Kaka kwenye Tasnia ya kijeshi....idadi ya majenerali inategemea zaidi...na ukubwa wa Jeshi ....usilinganishe Tanzania na marekani ....kule wana active combat soldiers more than one million ....wana operations kila continent ....achilia special operations ......wao hata wakiwa na four star generals 50 ni halali..........ndio maana wao Mkuu wa Majeshi anaitwa Chairman of Joint Generals staff.
Nchi maskini Kama zetu ...ratio yetu ni Askari 5000 kwa brigedia Generals mmoja....Askari 5000 ni divisheni....kwa hapa kuna divisheni zaidi ya tano...na kila moja imomgozwa na brigedia jenerali....mameja jenerali wengi wanakuwa Makao makuu kuongoza Idara kubwa..or wings,...ie personnel ,uhandisi na ugavi,Jeshi la maji,Jeshi la nchi kavu,Anga,Upelelezi,Idara ya utendaji vita or war department .,military medical serv,..mipango ,reserve force na militia,uhakiki etc..na hasa mikakati...idadi nyingine ya brigedia generals ambao hawaongozi divisheni...huwa manaiibu kwenye hivi major wings....na juu yao anakuwapo chief of staff...mmoja ambaye is more or less prime minister ...anaxhughulika na utendaji wa kila Siku ....then CDF...