jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,990
- 22,523
Sijasema Ujaji Mkuu bali alitoka uwakili na kupelekwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.
exactly! as far as I know
I would not dare to speculate the motives naamini JK anatimiza wajibu wake wa Kikatiba.
Nadhani nilikuelewa ila swali langu la msingi umeshalijibu,ila issue ni kwamba ndani ya mwaka mmoja uliopita wakati akiwa bado ni wakili wa kujitegema basi alipanda vyeo mara mbili kwa mpigo...Rejea kauli yako kuwa mwaka mmoja uliopita alikuwa wakili na kabla ya kuwa jaji kiongozi(sasa) aliwahi pia kuteuliwa kuwa jaji wa mahakama kuu, all this within a year.