Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Ulinzi wa nchi ndio Kwazi pekeee inayohitaji uwezo na interest.....mbona hamuulizi wahindi ,wazungu,waarab raia...wa Tanzania..kwa nini wiki hizi hawavutiwi na jeshi........muhindi wa mwisho mkubwa jeshini alikuwa kanali Kashmir......
Machotara wa kizungu....maj general walden,maj general Louis na mdogo wake kanali Louis....
Siku hizi hatuwaoni machotara,wahindi,waarabu na wazungu wazalendo majeshini.....lazima juhudi zifanyike kuwait recruit....Kama kipimo cha uzalendo,Kila jamii lazima iwakilishwe jeshini....la sivyo...sio wenzetu...!
Kuna mambo tumeyafanya yakose mvuto...ualimu, u polisi...I hope we won't go further down the road.
mkuu JK ni zaidi ya umjuavyo/umsikiavyo. pole.Hemed Maronda, ngwendu, gobore, Phillemon Mikael,
..JK akiendelea namna hii itafika mahali tutalazimika kuwa na FIELD MARSHAL ktk jeshi letu.
..sote tunapaswa kuelewa kwamba CHEO/RANK ndiyo inayompa final say mhusika yeyote yule jeshini.
..waliofanya uamuzi kwamba CDF na COS wawe na vyeo vya Jenerali, na Luteni Jenerali, na no other active soldier should have those ranks walikuwa na busara zao.
..je, leo hii ikitokea kwamba Lt.Gen.Ndoma ana-retire au kwa namna moja au nyingine hawezi kuendelea na wadhifa huo, what is going to be the rank of the COS will replaces him??
..Je, JK atalazimika kumteua Makakala au Ryoba kuwa COS kutegemea nani ndiyo senior Lt.Gen?? Je, the incoming COS itabidi awe na cheo cha Jenerali ili aweze kutoa amri kwa Makakala na Ryoba? Au, Makakala na Ryoba wastaafishwe toka jeshini hata kama hawajafikia umri wa kustaafu?
..kwa kweli uamuzi huu wa JK umeniacha na maswali mengi sana.