Hemed Maronda,
ngwendu,
gobore,
Phillemon Mikael,
..JK akiendelea namna hii itafika mahali tutalazimika kuwa na FIELD MARSHAL ktk jeshi letu.
..sote tunapaswa kuelewa kwamba CHEO/RANK ndiyo inayompa final say mhusika yeyote yule jeshini.
..waliofanya uamuzi kwamba CDF na COS wawe na vyeo vya Jenerali, na Luteni Jenerali, na no other active soldier should have those ranks walikuwa na busara zao.
..je, leo hii ikitokea kwamba Lt.Gen.Ndoma ana-retire au kwa namna moja au nyingine hawezi kuendelea na wadhifa huo, what is going to be the rank of the COS will replaces him??
..Je, JK atalazimika kumteua Makakala au Ryoba kuwa COS kutegemea nani ndiyo senior Lt.Gen?? Je, the incoming COS itabidi awe na cheo cha Jenerali ili aweze kutoa amri kwa Makakala na Ryoba? Au, Makakala na Ryoba wastaafishwe toka jeshini hata kama hawajafikia umri wa kustaafu?
..kwa kweli uamuzi huu wa JK umeniacha na maswali mengi sana.