gobore
JF-Expert Member
- Aug 17, 2009
- 715
- 352
Mkuu JokaKuu
Umechokoza swali muhimu sana. Kwa mfano itokee Ndomba anaondoka kwenye utumishi sasa hivi(eg kwa maradhi/death) itamanisha kuwa CoS mpya LAZIMA atoke kati ya Makakala/Ryoba AMA wastaafishwe jeshi kabla ya muda wao AMA ateuliwe mwingine na apewe uGenerali.
Either way. WAMECHEMKA
Umechokoza swali muhimu sana. Kwa mfano itokee Ndomba anaondoka kwenye utumishi sasa hivi(eg kwa maradhi/death) itamanisha kuwa CoS mpya LAZIMA atoke kati ya Makakala/Ryoba AMA wastaafishwe jeshi kabla ya muda wao AMA ateuliwe mwingine na apewe uGenerali.
Either way. WAMECHEMKA
Last edited by a moderator: