Raisi Jakaya Mrisho Kikwete amesema mauaji ya mchungaji yaliyosababishwa na waislam wa buseresere mkoani Geita ni fedheha, akizungumza wakati wa kuwatambulisha wajumbe wapya wa CC JK alisema wale wote waliohusika na mauwaji hayo watasakwa hadi wapatikane.
Ni kweli na namuunga mkono ni fedheha hasa hasa. rejea pia aliyoyasema akiwa Ethiopia kuhusu tatizo ili hivi karibuni!