Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,988
- Thread starter
- #41
Ndio, inatokea sana hasa kwenye 'majeshi' (polisi, magereza, jwtz nk). Nadhani pia ni lazima tukumbuke issue ya performance kwenye nyadhifa uliyopo. Kama mtu ana poor performance sidhani kama ni busara kumopandisha cheo kwa sababu tu ni senior! Hili lipo hata kwenye sector binafsi - mtu wa chini anaweza kupanda vyeo kuwazidi hata wale waliokuwa senior kwake kama anaonesha good performance.
Hata hivyo lazima nikiri kwamba sina information kuhusu performance ya huyo JK mpya na wala wale ambao inaonekana 'wameachwa'.
that exactly the point.. kama una jaji ambaye hana perfomance nzuri au kazi yake haiendani na majukumu yake kuna taratibu za kumuondoa Jaji (impeach) (of course Rais hawezi kumfukuza jaji kazi). Lakini kumruka Jaji mzembe au asiyetimiza wajibu yake ndiyo yale waswahili wanasema "yale yale"..