muda nillimsikia akiwa mtangazaji TBC1 maana alifukuzwa ITV kutokana na issue ile.Hivi huyu mtangazaji walimwacha salama kweli??
watu jeuri, waropokaji wenye viburi kama huyo kibaka na tapeli ni wa kuneutralize taya au kiuono akajiuguze nyumbani ili hatimae wafanyibiasha na wateja waendelee kufanya shopping zao kwa amani.Mimi naona kama wamechelewa kumtia kibindoni, wangefanya hata juzi.
Wewe ni shoga? Maana kila comment yako lazima useme mambo ya kishoga shoga. Kama ungekuwa na pesa usingejiita mnyonge. Jiwe alijuwa kuwatumia vizuri watu kama nyie. Mnabinuka mwenzenu anapiga pesa.Mashoga pia walikuwa hawampendi Magu kama wa vyeti feki mkuu. Mimi namshukuru Mungu pesa za kutumia ninazo zinanitosha.