Jioni yako ikoje? Yangu imejaa tabasamu

Jioni yako ikoje? Yangu imejaa tabasamu

Kitu kimoja kizuri na cha kipekee kuhusu mwanadamu ni uwezo wa ustahimilivu...! Haijalishi siku imekuwaje au umekutana changamoto ni kubwa kiasi gani, kila unapolala na kuamka, unakuwa na nafasi mpya! ya kuanza upya! na kufanya vizuri zaidi...!!!

Je ulijua kuwa tabasamu pekee. . hata kama unalazimisha.... huwa linadanganya ubongo wako na kutoa homoni za furaha (endorphins) ambazo hupunguza msongo wa mawazo??

Hivyo, jaribu kutabasamu kidogo sasa hivi.. Tabasamu hilo linaweza kubadilisha hali yako ya jioni kabisa!

Tabasamu sasa... Mimi nimetabasamu😀View attachment 3580964
Nime import manzi hapa naishubirii hapa nakula pombe kali .. naifikiche kisawa kisawa 😁😁😁
 
Nime import manzi hapa naishubirii hapa nakula pombe kali .. naifikiche kisawa kisawa 😁😁😁
Kama shetani angejua zambi ni tamu kiasi hiki angetubu mapema asubuhi😂
a2d2621f-c30c-4c5f-9ac3-07d064b1b0d7.jpeg
42e97548-bb70-4f34-bdc9-9c5670e11f7e.jpeg
 
"The most dangerous animal on this planet is a FAKE friend & FAKE Family member. They hug you today and hurt you tomorrow.🎯"
 
Naelewa sasa kwanini wanaume tunaitwa mbwa, manzi imegoma kuja nikafunga safari kutoka kigamboni hadi kibaha picha ya ndege.. mda huu ndio narudi nayo mjini 😂😂
Never give up until is done🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom