Jioni yako ikoje? Yangu imejaa tabasamu

Jioni yako ikoje? Yangu imejaa tabasamu

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,652
Reaction score
860,938
Kitu kimoja kizuri na cha kipekee kuhusu mwanadamu ni uwezo wa ustahimilivu...! Haijalishi siku imekuwaje au umekutana changamoto ni kubwa kiasi gani, kila unapolala na kuamka, unakuwa na nafasi mpya! ya kuanza upya! na kufanya vizuri zaidi...!!!

Je ulijua kuwa tabasamu pekee. . hata kama unalazimisha.... huwa linadanganya ubongo wako na kutoa homoni za furaha (endorphins) ambazo hupunguza msongo wa mawazo??

Hivyo, jaribu kutabasamu kidogo sasa hivi.. Tabasamu hilo linaweza kubadilisha hali yako ya jioni kabisa!

Tabasamu sasa... Mimi nimetabasamu😀
078d7e0b-4d3e-40ee-af1c-3a70151c7661.jpeg
 
Sina marafiki. Nahisi dunia ninayoishi Hakuna marafiki bali wakusanya taarifa Kwaajili ya vita vya baadae
Watu wabaya duniani wapo
Watu wazuri wapo hawajaisha
Sijui umepitia nini mpka hutaki tena marafiki lakini kuna mda tunaitaji watu kwa vyovyote vile hata kwa kukaa nao bila hata husema neno lolote
Ndiyo, ni mtumishi wa umma
Hongera sana
Huko kazi hakuna kitu cha kukuweka busy walau kwa mda mfupi bila kushika simu
 
Watu wabaya duniani wapo
Watu wazuri wapo hawajaisha
Sijui umepitia nini mpka hutaki tena marafiki lakini kuna mda tunaitaji watu kwa vyovyote vile hata kwa kukaa nao bila hata husema neno lolote

Hongera sana
Huko kazi hakuna kitu cha kukuweka busy walau kwa mda mfupi bila kushika simu
Nakuwa busy kwa masaa mawili kati ya nane ya kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom