JK awapandisha vyeo majenerali

Ulinzi wa nchi ndio Kwazi pekeee inayohitaji uwezo na interest.....mbona hamuulizi wahindi ,wazungu,waarab raia...wa Tanzania..kwa nini wiki hizi hawavutiwi na jeshi........muhindi wa mwisho mkubwa jeshini alikuwa kanali Kashmir......
Machotara wa kizungu....maj general walden,maj general Louis na mdogo wake kanali Louis....
Siku hizi hatuwaoni machotara,wahindi,waarabu na wazungu wazalendo majeshini.....lazima juhudi zifanyike kuwait recruit....Kama kipimo cha uzalendo,Kila jamii lazima iwakilishwe jeshini....la sivyo...sio wenzetu...!
 
Ulinzi wa nchi ndio Kwazi pekeee inayohitaji uwezo na interest.....mbona hamuulizi wahindi ,wazungu,waarab raia...wa Tanzania..kwa nini wiki hizi hawavutiwi na jeshi........muhindi wa mwisho mkubwa jeshini alikuwa kanali Kashmir......
Machotara wa kizungu....maj general walden,maj general Louis na mdogo wake kanali Louis....
Siku hizi hatuwaoni machotara,wahindi,waarabu na wazungu wazalendo majeshini.....lazima juhudi zifanyike kuwait recruit....Kama kipimo cha uzalendo,Kila jamii lazima iwakilishwe jeshini....la sivyo...sio wenzetu...!

Kuna mambo tumeyafanya yakose mvuto...ualimu, u polisi...I hope we won't go further down the road.
 
Bila kusahauu familia ya kina RPC Hans Pope...machotara hawa..wa kizungu..kaka Yao mkubwa alikuwa RPC Kagera...kabla ya vita....na uvamizi wa mwanzo...ulipelkea kutekwa na majeshi ya nduli...baada ya Jwtz kuiteka Uganda ....MWili wake ulikutwa State Research Bureau.....kikosi cha kijasusi cha Amin kilichoogopwa sana ukanda huu
Alirudishwa Iringa akazikwa kwa heshima zote za Jeshi la Polisi.....
Zacharia Hans Pope ni mdogo wake....

Pia polisii walikuwapo wahindi wazalendo wengi walistaafu awamu ya kwanza...makalasinga na wagoa...
Karibuni alistaafu kamishna Hemedi....chotara wa kigogo na kiarabu....
 
Kuna mambo tumeyafanya yakose mvuto...ualimu, u polisi...I hope we won't go further down the road.

Kama Taifa na misingi ya uanzishaji wa jeshi ..au majeshi...ni lazima by ratio jeshi liwakilishe raia wote by ratio na sio raia weusi tu as if wao ndio pekee wanaostahili kupigana.....na wengine wao ikija vita waende..Oman ,Bombay ,au Canada .....
Na kwa sababu Ndugu Zao hawatumii Zana za mapigano...ndio maana wahindi Kama Vithlani.....wanatuuzia Helicopter mbovu zinauwa marubani wetu....aghali...au rada mbovu...na kukimbilia visiwa Vya vernice
Ingalikuwa na Watu wa jamii yake anajuwa watadhurika...angefikiri Mara mbili kwa kuogopa kutengwa jamatini...

Recruitment ya majeshi inafanyika kuanzia Kila mkoa ,wilaya hadi kijiji....kadiri ya nafasi...ili Kila jamii iwepo...ila ukweli kuna jamii by nature hawapendi jeshi na wanaopenda...huwa radhi Kuomba kazi kupitia wilaya ambazo hazitumii vema qoouter Yao ya ajira jeshini kwa kuwa tu wenyeji hawapendi .........sasa Huko ndio kunahitaji juhudi kwavutia..
Hata marekani na uingereza kuna juhudi kubwa hufanyika kuwavutia black community....hata kupitia incentives...mbali mbali...
 
Hemed Maronda, ngwendu, gobore, Phillemon Mikael,

..JK akiendelea namna hii itafika mahali tutalazimika kuwa na FIELD MARSHAL ktk jeshi letu.

..sote tunapaswa kuelewa kwamba CHEO/RANK ndiyo inayompa final say mhusika yeyote yule jeshini.

..waliofanya uamuzi kwamba CDF na COS wawe na vyeo vya Jenerali, na Luteni Jenerali, na no other active soldier should have those ranks walikuwa na busara zao.

..je, leo hii ikitokea kwamba Lt.Gen.Ndoma ana-retire au kwa namna moja au nyingine hawezi kuendelea na wadhifa huo, what is going to be the rank of the COS will replaces him??

..Je, JK atalazimika kumteua Makakala au Ryoba kuwa COS kutegemea nani ndiyo senior Lt.Gen?? Je, the incoming COS itabidi awe na cheo cha Jenerali ili aweze kutoa amri kwa Makakala na Ryoba? Au, Makakala na Ryoba wastaafishwe toka jeshini hata kama hawajafikia umri wa kustaafu?

..kwa kweli uamuzi huu wa JK umeniacha na maswali mengi sana.
mkuu JK ni zaidi ya umjuavyo/umsikiavyo. pole.
 
Updates:Lieutenant General Sylvester Ryoba alistaafu jeshini tarehe 29 September 2013; na Lieutenant General Lawrence Makakala ameteuliwa kuwa balozi wetu nchini Zimbabwe kuanzia tarehe 22 August 2015.

davie-sept28-2013.jpg Kikwete anamwapisha Lt gen Makakala.jpg
 
Back
Top Bottom